Maa shaa Allah... Huyu kaka Masawe anaonekana ni mnyenyekevu na ni mtu mwema... Allahu aa'lam...Allah amfunulie uislamu katika moyo wake na wahadhiri wote wa kikristo na wakristo wote..
@mussahaji9053 жыл бұрын
Ni Muislam Ila nimeipenda dua ya ufunguzii ya wakristo pia sio Mbaya
@JohnOuya-w7j9 күн бұрын
Asante sanàmŵlimu ndacha umeeleweka vizuri kabisa mwenye ako na masikio na asikie na after haki maana yesu alikuwa akiwafundisha ŵtu nifateni maana yesu anasemàmimi ndimi njia kweli na uzima ndacha mugu akubariki huyu shekhe mwaipopo na mbogo naona ni watu wanaelèwa watabatizwa tu mungu awajalie❤❤❤❤
“Usitazame kwa kufurahia adui yako aangukapo; wakati ajikwaapo, usiruhusu moyo wako ushangilie.” Mithali 24:17 NEN AMEN AMEN WAMEWASHA MOTO “Jua lako halitazama tena, nao mwezi wako hautafifia tena; Bwana atakuwa nuru yako milele, nazo siku zako za huzuni zitakoma.” Isaya 60:20 NEN
@estakenia Жыл бұрын
Hakuna njia unaweza kudai kuwa ati umembana mwalimu Ndacha, ila ni kweli tu atawapa tupu. Na mumeona kweli ilipo kuwa watu wote inawapaza kumfuata Yesu.
@nouraalhasani75373 жыл бұрын
Mashaallah Allah awape nguvu na afya masheikh wetu tunawapenda kwa kutuelimisha
@samutykuntathebantu84023 жыл бұрын
Bwana Yesu Kristo Asifiwe
@achanifumos10933 жыл бұрын
Shaikh ramadhan kuria bin kaguo....Allah akupe uwezo wa kila aina uweze kuendeleza da'awa na kesho akhira akufufue pamoja na Mtume s.a.w...amiin
@fadhilikawambwa51593 жыл бұрын
AMINI
@loysamwel63083 жыл бұрын
Mwaipopo wewe umengoys kama wanaume wawili
@naimaabuualii5783 жыл бұрын
Amin
@ndikumanainnnocent77962 жыл бұрын
Asalam alykum www safi sana ma sheikh wetu mbogo na mwaipopo namusomaji mungu awape kira raheri
@ndikumanainnnocent7796 Жыл бұрын
Asalam alykum www safi sana sheikh Mwayipopo kuwambiya haki maswe nawenzake tunawakaribisha takika wislam dini yahaki na manabi 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@hassanmpwepwe3826 Жыл бұрын
Masha Allah. Allah awazidishie mashekh wang
@saumkisira93282 жыл бұрын
Mashallah Allah awape umri mrefu mashekh wetu ♥️ Kwa ajili ya Allah
@shafiihssan7383 жыл бұрын
The Ndacha Mungu anakupenda maaana uko kiroho hao wako kimwili zaidi..
@fredrickgitonga19723 жыл бұрын
Big point
@mishibaron50213 жыл бұрын
Hawa yao ni dini ila ndani yao hawana kitu mimi huwaangalia tu ...ila wakae wakijua njia ni moja naye ni yesu
@omansohar22453 жыл бұрын
Mashaallah nakupenda kwaajili ya allah shekhe mwaipopo allah akuzishie iman
@rayhanrashid39283 жыл бұрын
Maashaa Allah...
@abdillahmbarak74183 жыл бұрын
Mashaallah masheikh wetu mungu awajalie heri nyingi inshaallah
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Ameen
@naimaabuualii5783 жыл бұрын
Amin
@patrickmwendo73932 жыл бұрын
Hakuna dini mbinguni hiyo ambayo inawanyima usingizi
@kihimbamushyaibrahim72843 жыл бұрын
Mashaaa Allah ukweli atakae taka kuongoka aongoke tunamushukuru Sana mungu kuelimisha masheikhe wetu, Mungu walipe wazazi wawo janat tunawapenda, Mungu ainuwe majina zenu duniani na akhera pia awaongoze wasio kuwa waislam,wasome,wafahamu
@africacoast6841 Жыл бұрын
Mbona sjaona kibano apo ndacha is so bright anajenga hoja safi ..pia nmependa meeting is so cool
@nooroman25353 жыл бұрын
Shelkh Ramadhani shukrani kwa kazi nzuri Mungu hatakulipa
@achanifumos10933 жыл бұрын
Mwenye enzi mungu ATAMLIPA kwa kazi ngumu na amjaalie IKHLASW
@yusufmwangichannel66923 жыл бұрын
Noor Oman. Atakulipa ama hatakulipa?
@fatmazullu49333 жыл бұрын
@@yusufmwangichannel6692 watu wengi hawajui kiswahili jamanii, hapo anadhani amemuombea mema wakati amemuonbea mabaya! Yaani "H" tu tayari imebadilisha maana!
@myoutubecom-gg7sb3 жыл бұрын
MashaAllah
@hashim81303 жыл бұрын
Maashaallah maustadhi wetu! Mungu awazidishie nguvu katita kutangaza dini ya Allah na awalipe pepo
Ma sha allah Allah awalipe ma sheikh wetu kwa kufundisha dini Ujumbe mmefikisha Jukumu letu kulifanyia jz
@simaijuma1816 Жыл бұрын
Mada nzur ingependeza tukasikia uongo WA wakristo mwishowake
@mufid7073 жыл бұрын
MashaAllah Tabarak Llah Sheikh Ramadhan
@salmaathuman91563 жыл бұрын
Mashaa allah takbriiiiiiii mungu awape maisha marefu mashekhe wetu kwa kazi mzuri ipo siku wataeleea tu na mungu anazidi kuleta nguvu KATIKA usilaam
@nakundwamkubwe78233 жыл бұрын
Nimefurahi kuona Mashekhe wetu wa Kenya na Tanzania mpo kitu kimoja. Allah awaweke mpendane na muipiganie Dini yetu kwa pamoja.
@TeamKRX3 жыл бұрын
Ndacha atarudi kwao kavaa Kanzu 😂😂tayari na anamsahafu zawadi yake 😀
@dannysengata2298 Жыл бұрын
Kuna utofauti mkubwa sana kati ya 1. kusikiliza ili ujibu 2.kusikiliza ili uelewe. Usije ukajichanganya kwenye hayo mambo mawili But all in all ndacha he knows well what he's standing for..God bless u 🙏
@yusufmwangichannel66923 жыл бұрын
Masha Allah, kazi nzuri walimu wetu, Allah awazidishie elimu na subra kwa kazi mnayoifanya na awape amani majumbani mwenu Amiin Thumma Amiin
@naimaabuualii5783 жыл бұрын
Amin
@ommytzu42613 жыл бұрын
Hakika izi ni raha sana..Takbiriiiiiiiiiiiiiii
@millicentmillicent17892 жыл бұрын
Yesu ndie kweli Mimi zihami kwa yesu
@isaiahosiemo5417 Жыл бұрын
Hiyo takbiirr ni ya wanawake
@wamugimohammed38483 жыл бұрын
Asalam Alaykum warahamatulilh wabarakatuh! MASHA ALLAH Ndeche atatoka Dar amejuwa kiswahili na DINI ya haki ni uwisilamu!
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Amyn
@masta_android3 жыл бұрын
Inshallah kheir
@zainabumwagiroabdallamwagi973 жыл бұрын
Mashaalah sheikh Ramadan mungu awajaze baraka na fadhlazake mungu atufikishie sisi watazamaji .
@ashahossein17433 жыл бұрын
Allahumma amin
@fadhilikawambwa51593 жыл бұрын
ALLAH AKBAR UISLAM RAHA.SHUKRAN SANA STRAGHT PATH DAWAH KWA KUTUJUZA HAYA.
@anwarambar61412 жыл бұрын
zaidi ya raha
@mahammoudhaji90833 жыл бұрын
Mwaipopo bado uko vizuri sana
@norregaraper53833 жыл бұрын
We sheikh ramadhani mungu akuafu kazi nzuli sana
@idditsuma46043 жыл бұрын
Nyinyi ombeni sana sadaka mfanye biashara ila dini yaki ni Uislam pekee
@saudahassan66673 жыл бұрын
Takbiiiiiiiiiiiiiriiiiiiiiiii mwaipopo
@jumanjenga76823 жыл бұрын
Masha Allah Sheikh bin Gakuo
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Ni Kaguo sio Gakuo
@ahmedmoge6933 жыл бұрын
Manshaalah barakalahu walimu wetu mungu awasaidiee uzito mnao kwa kazi
@muhammadmuhaznun3802 жыл бұрын
Huyu msomaji wa wakristo Mungu anifishe huko huko kwa wakristo....
@musalumbi84903 жыл бұрын
Shukran Mwaipopo
@abdallahmshamu55293 жыл бұрын
Masha allah Allah atubariki xnaa tbakii kwnyee dini !!
@naheelamohamed99703 жыл бұрын
Mashallah bro
@jamalathman62193 жыл бұрын
Mashallah masheikh wetu kwa kazi mzuri ya da'waa,Allah awalipe pepo mue pamoja na manabii na mashuhadai na maswidikina,Huyo ndacha hana dawa isipokua moto ndio makazi yake asiposilimu na kutubia dhambi zake
@skjjsj18893 жыл бұрын
Ma sha allah Ma sheikh wetu
@tututz1003 жыл бұрын
shekh Yusuf Masha'Allah
@fatumakambi960 Жыл бұрын
INSHALLAH
@ndikumanainnnocent7796 Жыл бұрын
Wislam nuru allihamdullilah 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@ashahossein17433 жыл бұрын
Mashaallah allah atujaalie mwisho mwema
@asiakheir86843 жыл бұрын
Aamiin tukale kuku waislam wote in shaa Allah
@mbarakambuguni32283 жыл бұрын
Ndacha Pole Sana umejichanganya
@Guavara8 ай бұрын
Ndacha ametoa point sana, Mwaipopo haeleweki na anarukisha mistari kwa kuongezea maneno yasiyomo.
@noorbawaazir90352 ай бұрын
Ttzo ndacha anatoa maelezo ya binaadam sio maandiko na huu ni mtihan mkubwa na suluhu kupatikana ni changamoto..
@kherimkose36693 жыл бұрын
Nawakubali sana Masheikh ila itumieni sana Biblia kuthibitisha Manabii walikuwa waislamu
@JumaMuhamad-j1v Жыл бұрын
ALLAHU AKBAR ❤
@muhammadmuhaznun3802 жыл бұрын
Wakristo siwaelewi mara mnamkataa isaa kuwa ni Yesu mara munamkubali...ili mradi Tu mujitee....sioni maneno yenye umeongea yakani convince kuwa hio dini ya Ukristo...siezi Abudu binadamu mwenzangu...
@AganzeJonashairstyle7 ай бұрын
Ndacya yesu asifiwe sana
@mbarakambuguni32283 жыл бұрын
Uislamu ndo Dini ya haki na yakweli Ndacho rudi kenya hujasoma bado
@ukweliwauislamu95903 жыл бұрын
Assallamu Aleykum ?? JazakAllahu kheyran bro Ramadhan kuria
@makenakendi90143 жыл бұрын
Mashaallah ALLAH BARIIK always
@jimjam41483 жыл бұрын
MASHA ALLAH.
@safiaalimohd72223 жыл бұрын
Wakristo hawana hoja wana viroja tu,huwezi kuulizwa jina lako badala ya kujibu jina lako unajibu jina la babaako. Waalimu wa Kislamu wametaka aya au andiko kwenye Bibilia nini dini ya mitume?......Mdahalo umeisha Wakristo hawakutoa andiko ila ni malalamiko tu.
@nooroman25353 жыл бұрын
Mashelhk chapeni kazi Mungu yupo
@anwarambar61412 жыл бұрын
eti Muhammad ndo kaanzisha uislamu, huyu Ndacha kweli hajielewi, yeye mwenyewe acheka, sababu ajua ni uongo anacho zungumza
@husseinmwenja43983 жыл бұрын
MASHALLAH shekhe Rama
@hamoodalrawahy20263 жыл бұрын
ASALAAM ALAIKUM. SWALI LANGU NI HAWA NDUGU ZETU WATABISHA MPAKA LINI HEBU TAZAMENI ULAYA NA CANADA NA AMERICA WANAVIO INGIA WISLAAM. MSIJE MKAACHWA KWENYE MATAA KAMA WALIVIO ACHWA WAFUASI WA KIMARECANI HUKO AFGHANISTAN
@huseinshedrack61803 жыл бұрын
Hapa ndio huwa sijutii kutoka kwenye ukristo na kuja kwenye uislam
@maimunafzaka8803 жыл бұрын
Allah akupe iman . Na akufishe muislamu kakangu
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Allahuma ameen
@kutailadifi28543 жыл бұрын
Allah atuongoze pamoja ktk din y ki Islam Kaka yetu
@meekman18053 жыл бұрын
Maashallah.
@RehemaMkandawile-i3l8 ай бұрын
daaaa, najivunia kua muislamu
@suleybakari9384 Жыл бұрын
mbna haijamaliza tunaomba part 2 inshallah
@rashidyahaya98042 жыл бұрын
Allahu Akbaruuuu
@estarcristopher57103 жыл бұрын
Ndacha Mungu hanampago naww we we zidikumtumikia tu
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Anamtumikia yupi sasa kati ya yule baba njiwa na mwana?
@innocentman59543 жыл бұрын
Mutultee mdahalo wa Chadema na Ccm tafadhali
@samutykuntathebantu84023 жыл бұрын
Waaislamu wamepigwa 10-0 kweli ndacha nikiboko ya makafiri wa dini ya majini Uislamu... mwenye macho hambiwi tazama
@kutailadifi28543 жыл бұрын
Allah akuongoze uondokane NA ukafir Ndg yetu
@ahmedbakari92233 жыл бұрын
Masha Allah
@jumannemuhammad20733 жыл бұрын
Shekh rama Kama mbongo tu mashaallah 😍
@mohamedtahlil58913 жыл бұрын
Mashaalah
@abelsuleimanshiliwa21503 жыл бұрын
Kumbe wewe nawe unafanya uhuni kama wengine, kwanini sehemu yangu na ya CHAKA hujaweka?
@kennedyireri18133 жыл бұрын
Nimefuatilia sana wakati waisilamu wanasema walimu wa wakristo wamelemewa lakini kwa uhakika wapata walimu wao wahepahepa maswali.
@fadhilikawambwa51593 жыл бұрын
KARIBU KENNEDY.NI BORA UENDELEE KUSIKILIZA MUNGU ATAKUFUNGULIA UISLAM
@kennedyireri18133 жыл бұрын
@@fadhilikawambwa5159 Mungu wa kweli hawezi elekeza mtu kwa uisilamu.
@fredrickgitonga19723 жыл бұрын
Umenena kweli
@sokakilumbi92933 жыл бұрын
tatizo ukristo uongo mwingiiii kuliko ukweli?
@kennedyireri18133 жыл бұрын
@@sokakilumbi9293 tukipekua Qurani utatoroka. Uongo uliopo ni wenu wakujiundia lakini hamuwezi onyesha na mkiulizwa maswalu mnaanza visababu.
@BoboManya29 күн бұрын
Baba ndasha uyo mwaipopo alifata wisilamu ju banamuke tu ajuwi ata kitu moja uyo mushabiki ule mashetani ulisha muingiya fasi yote usiwe naongeya Na ambo basikini snaa Bâle batu ya vita abawezi elewa
@magustubabu85473 жыл бұрын
Mashaallah alhamdulillah 🙏 Allah Akbar
@jamessilwamba28622 жыл бұрын
ndacha ni mtu anayeelewa sana mambo ya dini na anaufahamu mkubwa sana
@79batigol2 жыл бұрын
Salaam Aleikum? Mimi kila ninapo msikiza huyu Pst Ndacha akitowa aya isomwe, Maneno yake yote anayo sema ni ya kichwa chake ajuwa kutunga! Maskini hajuwi anacho ongeya ana dhiyaka sana. Tena azijuwa aya lakini anapayukapayuka kisha aongeya vile kichwa chake kinavyo sema. Yuwapadilish aya zinafyo sema kisha utunga yake.
@RaimamomedSaide9 күн бұрын
Naomba kuuliza,kwani kafiri anaweza kukamata mas hafu?na pili kuisoma wakat ameishika wakat bado hajaslim?
@muhammadmuhaznun3802 жыл бұрын
Ndacha anampendaga Sana Barwani....
@StraightPathDawah2 жыл бұрын
Anaona kama inamsaidia sana
@muhammadmuhaznun3802 жыл бұрын
@@StraightPathDawah Mungu mwenyewe ndo anauwezo wakuwaongo hawa jamaa nyinyi fikisheni ujumbe Tu Na Allah atawalipeni...Inshaallah
@jofreyevansantony27703 жыл бұрын
Wislam ni Dini ya Muhamad, sio ya mungu, imeheleza kuruan
@ibrahimmanur87083 жыл бұрын
Rudi uelewe kabla useme ivo
@hamisibakari19913 жыл бұрын
Kwisha wewe wacha ndacha aibike 😹
@abdiabdullahimohd19172 жыл бұрын
These sheikhs should wake up and answer this guy proper cause people can be mislead by ndachas twist and false claims
@BoboManya29 күн бұрын
Ndasha iko guvu kielimu akuna muesilamu mwenye anaweza kufikiya kielimu sasa baba yangu Achana kuwa naongeya Na mashetani baesilamu batu ya jagwa batu yalaana baarabu Bâle ata ukamate microphone utiye kumasikiyo abawezi sikiya maadika
@nikizaanociata47303 жыл бұрын
Tunawakaribisha sana kwa Yesu nyinyi nyote naanawapenda sana
@StraightPathDawah3 жыл бұрын
Kwa Yesu ndio wapi Nikiza?
@nikizaanociata47303 жыл бұрын
@@StraightPathDawah Kwa Yesu ni paradise
@ashuashu38433 жыл бұрын
Unatukaribisha kupotea?tukaribishe kwenye uongofu ndg.
@ashuashu38433 жыл бұрын
Yesu ni kabila gani? Na kitabu cha kikiristo kimeandikwa na nani? Je kama kimeandikwa alieandika kutoka juu ya mbingu?
@aliyahya57853 жыл бұрын
Ameen sisi waislamu yeye ni kaka yetu na nabii wetu katka uislam kwaheshma kubwa dada nakuomba uingie katka uislam ili kuuinusuru nafsi yako na moto wa mungu.
@muhammadmuhaznun3802 жыл бұрын
Waambie ukweli Mwaipopo wamechoma mafuta Tu...
@fakijuma75493 жыл бұрын
NDACHA AMAKWELI NIMPOTOSHAJI LUGHA SIO KAMA YUPO NA HOJA ZAIDI YA MANENO NA MAALEZO ZAIDI YA POROJO TU WEWE KIMBIA KIMBIA SHEIKH YUSUFU WAMBUGU ANAKUSUBIRIA
@ashuashu38433 жыл бұрын
Ana maneno mengi bila faida
@salisali37383 жыл бұрын
Misri suria lebanoni jodan magharibi tunisi jazairi ina wakiristo na waislamu lakini sija ona vikao vya kidini kila mtu na dini yake ila tz tu
@uuubfyfftyvcf48963 жыл бұрын
Ndacha umepotea kwa ukweli jahanamu ni kwako
@swala21703 жыл бұрын
Bro hauruhusiwi kuhukumu. Mungu tu ndiye ana mamlaka ya kuhukumu
@kutailadifi28543 жыл бұрын
Tumuombee Allah amuongoze
@hajraarbei24863 жыл бұрын
A.aleykum. hii namba ya simu kuhusiana na kitabu inakata
@nuruyusuf32373 жыл бұрын
Kma uko bongo Anza na plus two five four
@shabamuhidin6342 жыл бұрын
jamani wakristo si mtoe ilo andiko ukristo dini ,ata ilo andiko lisiseme ukristo dini,litaje tu neno UKRISTO haya mambo yaishe kwann hamtaki jamanii
@anwarambar61412 жыл бұрын
Ndacha hajielewi, anaazirika leo
@MatubaSon2 ай бұрын
Hakika watu wa MUNGU wanapotea kwa kukosa maarifa, uislamu umeanzishwa na Mohamad baada ya yesu kwenda kwa baba yake mbinguni halafu mnautetea
@mohammedabdallahalazri32383 жыл бұрын
Naomba sehemu ya pili
@musalumbi84903 жыл бұрын
Pst. Ndacha hukuelewa maana ya " Bi. Khadija akawa Mwislamu wa kwanza." Fasiri yake ni: Khadija ni mwanamke/mtu wa kwanza kusilimu katika kipindi cha Mtume Muhammaad. Mtume Muhammad anaamrishwa kuwa Muislamu wa kwanza katika kipindi chake, maana yeye ndiye mwendelezi wa gurudumu hili la dini ya Kiislamu. Sawa na vile Adam alivyokuwa Muislamu wa kwanza duniani. "Mwanzo" inarejelea kipindi/ kizazi fulani katika historia. Kama vile kipindi cha Musa, Ibrahim, Nuhu, Issa... Katika kila kipindi kuna watu walioukubali Uislamu kabla ya wengine; yani wa kwanza.
@akeem12213 жыл бұрын
Ndacha katoka bara, bado kiswahili kina mchenga.
@rashidceaser11122 жыл бұрын
Masha Allah sheik shukran tu sana na Allah Subhana Wa Taala akubariki tu sana kwa kufunza pastor Ndacha wa Kenya juu hana elimu na hoja za kusoma vitabu vya Mungu na kuelewa vyema.
@hillarymithika50022 жыл бұрын
uislamu ni dini ya Muhammad si ya mungu huo ndo ukweli na imekauka hivyo
@anwarambar61412 жыл бұрын
@@hillarymithika5002 Bro nipe aya ndani Quran isemayo uislamu ni dini ya Muhammad
@hamisimuhammad62252 жыл бұрын
@@hillarymithika5002 acha kutafuta Kiki
@farajiissa5603 жыл бұрын
Quran ni kama Google ukisachi kila kitu wapata hakika hata majin wanasema ni kitabu cha ajabu asante allah kwa mm kua mwislam nitaisoma dini yangu mpaka mwisho Wangu! Lord can heard ME