Fix You: Unamtongozaje Mwanamke ikiwa una domo zege? Kwanini wanaume wanawaogopa wanawake wazuri

  Рет қаралды 23,296

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Пікірлер: 47
@josej9888
@josej9888 2 жыл бұрын
Kwa mtazamo wangu mm mwanamke mzuri Sana ningumu kuolewa kwasababu hawanaga msimamo, pia Hawana heshima.
@johariabdalla3319
@johariabdalla3319 2 жыл бұрын
Daaaah hii Mada ya leo ya haya maongezi kali sana sana,na ina madini mengi mno,kwahyo tunaiomba hii iendelee part 2-3,iwe na muendelezo
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 2 жыл бұрын
Irene you are so good girl!! I am happy to see a woman in the amazing SNS Team. I wish Sky summons you on those emergency meetings they normally do to discuss breaking news. ❤️ 💙
@pulikisia7963
@pulikisia7963 2 жыл бұрын
Asante sana Dada,kwa kumrudisha huyu mwamba.
@ssalimsalim3864
@ssalimsalim3864 Жыл бұрын
Mwanamke mzuri ni yule unaempenda.
@plumbingtanzaniaplumber7570
@plumbingtanzaniaplumber7570 Жыл бұрын
Jamaa kaongea vzr sana
@issazalala4907
@issazalala4907 2 жыл бұрын
Ukiona kijana hawezi kutongoza basi tambua ana PGA nyeto 😂
@Tino_Official_tz
@Tino_Official_tz Жыл бұрын
Irine ngoja nikupe siri kidogo. Utafiti unaonyesha kuwa wanaume ambao wanachelewa sana kuelezea hisia zake kwa mwanamke ndio wenye uwezo mkubwa wa kudumu kwenye mahusiano na wanakuwa na upendo wa dhati kwa wenzi wao..
@ahz6907
@ahz6907 Жыл бұрын
Source?
@abdulrahmanhassan5998
@abdulrahmanhassan5998 2 жыл бұрын
Wanaume wengi wasio juwa kutongoza wengi wao wamekulia miaka ya 2008 kuja 2022 na smart phone au simu janja kupitia mitandao ya kijamii ndio imewasaidia na ndio mana hawawezi kuongea na mwanamke ana kwa ana, lakini wanaume wengi waliokulia kabla kuja kwa smart phone wengi walikuwa sio waoga kwenye kutongoza. Rekebisheni kauli semeni baadhi msijumuishe watu.
@muzdinho
@muzdinho 2 жыл бұрын
huo ni uongo
@masolavachui1728
@masolavachui1728 2 жыл бұрын
Uko sahii mmi nimekuelewa sana walekebishe kauli yao ya kujimlisha watu ote
@abdulrahmanhassan5998
@abdulrahmanhassan5998 2 жыл бұрын
@@masolavachui1728 na hii ndio Tania ya baadhi ya watu wengi huchukuwa au hunukuu tafiti kutoka sehemu fulani ambazo hata wao wenyewe hawajawai kudhisibitisha Bali nadharia tuu Kisha kujumlisha watu wote, utasikia wanawake au wanaume wakitanzania Wana Tabia hii au Tabia fulani...
@mourinebey_kenya7027
@mourinebey_kenya7027 2 жыл бұрын
Sasa 2008 huyo Ni mwana mume au mtoto Jamani? Mana hapo unazungumzia mtoto wa 14 years ujue?
@abdulrahmanhassan5998
@abdulrahmanhassan5998 2 жыл бұрын
@@mourinebey_kenya7027 hapo naongelea kuanzia ubri 18 kuja juu kuanzia miaka hiyo 2008 mpaka sasa ni MTU wa miaka 30 wengi wao wa kizazi cha smart phone 📱hawajuwi kutongoza bila simu mitandao ya kijamii.
@ibraimoissiaca6058
@ibraimoissiaca6058 2 жыл бұрын
noma sana
@siaammo1104
@siaammo1104 Жыл бұрын
Da lrene hebu muulize hivi hilo swala la heshima inakuwaje kwa mtu asiyekuhudumia kbss,
@lamaradill9857
@lamaradill9857 2 жыл бұрын
confedence inapotea pale unapoanza kujichua ndo maan wanaogopa wanawake kwasababu tyr wamepata njia nyngn ya kujihudumia
@amrzaqmlawa4015
@amrzaqmlawa4015 2 жыл бұрын
Mwanaume Kutongaza ni Nature huwezi epuka
@derrikdesertman4564
@derrikdesertman4564 2 жыл бұрын
Wewe Irene umetoka nje ya topic kabisa. Ungemuambia afundishe namna ya kutongoza kabisa
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 жыл бұрын
Mimi kwa kweli wazaz wangu wame haribu confedence yangu tangu utotoni ndomana siwez kuwapenda
@isikesamike
@isikesamike 2 жыл бұрын
Muone mwanasaikolojia akusaidie kukupa ushauri nasaha. Umweleze shida unayopitia ili ajue namna ya kukushauri.
@adkajisi4536
@adkajisi4536 Жыл бұрын
Wazazi wapende tu
@husseinkazigo6189
@husseinkazigo6189 Жыл бұрын
Ahahahaha umenifanya nicheke san huna akili we jamaa😂😂😂
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 2 жыл бұрын
Hizo kufunda muangalia kwa mwangalizo wa 21st century...kwa Millennials maisha yao sio hayo ya kusema tu "Heshimu Mwanaume"...it's a two-way traffic Bro 😊
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 2 жыл бұрын
Sure thing
@abdallahmohammed4059
@abdallahmohammed4059 Жыл бұрын
Binafsi sijamuelewa uyo mwana apo kimaelezo yake naona kama anajin'gata n'gata tu
@mwanatz5980
@mwanatz5980 2 жыл бұрын
😀😍😍
@nemblismkulago886
@nemblismkulago886 2 жыл бұрын
Huy jamaa kaongea facts
@therealomisakulu5416
@therealomisakulu5416 2 жыл бұрын
Hii interview imenipa conference ya kumwambia "Irine" kuwa nimemuelewa. Akimaliza kumfanyisha huyo jamaa interview naomba asome hii message yangu tafadhali.
@suntzu8959
@suntzu8959 2 жыл бұрын
Conference
@daudimusembe6776
@daudimusembe6776 2 жыл бұрын
Confidence sio conference😎
@kefamkv3743
@kefamkv3743 2 жыл бұрын
@therealomisa kulu kijana waovyo sana😀😀😀😀nimecheka kweli
@SalsabeelLtd
@SalsabeelLtd 2 жыл бұрын
nikimuoga faster nawoch
@digitalfeelings3031
@digitalfeelings3031 2 жыл бұрын
Huyu jamaa ana sauti kama ya Mbosso
@akilimwendajohn3326
@akilimwendajohn3326 Жыл бұрын
Bro ume ingusa sababu ya kuwachika kwa madem wazuri ana wenye kipato.
@SalsabeelLtd
@SalsabeelLtd 2 жыл бұрын
kumbe kille unadimpoz😃
@chancelebishopofficial2785
@chancelebishopofficial2785 2 жыл бұрын
Mwambie akatafute Pesa
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍
@silverman6930
@silverman6930 2 жыл бұрын
Domo Zege wapi …kijana tafuta pesa bana 😂
@Aviero_07
@Aviero_07 Жыл бұрын
📌
@SalsabeelLtd
@SalsabeelLtd 2 жыл бұрын
Namkubal kille
@shukurually8769
@shukurually8769 2 жыл бұрын
Upande wa pete ni pambo tu kama pete nyingine akuna kitabu chochote cha dini kilichoandika ndoa isifungwe bila ya pete
@alphadreammedia
@alphadreammedia 2 жыл бұрын
Wa kwanza kabisa kzbin.info/www/bejne/i4SanKJ-q8d0n8U
Леон киллер и Оля Полякова 😹
00:42
Канал Смеха
Рет қаралды 4,7 МЛН
IL'HAN - Qalqam | Official Music Video
03:17
Ilhan Ihsanov
Рет қаралды 700 М.
UKIONA HIVI UJUE ANAKUPENDA SAANA ILA ANAOGOPA KUKWAMBIA
11:54
FAFANUO MEDIA
Рет қаралды 334 М.
DOMO ZEGE..
8:00
SHADOW TV
Рет қаралды 502 М.
Wanaume Wanaokimbiwa na Wanawake - Joel Nanauka
10:07
Joel Nanauka
Рет қаралды 74 М.
Dalili Za Mwanaume Anaekupenda Kwa Dhati
6:19
Topten Tv
Рет қаралды 562 М.