TAREIKH YETU MSIMU WA KWANZA (SILSILA 7): Nyakati na Maisha ya Sayyid Barghash bin Said - Part 1

  Рет қаралды 9,258

Gumzo la Ghassani

Gumzo la Ghassani

4 жыл бұрын

Sayyid Barghash bin Said Al Busaid alikuwa sultani wa tatu wa Zanzibar na hadithi ya maisha yake kabla na baada ya kuwa sultani imejaa visa vya kusisimua. Ndiye alama ya kile kilichokuja kufahamika baadaye kama 'Mwamko wa Zanzibar' kwenye maendeleo ya uchumi, teknolojia na ustawi wa zama hizo.

Пікірлер: 13
@abdulshellah8975
@abdulshellah8975 4 жыл бұрын
Ni simulizi nzuri keep going
@user-dl3ep1ow3y
@user-dl3ep1ow3y 11 ай бұрын
ASSLAMALAKUM MASHAALLAH I LOVE ZANZIBAR I AM LUVING IN 🇬🇧 I AM ORIGINAL FROM KENYA 🇰🇪 MOMBASA BUT I STILL LOVE ZANZIBAR FROM BOTTOM OF MY ❤ HEART MY PARENTS FROM ,ZANZIBAR BUT I AM BORN IN KENYA 🇰🇪 MOMBASA .I LOVE ZANZIBAR AND PEOPLE OF ZANZIBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@nothingtoworry4558
@nothingtoworry4558 3 жыл бұрын
Thank you very much I was looking for history of sayid barghash he was great leader .
@ibnkhaldun1164
@ibnkhaldun1164 3 жыл бұрын
Dah!Sim mchezo
@saidhamad7504
@saidhamad7504 4 жыл бұрын
Mapambano yanaendelea
@salimalaraini4017
@salimalaraini4017 3 жыл бұрын
Ni simulizi zuri sana kuhusu maisha ya wafalme. Ni muhimu sana kuchukuwa mfano mzuri kutokana na historia yao na sisi vipi tutaweza kunufaika kutokana na historia hii iliojaa simulizi.
@afrabiakisope6743
@afrabiakisope6743 4 жыл бұрын
Assalam alaykum Mussa kutoka Zanzibar naomba historia ya Zanzibar kabla na baada ya mapinduzi
@imraniqbal00765
@imraniqbal00765 4 жыл бұрын
Assalam aleiykum .tunawashukuru Saanna kwa simulizi hizi Tunafaudika sanaa
@fatmasaid5864
@fatmasaid5864 4 жыл бұрын
Lakini muda mdogo sana
@abdulazizharthy5627
@abdulazizharthy5627 Жыл бұрын
Historia nzuri ya Zanzibar makosa makubwa yaliyofanywa na hao watawala wa al-Busaidi kuwaamini waingereza katika mambo ya ulinzi na hapo ndipo walipo wafikisha ni wanafiki wakubwa hawa wazungu nchi imepotea mali zimepotea pia roho zao zimepotea
@alinasir567
@alinasir567 3 жыл бұрын
Jee Al mabusaid ndio kabila waliotawa pekeyao au kuna kabila jengine lililo wahi kutawla zanzibar ? Kuna habari kuwa mazuruwi ndio walio tawala kwanza kabla ya albusaidi jee yanaukweli?
@ladislausngoyinde4384
@ladislausngoyinde4384 3 жыл бұрын
Ongelea na biashara ya utumwa
@fatmasaid5864
@fatmasaid5864 4 жыл бұрын
Mazungumzo matamu sana
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 10 МЛН
Summer shower by Secret Vlog
00:17
Secret Vlog
Рет қаралды 9 МЛН
Little girl's dream of a giant teddy bear is about to come true #shorts
00:32
HAWA NDIO WABADHIRIFU KATIKA RIPOTI YA CAG ZANZIBAR
6:24
ZINJIBAR TV
Рет қаралды 1,7 М.
ZANZIBAR SULTAN - NO SOUND
0:42
British Movietone
Рет қаралды 8 М.
RAIS MWINYI ASHIRIKI DUA YA MWANASIASA MKONGWE ZANZIBAR
4:25
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 1,7 М.
GUMZO LA BARAZA LA MNAZI MMOJA
8:51
Abu Shuraim
Рет қаралды 1,4 М.
Maisha ya ukwasi ya Sultan wa kwanza Zanzibar
38:51
ITV Tanzania
Рет қаралды 5 М.
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 10 МЛН