THE BEAST 'MNYAMA', GARI YA AJABU ANAYOTUMIA RAIS MAREKANI, NI ZAIDI YA KIFARU CHA VITA,NI BALAAH

  Рет қаралды 514,317

Millard Ayo

Millard Ayo

3 жыл бұрын

Ifahamu gari anayoitumia Rais wa Taifa kubwa Duniani la Marekani linaloitwa The beast ,Cadillac One.

Пікірлер: 157
@khamicabhumbho2393
@khamicabhumbho2393 2 жыл бұрын
Mwisho wa yote ulitakiwa umalizie .... ROHO ni ya Allah🙏
@zuweinaally2413
@zuweinaally2413 3 жыл бұрын
Welldoon.... Hizo ndizo taarifa wengine Tunataka kuzijua
@issaomar9742
@issaomar9742 2 жыл бұрын
Ww bro ww wcha uongo
@mkuluwaukae2221
@mkuluwaukae2221 3 жыл бұрын
Hizo zote ni mambo ya kusadikika lkn hakuna anayejua exactly kuhusu hilo gari, mainly kwasababu ya kiusalama zaidi
@mwashilindicommandos6390
@mwashilindicommandos6390 3 жыл бұрын
Exactly nakuunga mkono
@idontknowwhoami3066
@idontknowwhoami3066 3 жыл бұрын
Usiseme za kusadikika Zina uhakika izo zote ila sio kwamba ni kila kitu kimewekwa wazi kuhusu ilo Gari
@nicholasgervas167
@nicholasgervas167 3 жыл бұрын
Wee unazan kama Tanzania kila kitu kinafichwa
@mkuluwaukae2221
@mkuluwaukae2221 3 жыл бұрын
@@nicholasgervas167 wewe hujui chochote kuhusu mambo ya usalama, kwahiyo siwezi kubishana nawewe fala
@dickensdickala6601
@dickensdickala6601 7 ай бұрын
​@@mkuluwaukae2221@mkuluwaukae2221 kuna mambo yanawekwa wazi na mambo yanafichwa kuna hata details za airforce 1 lkn zile za muhimu zaidi ndo zinakua siri, ukiangalia video ya admiral mcraven anayohutubia graduation utajua kuwa marekani hawafichifichi mambo madogo
@amepotea
@amepotea 3 жыл бұрын
Wanadamu Ni mungu hutulinda , ufahari wote hubakia duniani.
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 жыл бұрын
Jamani saa nyingine tujivunie Mungu kutupa science ambayo inatusaidia kufanya mambo makubwa kama haya maana kiukweli yeye mwenyewe ndio hutoa hayo maarifa
@fadhilikawambwa1586
@fadhilikawambwa1586 3 жыл бұрын
waweke na mtambo wa kumzuia mtoa roho.nadhani hilo ndio wamesahau tu
@JoshuaMartin-qk3ev
@JoshuaMartin-qk3ev 3 жыл бұрын
Daaah we jamaa ulisoma hesabu za uganda labda, wanaopima uzito kwa nch
@daudipiusi4307
@daudipiusi4307 2 жыл бұрын
naipenda ayo tv huwa mnaenda kwenye point hamludii maneno hongeleni sana
@sonicaghendewa9886
@sonicaghendewa9886 3 жыл бұрын
Iyo nimeipenda Wallah 🤗
@citybirdproduction7828
@citybirdproduction7828 3 жыл бұрын
Ayo Tv...gari langu linauwezo wa kusimama lenyewe iwapo linakaribia kugonga ktu..lina camera inayo mlika sehemu ya nyuma wakati wa reverse..lina uwezo wa kutoa inje tairi na kwenda chini linapoenda zaidi ya 100speed..naomba muliangazie gari langu
@mohammedmmari4791
@mohammedmmari4791 3 жыл бұрын
𝗙𝗔𝗡𝗬𝗔 𝗬𝗢𝗢𝗧𝗘 𝗟𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜 𝗜𝗦𝗥𝗔𝗜𝗟𝗜 𝗔𝗞𝗜𝗝𝗔 𝗔𝗡𝗔𝗖𝗛𝗨𝗞𝗨𝗔 𝗥𝗢𝗛𝗢 𝗞𝗜𝗥𝗔𝗛𝗜𝗜𝗜𝗦𝗜 𝗕𝗜𝗟𝗔 𝗧𝗔𝗕𝗨🙂
@abasmadodo9964
@abasmadodo9964 2 жыл бұрын
Swadakta
@queen-yx8uo
@queen-yx8uo 3 жыл бұрын
Yan ata iweje hawez kupambana na malaika izrail ata akijifugia humo humo
@totobady6368
@totobady6368 3 жыл бұрын
Hatary cana
@evratvkenya9263
@evratvkenya9263 3 жыл бұрын
usa noma sana
@simonitaagesti3657
@simonitaagesti3657 3 жыл бұрын
Huo ufahari tu waduniani na uwezo huo wote lknn mungu akitaka akuna kitu hapo
@wamoroboy8963
@wamoroboy8963 3 жыл бұрын
Muachie Mungu sasa
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 3 жыл бұрын
Sahihi
@rogermomodesty3568
@rogermomodesty3568 3 жыл бұрын
Mungu kataka sasa na ndomaana vipo,, izo akil zako mgando peleka shambani kwenu
@rashidkalabi8212
@rashidkalabi8212 3 жыл бұрын
@@rogermomodesty3568 😀😀😀
@simonitaagesti3657
@simonitaagesti3657 3 жыл бұрын
@@rogermomodesty3568 unawashwa kojoa ulale
@gideonimathew6491
@gideonimathew6491 3 жыл бұрын
Ntainunua kwa kweli maana siku hazigandi 😂
@danieltoroka7281
@danieltoroka7281 3 жыл бұрын
Sawa baina hongera ikulu ya waitaz Marekani
@martinswai8031
@martinswai8031 3 жыл бұрын
Kwani gari yenyewe bei gani tumnunulie mama
@abdillahialiy9511
@abdillahialiy9511 3 жыл бұрын
hahahaha
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 жыл бұрын
😃😃😃😃🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤚🙉🙉🙉🙉
@josephatjordan5560
@josephatjordan5560 3 жыл бұрын
Sie tuna V8!!Unaijua V8 ww ???unaijua ?ndio tunatembelea sisi viongozi wa CCM 😂😂😂!!!namnukuu Humphrey Polepole 😂😂
@ibrahimsurvivor1058
@ibrahimsurvivor1058 3 жыл бұрын
Mm nilidhani lina flay over! Bado wapo nyuma sana. Huku kwetu gari la diwani wetu lina condom na kiti cha nyuma lina kitanda kwa emergency sex! Marekani waje wajifunze kwetu!
@joellymballawah8188
@joellymballawah8188 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@BestLife486
@BestLife486 3 жыл бұрын
Ww unajua V8 WEWEEEEE???😂😂😂😂😂
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 жыл бұрын
😃😃😃😃😃
@anarduk6438
@anarduk6438 3 жыл бұрын
Lkn mwisho wa hayo yote ni kwenye sanduku maskini. Ama kwa hakika ametakasika Allah SubhanaAllah muumba wa mbingu na nchi
@mecksonjoseph2522
@mecksonjoseph2522 2 жыл бұрын
Simpaka ufike uko mwisho nisha kula sana bata
@kelvinmazanda
@kelvinmazanda 3 жыл бұрын
Sio uzito wa mwili na uzito wa milango,ni "upana", dakika ya 1:02 na 1:10. Kazi nzuri! 👏
@bonifasisichone7348
@bonifasisichone7348 3 жыл бұрын
Nimezipenda
@irakozejclaude7869
@irakozejclaude7869 3 жыл бұрын
Nataka hio gari nyumbani kwangu nikomeshe baba mwenye nyumba😀
@sonicaghendewa9886
@sonicaghendewa9886 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🤣😂😂😂🤣😂🤣Wenye nyumba wanakera jamaniiii
@ladymuna4945
@ladymuna4945 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂hiyo kali 😂
@zanmedia5225
@zanmedia5225 3 жыл бұрын
Mm baba mwenye nyumba wangu nilimkomesha kwa kumjengea nyumba yangu tena kubwa kuliko ya kwake pale pale tu jirani na nyumba yake, nilianza kujenga taratibu kimya kimya bila ya mtu yoyote wa mle ndani kuweza kujua, na wakati naijenga hiyo nyumba baba mwenye nyumba wangu alikua ni miongoni mwa vibarua wangu kwa upande wa paa alikua ni kibarua kwenye kuezeka, nikaja nikamkomesha siku ya kuhamia ilikua bado km wiki moja tu kuja kudai hela yake ya kodi, ndipo nilipoamua kumuita na kumpa taarifa za kuhama kwake na kuhamia kwangu, kwa dharau akanambia kama nahama nisijekupitiliza hata siku moja, kitu asichokijua kua kumbe mm nilikua tayari nishahamia kule ila nilikua sijatoa tu vitu vya ndani ya nyumba yake, nyumba yangu ilikua ni nzuri sana ilipendeza sana kwa zake za ndani na nje, siku wakati nahamisha vitu vyangu kutoka ndani mwake na kuvipeleka kwangu yule mzee alikuwepo maana ilikua ndio siku ya mwisho mm kwangu kubaki ndani ya nyumba yake na nilifanya hivo kusudi mana nilijua tu atakuja nami ndo nilitaka anione nikiwa nahamia, basi alipoona nahamisha vitu naingiza mle ndani yule mzee alikuja kuniuliza mbona unaingiza vitu humu ndani?? Nikamjibu ndo nyumba yangu hii, basi yule mzee akaanza kuiangalia ile nyumba kwa hasira na uchungu mkubwa sana hata hivo hakuamini aliwatafuta wale mafundi wake aloezekanao paa ili kuwauliza km ni kweli au sio kweli, wale mafundi nao wakamwambia ni kweli, basi mzee aligombana na wale mafundi kwa hasira eti kisa kafanya kazi kwenye nyumba yangu, asichokijua yule mzee ni kwamba mm nilipanga tu kwenye nyumba yake yakawaida kwa sababu nilikua nahitaji kusave hela ili niweze kumiliki kwangu so sikutaka kutafuta nyumba ya gharama saana kwa sababu hiyo, mm nafanya kazi Airport kwenye kampuni kubwa tu, so alijua ni mnyonge sana kama wengine kumbe maisha siri, alichokifanya yule mzee ile nyumba kauza hadi hivi sasa simjui hata wapi alipo, wale waliokua wapangaji wenzangu walinipa heko kwa kumkomesha yule mzee na nimemtia aibu sana, na wapangaji hadi leo bado wamo mle na maisha yanaendavizuri tu baba wa sasa hanaga usumbufu....hivyo napenda kuwashauri na nyinyi vijana wenzangu wenye nyumba ni wasumbufu sana baadhi yao tena wana roho mabaya sana, basi wakomesheni kwa style km hiyo na sio kwa milo mizuri au mavazi mazuri au usafiri mzuri nk na sio lazima umjengee nyumba jirani na ilipo ya kwake hapana ila ukihama tu na kuhamia kwako tayari ushamkomesha mwenye nyumba......Huo ni ushauri tu.
@irakozejclaude7869
@irakozejclaude7869 3 жыл бұрын
@@zanmedia5225 ushauli mzuri bro Asante kwakutushauli Kwani namimi ni kijana.story yako tamu na nzuri nilipokuwa nasoma nilitamani kufukuza customers ili niifatilie kwa kina NIMEFURAHI NIMEJIFUNZA
@abdillahialiy9511
@abdillahialiy9511 3 жыл бұрын
@@irakozejclaude7869 big up ndo maana wahenga wanasema usimzaru usiye mjuwa huyuwi yupoje
@rubensaitoti6839
@rubensaitoti6839 3 жыл бұрын
Duuuuu kweli wezetu waneebdelea
@yunyun799
@yunyun799 3 жыл бұрын
Eeeeh kumbe 😩😩 xx mbona una toa xiri za kambi na ume zipata vp hzo habari maana xiyo poa 😩😩 hilo gari
@shakirajumanne2235
@shakirajumanne2235 3 жыл бұрын
Hatar sana
@mussataliye7815
@mussataliye7815 3 жыл бұрын
🙌🙌🙌
@alexcollins4599
@alexcollins4599 3 жыл бұрын
Noma
@trio9911
@trio9911 3 жыл бұрын
Sasa diamond ndo awape watu wake magari kama haya sio yale makobe 😂😂
@ramahaji9342
@ramahaji9342 3 жыл бұрын
Kwann diamond wkt hao kina dangote t hawana
@masudinangololo3672
@masudinangololo3672 3 жыл бұрын
Diamond 😁
@vanjay8685
@vanjay8685 3 жыл бұрын
Sasa si gari zake mbili ni cardilac tu kama hii ya raisi wa marekani...zote ni za kampuni moja ya GM
@danwayne786
@danwayne786 3 жыл бұрын
Dereva ni 007.
@abdulsiyo2431
@abdulsiyo2431 3 жыл бұрын
BWANA asipoulinda mji walindao wakesha bure
@malikzafarani172
@malikzafarani172 3 жыл бұрын
Kizazi sana 🇶🇦
@princelameck6654
@princelameck6654 3 жыл бұрын
Naiomba serikali yetu imnunulie Rais wetu wa Tanzania Mama yetu Samia suluhu hassani.
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 жыл бұрын
😳😂😂😂😂😂😂😂
@yoryskills4993
@yoryskills4993 3 жыл бұрын
Mtauza nchi ndio muipate...
@theblessedone7526
@theblessedone7526 2 жыл бұрын
Kamnunulie na Hela zako
@idrisayussuf9122
@idrisayussuf9122 3 жыл бұрын
Mtangazaji jifunze kutofautisha gari na gali munaharibu luha ya kiswahili
@ngundejkassim3252
@ngundejkassim3252 3 жыл бұрын
mmmh cdhan kama inteligency ya marekani ingeweza ku-leak_kisha hizi taarifa nyeti
@mokajoli4928
@mokajoli4928 3 жыл бұрын
Kabisa iyo habari ya kuzuxha sasa apo kunasiliganitena
@benderarulenge2477
@benderarulenge2477 2 жыл бұрын
Daaaah,wezetu ninomaaa
@danielmayo6130
@danielmayo6130 2 жыл бұрын
Mungu akisema anahitaji roho yako huwez kubisha
@IdarousPossy
@IdarousPossy 8 ай бұрын
Yan vitu vinavyoelezwa hapo na mnavyoongea ni tofauti kbs ushasema Mungu mpk akitaka,kwaio km asipotaka bas kuna vitu vinamlinda
@kharounngavason8012
@kharounngavason8012 3 жыл бұрын
Dahhhhh
@johnmonorua5133
@johnmonorua5133 3 жыл бұрын
Kwani linauzwa shilingi ngapi
@famitoissa5706
@famitoissa5706 3 жыл бұрын
Kiboko yao mtoa roho tu anaingia na anachukua chake na anasepa bila noma
@evancetilya5140
@evancetilya5140 3 жыл бұрын
Da
@dalalibangokigamboni3958
@dalalibangokigamboni3958 3 жыл бұрын
Shida yote ya nini Sisi rais wetu anaishi fresh tu
@josephmwangi9556
@josephmwangi9556 3 жыл бұрын
Nataka moja
@buye5436
@buye5436 3 жыл бұрын
Madereva ni wawili, Vin diesel na Buye
@abdillahialiy9511
@abdillahialiy9511 3 жыл бұрын
Hahahaha
@aminaomary9273
@aminaomary9273 2 жыл бұрын
Hiyo ni atari sana
@juliusfredy4011
@juliusfredy4011 2 жыл бұрын
Atari kweli
@gulamsenhussein737
@gulamsenhussein737 2 жыл бұрын
Harmonize-Mang'dakiwe
@petercosta1317
@petercosta1317 3 жыл бұрын
Imekaa poa sana
@macamezunguzungu5697
@macamezunguzungu5697 3 жыл бұрын
USA si mchezo💪
@japhethmusymi3796
@japhethmusymi3796 3 жыл бұрын
Mlinzi mkuu ni Mungu my friends
@mr_akily_og
@mr_akily_og 3 жыл бұрын
doooh nowm
@edwingwesso6818
@edwingwesso6818 3 жыл бұрын
Aletewe mama samia
@masangagondera4687
@masangagondera4687 3 жыл бұрын
NEWS FROM BONGO FASTA, Jaribu kuwa Mtafiti sio copy and Paste
@kassimsaidi1838
@kassimsaidi1838 3 жыл бұрын
Duuuh
@kharounngavason8012
@kharounngavason8012 3 жыл бұрын
Nnalo bana ahaaaa
@aminarashidi4757
@aminarashidi4757 3 жыл бұрын
vilevile gari hilo lina mfumo wa kukabiliana na iziraili.
@cozzotz5095
@cozzotz5095 3 жыл бұрын
😁😁
@henrygwalema1860
@henrygwalema1860 3 жыл бұрын
Wewe ulijuale
@abelntobi382
@abelntobi382 3 жыл бұрын
Muuu mbona gari ni dogo afu Mambo mengi hivyo..
@gulamsenhussein737
@gulamsenhussein737 2 жыл бұрын
Nyimbo ya harmonize mang'd akiwe
@issaomar9742
@issaomar9742 2 жыл бұрын
Hili gari n kali sana
@vascomwansile8140
@vascomwansile8140 3 жыл бұрын
MUNGU ndo kila kitu
@PatrickJoseph-vw2tn
@PatrickJoseph-vw2tn 4 ай бұрын
Vari l aja buhii pigwi bomu Mwisho
@mobellamobenimpenda7055
@mobellamobenimpenda7055 3 жыл бұрын
Na sisi mama samia anatakiwa atape hiyo gar ilikumurinda mama etu
@adsonngugi1289
@adsonngugi1289 3 жыл бұрын
Hiyo nitaendea kesho
@anthonykondobole3962
@anthonykondobole3962 3 жыл бұрын
Yaan ni hvi huo hta sio usalama,maana aliyetengeneza ji si anavyowaelezea watu uimala wake,ndo hvyohvyo atawaelezea waharifu udhaifu wa hilo gari.
@othmanalnabhany3208
@othmanalnabhany3208 3 жыл бұрын
Tangaza channel yako tu lkn si kwa uwongo huo
@rwandaafrika6173
@rwandaafrika6173 3 жыл бұрын
Mali ya Dunai ni bure Mwisho wake ni kufa tu
@ssalimsalim3864
@ssalimsalim3864 2 жыл бұрын
Tuendelee kulipa kodi ya tozo kwa bidii ili nasisi tumnunulie raisi wetu .
@silivestatesha6945
@silivestatesha6945 3 жыл бұрын
Hata angeendasha fisi tusitishwee
@joshuamlay7834
@joshuamlay7834 3 жыл бұрын
Simbavsnyati
@sammymorondi9601
@sammymorondi9601 3 жыл бұрын
Jd pm C
@jumamglecs7684
@jumamglecs7684 3 жыл бұрын
Taifa kubwa duniani ni Russia Ina Squire miles 6.6million while US ina 3.8million. Kama Uchumi China Ina Uchumi wa kuhudumia watu 1.4 Billion ambao ndio population ya china wakati huo US population ni 3.3 million. Kama huendeshwi na propaganda za Kimagharibi ukitafuta utajua taifa kubwa duniani ni lipi.
@freduallughano2301
@freduallughano2301 3 жыл бұрын
Acha upotoshaji kwa hiyo tanzania ni taifa kubwa kuliko Japan?maana ya taifa inaeleweka kapotoshe mghahawani huko.
@Soon815
@Soon815 5 ай бұрын
Wewe ni kilaza wakutupwa hujui chochote😂😂
@roselyneachieng7638
@roselyneachieng7638 3 жыл бұрын
Lakini kifo haijui hizo kifo hupenya hdi penye ukifikiria maana haionekani maulana tuu ndie aijuawe
@Sokesia
@Sokesia 3 жыл бұрын
TUENDELEE KUSAPOTI KONDE GANG BONYEZA PICHA KISHA FOLLOW
@mrizzy5424
@mrizzy5424 3 жыл бұрын
uzito wa nchi nane duuh
@khadijambarouk2983
@khadijambarouk2983 3 жыл бұрын
Sio nchi ni inches
@mrizzy5424
@mrizzy5424 3 жыл бұрын
@@khadijambarouk2983 sawa hiyo hiyo inches n kwel SI unit ya uzito n inches jmn
@shabanimyombe3834
@shabanimyombe3834 3 жыл бұрын
Ona sasa umefanya nirudie kuitazama hii video
@khadijambarouk2983
@khadijambarouk2983 3 жыл бұрын
@@mrizzy5424 😂😂😂😂😂
@perezcelestine4516
@perezcelestine4516 2 жыл бұрын
.
@khadijambarouk2983
@khadijambarouk2983 3 жыл бұрын
Sifa zote hizo lkn ziraili akitaka kufanya kazi yake ya kutoa roho hakuna kitakachofanya kitakachozuia 😂
@rehemasalim4590
@rehemasalim4590 3 жыл бұрын
😃😃😃
@wamoroboy8963
@wamoroboy8963 3 жыл бұрын
Ad wew 😂😂
@benderarulenge2477
@benderarulenge2477 2 жыл бұрын
Tusione wivu sema uwezo huo hatna tuu
@erickevarist8738
@erickevarist8738 3 жыл бұрын
Duh vp kuhusu kifo hafi au ndio atakizuia
@rogermomodesty3568
@rogermomodesty3568 3 жыл бұрын
Akili za mtu maskini Kama ww ndo huwa ivyo,, yani uwezo wako wa kufikir kitu ndo umeishia hapo,, endelea kula vumbi wenzio ndo washapiga hatua ivo,, kama utaki maendeleo bac hata nguo usivae sababu ipo siku utakufa utaziacha izo nguo tembea uchi maana hukuzaliwa na nguo
@erickevarist8738
@erickevarist8738 3 жыл бұрын
Sawa wewe @roger ngoja ufe Kama utazikwa na Mal zako
@rogermomodesty3568
@rogermomodesty3568 3 жыл бұрын
@@erickevarist8738 hata dalala usipande tembea kwa miguu sababu ukifa hautazikwa nayo
@erickevarist8738
@erickevarist8738 3 жыл бұрын
Daladala sipandagi mm
@rogermomodesty3568
@rogermomodesty3568 3 жыл бұрын
@@erickevarist8738 vzr
@juxjemc5768
@juxjemc5768 3 жыл бұрын
Duhh hili ni balaaa kwa nn marais w America kila anaeingia madarakan anatengeneza lake gar??
@josej9888
@josej9888 3 жыл бұрын
Hapana gari linakuwa lile lile mabadiliko yanakuwa nimadogo tu ndani yagari, Sawa nawewe unapohamia kwenye nyumba Kuna vitu vingine utabadilisha position.
@azizmohd6545
@azizmohd6545 3 жыл бұрын
V
@stevenchalres3124
@stevenchalres3124 2 жыл бұрын
O
@beatricemrisho8431
@beatricemrisho8431 3 жыл бұрын
Kama kufa utakufa tu
@wamoroboy8963
@wamoroboy8963 3 жыл бұрын
Bila kusahau wewe mwenyewe kama ipo siku utakufaaaa
@yunyun799
@yunyun799 3 жыл бұрын
@@wamoroboy8963 😂😂😂
@wamoroboy8963
@wamoroboy8963 3 жыл бұрын
@@yunyun799 anazingua huyu naee😂
@margaretnjambi8340
@margaretnjambi8340 3 жыл бұрын
Lakini huyo ni mfalme na wafalme wanahitaji kinda. Sio dhambi kulinda mfalme. Kwa anategemewa na wengi
@LuganoMwamsojo-yt3zq
@LuganoMwamsojo-yt3zq 11 ай бұрын
😂😂😂😂
@africa7479
@africa7479 3 жыл бұрын
Haf bom la nuclear
@FMCOMEDIAN877
@FMCOMEDIAN877 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/fZm4oX6ZZ9FspMU🤣🤣🤣 inauma inauma hiii wewe mtuu Jini👆👆🤣🤣
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 3 жыл бұрын
Yooooooote kifo hakikwepeki.
@kihorukihoru3180
@kihorukihoru3180 Жыл бұрын
Mashaalah,uas wajiendeleze mpaka kiyama
@faridmohamed203
@faridmohamed203 3 жыл бұрын
malaika wa kuchukua roho akija anapita na kumchukua kiurahisi kabisa
@psj1564
@psj1564 3 жыл бұрын
We mirid watu binahadamu akitaka kufanya yake anakubali kjitoa muanga ilimladi yake ayatimize
@sharifasuleiman7922
@sharifasuleiman7922 3 жыл бұрын
Gari lenyewe inapendeza sana
Получилось у Вики?😂 #хабибка
00:14
ХАБИБ
Рет қаралды 7 МЛН
Always be more smart #shorts
00:32
Jin and Hattie
Рет қаралды 44 МЛН
When You Get Ran Over By A Car...
00:15
Jojo Sim
Рет қаралды 13 МЛН
1 or 2?🐄
00:12
Kan Andrey
Рет қаралды 38 МЛН
Mambo 15 usiyoyajua kuhusu Ikulu ya Marekani (White House)
10:06
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 96 М.
Rais Barack Obama apata mapokezi ya kishindo jijini Dar es Salaam.
5:07
Hapa Ndiyo Marekani Vijijini 🇺🇸
4:22
Jack Wa USA
Рет қаралды 38 М.
Получилось у Вики?😂 #хабибка
00:14
ХАБИБ
Рет қаралды 7 МЛН