Congratulations bro I appreciate your job. I have learned a lot of things that I don't know before.
@thobiasmjuni91963 жыл бұрын
Mungu akupiganie shemeji angu,,,, mafunzo yake yanafanya niwe na kujiamini kila siku. Asanteeee
@maximobararaka3 жыл бұрын
Broo nakukubal sana like zakutosha
@successpathnetwork2 жыл бұрын
Aminia sana
@Laila-zl8lj3 жыл бұрын
Asnte blood nakufatilia sana pia hata kushea nawatumia watu wengi sana ,umenijenga kiakili sana Mungu akujali kila rakheli kwako🤲
@EuniaRyaga-zd3zx Жыл бұрын
Uko vizuri bro
@anisamohamed73333 жыл бұрын
Thax for ur advise
@Iddriskapenda Жыл бұрын
Unafanya tunachange kutoka hatua Moja kwenda nyingine mungu akupe maisha marefu
@successpathnetwork Жыл бұрын
Amiin... nashukuru
@yunucabedy77583 жыл бұрын
Ubarikiwe mwalimuwetu
@shaibuhamisi77423 жыл бұрын
Kaka unajuwa unasaidia sana mungu akupe maisha mema
@zayyatiyussuf95663 жыл бұрын
Akhuy umenifanya nicheke kusema kweli muonekano wako wa hiyo kanzu hatakama nakudai ukapita karibu hataungenitolea salamu nisinge kujua mana siokawaida ya muonekano tuliozowe kukuonanao kila siku. Umependeza Akhuy Mashaallah hongera kwa vindi vizuri jazzakallahu khairan Akhuy endelea kutuelimisha ndugu zako.
@zayyatiyussuf95663 жыл бұрын
Nimerudi mara 3 kukusikiliza nikipindi kizuri mno mashaallah
@successpathnetwork3 жыл бұрын
hahahahaa...nashukuru sana sana....
@zayyatiyussuf95663 жыл бұрын
@@successpathnetwork Afwan Akhuy
@AliMohamed-wp1op3 жыл бұрын
Mapenzi ya kweli ni ya without giving or taking, mapenzi hayana maslahi
@successpathnetwork3 жыл бұрын
utakapojiona unatoa sio kwa kushurutishwa kutoa ...unapojisikia kutoa bila kuhitaji mrejesho wowote upo kwenye right track, and it's true mapenzi ya kweli hayatarajii chochote
@saijumagmailcomJuma3 жыл бұрын
Safi sana pamoja
@khayraatabdool22862 жыл бұрын
Maa Shaa Allahu Baaraka Allahu fiyka
@mossesezekiel78622 жыл бұрын
Ahsante kwa mafunzo 👍🙏🙏
@sadikijoseph30642 жыл бұрын
Big up sana bro
@officiallylucku90.813 жыл бұрын
Thanks bro
@Babybooohbeauty2 жыл бұрын
It’s my first time to listen ur lesson but bruh u made my day big up to u and god bless you more ........from Dubai
@successpathnetwork2 жыл бұрын
Shukrani sana
@khadijakisingo79202 жыл бұрын
Najifunza zaidi mungu akulinde akutunze Kwa ajili yetu🙏💖
@mamunote35072 жыл бұрын
Thank you so much Hapo uliko sema Huyu Mzee yake yamemuishia kua wazee wako Makini kupitiliza na Wanangu vitu vingi tuna staid kutoka kwao
@mossesezekiel78622 жыл бұрын
Nakubaliii sanaa ndugu!!! 👍👍👏
@augustinokingazi83013 жыл бұрын
Naam catchup and received thanks bro
@davidmangi31393 жыл бұрын
Waa it's true haya yote ushayasema mm yamenikumba na nmeachana na wanawake wengi na nimejua hizo weakness zote Niko nazo Asante sana kwa kunifungua
@amidaibrahimu2717 ай бұрын
Asante sana bro,ubarikiwe tena na tena
@safiamussa8137 Жыл бұрын
Kaka haya mambo yapo mungu akupe maisha marefu Kwa kutuelimisha allwa akulipe
@naidamwakibinga63095 ай бұрын
Asante sana kaka 🙏🙌
@abdulkarimsichone59792 жыл бұрын
umetisha sana brother
@halonmwenda16732 жыл бұрын
Ebwa eee mm nakukubali sana jumanne mm Niko huku Zambia lakini najifunza mambo mengi sana kupitia vipindi vyako.👊👊👊👊
@BagazaMeja-jx2qh Жыл бұрын
Napenda siku moja uzungumzie kitu hiki "when people are proud of their good words,then you should be proud of your silence" nitafurahi sana maana kuna baadhi ya watu wanapokasirishwa hawajui wafanye nini hilo tu BROTHER kama hautojali nilitaka unipatie no yako.
@ghustafampinga30473 жыл бұрын
Naitaji kubadilika
@successpathnetwork3 жыл бұрын
hakuna kinachokuzuia kaka...njia nyeupe ongeza speed muda mchache
@watumnjangu83123 жыл бұрын
Here listening 👂
@kautharsaid46602 жыл бұрын
Jazakallah ❤ Mashallah
@johnsimbaulanga56962 жыл бұрын
Nimeipenda elimu yenu
@martinmaami58533 жыл бұрын
For sure you are doing very well.....big up brother
@successpathnetwork3 жыл бұрын
Thank you Martin
@malengahuru33013 жыл бұрын
Nashukuru sana Bro nimeamka nayo hii itanisaidia sana, Me nimekua Mtu wa aina hii sana ila me huwa naongea vya kweli ila vya watu daah ,halafu Bro me huwa nasahau pia natiririka mambo yangu baadae najilaumu wakati huo watu wameshajua shida au raha pengine hata faida au hasara niliyopata😢
@mauwashila49693 жыл бұрын
Ubarikiwe sana 🙏🙏
@aneth28072 жыл бұрын
Nimependa Sana Kaka ezden lakn nilikuwanatamani uonge kuhusu njisi ya kuifanz pesa
@nurummashaka62063 жыл бұрын
Kaka nakufatilia sehem nyingi ila naomba ukazie jambo la 6 kwangu limekua changamoto 1kukosoa kwa maneno mkali hata kutoa nnachajua hatakama kiko sawa wengi naona nawakosea namna ya kufikisha ujumbe . Ila bado ntakua mwafunzi wako na 1 day ntajitahidi nikuone moja kwa moja kunamengi naitaji kwako kaka . Pia mungu atakulipa kwa unacho fanya Asateeee🕌
@edsonimkwama87453 жыл бұрын
Nashukuru bro nimepata kitu kikubwa....na umekua mwalim mzuri kwangu
@successpathnetwork3 жыл бұрын
asante sana... endelea kuwepo
@shafiimnubi66083 жыл бұрын
Nice broo👍
@allymassamba5563 жыл бұрын
Imetulia hii
@mamunote35072 жыл бұрын
Jazakha Lwah kher Akhui kutoka Oman
@glodynkondo98002 жыл бұрын
mungu azidi kukubariki bro
@careenchengula26823 жыл бұрын
Bro ukovizuri sana kaka, somo zuri kaka .
@successpathnetwork3 жыл бұрын
asante
@ngabiranoadelin95193 жыл бұрын
Asante sana bro
@mariaernest20873 жыл бұрын
Ninzuri nimependa, but vipi kwamtu ambae unamwelewesha mtu vizuri anakusikiliza nakukuitikia then kesho anasema unajifanya unajua unafanyaje hapo
@judithmwambe47673 жыл бұрын
Thanks alot brother Ezden .Yaani sipendi watu ambao wanapenda kuongea ya wenzao na ili hali ya kwao ni mabovu hasa, na sipendi mtu aje aniambie mabaya yeyote ya mtu mwingine hata kama huyo mtu alinisemea mimi 1234...etc
@fulgencechilambo82242 жыл бұрын
Perfect
@edisonjoseph40873 жыл бұрын
Sawasawa Kaka kwa Leo umenyooka kweli kweli ukweli mtupu Mr ezden God bless you better
@maulideabdala38323 жыл бұрын
Asante kaka mungu akujalie.kazi mzur
@sadikijoseph30642 жыл бұрын
Big up sana kaka
@goalhall3 жыл бұрын
Ahsante sana
@hasnuuahmed98343 жыл бұрын
bro اَلسَلامُ عَلَيْكُم وَرَحْمَةُ اَللهِ وَبَرَكاتُهُ Naomba uongelee kuhusu bssness plan
@mickdardabdul30163 жыл бұрын
Thanks brother 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@blaise_nkengurutse3 жыл бұрын
Salut bro
@kasimuchigala99453 жыл бұрын
Nazi mzuri saaan kaka Mm nmekugwa swala LA kukemea kitu kwa ukali semah najua na pata na hasila ila Leo nimejifunaza kitu, Kingine uwe unaweka na cotes unazozitaja ziwe zinaonekana kwenye description tuzione znatujenga
@prisikachande Жыл бұрын
nimejifunza kaka
@ashahassan21202 жыл бұрын
Asante
@rehemaelisante16373 жыл бұрын
Nice
@ismailvuai30353 жыл бұрын
Nimekumbuka ezden kwenye kile kipindi cha dadaz ulishauri watu wasianzishe mahusiano ya kimapenzi kabla ya ndoa je? Unaweza kutuwambiya kwa nini tufanye vile na ukaweza kuiweka kama mada ili wale waliokuwa hawakuingia kwenye mahusiano wawezi kujizuwiya.
@mwl.frankmadembo74723 жыл бұрын
Nimejifunza sana rafiki yangu!
@suleimannjama63082 жыл бұрын
Brother ningependa uzungumzie njia ya kuepuka msongo wamawazo
@remybuyenzi18563 жыл бұрын
💥💥💥💥💥
@selinaadam74172 жыл бұрын
Saf Mimi napenda
@aminasmart1230 Жыл бұрын
Naomb uniunge kweny group lako
@anordmyinga44323 жыл бұрын
Bro elim yako inatufanya ss tuelimike mungu akupe uzima ili tuendele kuyasikiliza Yale Mambo mazur uyaonge yayo
@successpathnetwork3 жыл бұрын
Nashukuru sana kaka. Nisaidie kuwafikishia wengi zaidi ujumbe huu
@nickvonmusic3 жыл бұрын
Good morning brother,can you teach us about ways to build up commitment.
@sheddykayanda43693 жыл бұрын
Kuna wengne hata ukimfundisha kubadilika ni kazi inabidi utumie maneno makali ndo anakaa sawa
@jamilanyakibali51743 жыл бұрын
Dah. Stor. Zako. Zinamafunzo. Sana
@saumusanjiama69912 жыл бұрын
💯
@AishaOman-qz7tn8 ай бұрын
🙏🙏🙏
@muhsinkombo37363 жыл бұрын
Kukasirika ni miongoni mwa tabia ya mwanadamu, jee ikiwa mtu amekukera au amekuuzi unatakiwa utumie maneno yapi ya kumrekebisha ?
@ThiagoMessi10-f4g3 жыл бұрын
Ameeen 👍
@fulgencechilambo82242 жыл бұрын
Brother ongeA kuusu sifa za gentlemen
@petermose16393 жыл бұрын
Maisha yangu naona ikiwa na mabadiriko bwana jumanne nashukuru
@davidmangi31393 жыл бұрын
Tatizo langu mm kila nikiwa na mwanamke hua nahisi ananicheza na inafikia twachana naeza kua na mahusiano adi kufikia Mahal twapanga kuoana mahusiano yanavunjika
@zelfat49563 жыл бұрын
❤️❤️
@matridachatila68392 жыл бұрын
Kukaumu nimeiwlewa sana Nina MTU naishi naye kwakukaumu yani hadi nimechoka uzembe anafanya yeye lakini lazima apate engo ya kunilaumu
@gitabekamasanja31252 жыл бұрын
Namna gani ya kusaidia mtu asiye tayari kuweka wazi tatizo lake
@aminaalid97453 жыл бұрын
Huna group za wasap ??
@successpathnetwork3 жыл бұрын
Lipo, text me on whatsapp 0759191076
@gastoluga45513 жыл бұрын
Axante xana nmekuelewa xanaa
@juliusmugyabuso4532 жыл бұрын
Mbona wanasema Mandera Baba yake alimwacha akiwa mtoto mdogo na kutenda kulelewa na rafiki yake Baba yake ambaye alikuwa chief kama Baba yake.
@maureenkemei92543 жыл бұрын
Giving is love
@actorjidda8283 жыл бұрын
Godbless kaka mm bado sina la kuongea lakin ni mpya katka Channel Ni mpya lakn tegemea kunipata zaidi kama shabiki ako Point nimeyoinasa zaidi ni kwamba ili kupata kitu ni lazma utoe kitu
@successpathnetwork3 жыл бұрын
karibu sana kaka...
@actorjidda8283 жыл бұрын
Thanks bro Napenda sana ila naamini kila binaadam alie kamili husimama kwa miguu miwili lakn hutembea kwa mguu mmoja Unajua maana yake nini, maana yake nikwamba ili kufikia jambo Fulani au kupiga hatua katka jambo ikiwa kama sehemu ya maendeleo ni muhimu zaidi kusurportiana .Hvyo bx ninamaanisha ninauhitaji wa jambo nikiwa kama mguu mmoja You know (Mimi ni mguu mmoja siwez kupiga hatua nikiwa kama mguu mmoja nahitaji mguu wa pili ili niweze kupiga hatua Tafadhal kaka EZDEN JUMANNE nasubir jibu lako
@farhanchaky86253 жыл бұрын
Blaz kweli kunamuda natamani kusikilizwa mimi tu
@matridachatila68392 жыл бұрын
Pia mapenda kuku sikikiza zaudi
@shabanzege30503 жыл бұрын
Brooo mii nikimkosea mwenzgu huwa namuomba msamaha huwa hapnd kunisamee lkn mraa nyng hua namuomba msamahaa
@paulolugano5143 жыл бұрын
unaachana nae tyuu mzee
@Laila-zl8lj3 жыл бұрын
Nilikutumia wasp sms nifikilie kunijibu kaka yngu ,uliitikia salm tu..
@successpathnetwork3 жыл бұрын
Okay
@successpathnetwork3 жыл бұрын
Tuma tena please
@Laila-zl8lj3 жыл бұрын
@@successpathnetwork saw
@epifaniamzumbwe51593 жыл бұрын
🙏🙏🧠
@mwanashagladys45813 жыл бұрын
Mm tatizo langu huwa nahasira za haraka.
@janethendrew88243 жыл бұрын
Yote unayoongea yamo vivyo hivyo upo frexh blather