Dawah katika Kanisa la Glory Deliverance Sanctuary.

  Рет қаралды 41,335

Straight Path Dawah

Straight Path Dawah

Күн бұрын

Пікірлер
@Nora-v1m3p
@Nora-v1m3p Жыл бұрын
Mashaallah sheikh wetu umewapa vzr ila Allah ndie mwenye kuwaogoza kwake in sha Allah
@eghteenauto3737
@eghteenauto3737 Жыл бұрын
Jazakalallah shekh Ramadhan Allah akuifadh
@richardsineno6720
@richardsineno6720 4 жыл бұрын
Mapastor wengi hawajui maandiko bali wanatafuta hela na huyu ni mmoja wao.Pongezi maustadhi wetu wafunzeni warudi kwa ALLAH S W T.
@madetetv6576
@madetetv6576 2 жыл бұрын
Pole
@zainaal-nabhani9034
@zainaal-nabhani9034 Жыл бұрын
Hongera sheh mungu akujaliye heri akutiye nguvu zaidi nazadi shehe
@abubakarmpole4000
@abubakarmpole4000 4 жыл бұрын
Wanajua kbxa kuwa Yesu c Mungu Wala Mtoto wa Mungu.Ila Ibilisi aliwazidi hawao makafiri.Tuwaombee tu Mungu wasilimu.
@rachelevarist70
@rachelevarist70 4 жыл бұрын
Yaani isaya anamtabilia mungu nakumchagulia jina sasa cjui kati ya isaya na mungu cjui nani alimuumba mwenzake kwakweli wahadhiri wetu mnakazi kubwa sana Allah awalipe kila khéri
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Inaonekana Isaya kamtangulia mungu wa Wakristo
@fatmazullu4933
@fatmazullu4933 3 жыл бұрын
@@StraightPathDawah hahaa umenichekesha wallah!
@salimamry9432
@salimamry9432 4 жыл бұрын
Ustadh Ramadhan Allah awape ikhilas katika kazi hii ngumu na akulindeni na wabaya.
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Ameen ya Rabbil 'aalameen
@sofiam8217
@sofiam8217 4 жыл бұрын
اللهم آمين
@bnussrahlimsantah3730
@bnussrahlimsantah3730 3 жыл бұрын
Allahumma amiin
@tbwoy216
@tbwoy216 2 жыл бұрын
Yesu alisema mimi na baba yangu tu umoja. Kumanisha ni Mungu..ana uungu..na angethihilisha kua ni Mungu hakuna mtu angemkubali.na angeuwawa kabla ya kutupa injili.
@SalumOthman-z8v
@SalumOthman-z8v 11 ай бұрын
Weewe Mungu anatahiriwa na kunyonyeshwa 😅😅😂mnangamia kwa kukosa marifa
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 8 ай бұрын
Kwani.wewe.ukisemawewe.namamayako.kitu.kimoja.wewendyo.mamaAu.
@saidalsalmi9313
@saidalsalmi9313 3 жыл бұрын
Mwalimu Ramadhan mwenyezi mungu akulipe kheir mnafanya kazi kubwa. Wafundishe hao.
@kombrashid-bn2gr
@kombrashid-bn2gr Жыл бұрын
Ustadh ramadhan nakupata vyema,daawa kwenda mbele wataelewa2 biidhnillah,pemba.
@mwanaishahussein2635
@mwanaishahussein2635 4 жыл бұрын
Ibilisi alimuahidi MUNGU kua atawaangamiza baadhi ya binadamu. Ndiposa, kumetokea mvutano huu ALLAH atuoneshe njia ya haki 🤲🤲🤲🇰🇪
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 3 жыл бұрын
Hujui unachokisema,unatakiwa.kuombewa dua Sana wewe,inaonekana upo upo Tu du,
@SaidMgeni
@SaidMgeni Жыл бұрын
Aamin ya Rabi
@husnaodhiambo6848
@husnaodhiambo6848 4 жыл бұрын
Mashallah Allahu Akhbar. Uisilamu raha Wallahi yani pastor amesahau adii anaubiri. Mashallah Allah wape afia mufundishe Uisilamu Inshallah.
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Allah awaongoze hawa pamoja nasi
@habibasalim3092
@habibasalim3092 3 жыл бұрын
Badala aonyeshe maandiko ye anahuburi😅
@khalifaathuman6875
@khalifaathuman6875 4 жыл бұрын
May Allah grand you the best in this wonderful work that will make many to realize the straight Path of Islamic monotheism.
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Allahumma ameen
@zainaal-nabhani9034
@zainaal-nabhani9034 Жыл бұрын
Mashallah shehe hongera sana
@godfreyfilipo5668
@godfreyfilipo5668 3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu aendelee kutishika mkono kwa dini zote
@mustafahakim-iq7dj
@mustafahakim-iq7dj Жыл бұрын
dini ni moja
@kudrawanguvu5923
@kudrawanguvu5923 3 жыл бұрын
Mashallah Allah Subhana Wataalla atuongoze ktk kher nyingi
@kinglast9507
@kinglast9507 4 жыл бұрын
Allah atawalip jannah inshallah
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Atulipe sote, ameen
@hassanabdalla2741
@hassanabdalla2741 4 жыл бұрын
Kazi njema Masheikh wetu, wataelewa tu mwisho hao Mayahudi na Manasara kuwa Uislam ndio dini ya haki.
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Ameen
@mohammadalfani8004
@mohammadalfani8004 3 жыл бұрын
Allah atawaongoze insha Allah
@musalumbi8490
@musalumbi8490 3 жыл бұрын
Thank you Ustadh. Clear message.
@AbdulmajidHyder
@AbdulmajidHyder 4 жыл бұрын
Ma sha Allah..Kazi kubwa kabisa Allah Atawalipa ujra ulio mkubwa
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Ameen
@yahyajumaan3393
@yahyajumaan3393 4 жыл бұрын
Pastor kwanza nikupongeze sana hongera kusema hakuna mahali yesu alijita mungu nimefarijika mada imeisha
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Kasema ukweli wake sio kama wasabato lazima wapinde maandiko
@saumuseif9189
@saumuseif9189 4 жыл бұрын
Mashaallah ustadhi wataelewa inshallah msichoke
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Allah atufanyie wepesi
@halalwaithaka2573
@halalwaithaka2573 4 жыл бұрын
In Shaa Allah wataelewa tu, wafunzeni na mjadiliane nao kwa upole
@karoreroramadhan3353
@karoreroramadhan3353 4 жыл бұрын
Manshallah from Burundi tunawafata sana
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Shukran.jazeelan
@naheelamohamed9970
@naheelamohamed9970 3 жыл бұрын
Mashallah
@annelisejohns5664
@annelisejohns5664 4 жыл бұрын
Shukran sheikh kwakila jambo
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 4 жыл бұрын
Wakrsto wakenya m,mungu awaongoze Sana mko vizuri hamna chuki kama wakrstu WA tz ,hawawezi kuruhusu kuingia kanisani
@abuusaidy1506
@abuusaidy1506 3 жыл бұрын
kwasababu hawaniamin hata kidg
@hamissuche6576
@hamissuche6576 3 жыл бұрын
Mm mkenya nakataa c Kweli,.. Ni juzi tu mwezi wa sita kulifanyika kongamano kubwa kanisani lililofanyika ukonga dar salama tafuta iyo CD bro ustarehe,.. From 🇰🇪🇰🇪
@rukiamatano7764
@rukiamatano7764 4 жыл бұрын
"Mashaallah ustadh ramadhan umefundisha vizuri"
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Shukran sana Rukia
@huseinshedrack6180
@huseinshedrack6180 2 жыл бұрын
Wallah Uislam raha sn jmn
@musalumbi8490
@musalumbi8490 3 жыл бұрын
Good questions Ustadh. Simple but tough.
@malikdodo5190
@malikdodo5190 2 жыл бұрын
May Allah bless you our Ustadh Ramadhan
@jamilshisia5929
@jamilshisia5929 4 жыл бұрын
MashaAllah nimefurahishwa sana mwenyezi Mungu amzidishie umri
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Shukran sana tegea tegea mambo mazuri yaja inshallah
@kutailadifi2854
@kutailadifi2854 4 жыл бұрын
Ha.ha.haaaaa mchungaj utatu wa Mungu umemtia upole kahepa kakosa pakuingilia na kutokea Jamani wakristo mnakwama wp Allah awape afya NJEMA masheikh wetu inshaallah
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Hapo noma sana
@Asiyah2000
@Asiyah2000 3 жыл бұрын
Allahu akbar ☝️💕
@habibasalim3092
@habibasalim3092 3 жыл бұрын
MaashaAllah ustadh Ramadhan
@husseindiaby5097
@husseindiaby5097 Жыл бұрын
Pasta kwa kingereza mashallah
@mosaidi2633
@mosaidi2633 3 жыл бұрын
Sheikh ungetoa hiyo Barakoa
@zuhuramgonza6323
@zuhuramgonza6323 4 жыл бұрын
mwenye akil ametambua ukwel haki iko wp ?? from Tanzania morogoro nawafatilia sana mnavyotoa daa'wah apo Kenya Allah awazidishie
@zamzamhaji1229
@zamzamhaji1229 3 жыл бұрын
Allahu Akbar👆
@jasminmohamed6145
@jasminmohamed6145 4 жыл бұрын
Masha Allah
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Tabaarak Allahu
@abedyally1034
@abedyally1034 4 жыл бұрын
Allah awape muongozo kwa kazi mnayoifanya masheikh
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Ameen, jazak Allahu kheiran
@lillianebwire4897
@lillianebwire4897 3 жыл бұрын
Yesu hakuwa na dhambi.. Hebrews 7:3 He took the form of man to have man's body of sin so that he could nail the sin of man on the cross col 2:14 and conquer death which had condemned man.
@muddathirkassim2407
@muddathirkassim2407 Жыл бұрын
Wewe haki hata hujielewi kabisaaa ushindani waburee tuu
@iddimakame3547
@iddimakame3547 3 жыл бұрын
hongereni sana mashekhe
@jamalathman6219
@jamalathman6219 4 жыл бұрын
Inshallah ustadh ramadhan,Allah awalipe jannat firdaus kwa kazi yake
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Allahuma ameen
@nestoryemanuel7335
@nestoryemanuel7335 4 жыл бұрын
Mr Fanuel from tz shingida. Huo mdahalo ni nzuri Sana.
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Welcome ndugu Fanuel
@AbdulrahmanSeif
@AbdulrahmanSeif 11 ай бұрын
Mungu ni mwenye kusamehe.Sasa kwanini aje kufa angali anaweza kusamehe
@didahadams8705
@didahadams8705 4 жыл бұрын
Mashallah Allah atawalipa ln Ashallah kheri nyingi ln Ashallah
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Allahuma ameen
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 4 жыл бұрын
Jamani hawa wakiristo ni mtihani, huyu mwanamke ameuliza swali lililolenga kua kua yesu ni mwana wa mungu, wachungaji wenzake wanasema yesu ni mungu, huu ni msiba
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Hawaelewani kabisa
@knifensharper2725
@knifensharper2725 4 жыл бұрын
Tena msiba mkubwa
@doctorskiparian2546
@doctorskiparian2546 3 жыл бұрын
Only God can judge that
@marianachriss2444
@marianachriss2444 3 жыл бұрын
YESU KRISTO ni Nuru ya ulimwengu wote na ni BWANA na mwokozi Yeyote asiyemkiri YESU KRISTO ameshahukumiwa tubuni kabla hamjachelewa
@seifsoud266
@seifsoud266 2 жыл бұрын
Yes ni nan Na bwana ni nani?
@mustafahakim-iq7dj
@mustafahakim-iq7dj Жыл бұрын
allah akuongoze inshallah
@mosaidi2633
@mosaidi2633 2 жыл бұрын
Huku Pemba Tunakupateni pia Inshaalla
@jamanoor8707
@jamanoor8707 3 жыл бұрын
MASHAA ALLAH
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 3 жыл бұрын
Alhamdulillah
@rilkabuya6519
@rilkabuya6519 4 жыл бұрын
Mashaallah tabarak allah mungu akuzidishie kila la wema
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Ameen pia nawe
@amsodewiz4901
@amsodewiz4901 Жыл бұрын
Allah Akbar
@bilalimazola869
@bilalimazola869 4 жыл бұрын
Nimependa sana jinsi majibu na wanovyoshindwa kujibu uwislamu ndio dini ya kweli
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Alhamdulillah
@abdiabdullahimohd1917
@abdiabdullahimohd1917 2 жыл бұрын
Good work mASHA ALLAH
@sirnjuguzpowermantv4076
@sirnjuguzpowermantv4076 4 жыл бұрын
Masihi issa ni Mungu kwa mujibu wa Qur'an na bibilia
@yusuphmashallah3732
@yusuphmashallah3732 4 жыл бұрын
Toa andiko
@husseingabo5497
@husseingabo5497 2 жыл бұрын
Mungu hatumwi mungu anaetumwa atakuwa mungu wa kwenye box au mungu bandia
@madetetv6576
@madetetv6576 2 жыл бұрын
@@husseingabo5497 mungu Ni mjuzi wa kila kitu anao uwezo wa kujigeuza chochote kile
@habibasalim3092
@habibasalim3092 3 жыл бұрын
MaashaAllah
@edingollow9446
@edingollow9446 3 жыл бұрын
Manshallah!!! Teach them slowly
@bisimwashamboko5713
@bisimwashamboko5713 4 жыл бұрын
Kazi nzuri sana . Allah awalinde
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Ameen, nawe pia
@bungamassingisa2643
@bungamassingisa2643 4 жыл бұрын
SUBHAANA LLAH WABIHAMMDI, PASTOR HAYUKO VIZUR ILA YUKO VERY HUMBLE HADI ANAWATULIZA WENZAKE WASILETE FUJO MUNGU AMUONGOZE
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Allahu akbar
@dullahmisanya2203
@dullahmisanya2203 4 жыл бұрын
mashaallah shekh wangu"" Allah awazidishie kheri na awalinde kwa husuda"
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Allahuma ameen
@saidbakhlaaofficialchannel3950
@saidbakhlaaofficialchannel3950 4 жыл бұрын
Mashallah Allah ibarik
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Allahuma ameen
@abedbin2794
@abedbin2794 4 жыл бұрын
Lahaula wala quwata ila billahi
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
May Allah guide us all to the straight path.
@elphasmageto3568
@elphasmageto3568 3 жыл бұрын
Uyu pastor hajielewi kabisa
@tbwoy216
@tbwoy216 2 жыл бұрын
Kuna verse pia inasema MUNGU ni Mtu wa vita...manake mungu alisema natufanye mtu kwa Mfano wetu
@ramadhanially5227
@ramadhanially5227 4 жыл бұрын
Mashaallh allahal ramadhan
@ibrahimramadhan2119
@ibrahimramadhan2119 4 жыл бұрын
MashaAllah, wabillahi tawfiq
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Ameen
@lillianebwire4897
@lillianebwire4897 3 жыл бұрын
The Bible allows us to test the spirit and the formula.Anyone who says Jesus is not LORD or Son of God is not from God
@marianachriss2444
@marianachriss2444 3 жыл бұрын
Hawa waislamu wapotoshaji sana maana wamebeba roho za kishetani, maana allah sio Mungu ni shetani mkubwa audanganye ulimwengu wote na kuwapeleka watu jehanamu
@seifsoud266
@seifsoud266 2 жыл бұрын
Shetan babako Ndio maana hujielewi
@madetetv6576
@madetetv6576 2 жыл бұрын
@@seifsoud266 Allah shetani
@KhalfanSeleman
@KhalfanSeleman 8 ай бұрын
Achamakasiliko sikiliza maandiko nyinyi wakristo mmerogwa nanani?
@KhalfanSeleman
@KhalfanSeleman 8 ай бұрын
Hujielewi wewe
@KhalfanSeleman
@KhalfanSeleman 8 ай бұрын
Mchungaji anahubili sio Tete hoja yake Hana anacho kijua atasoma biblia yote na asijue anacho kitetea
@muhammdegulamu4158
@muhammdegulamu4158 4 жыл бұрын
Allha akufanyien wepesi
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Ameen nawe pia
@abubakarmpole4000
@abubakarmpole4000 4 жыл бұрын
May almighty god show them, the straight part.For them to become muslims.
@hassanabdalla2741
@hassanabdalla2741 4 жыл бұрын
Mwalimu Ramadhan, huyu Pastor ni mwepesi sn ktk mjadala lkn anajitahidi sn ila maelezo mengi kuliko Verses. Soma Isaya 34:16. Tunahitaji maandiko kutoka Bible na sio story.
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Aliomba mjadala mwenyewe naona ameanza kujifunza
@hassandima4801
@hassandima4801 4 жыл бұрын
Ati mungu alijificha
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Hatari sana
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 4 жыл бұрын
Ustadh Ramadhani uwe unawaambia tofauti ya maojiano na maubiri maana huyo mwengine ameleta sarakasi na ndio ustadh yussufu usema shindano imeingia
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Hahahaa...kweli kabisa
@saidjenibal9760
@saidjenibal9760 4 жыл бұрын
Nikwer huyo analeta mahubiri na sio hoja na majadiliano
@moanamohammed1406
@moanamohammed1406 4 жыл бұрын
Masha Allah sheikh Ramadhan umefundisha vzr sana ila pasta naona anahubir tu Allah atuongoze sote Inshaallah
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Shukran, ameen
@abuusaidy1506
@abuusaidy1506 3 жыл бұрын
Abubakry kilapula nawafuaaatilia kwa makin nikitokea msolwa station tanzania morogoro kilombero Allah awalinde na husda
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 3 жыл бұрын
Ameen
@bilalomar1185
@bilalomar1185 4 жыл бұрын
MashaAllah
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Shukran sana Bilal
@bilalomar1185
@bilalomar1185 4 жыл бұрын
@@StraightPathDawah Afwan Sheikh Ramadhan. Allah akulipe kila' lakheri kwa juhudi unazo zifanya Ameen.
@jaidulsekh1157
@jaidulsekh1157 4 жыл бұрын
Quran 9:29__31_ fight those who soma hapo
@malikdodo5190
@malikdodo5190 2 жыл бұрын
Assalam alaikum warahmatu-llahi wabarakatuh
@RRr-of9ps
@RRr-of9ps 4 жыл бұрын
Huu ni msiba kwa wakristo mungu awasaidie
@jaidulsekh1157
@jaidulsekh1157 4 жыл бұрын
Tito 2:13 Yesu ni Mungu mkuu, john 1:1__ 14 so many scripts
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Hakujiita
@salamamohamed6762
@salamamohamed6762 4 жыл бұрын
Sasa Tito akisema Yesu ni Mungu mkuu ndio tayari ni kweli mbone firauni au farao alijiita mungu kwa nn msimtangaze na yy ?
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Wanashangaza hawa
@jaidulsekh1157
@jaidulsekh1157 4 жыл бұрын
@@salamamohamed6762 si mahammad alijita nabii hakuitwa nani akampa unabii
@salamamohamed6762
@salamamohamed6762 4 жыл бұрын
Qur'an 22:75 5:81 17:96 48:29
@radhyiawamburah2394
@radhyiawamburah2394 4 жыл бұрын
MashaAllah the Pastor really tried
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
May Allah guide him
@عليجبار-ن3ي
@عليجبار-ن3ي 4 жыл бұрын
Kama yesu hakusema yy ni mungu mbona mwamsingizie,kama ni mungu kwanini afiche uungu wake,kila mtu atabeba dhambi zake
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Ni kweli
@mirajisalehe742
@mirajisalehe742 4 жыл бұрын
Yesu kiristo ni kweli ni Mungu mchungaji umesema kweli,Mungu wa wawaisilamu si Mungu wa wawakiristo hao ni Miungu wawili tofauti kabisa .Mungu wa wawakiristo ni mmoja katika Utatu mtakatifu ,wa waisilamu Hana Utatu .Mungu wawaisilamu Hana Mwana ,Bali wakiristo wote waliompokea kiristo Yesu ni Wana wa Miungu ,Miungu hawa hupingana .Mungu Wawakiristo neno lake lilifanyika mwili ,likawa ndiye Yesu .Mungu wao anasema huyu ni mwanangu mpendwa ninayependezwa naye, Mimi binafsi naamini kuwa Yesu ni Mungu mkuu na mwokozi wetu.ana nguvu za kimungu pia ndiye mhukumu wa ulimwengu.
@yusuphmashallah3732
@yusuphmashallah3732 4 жыл бұрын
Umepotoka ndg!!! Soma din yako vzurii
@hamissuche6576
@hamissuche6576 3 жыл бұрын
Ww kwanza ndiwe bumbumbu mulio wasumbua waalimu sana shule,.. Umeseme yesu ni mungu alafu wasema ni mwana wa mungu hata hujielewi waongea nn kbsaa
@musalumbi8490
@musalumbi8490 3 жыл бұрын
God have mercy upon your servant Miraji. The devil has stood his way and his sight is blinded. Shed Your Light upon him.
@watikawamika2897
@watikawamika2897 3 жыл бұрын
Ubaonekana shule aujaenda aujuwi ukonaongeya nini
@husseingabo5497
@husseingabo5497 2 жыл бұрын
Kwa hiyo Dunia Ina miungu wawili sasa nikuulize swali na unijibu yesu pale msaraban aliposema elloy elloy yaan mungu wangu mungu wangu mbona umeniacha ? Sasa kama yesu ni mungu alikuwa analalama na kuomba msada Kwa mungu wake yupi Tena na wakati yeye ndio mungu mkuu? Nataka unijibu hapa hakuna janjajanja jibu
@rachelevarist70
@rachelevarist70 4 жыл бұрын
Kenya mpo juu mpo huru ktk mambo ya dini uku kwetu Tanzania hamna hongereni mungu anamakusudi yake Kenya bado wakristo wengi hususañ Nairobi hlf mjitahidi muoñgee kiswahili tunafatiia mijadala yenu sisi kiswahili ndoinapanda mnatukosesha uhondo daah!
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Allah awafanyie wepesi
@hamissuche6576
@hamissuche6576 3 жыл бұрын
Ndio ivo sis kiswahili ni chetu na inapaswa tukiongelee ila hawa wenzetu wakristo hujifanya ni wazungu ilhali yesu Hakuwa mzungu,
@HamzaAkilimali
@HamzaAkilimali 11 ай бұрын
Mchungaji, Hatetei ukiristo, bali anatetea Sadaka za bwelele. YESU MWENYEWE ALISHA SEMA YEYE SI MUNGU ILA YEYE NI MTU NA NI MTUME TOKA KWA MWENYEZI MUNGU. Sasa shida iko wapi, kwa nini muendelee kumuabudu kama Mungu !!??
@sirnjuguzpowermantv4076
@sirnjuguzpowermantv4076 4 жыл бұрын
Mnakuwa dadora papi ninje
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Tunaenda sehemu nyingi sio dandora peke yake
@omarnjoroge3977
@omarnjoroge3977 3 жыл бұрын
Sir njugus.jifunze kiswahili kwanza kwa majadiliano.
@jamilaomariomari8328
@jamilaomariomari8328 4 жыл бұрын
Wakristo hamna lolote.
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 4 жыл бұрын
Allah awaongoze
@abdallahnassor7891
@abdallahnassor7891 2 жыл бұрын
Shekh Ramadhani Mimi nafuatilia Sana hii midahalo Sasa kwa nini hayo maandiko yote uliyotoa hapo humuulizi pastor yeye hayaoni hayo maandiko au anayatafsiri vipi au njaa kaiweka kichwani
@samxx411
@samxx411 3 жыл бұрын
Wallah naona wametulia hapo wakipewa uzawa wa Yesu (Nabii Issa) katika Quran. Quran bwana mbona Raha???????
@lillianebwire4897
@lillianebwire4897 3 жыл бұрын
At least they accept the crucifixion.
@lillianebwire4897
@lillianebwire4897 3 жыл бұрын
The gospel is the testimony of people who were disciples of Jesus Christ they walked with him.They wrote what they saw with their eyes as witnesses with exception of other who experienced great visions and heard the voice of our Lord Jesus Christ, like Paul and John on Patmos.
@musalumbi8490
@musalumbi8490 3 жыл бұрын
"The gospel is the testimony of people who were disciples of Jesus Christ they walked with him.They wrote what they saw with their eyes as witnesses with exception of other who experienced great visions and heard the voice of our Lord Jesus Christ, like Paul and John on Patmos." Quran is the last Testament of Allah that was sent to the last Prophet Muhammad (peace be upon him) through the Greatest Spirit (Gabriel), not an account of what the Prophet did or said or taught. So the Quran is many degrees superior to the Gospel.
@sheemaryam
@sheemaryam 2 жыл бұрын
Yet they contradict each other infact they say " gospel according to John, gospel according to Luke so its not the real Gospel ... Jesus himself said he's a man and a prophet and he'll remain so
@saumukonde4338
@saumukonde4338 4 жыл бұрын
Pastor hapo umejikoroga, ety Jesus says A'm not God don't warship me. Loo japo cjui kizungu hapo slimu 2.
@madetetv6576
@madetetv6576 2 жыл бұрын
Huyo Shekh Kama mpaka hapo haamini yesu Ni Mungu apelekwe hospital akatibiwe ana kichaa huyo
@huseinshedrack6180
@huseinshedrack6180 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 Nyumbu mwingine huyu huku😂😂😂😂😂yaan nyie ni kuburuzwa tu,nyie ndio wale unaskia maneno matatu ya postor unaingia kwenye comment sikiliza mpk mwisho ndio uone jins wenzio wanavyo vurugwa
@alimadads6110
@alimadads6110 2 жыл бұрын
Part two
@magdalinengweso8644
@magdalinengweso8644 3 жыл бұрын
We we unatishwa na wakristo ndio sababu unatembea tembea kila mahali siuridhike na dini yako peke yako umeona pastor ametembelea msikiti huko na shinda but mwisho wako huko
@jestymoresimon7576
@jestymoresimon7576 3 жыл бұрын
2nd Timothy 2:23-24 Have nothing to do with foolish, ignorant controversies; you know that they breed quarrels. And the Lord's servant must not be quarrelsome but kind to everyone, able to teach, patiently enduring evil,
@madetetv6576
@madetetv6576 2 жыл бұрын
Hivi nini maana ya Mwenyekiti ? Manake hapo naona mpaka Mwenyekiti anapekua vitabu na kuuliza maswali manake hapo wamemchangia pastor
DAWAH NDANI YA KITUO CHA POLISI
1:00:21
Straight Path Dawah
Рет қаралды 24 М.
Mwalimu Ndacha akula kibano, Ipi dini ya Mitume na Manabii?
1:00:39
Straight Path Dawah
Рет қаралды 65 М.
IL'HAN - Qalqam | Official Music Video
03:17
Ilhan Ihsanov
Рет қаралды 700 М.
It works #beatbox #tiktok
00:34
BeatboxJCOP
Рет қаралды 41 МЛН
Wachungaji wamuona Mtume Muhammad (SAW) katika Biblia wakiwa Kanisani.
55:55
Straight Path Dawah
Рет қаралды 27 М.
MAENDELEO YA MUKURWE-INI MOSQUE & ISLAMIC CENTRE
23:33
Straight Path Dawah
Рет қаралды 766
2 SAID MWAIPOPO    KWANINI NILIACHA UKRISTO 2/4
1:00:34
AKASHA PRODUCTION TV
Рет қаралды 688 М.
Bishop Stephen na Ramadhan Kuria katika kukuru kakara sehemu ya pili
32:34
Straight Path Dawah
Рет қаралды 67 М.
SWALA LA KUDUMISHA USAFI LAMKWAZA MWANAMUME
50:38
Straight Path Dawah
Рет қаралды 6 М.
UTAPELI KWA JINA LA SADAKA
44:08
Straight Path Dawah
Рет қаралды 9 М.
MAZINGE vs GERISHON ODARE..JE PAULO NI MTUME?
1:34:19
KENYA DAWAH TV
Рет қаралды 142 М.
IL'HAN - Qalqam | Official Music Video
03:17
Ilhan Ihsanov
Рет қаралды 700 М.