Рет қаралды 19,735
Sayyida Khoula ni maarufu kama Bihole miongoni mwa wenyeji wa kisiwa cha Unguja, na hadithi ya maisha yake ni ya kusisimuwa sana. Leo kwenye #Gumzo, Sheikh Riadh Al Busaidi anaeleza undani wa maisha ya mwanamke huyu shujaa, jasiri na mkarimu.