Binadamu wanavyochosha yupo tu sawa kuchagua kuishi maisha yake na Imani yake.
@xxxl-jf2ji3 ай бұрын
Majirani wambea sanaa mimi naona yupo sahihi tu
@snico22753 ай бұрын
Mtoto mchanga ujaze watu 😂😂 msiba wa kichanga hauna watu muacheni baba wa watu
@shakilamasoud29833 ай бұрын
Bora huyu katoa taarifa, kuliko Mzee makonyagi wakule Chuga town hataki mtu yoyote kwenye msiba wa mtoto wake.
@gracewilliam41023 ай бұрын
Marasi hawana mambo mengi sana
@user-eu5ly2sk8w3 ай бұрын
Jamani majirani acheni unafki na kufwatilia maisha ya watu mbona mnahangaika sana,na amejieleza vizuri kabisa
@winnesakara69573 ай бұрын
Duuu pole sana
@rhobywerema69963 ай бұрын
Kwahiyo mtoto mchanga naye ujaze watu 😆
@user-tq5di6mv9c3 ай бұрын
Ndio hivyo mtoto wako lakini hauwezi kujipangia kumzika au kufanyaje
@serengetiduma10903 ай бұрын
Acheni kuongea sana, kama ni huyo Ras anaye fua nguo hapo! Huyo anaishi katka imani ya kirasta na huwa awana mambo mengi! ..
@khabibahussein72393 ай бұрын
Mmmh inashangaza jmn nashindwa niseme nini ,apumzike kwa Aman mtoto mzuri
@verynicemonyo86713 ай бұрын
Ni maisha yake aliyojipangia kama alijulishq wengine Kuna Kosar gani😊
@victoriapatrick98403 ай бұрын
Kwetu usukumani usipo jihusisha na jamiii/ nzengo basi likikukuta jambo we tulia tu upambane nalo au utozwe faini ya pesa na ng'ombe ndio watu waje kwako. Itakua ye pia aliwaza atawaambiaje jamii watamsimanga.
@RehemaShaban-bo4qe3 ай бұрын
Mwacheni kabisa uwezi jua Nini kimemsibu
@KukuWaMayai3 ай бұрын
Maelezo yako ya mwanzo ni marefu sana!
@morjanoman51813 ай бұрын
Akuna maajabu apo wala ofu ilonijambo la kawaidatu mtoto mcha malanyingi ndio uzikwa ivo uwezi kuita watu ata sisi. Tunazika ivo. Tu baba. Na kaka. Basi
@irhamseif3 ай бұрын
Jaman msiba bajet hari yenyewe ya mchungaji inaonyesha sio nzur muhim katoa taarifa ajataka mambo mengi gharama kubwa vyakula sijui nn ko kaona amalize tu
@sharifanyumayo63143 ай бұрын
Hakuna chochote mtoto mchanga hata kwetu tunazika wenyewe syo lazima watu ni watu hao watosha msimjaj hyo baba ni kawaida tu. Yuko sawa tu nyie majilan kunawatu hawapendi mambo mengi
@marygregory75663 ай бұрын
Kichwa cha habari kinasema mtoto Mchanga kwenye maelezo unasema mtoto wa miaka miwili
@user-ky5wu4gc9g3 ай бұрын
Inawezekana kuna watu walimkamia kwamba siku akipata tatizo watamsusia yawezekana akaona isiwe tabu bora amalize mwenyewe tu, lkn chamsingi si amezika tayari? Bas imeisha hiyo
@israelkisaila84013 ай бұрын
Kaskazini mapepo yapo kwenu tu kila siku?😢 mjitafakari sana,je hakuna waombaji na wanawake waombolezaji huko kaskazini,kufunga hayo maroho? Manyara,arusha na kilimanjaro.
@SAIDIMUKSIN-iy2op3 ай бұрын
Huo ndo umbea unajua ana miaka mitano lkn usijue Hana familia
@xxxl-jf2ji3 ай бұрын
Umeonaee
@tinnahagustinolyelu42473 ай бұрын
Labda kamtoa kafala duuuu maajabu kuzika watu watatu tuuu mmmm
@LukaNyagenda-pb9eo3 ай бұрын
Mzee unazingua na wewe kwani kichanga huwa kinazikwa na watu wengi kichanga kinazikwa na watu wacheze mbona kama mnamkandia jamaa wa watu,acheni hizo,wabongo wengi huwa wanafata mikumbo,kuliko kutafakari uhalisia
@user-tk2we7cp5w3 ай бұрын
Kama mchungaji alikuwepo basi.
@user-bo5qp9gz8m3 ай бұрын
Uyo Rasta mwenyewe ndo mchungaji
@vero573 ай бұрын
Imetokea arusha kitu kama hiki juzi
@agreynkya48763 ай бұрын
polen watu wa mbugan
@vero573 ай бұрын
Kutakua na kitu kwanini wanazika bila kuwaambia ndugu????
@Neema-lh3pb3 ай бұрын
Magugu jmn
@mtimti39123 ай бұрын
Shida nini mtu kuishi maisha yake
@AllyTingi3 ай бұрын
Tulip lalini tena jamani
@naimajuma6473 ай бұрын
Itakuwa kauwawa huyu mtoto kwa iyo kawai kuzika ili isigundulike 😢
@user-pz5qs4ki7s3 ай бұрын
Acha ujinga wewe
@naimajuma6473 ай бұрын
Yawezekana mjinga ni wewe coz kama hujaelewa taarifa basi utakuwa na utindio wa ubongo
@merrynancesimon15623 ай бұрын
Kweli kabisaaa❤huyu mtoto kauwa😢😢
@aloycesamba9983 ай бұрын
Mbona Hilo tulio Ni Kama la kata ya kiutu Arusha jamani!
@israelkisaila84013 ай бұрын
Ndugu yangu kaskazini kuna mambo ambayo hata SHETANI ANAWASHANGAA
@joyce557273 ай бұрын
Pia nashangaa ila yule hana lasta alitoka adi getini kwake akawa anafokeana na wananchi
@verynicemonyo86713 ай бұрын
Ni maisha yake aliyojipangia ili mradi havunji sheria