TAHARUKI: BABA AMZIKA MTOTO WAKE MCHANGA BILA WATU, WANANCHI WAINGIWA NA WASIWASI.

  Рет қаралды 16,911

Millard Ayo

Millard Ayo

3 ай бұрын

Пікірлер: 48
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 3 ай бұрын
Binadamu wanavyochosha yupo tu sawa kuchagua kuishi maisha yake na Imani yake.
@xxxl-jf2ji
@xxxl-jf2ji 3 ай бұрын
Majirani wambea sanaa mimi naona yupo sahihi tu
@snico2275
@snico2275 3 ай бұрын
Mtoto mchanga ujaze watu 😂😂 msiba wa kichanga hauna watu muacheni baba wa watu
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 3 ай бұрын
Bora huyu katoa taarifa, kuliko Mzee makonyagi wakule Chuga town hataki mtu yoyote kwenye msiba wa mtoto wake.
@gracewilliam4102
@gracewilliam4102 3 ай бұрын
Marasi hawana mambo mengi sana
@user-eu5ly2sk8w
@user-eu5ly2sk8w 3 ай бұрын
Jamani majirani acheni unafki na kufwatilia maisha ya watu mbona mnahangaika sana,na amejieleza vizuri kabisa
@winnesakara6957
@winnesakara6957 3 ай бұрын
Duuu pole sana
@rhobywerema6996
@rhobywerema6996 3 ай бұрын
Kwahiyo mtoto mchanga naye ujaze watu 😆
@user-tq5di6mv9c
@user-tq5di6mv9c 3 ай бұрын
Ndio hivyo mtoto wako lakini hauwezi kujipangia kumzika au kufanyaje
@serengetiduma1090
@serengetiduma1090 3 ай бұрын
Acheni kuongea sana, kama ni huyo Ras anaye fua nguo hapo! Huyo anaishi katka imani ya kirasta na huwa awana mambo mengi! ..
@khabibahussein7239
@khabibahussein7239 3 ай бұрын
Mmmh inashangaza jmn nashindwa niseme nini ,apumzike kwa Aman mtoto mzuri
@verynicemonyo8671
@verynicemonyo8671 3 ай бұрын
Ni maisha yake aliyojipangia kama alijulishq wengine Kuna Kosar gani😊
@victoriapatrick9840
@victoriapatrick9840 3 ай бұрын
Kwetu usukumani usipo jihusisha na jamiii/ nzengo basi likikukuta jambo we tulia tu upambane nalo au utozwe faini ya pesa na ng'ombe ndio watu waje kwako. Itakua ye pia aliwaza atawaambiaje jamii watamsimanga.
@RehemaShaban-bo4qe
@RehemaShaban-bo4qe 3 ай бұрын
Mwacheni kabisa uwezi jua Nini kimemsibu
@KukuWaMayai
@KukuWaMayai 3 ай бұрын
Maelezo yako ya mwanzo ni marefu sana!
@morjanoman5181
@morjanoman5181 3 ай бұрын
Akuna maajabu apo wala ofu ilonijambo la kawaidatu mtoto mcha malanyingi ndio uzikwa ivo uwezi kuita watu ata sisi. Tunazika ivo. Tu baba. Na kaka. Basi
@irhamseif
@irhamseif 3 ай бұрын
Jaman msiba bajet hari yenyewe ya mchungaji inaonyesha sio nzur muhim katoa taarifa ajataka mambo mengi gharama kubwa vyakula sijui nn ko kaona amalize tu
@sharifanyumayo6314
@sharifanyumayo6314 3 ай бұрын
Hakuna chochote mtoto mchanga hata kwetu tunazika wenyewe syo lazima watu ni watu hao watosha msimjaj hyo baba ni kawaida tu. Yuko sawa tu nyie majilan kunawatu hawapendi mambo mengi
@marygregory7566
@marygregory7566 3 ай бұрын
Kichwa cha habari kinasema mtoto Mchanga kwenye maelezo unasema mtoto wa miaka miwili
@user-ky5wu4gc9g
@user-ky5wu4gc9g 3 ай бұрын
Inawezekana kuna watu walimkamia kwamba siku akipata tatizo watamsusia yawezekana akaona isiwe tabu bora amalize mwenyewe tu, lkn chamsingi si amezika tayari? Bas imeisha hiyo
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 3 ай бұрын
Kaskazini mapepo yapo kwenu tu kila siku?😢 mjitafakari sana,je hakuna waombaji na wanawake waombolezaji huko kaskazini,kufunga hayo maroho? Manyara,arusha na kilimanjaro.
@SAIDIMUKSIN-iy2op
@SAIDIMUKSIN-iy2op 3 ай бұрын
Huo ndo umbea unajua ana miaka mitano lkn usijue Hana familia
@xxxl-jf2ji
@xxxl-jf2ji 3 ай бұрын
Umeonaee
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 3 ай бұрын
Labda kamtoa kafala duuuu maajabu kuzika watu watatu tuuu mmmm
@LukaNyagenda-pb9eo
@LukaNyagenda-pb9eo 3 ай бұрын
Mzee unazingua na wewe kwani kichanga huwa kinazikwa na watu wengi kichanga kinazikwa na watu wacheze mbona kama mnamkandia jamaa wa watu,acheni hizo,wabongo wengi huwa wanafata mikumbo,kuliko kutafakari uhalisia
@user-tk2we7cp5w
@user-tk2we7cp5w 3 ай бұрын
Kama mchungaji alikuwepo basi.
@user-bo5qp9gz8m
@user-bo5qp9gz8m 3 ай бұрын
Uyo Rasta mwenyewe ndo mchungaji
@vero57
@vero57 3 ай бұрын
Imetokea arusha kitu kama hiki juzi
@agreynkya4876
@agreynkya4876 3 ай бұрын
polen watu wa mbugan
@vero57
@vero57 3 ай бұрын
Kutakua na kitu kwanini wanazika bila kuwaambia ndugu????
@Neema-lh3pb
@Neema-lh3pb 3 ай бұрын
Magugu jmn
@mtimti3912
@mtimti3912 3 ай бұрын
Shida nini mtu kuishi maisha yake
@AllyTingi
@AllyTingi 3 ай бұрын
Tulip lalini tena jamani
@naimajuma647
@naimajuma647 3 ай бұрын
Itakuwa kauwawa huyu mtoto kwa iyo kawai kuzika ili isigundulike 😢
@user-pz5qs4ki7s
@user-pz5qs4ki7s 3 ай бұрын
Acha ujinga wewe
@naimajuma647
@naimajuma647 3 ай бұрын
Yawezekana mjinga ni wewe coz kama hujaelewa taarifa basi utakuwa na utindio wa ubongo
@merrynancesimon1562
@merrynancesimon1562 3 ай бұрын
Kweli kabisaaa❤huyu mtoto kauwa😢😢
@aloycesamba998
@aloycesamba998 3 ай бұрын
Mbona Hilo tulio Ni Kama la kata ya kiutu Arusha jamani!
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 3 ай бұрын
Ndugu yangu kaskazini kuna mambo ambayo hata SHETANI ANAWASHANGAA
@joyce55727
@joyce55727 3 ай бұрын
Pia nashangaa ila yule hana lasta alitoka adi getini kwake akawa anafokeana na wananchi
@verynicemonyo8671
@verynicemonyo8671 3 ай бұрын
Ni maisha yake aliyojipangia ili mradi havunji sheria
@23tv-u7x
@23tv-u7x 3 ай бұрын
😮😮😂
@user-sv6zy3hc8o
@user-sv6zy3hc8o 3 ай бұрын
Asa wewe unacheka nini
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 3 ай бұрын
​@@user-sv6zy3hc8okichaa sio lazima kutembea uchi😢😢😢😢
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 3 ай бұрын
Bakali sauti yako iko chin sana uongezage sauti bana unaongea kama unanon'gona
@neemamwanga5447
@neemamwanga5447 3 ай бұрын
Meru leo tupo magugu yote ni kaskazini ndio maana majanga hayaishi tumrudie Mungu jaman inauma nyie
@user-qh2bx5em6j
@user-qh2bx5em6j 3 ай бұрын
Ww ni mmbea tu
@aldeamasuki6196
@aldeamasuki6196 3 ай бұрын
Umbea unakuwasha wewe
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 11 МЛН
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 39 МЛН
Jumping off balcony pulls her tooth! 🫣🦷
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 26 МЛН
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 8 МЛН
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 11 МЛН