PROPHET IPM Ure the best prophet I have ever seen once upon I got birth broooo Niko same track na wewe Praise the lord 🙌🙏🙏 master
@esthermwaibasa477828 күн бұрын
Umeongea kweli kabisa,kwa mimi nasema watumishi wa uganga ni aslimia 90,watumishi wa ukweli ni 20 tu,na watu wamerogwa hawapendi kwenda kwa watumishi wa kweli wanadai kumepoa,waumini hawataki mahubiri ya kweli wanapenda kutabiriwa toka asubuhi mpaka jioni,njia ya kwenda mbinguni ni nyembamba na ya jehanamu nipana Mungu atupe ufahamu,Mungu akubarki mchungaji na akutie nguvu sema kweli hizi ni nyakati za mwisho
@HappyMwaigwisya26 күн бұрын
Kweli kabisaaàaa
@jacquelinemwakasala956322 күн бұрын
Umenena ndugu
@user-pm8fp7no4c17 күн бұрын
Thank you dady lpm hakika wewe ni mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana baba yangu
@avitusmichael528 күн бұрын
IPM upo vizuri sana
@halfanemmanuel78118 күн бұрын
ALLAH AKBAR
@SmilingChameleon-db2wi29 күн бұрын
Uko vizuri mchungaji,sema baba
@nassoroyahaya82126 күн бұрын
Najua vizuri sana unachokiongea na mmoja wa wachungaji hao wakubwa kama akina Mwamposa wanakwenda na mabodyguard huko massage room wanawachagua wadada warembo,wanawalipa pesa kubwa na wakielewa umewafahamu wanakuwinda wanakuua,lakini mbaya zaidi wanawatumia wadada kinyume cha maumbile na so far wamezaa nao so hakuna neno la Mungu la namna kama hiyo....
@myunaniniahmad646327 күн бұрын
Jamani huyo anaejiita kiboko ya wachawi amewateka kweli kwili, maana yeye mwenyewe ni mchawi aliye wazi kabisa. Alafu nashangaa watu hawaoni au?
@uwezawamungumkuu.amaniafrika27 күн бұрын
Watu nawashauri tena kwa Rehema na Neema mwaminini Mungu mkuu Mhumba Mbinguni nayo Nchi na Yesu kristo mwokozi na Roho Mtakatifu pumzi ya Mungu aliye hai milele yote. Haya ya malumbano na kukosoana na kukosa hekima kwa watumishi wengi wachieni wenyewe na malumbano yao. Mungu Mungu Mungu atusaidie watu wake. Amen.
@amisamaurid188226 күн бұрын
Acha waendelee kuwa mazombi kama yale ya zumaridi
@zawadimwakapala793518 күн бұрын
Wewe SEMA tu mtumishi, maana kweli siku hizi KANISANI Kuna misukule mingi na hatujui na mkituambia Huwa hatuamini......ila acha tu Mungu atusaidie. Mungu akusaudie na wewe usimamie kweli
@amoschacha288529 күн бұрын
Sema babaaaa wachungaji ni mbwa tu
@AnastinaIshisha-lt2rn17 күн бұрын
Nikweli unachokisema lakini Mimi mchungaji wa change la macho haniwezi
@NuruMbilinyi-oe1nr14 күн бұрын
Mm nakuku bali sana pasta kaza buti tuko nyuma yako
@AgnesKalinga-if3uf27 күн бұрын
Sema mtumishi tunapona.
@priscamassawe-gh1sb25 күн бұрын
Ubarikiwe Mtumishi kwa kusema ukweli
@Edimond-sw9ce28 күн бұрын
Wenye macho,tunaona mtumishi twende pamoja njia,ileee,nyembamba nakutia moyo sema ukwer baba
@user-rg9nj8rp6t26 күн бұрын
IPM unasema kweli ubarikiwe pasta
@jamalkishangu19 күн бұрын
Vyombo vya habari kwa miaka mingi vimefichua kuwa wachungaji wanatumia nguvu za uchawi kanisani. Wachungaji wanakimbilia kwa wachawi ili kupata nguvu za kuwazubaisha waumini.
@petrojacob607027 күн бұрын
Kama mtu huamini kuhusu Shetani,mbona kwa Mungu huamini?Shetani toka lini akamzidi Mungu?
@rahabnkya827624 күн бұрын
Masecretary Sita (6) daaa hongera ajira hiyo!😊❤
@gracekagoma323121 күн бұрын
Mwamposa 😮 Hata na Christina Shusho kalala naye.Wanawake wanampenda na kumsifia.Ni kweli
@aliabdallah845627 күн бұрын
Ni kweli wengi ni wachawi na wengi ni wazinzi ndiyo sababu wanawake wanaambiwa waende kanisani na nguo fupi ili wakawatongoze wengi ni wake zawatu hata ukenda uchi nisawa tu mchungaji akugombezi anakuambia Mungu ahangalii mavazi bali anaangalia moyo wako tu njoo hata uchi hakuna shida
@adammalale719427 күн бұрын
Me kila nikienda kanisa lolote kubwa nawaona watu wamevaa MAVAZI meusi wanatembea kwa kila MTU na wanakuwa wanaongea kwa ishara na mtumishi anayehubiri ila mm wakinisogelea wanaanza kutetemeka nimefikisha makanisa 6 makubwa apa tz
@zawadimwakapala793518 күн бұрын
Sijakwelewa ndg wanaongea naye Kwa ishara kiaje
@berthamsema23 күн бұрын
Iyo ni kweli mchungaji akitembea na mwanamke kanisani lazima kanisa lazima liyumbe
@hovongajilo123621 күн бұрын
Muñgu akubariki
@nuruestomihi578121 күн бұрын
Nikwel kabisa umenena
@user-vz5gv3lo5f28 күн бұрын
Watu wanataka miujiza hawataki maneno ya mungu.miujiza imekuwa juu kuriko neno Ra mungu
@melkizedck29 күн бұрын
Umesema vema
@OptunaMwinuka-gm4lv23 күн бұрын
Sijawahi kuona shetani akamshinda maalifa mungu
@user-qv4wh2pb1d26 күн бұрын
We fanya yako mzee kamaumeshindwa kafuge nguruwe kwenu
@mashramadhani198927 күн бұрын
UKO SAWA SANA SANA MUNGU WA KWELI ALIYEUMBA SAYARI ZOTE AKUPE NGUVU ZAIDI
@ramadhanimmana382927 күн бұрын
Weee mwamposa weweeee kuja hapa 😊😊😊😊😂😂😂😂😂
@LilyWeitz23 күн бұрын
Aje afanye nini 😅muache alale asubuhi Tipo na kipindi 😂 bwana
@ramadhanimmana382923 күн бұрын
@@LilyWeitz duuh kweli anakula ela za waliwao
@LilyWeitz23 күн бұрын
@@ramadhanimmana3829 hahahaha tunaona matunda kwakwe ndio maana tunaenda.niliomba nipate mume mzungu na nimepata kwenye mazabau ya mwaposa halafu unaniambia anakula pesa ☺️ ukiona mtu anaenda sehemu ujuwe kuna kitu acheni kuongea pumba zenu na roho za wivu ndio maana hamufanikiwi 🤣🤣😏
@odilomwemeziernest64622 күн бұрын
@@LilyWeitz huyoo ni jini siyo mzungu ila macho yako yanaona mzungu
@abdulomari49328 күн бұрын
@@LilyWeitzEti mzungu,njaa tu
@gracekagoma323121 күн бұрын
Makanisa yanakufa😢😢
@bilid412825 күн бұрын
😂😂😂 huyo mwandishi wa habari maswali yake 🙌🙌🙌 "eti kondoo ukiwala wanapotea"😅😅😅
@odilomwemeziernest64622 күн бұрын
Nimecheka
@edwinmbunda670924 күн бұрын
Manabii wengi wa Nigeria Matapeli na wachawi
@hadijatwahadossa29 күн бұрын
IPM uko vizuri mtume
@zaidiissa371429 күн бұрын
Mtume Tena wakristo mnamambo na mtatuonyesha mambo walahi msipo silimu mtayona mengi nduguzangu
@MwanaishaShattry26 күн бұрын
Watakuuwa wenzio wewe jifanye unasema kweli tu. Usalama wako upo hatarini wa ta ku uu waha o.
@tinnahagustinolyelu424728 күн бұрын
Disco mpaka Oman ipo na sigara mijitu inavuta sigara kali hata Tz hamna sigara hizo pombe midude fulani nilimuuna bos wangu anaweka mdomoni wanojiuza wapo sema huwezi kujua sababu wanatumia mtandao anajitanda vzr anaoka na gari yake huyo kwenye makasino anarudi asubuhi ila kama anavosema mtumishi ukiwa upo huku chini huwezi kujua haya mambo
@FabianiNguvumali29 күн бұрын
Nimekaa pareeee
@chuleboya27 күн бұрын
3:28
@janengaga292826 күн бұрын
Jicho la 3
@nassoroyahaya82126 күн бұрын
Shida uliyo nayo ndugu mtumishi ni kuamini Yesu ni Mungu na utatu mtakatifu,suala ambalo ni KUFURU
@odilomwemeziernest64622 күн бұрын
Kama Muhammad alivo na miungu kibao,au unataka tutafisiri sura za kuruani yenu.
@OptunaMwinuka-gm4lv23 күн бұрын
Mwanzo wa kufeli
@thadeimsoma729527 күн бұрын
Sasa unamwambia nani?
@HamisiSamweli29 күн бұрын
Umesema ukwel IPM
@saidali-xv8yh28 күн бұрын
Na hapo nao waliolala kwenye kristo wamepotea
@odilomwemeziernest64622 күн бұрын
We ni chizi,unafikri huyu ni muddy aliyesilimisha majini?
@qurankareem58223 күн бұрын
ENYI WATU KUWENI WAISLAM HAKIKA HIYO NDIO DINI YA HAKI NA MFUNDISHO YA KWELI YASIO NA UTAPELI...
@odilomwemeziernest64622 күн бұрын
Tukafuge majini
@isayakazimoto482626 күн бұрын
Kama unamkubali mwamposa like apa
@mpefu_493626 күн бұрын
Wanajaza watu wanawajaza matango pori kwenye ufahamu mao awashutuki
@odilomwemeziernest64622 күн бұрын
Mtu aliyechukuliwa mateka hawezi kujua kama yuko mateka hasa mateka ya ufaham wa kiroho,mpaka aje aliye huruu awape Uhuru na hapo watakuwa huru kwelikweli.
@zaidiissa371429 күн бұрын
Wewe ndio mchungaji pekee unaekubali yesu ni mwana wa Adamu lakini waliobaki wite wanasema hapana yesu nimwana wamungu hahaaa😂😂😂kazi mnayo bado hamjasema talatibutu mtaekewa maana wengine wamedikiki kusema yesu nimungu wengine yesu ni mwanawamungu wengine nimtume wengine ni nabii wengine nimfalme wengine nisimba wayuda wengine ninyani wengine ningedele wengine nikondoo wengine ninyoka majina mtafikia mahaili mtamuita msenge 😂😂😂yote mtamuita lakini atabakia mtumetu nakiumbe kama viumbe wengine mmbalikiwe sana assalamualaikum 🙏🙏🙏🇹🇿
@salimramadhani523729 күн бұрын
Umejaaa udin utasema ulimuona muhamad au yesu😂😂 dini za waarab na wazungu unakuja kutukania watanganyika wenzio,,we ni kibuyu😂
@zxcvbnmmkh27 күн бұрын
Waache wenye imani yao wajadili mambo yao, imani ya kikristu imeanza miaka 2000 na iliyopita uislam ni miaka 500 na kadhaa hadi sasa.Kama ni elimu ni sawa na kitoto cha shule ya msingi kubishana na mhadhiri wa chuo kikuu. Heshimu yasiyokuhusu usione yako ni bora yana madhaifu makubwa kuliko unavyofikiri, chuki na visasi na uuaji ndio msingi wa imani yenu, na hata pepo yenu ni ngono ndio maana mafundisho yenu yanaishia kwenye kupewa mabikra 40 wa kiarabu 😢 kwa atakayeingia mbinguni😂😂😂. Wenzako msingi wa imani ni upendo na amani ikiwa ni pamoja na kuheshimu mambo ya wengine, sio wote wapo wanaoeleweka kwa msingi huo. Makanisa ya familia wanatumia neno la Mungu kujipatia kipato ndio maana wanaingiza uongo kujiita mitume na nabii, ushirikina ili kuyengeneza miujiza wawapate wale wasiojitambua wawavune pesa zao. 😅😅, sasa usicheke panapovuja pa jirani yako wakati wewe huna paa kabisaaa.
@Rosemrope-vt5br22 күн бұрын
Sawa proud to be.... Msofanya makosa katika dunia hii. Nikuambie tu dini haikuingizi peponi Ila ni amali zako njema.