No video

SIO LAZIMA KIPAJI ILI UFANIKIWE, TAZAMA HII

  Рет қаралды 19,979

Success Path Network

Success Path Network

Күн бұрын

Please watch: "FIKIA MALENGO YAKO KIRAHISI "
• FIKIA MALENGO YAKO KIR... -~-
Nilichojifunza ni kwamba kuna mambo mengi sana muhimu ambayo ili mtu aweze kufanikiwa anahitaji kuwa nayo, nayo ni bora na muhimu zaidi kuliko kuwa na kipaji tu. Basi somo hili ni muhimu sana hata kwa wale wanaotambua kuwa wanavipaji mbalimbali wanawezaje kujiongezea thamani.
JINSI YA KUTAMBUA KIPAJI CHAKO : • JINSI YA KUGUNDUA KIPA...
Fuatilia kwa makini mambo haya saba:
1. Take responsibility for your life (Tambua maisha yako ni jukumu lako)
2. Be Organized (Jipange Vizuri)
3. Learn to take action (Kuwa mtu wa vitendo sio maneno tu)
4. Learn to network with other successful people (Jichanganye na waliofanikiwa)
5. Read a lot (Soma sana vitabu)
6. Persevere (Jifunze uvumilivu)
7. Pay attention to your health (Jali afya yako)
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#SuccessPath #EachOneTeachOne #EzdenJumanne

Пікірлер: 93
@successpathnetwork
@successpathnetwork 5 жыл бұрын
Asante kwa kufuatilia. Unaweza kujiunga na group langu la whatsapp ili kupata mengi zaidi. Tuma meseji ya whatsapp kwenda namba hii 0759191076. Tukutane kwenye group!!!
@chrismassawe326
@chrismassawe326 5 жыл бұрын
Asant sana mwalimu wangu
@deogratiousmerchiory5935
@deogratiousmerchiory5935 5 жыл бұрын
Niunge kwenye group lako..0752324496
@zuberimanoti665
@zuberimanoti665 5 жыл бұрын
Naitwa Zuberi niko kunduchi mtongani Kinondon dar. nahitaji kujiunga na group la whatsap no. 0787852149
@njuujera1415
@njuujera1415 4 жыл бұрын
Shukran Sana Ezden nakufatilia sana na nimebadilika kwa asilimia kubwa sana. I love you
@shabaninamala1727
@shabaninamala1727 5 жыл бұрын
Thanks broo🙏🙏, Wengi huwa hatu comment but ni Member Wazuri wa masomo yako
@shuaibmussa3625
@shuaibmussa3625 5 жыл бұрын
Kaka Ezden nakupend san umenibadirisha kwa kiasi kikubwa sasa naipa haki dunia yang na akhera yang pia hongera kwa mzazi alokuzaa wallah alizaa chema
@thegirl1405
@thegirl1405 5 жыл бұрын
Daaaa! Somo limeniingia mpaka nimetoka kwenye makelele ya watu nikaenda kusikiliza kwa umakini sana shukuraa brother nimepata mengi kwenye hili somo 💞💞 Ahsante sana brother Allah bless you 🙏 🙏
@thegirl1405
@thegirl1405 5 жыл бұрын
Subhannalah unamiliki mali zote hata sadaka hutoi, ibada mtu anaiona ngumu😥😥 cku zote napenda kuwa karibu na watu walio nizidi maalifa ili nami niwe kama wao
@jescabulimu2107
@jescabulimu2107 4 жыл бұрын
Hujambo,nafurahiya masomo yako kila somo unayo fundisha Mwenyezi Mungu akujalie na kuzidishie uendelee kufundisha wasiojua(shule ya ajabu!!!)
@monikaxenia5629
@monikaxenia5629 5 жыл бұрын
Asante sana bro umenijenga sana ,mahalia nilikuwa na Kosea ubarikiwe sana na malifa mazuri
@allthingsafrican
@allthingsafrican 3 жыл бұрын
Mafunzo yako ni mazuri sana! Mwenyezi Mungu akuongezee umri ufundishe wengi zaidi
@nkanuliyelaurent6955
@nkanuliyelaurent6955 3 жыл бұрын
Asante sana brother Ezden kwa kazi njema uifanyayo ya kutoa elimu kwa njia hii.Keep heart and move forward.Ubarikiwe
@nzeyimanasadiki6531
@nzeyimanasadiki6531 5 жыл бұрын
From bujumbura Burundi right now im listening to you from south africa you so professional
@yasirykasanga7164
@yasirykasanga7164 2 жыл бұрын
Lj
@sss3s867
@sss3s867 4 жыл бұрын
Nimekubali pale ulipochangia. Kwamba ukiwa fukara no mtihani,ukiwa maskini no mtihani,ukiwa Tahiti ni mtihani. Sasa ktk umaskini na ufukara pamatakiwa uchambuzi sahihi. Watu wengi wanaona utajibiwa ni kumiliki Mali, lakini kuna kuwa na watoto, afya, maradi, tuseme alhamdulilah ktk kila jambo.
@jeremiahmwasapilicharlie2926
@jeremiahmwasapilicharlie2926 5 жыл бұрын
#ezden nakufwatilia sana ,,,,, nakukubar ,,big up
@rajabuabdala2411
@rajabuabdala2411 5 жыл бұрын
Allh akupe afya njema uzidi kutupa elimu nzuri
@gamarsaid8406
@gamarsaid8406 4 жыл бұрын
Nakukubali kaka mungu akuongoze zaidi
@zainabkassim922
@zainabkassim922 4 жыл бұрын
Thank you Allah bless you
@swimcoachabel1105
@swimcoachabel1105 5 жыл бұрын
Kaka asante sana napenda kusoma vitabu unaweza kunisaidia ni vitabu vya haina gani ni vizuri kusoma
@tinahosea9930
@tinahosea9930 3 жыл бұрын
Thanks so much kwa mafundisho mazuri bro 🙏
@mudcoba5416
@mudcoba5416 5 жыл бұрын
Asante kaka kwa kunipa muogozo katika maisha ......
@johnvicenthmuna5151
@johnvicenthmuna5151 5 жыл бұрын
Asante sana broo
@sulejureij3799
@sulejureij3799 5 жыл бұрын
Ni muda wa kubadili tabia. The earlier the better. Thanks bro, Allah akulipe kheri
@harithbarwany254
@harithbarwany254 4 жыл бұрын
Nakubaliana na yote ulosema. Mungu akubariki daima
@lailatmussa3881
@lailatmussa3881 3 жыл бұрын
Asalam aleikum Kaka ezden jumanne . Somo ni zuri sana . Mimi ilikuwa nahitaji kujuwa no jinsi gani tunaweza kurekod sauti nzuri
@muhsinyahaya4763
@muhsinyahaya4763 4 жыл бұрын
Allah akujaalie uwe na moyo uwo uwo brother
@neemalkiswaga6126
@neemalkiswaga6126 5 жыл бұрын
Asanteh Kaka mimi niliweza kutambua kipaji changu
@shefanasibu7033
@shefanasibu7033 4 жыл бұрын
Shukran
@chrismassawe326
@chrismassawe326 5 жыл бұрын
Safi sana nimejifunza hatua nyingine
@deboramenard1855
@deboramenard1855 2 жыл бұрын
Asant sana 🙏🙏
@jumamussa9116
@jumamussa9116 5 жыл бұрын
Ahsante sana kaka Kila siku unanizidishia mawazo yanayopelekea kufanikiwa Kwa lazima
@matokeomudende3414
@matokeomudende3414 4 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana kaka
@liberatussylvanus5477
@liberatussylvanus5477 2 жыл бұрын
Thenk you kaka ezden
@jasminemachake1033
@jasminemachake1033 5 жыл бұрын
Asante safi sana
@eliaspaul5063
@eliaspaul5063 5 жыл бұрын
Somo hili nimeelewa sana asante kaka kwa somo zur
@successpathnetwork
@successpathnetwork 5 жыл бұрын
Asante sana
@ramafrica9016
@ramafrica9016 5 жыл бұрын
Asante kwa Elimu dawa....
@wemamuss
@wemamuss 5 жыл бұрын
Duh somo zuri sana.🙌 Allah azidi kukubarik kaka.
@thecreater4671
@thecreater4671 3 жыл бұрын
Nice work brother
@Msomiandrew
@Msomiandrew 4 жыл бұрын
Kweli kabisa nimejifunza
@Muka_26
@Muka_26 5 жыл бұрын
Nakubar sana braza 🔥🔥 #eachoneteachone
@bobowrld9628
@bobowrld9628 4 жыл бұрын
nakukubali sana Ezden
@successpathnetwork
@successpathnetwork 4 жыл бұрын
Shukrani kaka
@bobowrld9628
@bobowrld9628 4 жыл бұрын
Ooyeea
@deathrow8004
@deathrow8004 5 жыл бұрын
NDIO MWENYEZI MUNGU ANAVYOTAKA ..JAHIID KTK KAZI((ASBABU)).NAKUPATA BROTHER
@wilfredidangat768
@wilfredidangat768 5 жыл бұрын
daaa shukrani sana
@juliusmhuvile3814
@juliusmhuvile3814 5 жыл бұрын
Ok
@djcoco_designer5739
@djcoco_designer5739 3 жыл бұрын
Vizuri
@tatuatut7542
@tatuatut7542 5 жыл бұрын
Mimi haya mambo ya.hii vidio hata moja siwezi kufanya.hadi mwakani inshaallah.nini nakaapekeyangu.nadhinda pekeyangu toka nimepanda hapa gorofani nimwaka sasa hata nje sijatoka.nimekusikiliza kaka hapa natafuta nauli tu. Nirudi Tanzania.kaka umenitoa gizani tena umeniyoa kwenye kifungo na upofu Wa macho.najutia mudawangu
@maryammaram2612
@maryammaram2612 5 жыл бұрын
Pole 3 usikate tamaa bado dunia inakusubiri
@razakimohamed4903
@razakimohamed4903 4 жыл бұрын
nakubalii kk
@mdtv2625
@mdtv2625 5 жыл бұрын
Nice one. Talent never enough
@halimasaid4977
@halimasaid4977 5 жыл бұрын
Good boy
@felisterdaniel6316
@felisterdaniel6316 5 жыл бұрын
Good bless you my kakaaa maana napata vitu adimmm 🙏🙏🙏
@emanuelasseri9062
@emanuelasseri9062 5 жыл бұрын
mafanikio ni jambo la mtu binafsi. Na jambo sahihi ni kujua njia sahihi na kujaki muda.
@eliudimwigi8368
@eliudimwigi8368 5 жыл бұрын
Nimeisikiliza hii video zaidi ya mara 2. Naipa marks ni moja ya video bora kabisa ktk Channel za KZbin!
@salomemtani5687
@salomemtani5687 5 жыл бұрын
Hakika nimejifunza
@mgallason...5686
@mgallason...5686 5 жыл бұрын
very powerful👍
@mosesmgunda5955
@mosesmgunda5955 5 жыл бұрын
Asante sana
@saadarahman7172
@saadarahman7172 5 жыл бұрын
Thx
@fettyfetty6091
@fettyfetty6091 5 жыл бұрын
Thanks
@nsikakuamos5279
@nsikakuamos5279 5 жыл бұрын
Sawa,kak@ mipango ndio kila kitu,,,,!!!
@tatuatut7542
@tatuatut7542 5 жыл бұрын
Asante
@awamkhalid5361
@awamkhalid5361 5 жыл бұрын
Its true we a not born to play
@peterkingili5305
@peterkingili5305 5 жыл бұрын
Kaka shemima yako. Bro nipo na rafiki yangu kwasasa nikama ndugu yangu tuna hitaji kufungua kampuni yetu. kbs plz nakuomba nisaidie namba yko kwan nahitaji kuongea na ww
@braysonzawad4705
@braysonzawad4705 5 жыл бұрын
Brother naomba uwe mzalendo kwanza kwa kuzungumza na kutufundisha kwa kutumia lugha ya kiswahili maana kuna point za kiingeleza kiukweli wengine hatujasoma so hatuelewi so jitahidi kututafsilia au kuacha kutumia kiingeleza chako
@successpathnetwork
@successpathnetwork 5 жыл бұрын
Really???!!! Niamini mimi, wengi wanafeli kwasababu ya visingizio visivyokuwa na maana. Hili somo point zote nimesema kwa kingereza na kuzifafanua kwa kiswahili. Unashindwa kulichukulia positive kwamba iwe sehemu ya wewe at least kufahamu baadhi ya misemo na maneno ya kingereza??! hii ni faida kwa msemaji wa kiswahili! Jitahidi kuangalia vitu katika upande positive. Nimeamua kukujibu sababu naona kuna somo kubwa litakupitia ukiendelea na hiyo mentality.
@kush_kidy97
@kush_kidy97 5 жыл бұрын
@@successpathnetwork kweli kabisaa
@mauamohamedy3796
@mauamohamedy3796 5 жыл бұрын
Brayson Zawad mhhh
@mgallason...5686
@mgallason...5686 5 жыл бұрын
jamaa yangu bryson zawad inapaswa utambue msemo mmoja kuwa kitabu usichokielewa jua kwamba haujatungiwa wewe Bali yupo atakayekisoma na kukielewa . . . ezden ametafsiri kila alichokiongea binafsi sijasoma Bali nimemuelewa barabara, katika hii dunia epuka sana kulaumu hata pasipo na sababu ya msingi, utafanikiwa kwa mambo mengi sana na utambue msemo mwingine usemao kulaumu ni mchezo mzuri wa wakosaji au wanaofeli. Tafuta kila namna ya kuelewa masomo Kama haya na kuacha kabisa lawama, la sivyo usijiingize kwenye kuangalia video au masomo Kama haya ambayo TANZANIA na watanzania, inayahitaji sana kuliko kuangalia video za muziki au zisizokuwa na mashiko. Achana na chuki binafsi, haisaidii hata Kama EZDEN angetumia lugha KISWAHILI pengine ungekuja na lawama nyingine. penda sana anachokifanya naomba uniamini.
@neemalkiswaga6126
@neemalkiswaga6126 5 жыл бұрын
@@successpathnetwork Kaka unavyomix na kingereza na unafafananu Kwa kiswahil tunajifunza misamiati mipya ya kingereza so msamehe bure hayuko makin👏
@mohammedshali6926
@mohammedshali6926 2 жыл бұрын
Ezden vp je vp
@mohammedshali6926
@mohammedshali6926 2 жыл бұрын
Mimi nivuvi je nataka kujipaga kufanikiwa
@leilamohamed7445
@leilamohamed7445 5 жыл бұрын
Kaka naendeleya kupata mafunzo nashukru nimeanza kubadilika nanikweli yafatuwe nasubra. Atasiku izinaamka Niko vizuri sijachoka anashukru nimepata mafunzo naendeleya kusoma ubarikiwe
@abdullykapole9617
@abdullykapole9617 4 жыл бұрын
Naelewa sana ila nina ombi moja toka kwako kaka kama unaweza kunishauri nishauri nifanyeje????
@woltabenadi2184
@woltabenadi2184 5 жыл бұрын
Kaka unamtengeneza bilionea kesho ninaiva sikubada yasiku
@jescabulimu2107
@jescabulimu2107 4 жыл бұрын
Shule ya ajabu!
@felixlwitiko1481
@felixlwitiko1481 5 жыл бұрын
Brother shukulani nayaona mafanikio mbele yangu sasa brother kw kubadilika kwanzia leo brother
@bilalirashid6267
@bilalirashid6267 2 жыл бұрын
Mimi nahitajia kuwa dactari naanzia wap
@saidally2950
@saidally2950 5 жыл бұрын
ndugu yangu nakuomba sana tena sana ndugu yangu katika imani ezden naomba mawasiliano yako ndugu yangu naomba unipigie au unibipu katika namba hii 0678818359 nina mazungumzo ya muhimu sana nawewe ndugu yangu nakuomba katika hilo au nitumie namba yako nikupigie ndugu yangu.
@successpathnetwork
@successpathnetwork 5 жыл бұрын
0759191076
@roberthdismas6493
@roberthdismas6493 5 жыл бұрын
kaka najifunza mengi sana kwako
@sebastianmtemi4902
@sebastianmtemi4902 5 жыл бұрын
Asante sana bro
@ngendakumanasalumdiki4885
@ngendakumanasalumdiki4885 5 жыл бұрын
Safi sana.
MAJUTO MAKUBWA BAADA YA SHULE (NA SULUHISHO LAKE)
22:56
Success Path Network
Рет қаралды 22 М.
7 LESSONS People Learn Too Late In Life
21:22
Success Path Network
Рет қаралды 38 М.
Unveiling my winning secret to defeating Maxim!😎| Free Fire Official
00:14
Garena Free Fire Global
Рет қаралды 4,7 МЛН
Comfortable 🤣 #comedy #funny
00:34
Micky Makeover
Рет қаралды 17 МЛН
The Giant sleep in the town 👹🛏️🏡
00:24
Construction Site
Рет қаралды 19 МЛН
Алексей Щербаков разнес ВДВшников
00:47
SHERIA 12 ZA FEDHA ZISIZOPITWA WAKATI
21:11
Success Path Network
Рет қаралды 48 М.
Nini Ufanye Unapokosa Support? - Joel Nanauka
9:42
Joel Nanauka
Рет қаралды 121 М.
SIRI YA MAFANIKIO ILIYOSAHAULIKA
17:59
Success Path Network
Рет қаралды 28 М.
Mambo 7 Ya Kuacha Ili Ufanikiwe
22:00
Success Path Network
Рет қаралды 2,2 МЛН
HII NI DAWA YA UGUMU WA MAISHA YAKO
17:24
Success Path Network
Рет қаралды 68 М.
#LIVE: DEBATE YA KIELIMU IMANI NA AMANI ( UWAKTA )
Kishki Online TV
Рет қаралды 206
NDOTO ZAKO MAFANIKIO YAKO
9:54
Success Path Network
Рет қаралды 50 М.
MAMBO HAYA YANAKUCHELEWESHA KUFANIKIWA
17:24
Success Path Network
Рет қаралды 96 М.
ZINGATIA HAYA UFANIKIWE - Part 1
10:56
Success Path Network
Рет қаралды 37 М.
Unveiling my winning secret to defeating Maxim!😎| Free Fire Official
00:14
Garena Free Fire Global
Рет қаралды 4,7 МЛН