TAZAMA KIWANDA CHA PILI AFRIKA KINACHOZALISHA SARUJI NYEUPE NA CHA KWANZA UKANDA WA JANGWA LA SAHARA..
Пікірлер: 16
@athumanibakari-j6u4 күн бұрын
Kwa kweli Tanzania tunasonga mbele.
@zuhuramniwasa10632 ай бұрын
Hichi kiwanda kipo mbele ya nymba yangu, mita kama 50, Original plant ambacho kiwananda dada kinachotengeneza cement ya Diamond ilikuwa kama mita 200 kutoka makazi ya watu, na huko ndani kuna kimto unaokusanya maji ya mvua, wakaja kununua hizo mita 200, wakajenga Ukuta na wameziba mitaro yote iliyokuwa inapeleka maji ya mvua kwenye mto, Sasa mvua ikinyesha maji hayana kwa kwenda ninapata shida sana jamani na hakuna anayetusikiliza, sina shida na kiwanda lakini watengeneze mifereji ya maji ya mvua kuondaka kwenye makazi ya nyumba zetu
@AbuuRamadhani-o7k2 ай бұрын
Tuwe na viwanda vya kuchakatà madini Tanzania
@JovinusMuchunguzi2 ай бұрын
Cement
@kaaakwakutuliaa5179Ай бұрын
HII WIZARA INATAKIWA INATAKIWA ISAMBARATISHWEEEE KABISAA KUWE NA WIZARA MBILI BIASHARA IWE KWENYE FEDHA , NA VIWANDA IWE KWENYE TECHNOLOGY ILI UFANISI UWE JUUU ,BIASHARA NA FEDHA WA FACILITATE PATO ,, HUKU VIWANDA NA TECH WABORESHEE VIWANDA KUTOKA LOCAL TO ADVANCED
@TuntufyeBrayson3 ай бұрын
Jamani hii spidi mbona kubwa mtatuuwa sasa
@PasserbyMan-ju8kyАй бұрын
😂 ndo I like Yani ndo I like
@OnesmoSanga-j2f2 ай бұрын
Saruji I cement
@kaaakwakutuliaa5179Ай бұрын
Kuna siku nili jiuliza kwanini viwanda vingi vina feli ,policy ya wizara wizara ya viwanda inatakiwa kwenda sawa na tech hapo tutakua na viwanda vikubwa kila mahala ,
@RichardGhatiOjina3 ай бұрын
Hi
@davidluangisa45152 ай бұрын
Aisee hii nimeilewa
@AbuuRamadhani-o7k2 ай бұрын
Bila waarabu na wahind bc Tanzania haiwez kufika mbali tuache ubaguz tuwakaribishe waarabu wawekeze
@kaaakwakutuliaa5179Ай бұрын
TANZANIA UWA TUNA JISIFIA UJINGA SANA ,ILITAKIWA HAPA WAJISIFIEE TUNA VIWANDA VITANO VYA AINA HIII ,TANZANIAA NIPANA SANA MAENEO YALIO WAZI NI MAKUBWA SANA ,KODI NAYO IPUNGUZWEE KWA ,KENYA WANA 15% NA WAKO JUU KIUCHUMI KWASABABU WANA MZUNGUKO MKALI WA BIASHARA