TAZAMA MCHEZO HATARI WA KUJIRUSHA BAHARINI, UMEKUWA KIVUTIO ZANZIBAR, SERIKALI YAANGILIA

  Рет қаралды 88,586

Millard Ayo

Millard Ayo

2 жыл бұрын

#makachuZanzibar #millardayoUPDATES
Makachu ni mchezo maarufu kwa Zanzibar hasa eneo la Forodhani vijana wengi hujumuika muda wa jioni na kucheza mchezo huo wa kujirusha Baharini, kwa sasa ni kivutio kikubwa kwa wageni wanaotembelea Zanzibar na tayari Serikali imekuchukua hatua za kuwatazama vijana wanaocheza mchezo huo kwa kuwaboreshea eneo wanalofanyia mchezo huo

Пікірлер: 178
@abdulaabdula2631
@abdulaabdula2631 2 жыл бұрын
Hongra kak..... Kutemblea kisiw ch marash my home good good. Gonga like hap kw zanzibar. Km upendo❤️
@salumabdallah2990
@salumabdallah2990 2 жыл бұрын
kisiwa cha marashi ni pemba
@Alkaburu
@Alkaburu 2 жыл бұрын
Nakumbuka nikiwa Nina umri wa miaka kumi takribani miaka ishirini na mbili iliyopita nilinusurika kufa hapo Allah aliniokoa. Alhamdu lilahi. Lakini makachu ni raha. Keep it on love you zanzizbar wherever I am.
@Mustakeem967
@Mustakeem967 2 жыл бұрын
Ok
@receptionifabeach1329
@receptionifabeach1329 2 жыл бұрын
Wengi vijana wa ngamo tumepita hapa hahaha nazani ulikuwa mtoro chuoni na unakuja kujificha forozani kwa makachu hahaha
@Alkaburu
@Alkaburu 2 жыл бұрын
@@receptionifabeach1329 sure bro That day nilifanya utoro kidogo nikatinga foro
@magorimagori9264
@magorimagori9264 2 жыл бұрын
Huyu mtangazaji ni International level aisee...anajua kuuliza maswali vizuri sana na anajua kutumia sauti yake..nimemfatilia sana tangu anaishi mwanza pale nyegezi he is a good guy...keep it up brother
@Mustakeem967
@Mustakeem967 2 жыл бұрын
Ok
@bekabakari7394
@bekabakari7394 2 жыл бұрын
Jambo muhimu ni kupewa elimu Hao wanao ruka isitoshe wapimwe Afya zao na vilevile naomba Wapewe mafunzo kwani wanaruka ovyo Ovyo watapata vilema kuvunjika shingo Na sehemu nyingine naona wengine Wanaangukia tumbo ni hatari Pia waokoaji wa majini lazima wawepo
@ladyt1471
@ladyt1471 2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@Mustakeem967
@Mustakeem967 2 жыл бұрын
Afya wanazo ndomana wanaruka
@ashuranuhu8586
@ashuranuhu8586 2 жыл бұрын
Yani iyo sehem watu wengi wamebakia walemavu kisa uo mchenzo tu
@kijaziwakijayo6833
@kijaziwakijayo6833 2 жыл бұрын
Huu mchezo mwanzo ulikuwa on fire utaanza kupoteza radha sasa kwa kuwa control na mamluki kujiingiza
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 2 жыл бұрын
Hapa Forodhani ni zaidi ya miaka khamsini vijana ikifika jioni tuu mchezo unaanza.watu wazamani walikuwa wakipanda juu ya ile restaurant na kuruka, vipi ilikuwa raha Zanzibar ikifika jioni hapo Forodhani. .Dr. Hussein vijana kama hawa lazima uwape support kubwa...
@ladyt1471
@ladyt1471 2 жыл бұрын
Serikali ingewajengea vizuri ikaweka steps pale mkiruka badala yakupanda ukuta mpite kwenye steps naona kama mtafika mbali zaidi hata kwenye michezo ya Olympics mutafika kukiwa na mpangilio mzuri
@Mustakeem967
@Mustakeem967 2 жыл бұрын
Tumependelea ukuta
@yunushuden1639
@yunushuden1639 2 жыл бұрын
Na ngazi zipo sio kama hamn ila ukuta ndo kat ya kivutio pia
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 2 жыл бұрын
Hivii panakuwa na kina apoo wanapotulia amaa maji ya kifua tuu
@ashuranuhu8586
@ashuranuhu8586 2 жыл бұрын
@@ramsikhamis7083 parefu apo tena san hasa yani kama hujui kuogelea unakufa apo
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 2 жыл бұрын
Mambo ya kawaida tu ayo kwa wazanzibar lazima upite apo toka enzi na enzi hakuna hatari yoyote
@ameirdarueshi2593
@ameirdarueshi2593 2 ай бұрын
Kipindi icho sisis tunaita mizingani nishapija makwachu kwa sana tu kipindi icho nasoma ndani ya shule ya hammamni halfu kuna sehemu nyengine inaitwa ngazi miaaa 100 alo kitambo sana inshallah nikirudi tz kwa kudraa za Allah nataka nifike apo
@davidephrahim4298
@davidephrahim4298 2 жыл бұрын
Ah! Makachu forodhani! I Miss This!
@khadijaali6
@khadijaali6 2 жыл бұрын
Wekeni walipe mpate rizki hakuna vya bure siku hizi
@saidlucas1216
@saidlucas1216 2 жыл бұрын
Masha-allah
@AlAl-sd9pl
@AlAl-sd9pl 2 жыл бұрын
Manshallah Kaka mzur umeoa kama hujao mke mwema nipo hapa
@ambarnelly6304
@ambarnelly6304 2 жыл бұрын
Kwa iyo skuiz kuogelea hapa ni kwa kibali? acheni ayo mambo maisha magumu na starehe ya mnyonge isiyo na dhambi pia mnataka kuifanya ngumu ,ayo mambo ya vibali hatuyataki pelekeni ukoo
@abdulmohd6880
@abdulmohd6880 2 жыл бұрын
Good job, sema uyu mwandishi namfananisha na Dula Ambua kwl yn au n ndugu?
@mariyammariyam7209
@mariyammariyam7209 2 жыл бұрын
Sio mchezo mzuri sana watu waumia sana uti wa mgongomungu atawasitiri
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 2 жыл бұрын
Htr Yann icho ni Kipqji na nchi. Za wenzetu wanafanya ji ajira iyo sio mchezo WA Bure
@amoury1481
@amoury1481 2 жыл бұрын
6:05 That one is So Funny🤣🤣
@frankmasamaki9640
@frankmasamaki9640 2 жыл бұрын
Jamani nawakaribisha kusikiliza wimbo wangu mzuri na mtamu sana
@mitanotena5149
@mitanotena5149 2 жыл бұрын
Niliruka sana hapo sana tulipiga vidola vya wazungu daaah enzi hizo natokea chuini hadi folo daah
@kassimomar7589
@kassimomar7589 2 жыл бұрын
Zanzibar Raha Sanaaaa
@paulinacherement2534
@paulinacherement2534 2 жыл бұрын
Mashallah ALLAH barik
@taliyagogo1481
@taliyagogo1481 2 жыл бұрын
مشاء الله عليهم.. أنا ازور زنجبار عشرات المرات . وهالمكان دوم اجلس فيه لأن يعجبني اشوف السباقات.. بس بجد الاخ العماني بويتكلم سواحيلي مضبطها صح كانه منهم وفيهم 😀😂 .. اقول للجروب بس لاتروحوا اماكن اخرى بتنزانيا حلوة وطبيعية مثل مونزا وبوكوبا واروشا وموشي... 👍🌺 ترا خلصتها تنزانيا حواطة واستكشاف
@anastansiamnenuka3548
@anastansiamnenuka3548 2 жыл бұрын
Welcome again Tanzania dear
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Karibu tena Tanzania.
@ronnamax238
@ronnamax238 2 жыл бұрын
Ukuye
@taliyagogo1481
@taliyagogo1481 2 жыл бұрын
@@ronnamax238 ???
@jumakhamis3767
@jumakhamis3767 2 жыл бұрын
مرحبا بك يا أخي الفاضل الزنجباري
@fauzenkassim8424
@fauzenkassim8424 2 жыл бұрын
Kwetu kuzuri mashaallah 🥰
@saidhassan7779
@saidhassan7779 2 жыл бұрын
Hichi ndio kisiwa ambacho watu wake wanaimani sana kwa hakika ndio kisiwa kitukufu kwa hapa duniani Mashaallah ,sio Kama Tanzania bara hapa kwa hakika kwa sbbu Wabongo ni shida duh
@ankdullahtv1693
@ankdullahtv1693 2 жыл бұрын
Wanainani ya kuswali tu Ila Wana laana ya zinaaa
@johanesbina1302
@johanesbina1302 2 жыл бұрын
Jidanganye
@sabraabdilnasir8826
@sabraabdilnasir8826 2 жыл бұрын
Umeongea ukweli zinaa hapo ndio yao na wala hawaogopi
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 2 жыл бұрын
Hahahahhaa mambo yasiyooneka kwa macho ndio hataarii zaidi kuliko yanayoonekana kwa macho...we fanta uchunguzi tena utakuja na majibu menginee na utafunga kimya kuwanenea watu wabaya kama hayo.
@salumsaid5519
@salumsaid5519 2 жыл бұрын
Hiyo sio hatr ni michezo yet wameruka kk zang nimeruka na mm na wataruka wtt wng asil haipotei Zanzibar ndio yet koga mton uliwe na mamba hbr redio
@glorydenis5111
@glorydenis5111 2 жыл бұрын
Hata sio mzuri
@hamidamer8849
@hamidamer8849 2 жыл бұрын
Waacheni wapige makwachu wote wanajielewa ao wanaakili zao kwiy linalowatokea watajijua wao wenyew sjawah kumuon chizi akaend foro akapiga makwachu
@mitanotena5149
@mitanotena5149 2 жыл бұрын
Daaaah saizi wanajisajiri aaaaaaaah ujinga tu!!zamani ilikuwa free hapo
@mundhiraly3368
@mundhiraly3368 2 жыл бұрын
Allah awalinde
@king_agil6297
@king_agil6297 2 жыл бұрын
Huyu muhindi muongo sijawahi kusikia kuhusu vitambulisho na mm naenda kujirusha na watu na sijawahi kudaiwa kitambulisho wala nn
@khadijaali6
@khadijaali6 2 жыл бұрын
Na pia kuwekwe mahodari wa hiyo kazi incase mmoja akishindwa asaidiwe😂😂uoga mbaya
@isackanhandula2345
@isackanhandula2345 2 жыл бұрын
Hatari
@mussadelight4038
@mussadelight4038 2 жыл бұрын
Yaan uku zenji ukiongeya maneno ayo bx ushamba
@salummazurui3270
@salummazurui3270 2 жыл бұрын
Naomba namba ya simu ya kiongozi wao
@saliminyusuph6122
@saliminyusuph6122 2 жыл бұрын
Hatari ipo wapi ata Mimi naweza hiyo.
@abbynimel-kindy5107
@abbynimel-kindy5107 2 жыл бұрын
Barua ya sheha tena.. Watu tumezaliwa stone town kesha unipangie boya nin wew...
@Mustakeem967
@Mustakeem967 2 жыл бұрын
Hujalazimishwa mzeee
@waforo
@waforo Жыл бұрын
Hujamuelewa mzee apo amezungumzia kuwa memba sio kuwa mrukaji warukaji wapo wengi ila member sio wte
@DoctorPesandegeMgangaTibAsili
@DoctorPesandegeMgangaTibAsili 2 жыл бұрын
🌳🌳🌳🌲🌲🌿🌿🌿
@hajiharoub8125
@hajiharoub8125 2 жыл бұрын
Kama Pana mawe bac nivizur yakatolewa kwaajili ya usalama zaid
@Mustakeem967
@Mustakeem967 2 жыл бұрын
Mbona sio hatar mzeee
@janetdaniely7945
@janetdaniely7945 2 жыл бұрын
Zanzibar 🥰🥰
@amanichaula1
@amanichaula1 2 жыл бұрын
Wenye mamlaka wautazame huu mchezo usije ukalete mahafa kuchukua taazari mapema
@Zainab-sq1tc
@Zainab-sq1tc 2 жыл бұрын
Kuna mmoja kashapararaiz
@linahsemindu4261
@linahsemindu4261 2 жыл бұрын
Sio mmoja wawili wamepalalaiz wapo kitandan hd Leo huo mchezo mbaya Sana Basi tu
@Zainab-sq1tc
@Zainab-sq1tc 2 жыл бұрын
@@linahsemindu4261 aisee kumbe wawil bhc mm nlimuona yule mmoja yaam dah cjui pesa wanalipwa nyng maskn dah
@linahsemindu4261
@linahsemindu4261 2 жыл бұрын
@@Zainab-sq1tc wawili my Tena huyu wa 2 naona ni wajuz juz nae anatakiwa pesa nyingi apelekwe nje ni kijana mdg Sana shombe shombe
@jacrinsubi4198
@jacrinsubi4198 2 жыл бұрын
@@linahsemindu4261 Kuna mmoja wa hapa mahonda kashafariki miaka Sasa.
@MCNgakungaJunior
@MCNgakungaJunior 2 жыл бұрын
MUWEKEWE NGAZI ZA KUPANDIA KUTOKA KWENYE MAJI KURUDI JUU. PIA MUWEKEWE KITU PA KUKANYAGA KABLA YA KURUKA HAPO.ISIWE TOFALI.
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 2 жыл бұрын
Serikali inaingiza pesa kwa nguvu za vijana kama mumejiandikisha munatangaza utalii nyie vijana munalipwa kila mwezi na serikali ama vp mwambieni Raisi awe anawalipa mana naona ata mukipata ajali hawawezi kuwatibu angalau mumengeomba insurance ili muende check up kwa mwezi sio kuruka tuu kuitangaza nchi wkt hampati chochote serikali oneni aibu kwa vijana hii ni ajira yao bwana
@SafiyaJ-yw2vt
@SafiyaJ-yw2vt Жыл бұрын
Ikitokea ajali mtu anaumia na ku paralais atajuta kuzaliwa ana dive anapgiza kichwa na mawe humo baharini tatizo ndo linaanza hapo
@amournassorsaid7694
@amournassorsaid7694 Жыл бұрын
Zanzibar ni yetu sote yaani kuogelea tu forodhani uwe na kitambulisho na barua ya sheha au mjumbe hee ni Mtihani basi?
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 2 жыл бұрын
Wanabiapaji vikubwq sn yn wngekuwa nje saaiz wanakula pesa mno. Lkn sio Tzd
@machinefannatic99
@machinefannatic99 2 жыл бұрын
Hio sehemu iacheni public kuifanya private ni ujinga mkubwa.
@pepokigoma5395
@pepokigoma5395 2 жыл бұрын
Tungepataa wabunge kama hawa tungefika mbali sana Mana weng waujum uchumii tuu?
@imransalim6352
@imransalim6352 2 жыл бұрын
kivutio kikubwa within but not duniani
@kylesmeight4837
@kylesmeight4837 2 жыл бұрын
Dunia hadi diddy kapost
@hannansdeliciousfood4261
@hannansdeliciousfood4261 2 жыл бұрын
Ni dunia aana wana trend vibaya
@mwambamkombozi4672
@mwambamkombozi4672 Жыл бұрын
Fanyeni kitu ambacho hao vijana they can make something in profit
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 жыл бұрын
Mtihani
@mosesmahinya9654
@mosesmahinya9654 2 жыл бұрын
Members 60
@respectall4551
@respectall4551 2 жыл бұрын
At 2.09 he said this game doesn't appear anywhere in the world except zanzibar 🙄. There kids doing this in Morocco too "paradise valley" Agadir Morocco.
@ummkolthumkoalthum3271
@ummkolthumkoalthum3271 2 жыл бұрын
Jiangalieni msije mkajivunja uti wa mgongo
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 2 жыл бұрын
Aje na kitambulisho cha mzanzibar? Kama anacho cha Bára je?
@siloomar7699
@siloomar7699 2 жыл бұрын
Kwan kuna cha bara au kuna cha tz?
@taliyagogo1481
@taliyagogo1481 2 жыл бұрын
Huyu kijana anaitwa Hussein ni handsome sana..kama kuna handsome Man toka zanzibar wapo... nataka mchumba.☺️☺️☺️ Am from Oman 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@binhussain3445
@binhussain3445 2 жыл бұрын
Handsome man tupo kila mahali ni wewe tuu useme wataka mfupi au mrefu
@taliyagogo1481
@taliyagogo1481 2 жыл бұрын
@@binhussain3445 😂 am serious about what I said 👍
@fariduwezo9557
@fariduwezo9557 2 жыл бұрын
Nipo handsome nilokosa Matunzo from Zanzibar
@taliyagogo1481
@taliyagogo1481 2 жыл бұрын
@@fariduwezo9557 I didn't understand??
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 2 жыл бұрын
😁😁😁
@djnajma5627
@djnajma5627 2 жыл бұрын
DAWA ZA KUONGEZA AKILI,PAMOJA NA KUMBUKUMBU,*# m.kzbin.info/www/bejne/pKXTpYmLl9x4qtU
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 2 жыл бұрын
Nzuri ila bado staili mpya hamuna mana wengine wanajirusha tu hazina mbwembwe.vionjo tafauti na zamani miaka ya 1995
@mwambamkombozi4672
@mwambamkombozi4672 Жыл бұрын
Waruhusuni wageni pia kufanya show kwa kulipia
@leahsamson9354
@leahsamson9354 2 жыл бұрын
MTANGAZAJI ANAFANANA NA DULA SURA HADI KUTANGAZA
@dullahdimba8423
@dullahdimba8423 2 жыл бұрын
Duuh
@kiehbhzh7044
@kiehbhzh7044 2 жыл бұрын
masha Allah lkn huu mchezo unawatia watu ulemavu wa maosha😅😅
@firdausqutty2067
@firdausqutty2067 2 жыл бұрын
Mchezo mbaya sana huo watu wanalala kitandani miaka kwa ajili ya michezo hiyo.
@Mustakeem967
@Mustakeem967 2 жыл бұрын
Qadar
@islamjarwan1476
@islamjarwan1476 2 жыл бұрын
Unajua kwanini mulikuwa nikivutio kikubwa na watu waliwapenda na mukaonekana ni wa kipekee ni ile staili ya kuchupa namakanzu yenu ingawaje sio vizuri lakini ndo mulipendeza sasa kama leo mumevaa sare munakuwa wakawaida tu sio ishu ni kama diving wengine tu duniani.
@Meshaonetz
@Meshaonetz 2 жыл бұрын
New songs Mimi na wewe kutoka kwangu njoo uisikilize nyimbo tam ya mapenzi
@salimally7358
@salimally7358 2 жыл бұрын
🤣🤣🙏
@stevemwakisimba5986
@stevemwakisimba5986 2 жыл бұрын
Badae mkipata matatizo ndio muanze kuomba msaada wakuoelekwa india
@jumakasim8784
@jumakasim8784 2 жыл бұрын
Aya hao wana luka kawaida sana unaluka unajigeuza ki samaki ukiwa angani sio poa
@mussadelight4038
@mussadelight4038 2 жыл бұрын
Wew fatilita iyo halfu nd uongee maneno yk
@adamzachariakinyekile6948
@adamzachariakinyekile6948 2 жыл бұрын
Aje na kitambulisho kama yeye ni mtanzania na sio kama yeye ni mzanzibari,wote ni watanzania
@zulaykhajuma41
@zulaykhajuma41 2 жыл бұрын
usime wa vyetu vyenu, vyenu vyenu umekufa now. Forodhani Iko Zanzibar na anataka lazima awe mzanzibar. So, aje na kitambulisho Cha Mzanzibar
@neemakombe67
@neemakombe67 2 жыл бұрын
Wakivunjika uti wa mgongo wanakuja kutulilia tuwasaidie michango
@ramlaomar7923
@ramlaomar7923 2 жыл бұрын
😁😂😂
@pantherking_tz
@pantherking_tz 2 жыл бұрын
Ndo hapo sasa na hawajifunzi tu kupitia hao waliokwishaumia.
@neemakombe67
@neemakombe67 2 жыл бұрын
@@pantherking_tz yani acha tuu wanaumia vibaya sana na wote waonaumia kwenye makachu ni uti wa mgongo unavunjika so sad kwa kweli
@bekabakari7394
@bekabakari7394 2 жыл бұрын
Keasababu hawajapewa mafunzo Ya kuruka majini wanajirukia ovyo ovyo Wakiangukia tumbo,shingo,vifua Nihatari sio kufurahia na serikali inaona
@ahmedmohd5507
@ahmedmohd5507 2 жыл бұрын
sku zote hakuna kizuri kikosacho kasor lila kitu kina faida na hasira zake so tuache husda na kuombeana mabala tuombeane mema tusapotiane na kwa maana ajali zipo majin na nchi kavu...!!
@myamwezmyamwez8669
@myamwezmyamwez8669 2 жыл бұрын
Washakufa wengi hapo na hilo eneo limesha lemaza wengi hivyo hivyo.
@AliMohamed-gv7nw
@AliMohamed-gv7nw 2 жыл бұрын
Hakuna sehemu wasokufa watu tatizo wengine maji sio Mambo yenu
@machinefannatic99
@machinefannatic99 2 жыл бұрын
Sio hatari achaneni ushamba nyie.
@Bilioneabichwa331
@Bilioneabichwa331 2 жыл бұрын
Huo mchezo muuache Mara moja .
@lispamagu5810
@lispamagu5810 2 жыл бұрын
Unaumwa wewe
@mussadelight4038
@mussadelight4038 2 жыл бұрын
Xx ukiskiy foro nd hap kweny buruda y makwachu
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 жыл бұрын
Sio mchezo mzuri sana baadae watapata madhara makubwa ya mgongo
@ahmedismail4192
@ahmedismail4192 2 жыл бұрын
Njoeni mafia money vipaji vya diving humujui chochote wanzazibari
@hannansdeliciousfood4261
@hannansdeliciousfood4261 2 жыл бұрын
Chuki hizo zisizo sababu chanzo chake roho mbaya na roho mbaya haijengi hubomoa....umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.....znz ni nchi ya utalii na vivutio vingii.....kazi kwako
@ahmedismail4192
@ahmedismail4192 2 жыл бұрын
@@hannansdeliciousfood4261 njoo mafia uone utalii znz hakuna chochote
@hannansdeliciousfood4261
@hannansdeliciousfood4261 2 жыл бұрын
@@ahmedismail4192 hahaha ukishaona ww inatoshaa......tangaza utalii nje sio kwa wazanzibar bye
@DoctorPesandegeMgangaTibAsili
@DoctorPesandegeMgangaTibAsili 2 жыл бұрын
*MASHALITI YA KUMILIKI PESA ZA MAJINI/MIZIMU.* 1. Uwe na umri kuanzia miaka 18 n.k 2. Uwe na moyo kutunza siri pindi utakapo kua umemiliki pesa za Majini/Mizimu. 3. Uwe ni wa kusaidia ndugu zako pamoja na kutoa misaada katika vituo wanavyo lelewa watoto yatima au wazee 4. Uwe unavaa nguo nyeupe kila siku ya alhamisi pamoja na kuchinja mnyama kila mwaka Kisha kula pamoja na ndugu zako au jamaa na marafiki. Usinyanyase ndugu eti kwasababu unamiliki pesa hizi. 5. Pia haichagui jinsia uwe mke au mume wote inawezekana kumiliki pesa za majini
@abdulialiy5411
@abdulialiy5411 2 жыл бұрын
Hindi ata kiswahili hakikijuwi vizur ila ndio linawapangia watu wapi wakoge na wapi wasikoge ndani ya nchi yao
@mrs2899
@mrs2899 2 жыл бұрын
😂😂😂 fala ww yy ni moja kati ya uongozi bichwa lako sikia vizur acha ubaguzi
@adaboychibu1659
@adaboychibu1659 2 жыл бұрын
@@alphadreammedia Anaweza akawa sio mzanzibar lakini akawa mtanzania halisi au bado ni mbaya ?
@gangmore9091
@gangmore9091 2 жыл бұрын
Unaijua Zanzibar na watu wanaoishi??
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 2 жыл бұрын
Baguzi hiloooo...bado na ushamba wa kizamani eti mhindi..big fool wewe
@gangmore9091
@gangmore9091 2 жыл бұрын
@@ezekieljacob5795 Inaonesha hajuwi hata zanzibar inawatu waaina gani 🤣🤣
@indigirlkacecullar9363
@indigirlkacecullar9363 2 жыл бұрын
Kwa wale wanaotaka mambo ya Wazima karibu ujionee 🍆🍑💧kzbin.info/www/bejne/pZOzmJqggLV3h6ucttps://kzbin.info/www/bejne/pZOzmJqggLV3h6ucttps://kzbin.info/www/bejne/pZOzmJqggLV3h6s
@frankmasamaki9640
@frankmasamaki9640 2 жыл бұрын
Jamani nawakaribisha kusikiliza wimbo wangu mzuri na mtamu sana
@priscangimba6194
@priscangimba6194 2 жыл бұрын
Jmn angalien msije mkavunja uti wa mgongo
@mussadelight4038
@mussadelight4038 2 жыл бұрын
Huk foro kwetu ni kawaid t n wat kutok nchi tofaut wanakuj kujioneya
@djnajma5627
@djnajma5627 2 жыл бұрын
DAWA ZA KUONGEZA AKILI,PAMOJA NA KUMBUKUMBU,*# m.kzbin.info/www/bejne/pKXTpYmLl9x4qtU
Watermelon Cat?! 🙀 #cat #cute #kitten
00:56
Stocat
Рет қаралды 52 МЛН
ОДИН ДЕНЬ ИЗ ДЕТСТВА❤️ #shorts
00:59
BATEK_OFFICIAL
Рет қаралды 6 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:19
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 21 МЛН
SHILOLE AKIRI "NITAOLEWA HATA NDOA 30, KWANI KUNA UBAYA?
23:13
Millard Ayo
Рет қаралды 8 М.
GARI NYUMBA LILILO NA SEBULE, JIKO NA CHOO CHA NDANI ZANZIBAR
19:34
HII NDIO NYUMBA INAYOTILIWA MASHAKA CHUINI ZANZIBAR
8:52
ZINJIBAR TV
Рет қаралды 216 М.
Watermelon Cat?! 🙀 #cat #cute #kitten
00:56
Stocat
Рет қаралды 52 МЛН