Ifahamu gari anayoitumia Rais wa Taifa kubwa Duniani la Marekani linaloitwa The beast ,Cadillac One.
Пікірлер: 157
@khamicabhumbho23932 жыл бұрын
Mwisho wa yote ulitakiwa umalizie .... ROHO ni ya Allah🙏
@zuweinaally24133 жыл бұрын
Welldoon.... Hizo ndizo taarifa wengine Tunataka kuzijua
@issaomar97422 жыл бұрын
Ww bro ww wcha uongo
@mkuluwaukae22213 жыл бұрын
Hizo zote ni mambo ya kusadikika lkn hakuna anayejua exactly kuhusu hilo gari, mainly kwasababu ya kiusalama zaidi
@mwashilindicommandos63903 жыл бұрын
Exactly nakuunga mkono
@idontknowwhoami30663 жыл бұрын
Usiseme za kusadikika Zina uhakika izo zote ila sio kwamba ni kila kitu kimewekwa wazi kuhusu ilo Gari
@nicholasgervas1673 жыл бұрын
Wee unazan kama Tanzania kila kitu kinafichwa
@mkuluwaukae22213 жыл бұрын
@@nicholasgervas167 wewe hujui chochote kuhusu mambo ya usalama, kwahiyo siwezi kubishana nawewe fala
@dickensdickala66017 ай бұрын
@@mkuluwaukae2221@mkuluwaukae2221 kuna mambo yanawekwa wazi na mambo yanafichwa kuna hata details za airforce 1 lkn zile za muhimu zaidi ndo zinakua siri, ukiangalia video ya admiral mcraven anayohutubia graduation utajua kuwa marekani hawafichifichi mambo madogo
@amepotea3 жыл бұрын
Wanadamu Ni mungu hutulinda , ufahari wote hubakia duniani.
@ilovejesus93033 жыл бұрын
Jamani saa nyingine tujivunie Mungu kutupa science ambayo inatusaidia kufanya mambo makubwa kama haya maana kiukweli yeye mwenyewe ndio hutoa hayo maarifa
@fadhilikawambwa15863 жыл бұрын
waweke na mtambo wa kumzuia mtoa roho.nadhani hilo ndio wamesahau tu
@JoshuaMartin-qk3ev3 жыл бұрын
Daaah we jamaa ulisoma hesabu za uganda labda, wanaopima uzito kwa nch
@daudipiusi43072 жыл бұрын
naipenda ayo tv huwa mnaenda kwenye point hamludii maneno hongeleni sana
@sonicaghendewa98863 жыл бұрын
Iyo nimeipenda Wallah 🤗
@citybirdproduction78283 жыл бұрын
Ayo Tv...gari langu linauwezo wa kusimama lenyewe iwapo linakaribia kugonga ktu..lina camera inayo mlika sehemu ya nyuma wakati wa reverse..lina uwezo wa kutoa inje tairi na kwenda chini linapoenda zaidi ya 100speed..naomba muliangazie gari langu
Yan ata iweje hawez kupambana na malaika izrail ata akijifugia humo humo
@totobady63683 жыл бұрын
Hatary cana
@evratvkenya92633 жыл бұрын
usa noma sana
@simonitaagesti36573 жыл бұрын
Huo ufahari tu waduniani na uwezo huo wote lknn mungu akitaka akuna kitu hapo
@wamoroboy89633 жыл бұрын
Muachie Mungu sasa
@rukiaiddyyahaya95063 жыл бұрын
Sahihi
@rogermomodesty35683 жыл бұрын
Mungu kataka sasa na ndomaana vipo,, izo akil zako mgando peleka shambani kwenu
@rashidkalabi82123 жыл бұрын
@@rogermomodesty3568 😀😀😀
@simonitaagesti36573 жыл бұрын
@@rogermomodesty3568 unawashwa kojoa ulale
@gideonimathew64913 жыл бұрын
Ntainunua kwa kweli maana siku hazigandi 😂
@danieltoroka72813 жыл бұрын
Sawa baina hongera ikulu ya waitaz Marekani
@martinswai80313 жыл бұрын
Kwani gari yenyewe bei gani tumnunulie mama
@abdillahialiy95113 жыл бұрын
hahahaha
@ilovejesus93033 жыл бұрын
😃😃😃😃🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤚🙉🙉🙉🙉
@josephatjordan55603 жыл бұрын
Sie tuna V8!!Unaijua V8 ww ???unaijua ?ndio tunatembelea sisi viongozi wa CCM 😂😂😂!!!namnukuu Humphrey Polepole 😂😂
@ibrahimsurvivor10583 жыл бұрын
Mm nilidhani lina flay over! Bado wapo nyuma sana. Huku kwetu gari la diwani wetu lina condom na kiti cha nyuma lina kitanda kwa emergency sex! Marekani waje wajifunze kwetu!
@joellymballawah81883 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@BestLife4863 жыл бұрын
Ww unajua V8 WEWEEEEE???😂😂😂😂😂
@ilovejesus93033 жыл бұрын
😃😃😃😃😃
@anarduk64383 жыл бұрын
Lkn mwisho wa hayo yote ni kwenye sanduku maskini. Ama kwa hakika ametakasika Allah SubhanaAllah muumba wa mbingu na nchi
@mecksonjoseph25222 жыл бұрын
Simpaka ufike uko mwisho nisha kula sana bata
@kelvinmazanda3 жыл бұрын
Sio uzito wa mwili na uzito wa milango,ni "upana", dakika ya 1:02 na 1:10. Kazi nzuri! 👏
@bonifasisichone73483 жыл бұрын
Nimezipenda
@irakozejclaude78693 жыл бұрын
Nataka hio gari nyumbani kwangu nikomeshe baba mwenye nyumba😀
@sonicaghendewa98863 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🤣😂😂😂🤣😂🤣Wenye nyumba wanakera jamaniiii
@ladymuna49453 жыл бұрын
😂😂😂😂😂hiyo kali 😂
@zanmedia52253 жыл бұрын
Mm baba mwenye nyumba wangu nilimkomesha kwa kumjengea nyumba yangu tena kubwa kuliko ya kwake pale pale tu jirani na nyumba yake, nilianza kujenga taratibu kimya kimya bila ya mtu yoyote wa mle ndani kuweza kujua, na wakati naijenga hiyo nyumba baba mwenye nyumba wangu alikua ni miongoni mwa vibarua wangu kwa upande wa paa alikua ni kibarua kwenye kuezeka, nikaja nikamkomesha siku ya kuhamia ilikua bado km wiki moja tu kuja kudai hela yake ya kodi, ndipo nilipoamua kumuita na kumpa taarifa za kuhama kwake na kuhamia kwangu, kwa dharau akanambia kama nahama nisijekupitiliza hata siku moja, kitu asichokijua kua kumbe mm nilikua tayari nishahamia kule ila nilikua sijatoa tu vitu vya ndani ya nyumba yake, nyumba yangu ilikua ni nzuri sana ilipendeza sana kwa zake za ndani na nje, siku wakati nahamisha vitu vyangu kutoka ndani mwake na kuvipeleka kwangu yule mzee alikuwepo maana ilikua ndio siku ya mwisho mm kwangu kubaki ndani ya nyumba yake na nilifanya hivo kusudi mana nilijua tu atakuja nami ndo nilitaka anione nikiwa nahamia, basi alipoona nahamisha vitu naingiza mle ndani yule mzee alikuja kuniuliza mbona unaingiza vitu humu ndani?? Nikamjibu ndo nyumba yangu hii, basi yule mzee akaanza kuiangalia ile nyumba kwa hasira na uchungu mkubwa sana hata hivo hakuamini aliwatafuta wale mafundi wake aloezekanao paa ili kuwauliza km ni kweli au sio kweli, wale mafundi nao wakamwambia ni kweli, basi mzee aligombana na wale mafundi kwa hasira eti kisa kafanya kazi kwenye nyumba yangu, asichokijua yule mzee ni kwamba mm nilipanga tu kwenye nyumba yake yakawaida kwa sababu nilikua nahitaji kusave hela ili niweze kumiliki kwangu so sikutaka kutafuta nyumba ya gharama saana kwa sababu hiyo, mm nafanya kazi Airport kwenye kampuni kubwa tu, so alijua ni mnyonge sana kama wengine kumbe maisha siri, alichokifanya yule mzee ile nyumba kauza hadi hivi sasa simjui hata wapi alipo, wale waliokua wapangaji wenzangu walinipa heko kwa kumkomesha yule mzee na nimemtia aibu sana, na wapangaji hadi leo bado wamo mle na maisha yanaendavizuri tu baba wa sasa hanaga usumbufu....hivyo napenda kuwashauri na nyinyi vijana wenzangu wenye nyumba ni wasumbufu sana baadhi yao tena wana roho mabaya sana, basi wakomesheni kwa style km hiyo na sio kwa milo mizuri au mavazi mazuri au usafiri mzuri nk na sio lazima umjengee nyumba jirani na ilipo ya kwake hapana ila ukihama tu na kuhamia kwako tayari ushamkomesha mwenye nyumba......Huo ni ushauri tu.
@irakozejclaude78693 жыл бұрын
@@zanmedia5225 ushauli mzuri bro Asante kwakutushauli Kwani namimi ni kijana.story yako tamu na nzuri nilipokuwa nasoma nilitamani kufukuza customers ili niifatilie kwa kina NIMEFURAHI NIMEJIFUNZA
@abdillahialiy95113 жыл бұрын
@@irakozejclaude7869 big up ndo maana wahenga wanasema usimzaru usiye mjuwa huyuwi yupoje
@rubensaitoti68393 жыл бұрын
Duuuuu kweli wezetu waneebdelea
@yunyun7993 жыл бұрын
Eeeeh kumbe 😩😩 xx mbona una toa xiri za kambi na ume zipata vp hzo habari maana xiyo poa 😩😩 hilo gari
@shakirajumanne22353 жыл бұрын
Hatar sana
@mussataliye78153 жыл бұрын
🙌🙌🙌
@alexcollins45993 жыл бұрын
Noma
@trio99113 жыл бұрын
Sasa diamond ndo awape watu wake magari kama haya sio yale makobe 😂😂
@ramahaji93423 жыл бұрын
Kwann diamond wkt hao kina dangote t hawana
@masudinangololo36723 жыл бұрын
Diamond 😁
@vanjay86853 жыл бұрын
Sasa si gari zake mbili ni cardilac tu kama hii ya raisi wa marekani...zote ni za kampuni moja ya GM
@danwayne7863 жыл бұрын
Dereva ni 007.
@abdulsiyo24313 жыл бұрын
BWANA asipoulinda mji walindao wakesha bure
@malikzafarani1723 жыл бұрын
Kizazi sana 🇶🇦
@princelameck66543 жыл бұрын
Naiomba serikali yetu imnunulie Rais wetu wa Tanzania Mama yetu Samia suluhu hassani.
@ilovejesus93033 жыл бұрын
😳😂😂😂😂😂😂😂
@yoryskills49933 жыл бұрын
Mtauza nchi ndio muipate...
@theblessedone75262 жыл бұрын
Kamnunulie na Hela zako
@idrisayussuf91223 жыл бұрын
Mtangazaji jifunze kutofautisha gari na gali munaharibu luha ya kiswahili
@ngundejkassim32523 жыл бұрын
mmmh cdhan kama inteligency ya marekani ingeweza ku-leak_kisha hizi taarifa nyeti
@mokajoli49283 жыл бұрын
Kabisa iyo habari ya kuzuxha sasa apo kunasiliganitena
@benderarulenge24772 жыл бұрын
Daaaah,wezetu ninomaaa
@danielmayo61302 жыл бұрын
Mungu akisema anahitaji roho yako huwez kubisha
@IdarousPossy8 ай бұрын
Yan vitu vinavyoelezwa hapo na mnavyoongea ni tofauti kbs ushasema Mungu mpk akitaka,kwaio km asipotaka bas kuna vitu vinamlinda
@kharounngavason80123 жыл бұрын
Dahhhhh
@johnmonorua51333 жыл бұрын
Kwani linauzwa shilingi ngapi
@famitoissa57063 жыл бұрын
Kiboko yao mtoa roho tu anaingia na anachukua chake na anasepa bila noma
@evancetilya51403 жыл бұрын
Da
@dalalibangokigamboni39583 жыл бұрын
Shida yote ya nini Sisi rais wetu anaishi fresh tu
@josephmwangi95563 жыл бұрын
Nataka moja
@buye54363 жыл бұрын
Madereva ni wawili, Vin diesel na Buye
@abdillahialiy95113 жыл бұрын
Hahahaha
@aminaomary92732 жыл бұрын
Hiyo ni atari sana
@juliusfredy40112 жыл бұрын
Atari kweli
@gulamsenhussein7372 жыл бұрын
Harmonize-Mang'dakiwe
@petercosta13173 жыл бұрын
Imekaa poa sana
@macamezunguzungu56973 жыл бұрын
USA si mchezo💪
@japhethmusymi37963 жыл бұрын
Mlinzi mkuu ni Mungu my friends
@mr_akily_og3 жыл бұрын
doooh nowm
@edwingwesso68183 жыл бұрын
Aletewe mama samia
@masangagondera46873 жыл бұрын
NEWS FROM BONGO FASTA, Jaribu kuwa Mtafiti sio copy and Paste
@kassimsaidi18383 жыл бұрын
Duuuh
@kharounngavason80123 жыл бұрын
Nnalo bana ahaaaa
@aminarashidi47573 жыл бұрын
vilevile gari hilo lina mfumo wa kukabiliana na iziraili.
@cozzotz50953 жыл бұрын
😁😁
@henrygwalema18603 жыл бұрын
Wewe ulijuale
@abelntobi3823 жыл бұрын
Muuu mbona gari ni dogo afu Mambo mengi hivyo..
@gulamsenhussein7372 жыл бұрын
Nyimbo ya harmonize mang'd akiwe
@issaomar97422 жыл бұрын
Hili gari n kali sana
@vascomwansile81403 жыл бұрын
MUNGU ndo kila kitu
@PatrickJoseph-vw2tn4 ай бұрын
Vari l aja buhii pigwi bomu Mwisho
@mobellamobenimpenda70553 жыл бұрын
Na sisi mama samia anatakiwa atape hiyo gar ilikumurinda mama etu
@adsonngugi12893 жыл бұрын
Hiyo nitaendea kesho
@anthonykondobole39623 жыл бұрын
Yaan ni hvi huo hta sio usalama,maana aliyetengeneza ji si anavyowaelezea watu uimala wake,ndo hvyohvyo atawaelezea waharifu udhaifu wa hilo gari.
@othmanalnabhany32083 жыл бұрын
Tangaza channel yako tu lkn si kwa uwongo huo
@rwandaafrika61733 жыл бұрын
Mali ya Dunai ni bure Mwisho wake ni kufa tu
@ssalimsalim38642 жыл бұрын
Tuendelee kulipa kodi ya tozo kwa bidii ili nasisi tumnunulie raisi wetu .
@silivestatesha69453 жыл бұрын
Hata angeendasha fisi tusitishwee
@joshuamlay78343 жыл бұрын
Simbavsnyati
@sammymorondi96013 жыл бұрын
Jd pm C
@jumamglecs76843 жыл бұрын
Taifa kubwa duniani ni Russia Ina Squire miles 6.6million while US ina 3.8million. Kama Uchumi China Ina Uchumi wa kuhudumia watu 1.4 Billion ambao ndio population ya china wakati huo US population ni 3.3 million. Kama huendeshwi na propaganda za Kimagharibi ukitafuta utajua taifa kubwa duniani ni lipi.
@freduallughano23013 жыл бұрын
Acha upotoshaji kwa hiyo tanzania ni taifa kubwa kuliko Japan?maana ya taifa inaeleweka kapotoshe mghahawani huko.
@Soon8155 ай бұрын
Wewe ni kilaza wakutupwa hujui chochote😂😂
@roselyneachieng76383 жыл бұрын
Lakini kifo haijui hizo kifo hupenya hdi penye ukifikiria maana haionekani maulana tuu ndie aijuawe
@Sokesia3 жыл бұрын
TUENDELEE KUSAPOTI KONDE GANG BONYEZA PICHA KISHA FOLLOW
@mrizzy54243 жыл бұрын
uzito wa nchi nane duuh
@khadijambarouk29833 жыл бұрын
Sio nchi ni inches
@mrizzy54243 жыл бұрын
@@khadijambarouk2983 sawa hiyo hiyo inches n kwel SI unit ya uzito n inches jmn
@shabanimyombe38343 жыл бұрын
Ona sasa umefanya nirudie kuitazama hii video
@khadijambarouk29833 жыл бұрын
@@mrizzy5424 😂😂😂😂😂
@perezcelestine45162 жыл бұрын
.
@khadijambarouk29833 жыл бұрын
Sifa zote hizo lkn ziraili akitaka kufanya kazi yake ya kutoa roho hakuna kitakachofanya kitakachozuia 😂
@rehemasalim45903 жыл бұрын
😃😃😃
@wamoroboy89633 жыл бұрын
Ad wew 😂😂
@benderarulenge24772 жыл бұрын
Tusione wivu sema uwezo huo hatna tuu
@erickevarist87383 жыл бұрын
Duh vp kuhusu kifo hafi au ndio atakizuia
@rogermomodesty35683 жыл бұрын
Akili za mtu maskini Kama ww ndo huwa ivyo,, yani uwezo wako wa kufikir kitu ndo umeishia hapo,, endelea kula vumbi wenzio ndo washapiga hatua ivo,, kama utaki maendeleo bac hata nguo usivae sababu ipo siku utakufa utaziacha izo nguo tembea uchi maana hukuzaliwa na nguo
@erickevarist87383 жыл бұрын
Sawa wewe @roger ngoja ufe Kama utazikwa na Mal zako
@rogermomodesty35683 жыл бұрын
@@erickevarist8738 hata dalala usipande tembea kwa miguu sababu ukifa hautazikwa nayo
@erickevarist87383 жыл бұрын
Daladala sipandagi mm
@rogermomodesty35683 жыл бұрын
@@erickevarist8738 vzr
@juxjemc57683 жыл бұрын
Duhh hili ni balaaa kwa nn marais w America kila anaeingia madarakan anatengeneza lake gar??
@josej98883 жыл бұрын
Hapana gari linakuwa lile lile mabadiliko yanakuwa nimadogo tu ndani yagari, Sawa nawewe unapohamia kwenye nyumba Kuna vitu vingine utabadilisha position.
@azizmohd65453 жыл бұрын
V
@stevenchalres31242 жыл бұрын
O
@beatricemrisho84313 жыл бұрын
Kama kufa utakufa tu
@wamoroboy89633 жыл бұрын
Bila kusahau wewe mwenyewe kama ipo siku utakufaaaa
@yunyun7993 жыл бұрын
@@wamoroboy8963 😂😂😂
@wamoroboy89633 жыл бұрын
@@yunyun799 anazingua huyu naee😂
@margaretnjambi83403 жыл бұрын
Lakini huyo ni mfalme na wafalme wanahitaji kinda. Sio dhambi kulinda mfalme. Kwa anategemewa na wengi