wanayangaaaa Daima mbele nyuma mwili. tuweni malini sana na wachambuzi magumashi,msemaji wa makolo nawapenzi wa makolo kwa wanao jambo wakimhusisha mayelee. wanatamani kututoa mchezoni kama walivyotumia sakata la feitoto .tuwaacheni wase sana.
@lumistarboy84995 ай бұрын
Hii nzuri sana inawauza wachezaji wetu
@augustinomkongwa54445 ай бұрын
Most skilful defendant
@user-pm9sx7pc2k5 ай бұрын
Mashabiki tunataka skills za Khalid aucho daktar wa mpila plz💚💚💚💚💚
@hashimmaftah55084 ай бұрын
@aucho
@OthnoShezume5 ай бұрын
Hongera na zidisha bidii
@AishaMsungi-hm8rd5 ай бұрын
Utafika mbali,M/mungu akulinde na husda
@izvibez68234 ай бұрын
Thank you very much for the video
@user-ig8iq1ho4o4 ай бұрын
Bacca mung akitangulie na akufungulie njia na akupe kila leny kher inshallah ila ndugu yangu osipende kusifiwa utafika mbal mashabik ni watu wanafik sana wanakta ukifanya vizur tuu ukikosea wanakusema vibaya
@rukaya-jg7hj5 ай бұрын
Bacca pambana sain yako naiyona nchini European msimu ujao🎉🎉🎉
@michaeljpm55975 ай бұрын
I'm waiting
@user-pm9sx7pc2k5 ай бұрын
Tunaomba skills ya khalid aucho doctor was mpila plz💚💚💚💚
@user-tb3xq2cu3o18 күн бұрын
🎉Xm mb
@kedyjohn18485 ай бұрын
Top defender ...
@user-zf1kh1ct5i5 ай бұрын
Hii ndo heavy engine mzee,,,, ukuickia heavy engine ni mashine zinazotumoa diesel kufanya kazi na zinafanya kazi zote ngumu unazozijuwa here is the man bacca the heavy engine
@shaibusaady24205 ай бұрын
Allaah Akbar
@naimasbuguza23954 ай бұрын
This is the way we suppose to brand our plyers, # Angalieni arsenal tv mtaona wanavyofanya.
@yusufukombo68075 ай бұрын
Zanzibar finest
@johnabery-vn7eb4 ай бұрын
Mwamnyeto yule anacheza lafu ndani ya box hajui sehm gn achez lafu kazi kuighalimi timu
@dahelahmad63315 ай бұрын
Ingekuwa marogo yanafanya KAZI club bingwa zingetoka Pemba ,Simbauranga au Majani Mapana. Na Afcon wangekuwa Commoro.
@nassoramour85984 ай бұрын
Marogo ndo nn?
@Mudathir-tx1md5 ай бұрын
Safi
@user-by1zo2yx1f4 ай бұрын
Safi, watengenezeeni na wengine ,ya D job ifwate
@user-le4up3gl2f5 ай бұрын
Bacca big defender anajua mpaka anajua Tena akaze tunamwona ulaya
@OthnoShezume5 ай бұрын
Jamaa anajuwa
@speciallvoice80914 ай бұрын
Bonge labek uyu ni mwamba kweli kweli mtu na nusu
@mwajumampokileomckapela75415 ай бұрын
Baca akiwaga hapo nyuma huwa sina pressure kabisa
@SobiTz5 ай бұрын
Beki asiye na papara 🫡
@gasleo01203 ай бұрын
Bacca mtu waamaana kabx
@chollejr_4 ай бұрын
Askar
@l.marley_25425 ай бұрын
Apewe unahodha msimu ujao Dickson na Bacca
@l.marley_25425 ай бұрын
Mechi dhidi ya mashujaa heri Fred angecheza tu badala ya mwamnyeto
@abdillahmalik62624 ай бұрын
Nataka nione alivomfanya ziyech
@amaniomar17555 ай бұрын
Kitasa
@SelemanIssa-gt2lf3 ай бұрын
We mm ndo kama bala ❤👎🏽
@SleepyBlueLake-lp1xt4 ай бұрын
Aucho day lini? Mnajua umuhimu huy mtu kwel
@KitangariGenerations5 ай бұрын
Hiki ni kitasa kwel
@asyashariffu77175 ай бұрын
Hawa CR BELOUZDAD ili niridhike lazm tuje tuwalipizie kisasi hawa
@yusufukombo68075 ай бұрын
Bacca
@chollejr_4 ай бұрын
Copro
@official_isaiah39664 ай бұрын
Chumaaaaaa🫡🫡🫡
@amanimustapha20895 ай бұрын
Utopolo acheni kumroga mayele kenge kabisa
@emnanuelimtui18055 ай бұрын
We virus umetokea wapi😅😅😅
@guccij62365 ай бұрын
Mwamnyeto mtafutieni team mapema msim ujao hatumtaki
@dreamleague-uq2gx5 ай бұрын
Mbona mzuri tuh
@TamthiliaBongo.5 ай бұрын
Wewe na nani hamumtaki, semea nafsi yako kijana
@l.marley_25425 ай бұрын
Uko sahihi
@l.marley_25425 ай бұрын
@@TamthiliaBongo.Tuko wengi tu mechi dhidi ya mashujaa heri Fred angecheza badala ya mwamnyeto