Magari 10 bora ya Marais Afrika, hiki ndicho hutokea Msafara wa Rais ukishambuliwa, ni noma tupu!

  Рет қаралды 20,219

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Жыл бұрын

Dj Sma anakuletea orodha ya Magari 10 bora ya Marais wa Afrika. Fahamu msafara wa Rais hujumuisha nini na kitu gani hutokea pale unaposhambuliwa

Пікірлер: 75
@iringadreadlock4000
@iringadreadlock4000 Жыл бұрын
Nakubali sana uchambuzi wako kaka endelea Kuchana a GA 💥🔥🔥🔥🔥
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 10 ай бұрын
❤ djsma sikujua Kama huwa unachambua mambo haya
@idrissansereko6403
@idrissansereko6403 Жыл бұрын
Mimi ni Myarwanda umenijuza mengi ambayo nilikua sifaham hongera sana kaka
@mwishobeatz4794
@mwishobeatz4794 Жыл бұрын
Man We ni creativity Hatukatai But Unaruka ruka sana story haieleweki Embu try kuzipanga Vizuri we here for you Man
@simfukwe1779
@simfukwe1779 Жыл бұрын
Upo vzr lkn jitahidi uwe unatuelewesha vzr usiruke ruke na kuhisi tumeelewa dont assume
@muhammedsuleyman6501
@muhammedsuleyman6501 Жыл бұрын
Nilikuwa natamani mtu kuongelea hii v8 ya raisi ipo tofauti na nyengine, safi sana kaka
@Udindigwa
@Udindigwa Жыл бұрын
Hadi raha Yani
@ericklazaro9103
@ericklazaro9103 Жыл бұрын
Hujui kitu alafu unasema una akili nyingi hebu niambie hapo una akili gani? Au hujui maana ya genius, kuleza penyewe hujui acha kujisifia vitu vya kutafuta mtandao wewe unasema genius uliota hayo magari kumi bora ya marais bila kusoma kwenye mitandao huna u genius wowote.
@frankdominic664
@frankdominic664 Жыл бұрын
Pamoja sana kaka
@Markhomestz
@Markhomestz Жыл бұрын
Jamaa anajua sanaa
@josephbegi
@josephbegi Жыл бұрын
Nice revelation
@thisboyisgreat
@thisboyisgreat Жыл бұрын
Hapo kwenyo nguo zaki jeshi hapa tz wame bana sana
@vensatemu7483
@vensatemu7483 Жыл бұрын
The show was amazing
@djsma255
@djsma255 Жыл бұрын
🙏
@itNeza
@itNeza Жыл бұрын
Upo Vizuri kaka
@onanarosse9657
@onanarosse9657 Жыл бұрын
Woooow nice
@plusabracadabra5166
@plusabracadabra5166 Жыл бұрын
Dj uko vizuri bt uwe unastick kwenye Main Topic zaidi
@bigirimanadaudi9797
@bigirimanadaudi9797 Жыл бұрын
Mbona mastar marekani wanaendesha gari za bei kubwa kuliko izo bajaji zamarais waafrika
@nilufaallyhussein7678
@nilufaallyhussein7678 Жыл бұрын
Multi talented genius heeey
@mocomoja4229
@mocomoja4229 9 ай бұрын
Hatari baba unatisha
@barikilangoy4737
@barikilangoy4737 Жыл бұрын
Mbna ujatuambia ya rais wetu tz
@dottoamos2902
@dottoamos2902 Жыл бұрын
Diamond aitel nipe bezi
@modrizii
@modrizii Жыл бұрын
Elezea simu ya xiomi 12s ultra
@djsma255
@djsma255 Жыл бұрын
tutaifanyia kazi
@Farajahelene23031
@Farajahelene23031 Жыл бұрын
wow wow
@thelonewolf4429
@thelonewolf4429 Жыл бұрын
Nimeelewa sana
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 Жыл бұрын
Ulianza vizuri lakini umemalizia kuuelezea msafara wa Joe Biden
@mohdmnemo9281
@mohdmnemo9281 10 ай бұрын
Mimi nakukubale sanaa timu urus mwezangu
@mkingaempire3616
@mkingaempire3616 Жыл бұрын
Tatizo umeweka mbele kujisifia kuliko kutuelezea fanya kazi acha kujisifia bro
@mrjohn68
@mrjohn68 Жыл бұрын
Ndo tatizo la watanzania
@masterkeystz
@masterkeystz Жыл бұрын
Sijapenda unavyosema vitu vingine ni Siri ya kambi huwezi kushare, Sasa Ina haja gani kutuambia ingali sisi tunatarajia utuambie kila kitu? Haina haja ya kusema hivyo kama huna mpango wa kutuambia. BY THE WAY, THE SHOW IS DOPE🔥
@thisboyisgreat
@thisboyisgreat Жыл бұрын
Mim sijaona kosa hapo naona tu anatuelimisha tu vitu ambavyo hatujui
@jacktonmakau3397
@jacktonmakau3397 Жыл бұрын
Wacha ufala wewe hizo gari tunasiona kila siku ila hatujua model sasa tumeambiwa
@jacktonmakau3397
@jacktonmakau3397 Жыл бұрын
Ongera Sana kaka sns is growing every day.congrats bro... USA tuko turned ....mkenya hapa
@godblessmushi9336
@godblessmushi9336 Жыл бұрын
Utamuingiza kwenye matatizo kwanzia yeye Binafsi hadi Channel yenyewe. Siyo vitu vyote vya kiusalama vinakuwa wazi vi vizuri viendelee kuwa Dhana
@aishaswab2413
@aishaswab2413 Жыл бұрын
Proud to be a kenyan
@niyonkurufadhoulillah4916
@niyonkurufadhoulillah4916 Жыл бұрын
Sasa ivi amebadili wa rwanda anatembelea kadilac
@djsma255
@djsma255 Жыл бұрын
will chek that out
@celifpower4993
@celifpower4993 Жыл бұрын
Apo kwa Raisi wa Rwanda umetudangany cs alishabalisha gari
@masanjamasunga4019
@masanjamasunga4019 Жыл бұрын
Wanaoelewa wanaelewa wasiolewa shit
@khamismuhammed2382
@khamismuhammed2382 Жыл бұрын
Umezingua
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 Жыл бұрын
Nimependa ❤
@djsma255
@djsma255 Жыл бұрын
🙏
@nairaidid4936
@nairaidid4936 Жыл бұрын
💪💪💪🙌🙌🙌
@Marjeby
@Marjeby Жыл бұрын
Presenter wetu Molinyoo sana
@kabwelerywamwatumu5078
@kabwelerywamwatumu5078 Жыл бұрын
Kenya 🇰🇪 mbona amjataja bei?
@seamlesshunt3869
@seamlesshunt3869 Жыл бұрын
information zote ulitoa zinapatikana online boy, acha kujisifia sana fanya kazi usichukulie watazamaji wote ni maree
@pujimontanapachino4958
@pujimontanapachino4958 Жыл бұрын
Acha wivu kwani unachokisoma shule sikinapatikana kwenyekitabu tatizo sio online tatizo kuzichukua na kuzichambua mpaka watu wote wakaelewa
@seamlesshunt3869
@seamlesshunt3869 Жыл бұрын
@@pujimontanapachino4958 sijakataa asichambue mambo, ila atumie hizo dakika zote kwenye main point na co kijisifia
@djsma255
@djsma255 Жыл бұрын
sasa kama zipo hukohapa umekujamkufata nini!
@seamlesshunt3869
@seamlesshunt3869 Жыл бұрын
@@djsma255 baadhi nazijua na nyingine najua namna ya kuzipata, so asijikute genius kwa vitu rahisi tu
@djsma255
@djsma255 Жыл бұрын
@@seamlesshunt3869 sawa kazifate huko,kwani nimesema hayo magari nimeyabunini mimi, au internet nimeitengeneza mimi, we nenda tu hukoo,kama vip we siunavijua na unajuwa pakuvipat, kanzishe kipindi chako, very simple
@skrshaku7207
@skrshaku7207 Жыл бұрын
🙌🙌🙌🇹🇿
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 Жыл бұрын
🇹🇿♥️
@mwalimunyerere
@mwalimunyerere Жыл бұрын
Lazy reporting. You picked an article, never did fact checking or use multiple sources.
@harunakayega5531
@harunakayega5531 Жыл бұрын
Ueleweki pili una mbwembwe sana tatu si kama una akili sana but hivyo vitu vyote vipo mtandaoni nawewe unacopy na kupaste kwa kusoma so ni uvivu wetu tu wakusoma kwakua hua tunapenda sana kusikia kuliko kusoma so unaposimulia dili na jambo lieleweke unaruka ruka sana
@gwamakampeli3576
@gwamakampeli3576 Жыл бұрын
Very weak research. Umeongelea mada karibu 3 tofauti. 1. Huwezi kutaja magari 10 bora ya maraisi Africa, ukaacha kutaja gari ya raisi watanzania. Ambayo ni 200 seris landcruser ya kampuni ya Carat 2. Review ya kampuni ya CARAT, ipo youtube toka 2020 na tulisha iona, so usifanye hio review kama wewe ndio umeigundua 3. Umechambua msafara wa Raisi wa Marecani, ambapo uchambuzi huo upo youtube. Tumia muda wakutosha kufanya research yako kabla huja fanya video brother. USIDANJANYE UMA.
@maila561
@maila561 Жыл бұрын
labda. kifo bado lkn ikifika mbona unakufa kirahisiiiiiiiii
@mesharkctz2374
@mesharkctz2374 Жыл бұрын
Ongeza ufanis kupata watazamaj zaid dola wengne atujui kuzi cheng kuja Tsh ko utusaidii chochote
@owenmutale8686
@owenmutale8686 Жыл бұрын
Umeishia la ngapi ndugu
@simfukwe1779
@simfukwe1779 Жыл бұрын
Nimekukumbuka ulikuwa na ule sancha
@timobrownfighter
@timobrownfighter Жыл бұрын
Dunia tunapita
@asaa3219
@asaa3219 Жыл бұрын
Vitu kama hivi havifai kusemwa jamani
@yusufudongote6440
@yusufudongote6440 Жыл бұрын
Acha ujinga weee usione watu wote weupe
@aboudhussein902
@aboudhussein902 Жыл бұрын
ni vizuri kama unafanya video ya vitu unavyovipenda lakini hii kidogo umeteleza. Unacover misafara ya ma raisi wa nchii za africa ambacho ni kichwa cha habari alafu unaingia deep zaidi kwenye details za misafara ya raisi wa marekani. Mwisho unahamia kwenye wanajeshi na kutaka kuvaa sare. Je Umechukua muda gani kufikiria,kupanga na kutengeneza hii video?
@djsma255
@djsma255 Жыл бұрын
tatizo hausikilizi kuelewa ,nmesema nachambua misafara ya maraisi in general, iwe raisi wa africa au ulaya,picha zimetumika za misafara wa africa ,ulaya na marekani...
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌️.
@youngbreezy6615
@youngbreezy6615 Жыл бұрын
Kwaiyo Tanzania Rais wetu ni gari gani!?
@khalfanmohd5807
@khalfanmohd5807 Жыл бұрын
Toyota ist mwaka 1999 mafuta lita moja unasafiri Tanzania mpka Kenya
@djsma255
@djsma255 Жыл бұрын
land cruiser 200 series
@methuselamisana4115
@methuselamisana4115 Жыл бұрын
Toyota
@muzikiprofile
@muzikiprofile Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥 uliona na hii 👇 kzbin.info/www/bejne/jKu9d4apadakn5Y
Wait for the last one! 👀
00:28
Josh Horton
Рет қаралды 125 МЛН
1 or 2?🐄
00:12
Kan Andrey
Рет қаралды 32 МЛН
GUANTANAMO BAY: Ukweli kuhusu GEREZA hili la WAMAREKANI huko CUBA unatisha
15:48
When You Get Ran Over By A Car...
0:15
Jojo Sim
Рет қаралды 9 МЛН
Идеальный день ребёнка😂
0:11
МишАня
Рет қаралды 4,2 МЛН
Вор в законе заступился за официантку  ...
0:59
Сериалы 🍿
Рет қаралды 8 МЛН
37.First Day as a Zombie💀
0:32
Limekey0
Рет қаралды 34 МЛН
THE POLICE TAKES ME! feat @PANDAGIRLOFFICIAL #shorts
0:31
PANDA BOI
Рет қаралды 16 МЛН
1❤️
0:17
Nonomen ノノメン
Рет қаралды 7 МЛН