TAZAMA KIWANDA CHA PILI AFRIKA KINACHOZALISHA SARUJI NYEUPE NA CHA KWANZA UKANDA WA JANGWA LA SAHARA

  Рет қаралды 4,534

ViwandaBiashara TV

ViwandaBiashara TV

Күн бұрын

TAZAMA KIWANDA CHA PILI AFRIKA KINACHOZALISHA SARUJI NYEUPE NA CHA KWANZA UKANDA WA JANGWA LA SAHARA..

Пікірлер: 16
@athumanibakari-j6u
@athumanibakari-j6u 4 күн бұрын
Kwa kweli Tanzania tunasonga mbele.
@zuhuramniwasa1063
@zuhuramniwasa1063 2 ай бұрын
Hichi kiwanda kipo mbele ya nymba yangu, mita kama 50, Original plant ambacho kiwananda dada kinachotengeneza cement ya Diamond ilikuwa kama mita 200 kutoka makazi ya watu, na huko ndani kuna kimto unaokusanya maji ya mvua, wakaja kununua hizo mita 200, wakajenga Ukuta na wameziba mitaro yote iliyokuwa inapeleka maji ya mvua kwenye mto, Sasa mvua ikinyesha maji hayana kwa kwenda ninapata shida sana jamani na hakuna anayetusikiliza, sina shida na kiwanda lakini watengeneze mifereji ya maji ya mvua kuondaka kwenye makazi ya nyumba zetu
@AbuuRamadhani-o7k
@AbuuRamadhani-o7k 2 ай бұрын
Tuwe na viwanda vya kuchakatà madini Tanzania
@JovinusMuchunguzi
@JovinusMuchunguzi 2 ай бұрын
Cement
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 Ай бұрын
HII WIZARA INATAKIWA INATAKIWA ISAMBARATISHWEEEE KABISAA KUWE NA WIZARA MBILI BIASHARA IWE KWENYE FEDHA , NA VIWANDA IWE KWENYE TECHNOLOGY ILI UFANISI UWE JUUU ,BIASHARA NA FEDHA WA FACILITATE PATO ,, HUKU VIWANDA NA TECH WABORESHEE VIWANDA KUTOKA LOCAL TO ADVANCED
@TuntufyeBrayson
@TuntufyeBrayson 3 ай бұрын
Jamani hii spidi mbona kubwa mtatuuwa sasa
@PasserbyMan-ju8ky
@PasserbyMan-ju8ky Ай бұрын
😂 ndo I like Yani ndo I like
@OnesmoSanga-j2f
@OnesmoSanga-j2f 2 ай бұрын
Saruji I cement
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 Ай бұрын
Kuna siku nili jiuliza kwanini viwanda vingi vina feli ,policy ya wizara wizara ya viwanda inatakiwa kwenda sawa na tech hapo tutakua na viwanda vikubwa kila mahala ,
@RichardGhatiOjina
@RichardGhatiOjina 3 ай бұрын
Hi
@davidluangisa4515
@davidluangisa4515 2 ай бұрын
Aisee hii nimeilewa
@AbuuRamadhani-o7k
@AbuuRamadhani-o7k 2 ай бұрын
Bila waarabu na wahind bc Tanzania haiwez kufika mbali tuache ubaguz tuwakaribishe waarabu wawekeze
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 Ай бұрын
TANZANIA UWA TUNA JISIFIA UJINGA SANA ,ILITAKIWA HAPA WAJISIFIEE TUNA VIWANDA VITANO VYA AINA HIII ,TANZANIAA NIPANA SANA MAENEO YALIO WAZI NI MAKUBWA SANA ,KODI NAYO IPUNGUZWEE KWA ,KENYA WANA 15% NA WAKO JUU KIUCHUMI KWASABABU WANA MZUNGUKO MKALI WA BIASHARA
@JustinJoseph-k2t
@JustinJoseph-k2t 2 ай бұрын
Viongozi wa nchi hii wanakimbia mno na magali
@OukoCliff-w
@OukoCliff-w 2 ай бұрын
Saruji ni nini
@RonnieBertin
@RonnieBertin 2 ай бұрын
Siment tunayotumia kujenga nyumba
The Most Complex International Borders in the World - Part 4
17:47
How to treat Acne💉
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 108 МЛН
The Best Band 😅 #toshleh #viralshort
00:11
Toshleh
Рет қаралды 22 МЛН
It works #beatbox #tiktok
00:34
BeatboxJCOP
Рет қаралды 41 МЛН
How did Turkey change Somalia's fate?
23:42
TVNET X
Рет қаралды 689 М.
What is happening in Southern Azerbaijan? | Documentary
18:53
Young Lionel Messi Was Actually INSANE
14:20
VSP7 FOOTBALL
Рет қаралды 460 М.
Petroleum - Modern history of oil on a Map
14:16
Geo History
Рет қаралды 10 МЛН
MABEHEWA 264 YA SGR YA MIZIGO YAWASILI NCHINI
3:43
TRC RELI TV
Рет қаралды 16 М.
Rais Magufuli atema cheche sakata la sukari ya viwandani
12:03
Rais Magufuli agoma kupandisha mishahara, aeleza sababu
16:34