SIRI IMEFICHUKA WACHUNGAJI WANAOTUMIA UCHAWI KANISANI WAFICHULIWA PROPETH IPM AFUNGUKA KWA UCHUNGU

  Рет қаралды 10,797

Maks Media

Maks Media

Ай бұрын

Пікірлер: 73
@stevenisack4067
@stevenisack4067 27 күн бұрын
PROPHET IPM Ure the best prophet I have ever seen once upon I got birth broooo Niko same track na wewe Praise the lord 🙌🙏🙏 master
@esthermwaibasa4778
@esthermwaibasa4778 28 күн бұрын
Umeongea kweli kabisa,kwa mimi nasema watumishi wa uganga ni aslimia 90,watumishi wa ukweli ni 20 tu,na watu wamerogwa hawapendi kwenda kwa watumishi wa kweli wanadai kumepoa,waumini hawataki mahubiri ya kweli wanapenda kutabiriwa toka asubuhi mpaka jioni,njia ya kwenda mbinguni ni nyembamba na ya jehanamu nipana Mungu atupe ufahamu,Mungu akubarki mchungaji na akutie nguvu sema kweli hizi ni nyakati za mwisho
@HappyMwaigwisya
@HappyMwaigwisya 26 күн бұрын
Kweli kabisaaàaa
@jacquelinemwakasala9563
@jacquelinemwakasala9563 22 күн бұрын
Umenena ndugu
@user-pm8fp7no4c
@user-pm8fp7no4c 17 күн бұрын
Thank you dady lpm hakika wewe ni mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana baba yangu
@avitusmichael5
@avitusmichael5 28 күн бұрын
IPM upo vizuri sana
@halfanemmanuel7811
@halfanemmanuel7811 8 күн бұрын
ALLAH AKBAR
@SmilingChameleon-db2wi
@SmilingChameleon-db2wi 29 күн бұрын
Uko vizuri mchungaji,sema baba
@nassoroyahaya821
@nassoroyahaya821 26 күн бұрын
Najua vizuri sana unachokiongea na mmoja wa wachungaji hao wakubwa kama akina Mwamposa wanakwenda na mabodyguard huko massage room wanawachagua wadada warembo,wanawalipa pesa kubwa na wakielewa umewafahamu wanakuwinda wanakuua,lakini mbaya zaidi wanawatumia wadada kinyume cha maumbile na so far wamezaa nao so hakuna neno la Mungu la namna kama hiyo....
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 27 күн бұрын
Jamani huyo anaejiita kiboko ya wachawi amewateka kweli kwili, maana yeye mwenyewe ni mchawi aliye wazi kabisa. Alafu nashangaa watu hawaoni au?
@uwezawamungumkuu.amaniafrika
@uwezawamungumkuu.amaniafrika 27 күн бұрын
Watu nawashauri tena kwa Rehema na Neema mwaminini Mungu mkuu Mhumba Mbinguni nayo Nchi na Yesu kristo mwokozi na Roho Mtakatifu pumzi ya Mungu aliye hai milele yote. Haya ya malumbano na kukosoana na kukosa hekima kwa watumishi wengi wachieni wenyewe na malumbano yao. Mungu Mungu Mungu atusaidie watu wake. Amen.
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 26 күн бұрын
Acha waendelee kuwa mazombi kama yale ya zumaridi
@zawadimwakapala7935
@zawadimwakapala7935 18 күн бұрын
Wewe SEMA tu mtumishi, maana kweli siku hizi KANISANI Kuna misukule mingi na hatujui na mkituambia Huwa hatuamini......ila acha tu Mungu atusaidie. Mungu akusaudie na wewe usimamie kweli
@amoschacha2885
@amoschacha2885 29 күн бұрын
Sema babaaaa wachungaji ni mbwa tu
@AnastinaIshisha-lt2rn
@AnastinaIshisha-lt2rn 17 күн бұрын
Nikweli unachokisema lakini Mimi mchungaji wa change la macho haniwezi
@NuruMbilinyi-oe1nr
@NuruMbilinyi-oe1nr 14 күн бұрын
Mm nakuku bali sana pasta kaza buti tuko nyuma yako
@AgnesKalinga-if3uf
@AgnesKalinga-if3uf 27 күн бұрын
Sema mtumishi tunapona.
@priscamassawe-gh1sb
@priscamassawe-gh1sb 25 күн бұрын
Ubarikiwe Mtumishi kwa kusema ukweli
@Edimond-sw9ce
@Edimond-sw9ce 28 күн бұрын
Wenye macho,tunaona mtumishi twende pamoja njia,ileee,nyembamba nakutia moyo sema ukwer baba
@user-rg9nj8rp6t
@user-rg9nj8rp6t 26 күн бұрын
IPM unasema kweli ubarikiwe pasta
@jamalkishangu
@jamalkishangu 19 күн бұрын
Vyombo vya habari kwa miaka mingi vimefichua kuwa wachungaji wanatumia nguvu za uchawi kanisani. Wachungaji wanakimbilia kwa wachawi ili kupata nguvu za kuwazubaisha waumini.
@petrojacob6070
@petrojacob6070 27 күн бұрын
Kama mtu huamini kuhusu Shetani,mbona kwa Mungu huamini?Shetani toka lini akamzidi Mungu?
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 24 күн бұрын
Masecretary Sita (6) daaa hongera ajira hiyo!😊❤
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 21 күн бұрын
Mwamposa 😮 Hata na Christina Shusho kalala naye.Wanawake wanampenda na kumsifia.Ni kweli
@aliabdallah8456
@aliabdallah8456 27 күн бұрын
Ni kweli wengi ni wachawi na wengi ni wazinzi ndiyo sababu wanawake wanaambiwa waende kanisani na nguo fupi ili wakawatongoze wengi ni wake zawatu hata ukenda uchi nisawa tu mchungaji akugombezi anakuambia Mungu ahangalii mavazi bali anaangalia moyo wako tu njoo hata uchi hakuna shida
@adammalale7194
@adammalale7194 27 күн бұрын
Me kila nikienda kanisa lolote kubwa nawaona watu wamevaa MAVAZI meusi wanatembea kwa kila MTU na wanakuwa wanaongea kwa ishara na mtumishi anayehubiri ila mm wakinisogelea wanaanza kutetemeka nimefikisha makanisa 6 makubwa apa tz
@zawadimwakapala7935
@zawadimwakapala7935 18 күн бұрын
Sijakwelewa ndg wanaongea naye Kwa ishara kiaje
@berthamsema
@berthamsema 23 күн бұрын
Iyo ni kweli mchungaji akitembea na mwanamke kanisani lazima kanisa lazima liyumbe
@hovongajilo1236
@hovongajilo1236 21 күн бұрын
Muñgu akubariki
@nuruestomihi5781
@nuruestomihi5781 21 күн бұрын
Nikwel kabisa umenena
@user-vz5gv3lo5f
@user-vz5gv3lo5f 28 күн бұрын
Watu wanataka miujiza hawataki maneno ya mungu.miujiza imekuwa juu kuriko neno Ra mungu
@melkizedck
@melkizedck 29 күн бұрын
Umesema vema
@OptunaMwinuka-gm4lv
@OptunaMwinuka-gm4lv 23 күн бұрын
Sijawahi kuona shetani akamshinda maalifa mungu
@user-qv4wh2pb1d
@user-qv4wh2pb1d 26 күн бұрын
We fanya yako mzee kamaumeshindwa kafuge nguruwe kwenu
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 27 күн бұрын
UKO SAWA SANA SANA MUNGU WA KWELI ALIYEUMBA SAYARI ZOTE AKUPE NGUVU ZAIDI
@ramadhanimmana3829
@ramadhanimmana3829 27 күн бұрын
Weee mwamposa weweeee kuja hapa 😊😊😊😊😂😂😂😂😂
@LilyWeitz
@LilyWeitz 23 күн бұрын
Aje afanye nini 😅muache alale asubuhi Tipo na kipindi 😂 bwana
@ramadhanimmana3829
@ramadhanimmana3829 23 күн бұрын
@@LilyWeitz duuh kweli anakula ela za waliwao
@LilyWeitz
@LilyWeitz 23 күн бұрын
@@ramadhanimmana3829 hahahaha tunaona matunda kwakwe ndio maana tunaenda.niliomba nipate mume mzungu na nimepata kwenye mazabau ya mwaposa halafu unaniambia anakula pesa ☺️ ukiona mtu anaenda sehemu ujuwe kuna kitu acheni kuongea pumba zenu na roho za wivu ndio maana hamufanikiwi 🤣🤣😏
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 22 күн бұрын
@@LilyWeitz huyoo ni jini siyo mzungu ila macho yako yanaona mzungu
@abdulomari4932
@abdulomari4932 8 күн бұрын
​@@LilyWeitzEti mzungu,njaa tu
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 21 күн бұрын
Makanisa yanakufa😢😢
@bilid4128
@bilid4128 25 күн бұрын
😂😂😂 huyo mwandishi wa habari maswali yake 🙌🙌🙌 "eti kondoo ukiwala wanapotea"😅😅😅
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 22 күн бұрын
Nimecheka
@edwinmbunda6709
@edwinmbunda6709 24 күн бұрын
Manabii wengi wa Nigeria Matapeli na wachawi
@hadijatwahadossa
@hadijatwahadossa 29 күн бұрын
IPM uko vizuri mtume
@zaidiissa3714
@zaidiissa3714 29 күн бұрын
Mtume Tena wakristo mnamambo na mtatuonyesha mambo walahi msipo silimu mtayona mengi nduguzangu
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 26 күн бұрын
Watakuuwa wenzio wewe jifanye unasema kweli tu. Usalama wako upo hatarini wa ta ku uu waha o.
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 28 күн бұрын
Disco mpaka Oman ipo na sigara mijitu inavuta sigara kali hata Tz hamna sigara hizo pombe midude fulani nilimuuna bos wangu anaweka mdomoni wanojiuza wapo sema huwezi kujua sababu wanatumia mtandao anajitanda vzr anaoka na gari yake huyo kwenye makasino anarudi asubuhi ila kama anavosema mtumishi ukiwa upo huku chini huwezi kujua haya mambo
@FabianiNguvumali
@FabianiNguvumali 29 күн бұрын
Nimekaa pareeee
@chuleboya
@chuleboya 27 күн бұрын
3:28
@janengaga2928
@janengaga2928 26 күн бұрын
Jicho la 3
@nassoroyahaya821
@nassoroyahaya821 26 күн бұрын
Shida uliyo nayo ndugu mtumishi ni kuamini Yesu ni Mungu na utatu mtakatifu,suala ambalo ni KUFURU
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 22 күн бұрын
Kama Muhammad alivo na miungu kibao,au unataka tutafisiri sura za kuruani yenu.
@OptunaMwinuka-gm4lv
@OptunaMwinuka-gm4lv 23 күн бұрын
Mwanzo wa kufeli
@thadeimsoma7295
@thadeimsoma7295 27 күн бұрын
Sasa unamwambia nani?
@HamisiSamweli
@HamisiSamweli 29 күн бұрын
Umesema ukwel IPM
@saidali-xv8yh
@saidali-xv8yh 28 күн бұрын
Na hapo nao waliolala kwenye kristo wamepotea
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 22 күн бұрын
We ni chizi,unafikri huyu ni muddy aliyesilimisha majini?
@qurankareem582
@qurankareem582 23 күн бұрын
ENYI WATU KUWENI WAISLAM HAKIKA HIYO NDIO DINI YA HAKI NA MFUNDISHO YA KWELI YASIO NA UTAPELI...
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 22 күн бұрын
Tukafuge majini
@isayakazimoto4826
@isayakazimoto4826 26 күн бұрын
Kama unamkubali mwamposa like apa
@mpefu_4936
@mpefu_4936 26 күн бұрын
Wanajaza watu wanawajaza matango pori kwenye ufahamu mao awashutuki
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 22 күн бұрын
Mtu aliyechukuliwa mateka hawezi kujua kama yuko mateka hasa mateka ya ufaham wa kiroho,mpaka aje aliye huruu awape Uhuru na hapo watakuwa huru kwelikweli.
@zaidiissa3714
@zaidiissa3714 29 күн бұрын
Wewe ndio mchungaji pekee unaekubali yesu ni mwana wa Adamu lakini waliobaki wite wanasema hapana yesu nimwana wamungu hahaaa😂😂😂kazi mnayo bado hamjasema talatibutu mtaekewa maana wengine wamedikiki kusema yesu nimungu wengine yesu ni mwanawamungu wengine nimtume wengine ni nabii wengine nimfalme wengine nisimba wayuda wengine ninyani wengine ningedele wengine nikondoo wengine ninyoka majina mtafikia mahaili mtamuita msenge 😂😂😂yote mtamuita lakini atabakia mtumetu nakiumbe kama viumbe wengine mmbalikiwe sana assalamualaikum 🙏🙏🙏🇹🇿
@salimramadhani5237
@salimramadhani5237 29 күн бұрын
Umejaaa udin utasema ulimuona muhamad au yesu😂😂 dini za waarab na wazungu unakuja kutukania watanganyika wenzio,,we ni kibuyu😂
@zxcvbnmmkh
@zxcvbnmmkh 27 күн бұрын
Waache wenye imani yao wajadili mambo yao, imani ya kikristu imeanza miaka 2000 na iliyopita uislam ni miaka 500 na kadhaa hadi sasa.Kama ni elimu ni sawa na kitoto cha shule ya msingi kubishana na mhadhiri wa chuo kikuu. Heshimu yasiyokuhusu usione yako ni bora yana madhaifu makubwa kuliko unavyofikiri, chuki na visasi na uuaji ndio msingi wa imani yenu, na hata pepo yenu ni ngono ndio maana mafundisho yenu yanaishia kwenye kupewa mabikra 40 wa kiarabu 😢 kwa atakayeingia mbinguni😂😂😂. Wenzako msingi wa imani ni upendo na amani ikiwa ni pamoja na kuheshimu mambo ya wengine, sio wote wapo wanaoeleweka kwa msingi huo. Makanisa ya familia wanatumia neno la Mungu kujipatia kipato ndio maana wanaingiza uongo kujiita mitume na nabii, ushirikina ili kuyengeneza miujiza wawapate wale wasiojitambua wawavune pesa zao. 😅😅, sasa usicheke panapovuja pa jirani yako wakati wewe huna paa kabisaaa.
@Rosemrope-vt5br
@Rosemrope-vt5br 22 күн бұрын
Sawa proud to be.... Msofanya makosa katika dunia hii. Nikuambie tu dini haikuingizi peponi Ila ni amali zako njema.
@halfanemmanuel7811
@halfanemmanuel7811 8 күн бұрын
ALLAH AKBAR
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 70 МЛН
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!
00:16
Mini Katana
Рет қаралды 28 МЛН
IQ Level: 10000
00:10
Younes Zarou
Рет қаралды 11 МЛН
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣
00:13
DADDYSON SHOW
Рет қаралды 48 МЛН
MACHAWI ALIYE ACHA UCHAWI NA KUA MCHUNGAJI PART 2
32:24
LUSEKELO MWALYAJE
Рет қаралды 36 М.
DUDU BAYA ACHUKIZWA NA KIBOKO YA WACHAWI, ONA AIVYO MUUMBUA
14:43
Did you like the picture with my cat? #cat #cats
0:28
Prince Tom
Рет қаралды 5 МЛН
❗️XOTINI HAMMASINI URMOQCHI 😱😱😱
0:14
HUSAN_SHORTS1
Рет қаралды 2,7 МЛН
小丑与白天使遇见丧尸?#short #angel #clown
0:32
Super Beauty team
Рет қаралды 18 МЛН
Oi Oi Oi & E E Ei Meme Looking For a Girlfriend
0:26
Mischief time
Рет қаралды 41 МЛН
Арбузорезка 🍉
0:42
Сан Тан
Рет қаралды 4 МЛН