Daah,kiukweki Hassan ANAKERA,hana maana kabisa,mpaka Dr anapoteza mtiririko wa swali analolijibu au kuelezea.....amegeuza mazungumzo ya kihuni
@johnmamilo13265 жыл бұрын
Tatizo huyu jamaa anaongea sana anamchanganya doctor. We jamaa jarib kuji control katika kuongea. Control haiba yako (Sanguine)
@jkitebo65484 жыл бұрын
Nimerudia na mungu ampumzishe mahali anapostahili
@marijanikhalifa74454 ай бұрын
mnamada zuri hmpatii muhusika aweze kuongea vizuri
@mushken65 Жыл бұрын
Silazima alinganishe. Mke yuko nawewe kila siku na anaona hata mashini haisimami na hingurumi vile ilikuwa inafanya. Kwanini mke asiseme nguvu zimepunguka? 🇰🇪
@godfreydaniel68183 жыл бұрын
R.i. p mitimingi 2020
@stanleygeorge66385 жыл бұрын
Hasani ngoma alivyo ruka sasa
@thedon84674 ай бұрын
DOCTOR KUONGEZA UUME HAKUNA MADHARA
@jacksonmasirika3 ай бұрын
Naneno yanavuja nguvu zakiume
@thedon84674 ай бұрын
Doctor Kwa wale ambao hatuna wake wala mademu jee tukijichua Kwa mwezi mara moja Kuna mazara pia ?
@khalfannahayimbekwa14403 ай бұрын
Bwana habari hizi tunaambiwa kuwa mwenye sukari ugonjwa inamsababishia kukosa nguvu
@thedon84674 ай бұрын
DOCTOR MIMI NAOMBA DAWA YA KUACHA KIJICHUA
@evansjohn77662 ай бұрын
Kalanga unakula ya kukalanga au isokalanga,nisaidie hilo
@ntakobatagizeodette68764 ай бұрын
Muna weza kutupa namba ya simu ya Doctor
@khalfannahayimbekwa14403 ай бұрын
Hivi wanawake wao vipi ?yaani wao niwazima tu,hawawi katika wenye kukosa nguvu.?
@hossenomari29833 жыл бұрын
Doctor ili mwanamke afike kileleni inahitajika muda gani kwa tendo
@kadarahbeshop54035 жыл бұрын
Dr, kuna kipindi chako moja inaniumiza sana sana inafanya niwaze mara mia, eti mimi nlikosea mungu nini? Dr, jambo langu ni hili, mkewangu yuko kenya mimi yuko Zanzibar, tatizo haniamini mimi, sababu nkiwa bado nko kenya nlikua nkiiewa transfer kikazi naenda sehemu nyingine tunaenda sote pamoja, c kwa nataka akae mbali na mimi, kwa sasa hivi nlikuja kupelekwa zanzibar kikazi, cha kwanza alikataa ni siende baadaya kakubali, nikaenda, tangu niende zanzibar ndoa yangu na yeye haiko vizuri, sababu ni, nkiwa kwa nyumba tunipigiana simu through imo video, nikimuona na yeye pia ananiona, kuna siku alinipigia simu ingala data ilikua on, simu ikaita sikupokea sababu nlikua bafuni kuoga, nlipo rudi kutoka bafuni nikaangalia saa kwenye simu, nikakuta amenitafuta, kwa dadika sio mingi, nkampigia mara hio hio akapokea, kupokea kaniambia henda hummalizie hio doz, ndio baadaye ukimaliza unipigie, nlidhani kama ananitania kumbe yuko huakika, nikamjibu aa wacha hayo nlikua bafuni mkewangu nlikua naoga, Dr akunielewa kinijibu kamalize kwanza, nkamwambia nisha maliza kuoga na nkiwa bafuni ndie umenitafuta! Hio shida mpaka sahivi inasumbua roho yangu zaidi mkewangu ananichukulia vp? Na vle ninampenda, bado si kati tamaa nampigia bado lakini hapo kei, nikimtumia ujumbe ammna jibu ata, Dr kuaminiana imeni shika sana hio kipindi, kuna kipisi hapo imeni guza sana hadi nikaumia roho, KUNYOA JUU ADII CHINI KANI KATAZA MIMI, kuna wakati nlinyoa nkasema wacha niende nyumbani nkapitia saluni nkanyoa vizuri nkidhani nitampendeza, kufika nyumbani alini pokea baadaye nkatoa shati nka baki na vest, kanichunguza uko juu kapata nmezitoa nko safi, Dr hapo hapo, maneno zake kanza kua tafauti, nkimuliza kitu jibu mbaya mbaya dah, nlishangaa kwani nmefanya kosa gani tena, saa ya kulala ikafika nkaona ana shuguli na miki ata, nikambemveleza pole pole, akani jibu alieni nyoa akanipa si yeye, nika shanga sana, akaniambia tena nilie kuanaye akinipigia simu ndio nkatae kupokea niende kwake, Dr sina la kusema hadi kwa sasa, ilibidi n rudi Zanzibar makavi hivyoo, bado namtumianga meseji na hajibu, asubui na jioni kila siku na tuma mimi, kwa sasa narudi kenya tareh 18 nifanye nini ndio anielewee jamani? Wenye watasoma haya meseji yangu jamani naomba ushauri! Asanteni sana
@user-te4no2di1s3 ай бұрын
Nauriza wakati mwanamke ana uterezi mbegu za kiume zinatoka haraka kwani zinafutana,
@khadijamisayo74764 жыл бұрын
anaerudia kuangalia hii leo baada ya mchungaji kuaga dunia nani? rip
@bhangolyangwa74493 ай бұрын
Nafanya marudio
@bhangolyangwa74493 ай бұрын
Topic nzuri kurejea
@user-gw3sf2pm8r2 ай бұрын
O
@judithmbwilo11945 жыл бұрын
Huyo mtangazaji wa kiume anaongea sana hadi anakela, kwani yeye ni doctor au mtangazaji?
@yasinselemani563 жыл бұрын
Kaselini ndionn
@stephanoiddi5683 жыл бұрын
Jj
@derrickthedon914 жыл бұрын
Hairuhusiwi chiinii ya umri wa miaki kumi na nane
@abubakarmpole40003 жыл бұрын
Dr hapo kwa Multiple relationship ni uwongo.
@marijanikhalifa74454 ай бұрын
mpe nafasi anongee sas dokta
@isatewa44182 жыл бұрын
Mm naweza sema mke ambae si bikra siwezi toa mali
@isatewa44182 жыл бұрын
Dokta kiukwer ndio mana Kuoa mwanamke ambae sio bikra niharamu xana kiukwer
@hasanoshohilali102 жыл бұрын
Imeandika WAP ni haramu
@hubman67804 ай бұрын
Shida ni Sindano na vitanzi vya kupanga uzazi
@user-yb6qc4bk3h4 ай бұрын
Mafundisho mazuri naomba number yenu
@davidawet32144 жыл бұрын
Hata huyo dada mtangazaji anaonyesha hajawahi kufika kileleni
@abubakarmpole40003 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 spare my ribs
@hasanoshohilali102 жыл бұрын
Kashapata mwingine,,achana nae
@madharayakuachaimaniyadini50663 ай бұрын
Lakini pia wanasahau kwamba wanatupa lawama sana kwa wanaume wakati pia wanawake wengi wamekuwa malaya yaani wametumika sana kiasi kwamba hawaliziki kabisa na wameshatumia matango, artificial penis, chupa za soda nk. Sasa huyo wewe binadamu unamlizishaje? Nashauri wataalamu wafanye utafiti wa kutosha kwa jinsi zote ili wapate namna ya kusaidia watu wote.