Undani Kuhusu Tamko la Kanisa katoliki Kubariki Wapenzi wa Jinsia Moja, Maaskofu Afrika Wafunguka

  Рет қаралды 13,825

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Пікірлер: 42
@iviandonyi4267
@iviandonyi4267 9 ай бұрын
Asante sana Kwa maoni yenu na mungu azidi na kuwafungua macho na neno la mungu lienee ipasavyo Kwa kuzudi na lengo lake
@AbubakarKumbwani-yq5vg
@AbubakarKumbwani-yq5vg 9 ай бұрын
Mimi ni Muisilamu lakini nasema kanisa Katoliki halijaruhusu ndoa za jinsia moja bali yeye Papa ndiye anayetaka Kanisa libariki mashoga
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 8 ай бұрын
Huwez kumtenganisha papa n taasisi ya kikatoliki. Ni kama kujaribu kusema kauli ya baba mwenyenyumba sio mwongozo wa maisha ya familia yke!
@zacharianyanda5424
@zacharianyanda5424 9 ай бұрын
Kweli munataka kwa hiari yenu Mungu awaadhibu kwa ushoga. Musubirini Yehova atakapowashukia.
@MrKhatibu
@MrKhatibu 9 ай бұрын
Gay society na wayahudi ni watu wenye nguvu sana duniani,Mungu atuepushe nao
@iddikibwana9185
@iddikibwana9185 9 ай бұрын
Papa ana roho ya Sodoma. Haiwezekani kubariki laana. Huo ni ushetanii. Anataka wafuwasi wake wawe kama Sodoma na Gomora. Najivunia kuwa muislaam. Katika uislaam huwezi kusikia upuuzii huo na uchafu huo.
@sikah47
@sikah47 4 ай бұрын
Usiji vunie uisilam kwani papa na shehee wenu mkuu wa mfalme za ualabuni Wana mkataba wa dini moja we kuwa makini mtafute mungu
@EmmanuelMbungu-c6v
@EmmanuelMbungu-c6v 8 ай бұрын
Hatupambani na shetani kwa kumbembeleza atuache, mwalimu wetu ni Yesu alitumia nguvu kuondoa uchafu hekaluni alimkaripia Petro akisema" rudi nyuma yangu shetani" dhamira ya Petro ilikuwa kumhurumia bwana wake asipatwe na mateso
@EvaKiswaga-j2o
@EvaKiswaga-j2o 8 ай бұрын
Dunia imeisha huyo papa kwanini hatoki na kusema. au kukanusha? Yuko kimya kabisa. Tabia gani hii ya kishetani!
@ROZITHOMAS-y4q
@ROZITHOMAS-y4q 8 ай бұрын
Huyu papa angenyamaza tuu. Hizo doc zingebaki vatican tuu. Ameumiza kanisa sana
@zegelibilishanga6047
@zegelibilishanga6047 9 ай бұрын
😊
@ROZITHOMAS-y4q
@ROZITHOMAS-y4q 8 ай бұрын
Mh katoliki imepotea .
@lucaschimba3148
@lucaschimba3148 8 ай бұрын
watu tunaelewa nyazifa za viongozi wa leo zinatoka kwa mungu maagizo kiongozi ya mungu ni kuhani tu hizi nyazifa nimawazo ya watu ndomaana leo nguvu ya munguhaipo viongozi kilammoja anaibuka na ushetani akizani nimungu
@WingoAsake
@WingoAsake Ай бұрын
Yani dunia hii tumekwisha na hao jamaa tulipo mkosa Jesus wetu basi ss ni yatima wa kutupwa...
@OmbeniLuka
@OmbeniLuka 8 ай бұрын
Mmebaki mkipoteza muda katika mambo ya ovyo badala ya kuhubiri Injili
@BenjaminKabebo
@BenjaminKabebo 9 ай бұрын
Msimungunye maneno huyo baba yenu si ni mtakatifu? Mbona mnatuchanganya Kwenu hakuna nguvu ya kuishinda dhambi Mlimuacha Yesu mkambeba maria. Time will tell😊
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 9 ай бұрын
Huko ndani hilo jungu lilishapikwa kitambo na walaji ni wao sasa wanajalibu kupakuwa na kuwapelekea walaji dunia nzima ili washilikiane kula kishelia mwenye macho haambiwi tazama hao ni wazamisha meli abilia jiponye nafsi yako
@estonwell8850
@estonwell8850 9 ай бұрын
Mbona mnagongana ninyi kwa ninyi sasa kauli hizo mnaona mko sawa? Mnadhani sisi hatuoni Wala hatujuwi kusoma wala kusoma?
@JescaGodfrei
@JescaGodfrei 6 ай бұрын
Huu ni upuuz mtupu ndoa ya jinsia moj duh
@simonetz7036
@simonetz7036 9 ай бұрын
Acheni kudanganya waumini wenu, na kumuosha Papa , yeye ni evil kabisa , mpinga kristo
@EliasBalole
@EliasBalole 6 ай бұрын
Kuna madhehebu mengine ni lango la shetani.
@amanijampion3045
@amanijampion3045 9 ай бұрын
The Chanzo ongezeni texture ya maandishi ya majina hayasomeki. Mmefanya vizuri but names are too tiny!
@Prosperkisama
@Prosperkisama 9 ай бұрын
Kweli watu ni vipofu wanatetea tuu ujinga
@leonardmaganga9921
@leonardmaganga9921 9 ай бұрын
Papa hajaruhusu wala kuwataka Mapadiri kubarikii ndoa za jinsia moja. Alichosema ni kuwa watu wabarikiwe binafsi. Siyo kubaiki ndoa.
@ajn9087
@ajn9087 9 ай бұрын
Katika baraka alizosema kuna vikundi 3, kuna hao unao waita watu binafsi, kuna mashoga, na kuna ndoa, mutu huitwa shoga, hao watu binafsi wakiomba baraka hawaendi as a couple, but shoga na wanaotaka harusi hao ni couple , jaribu kuelewa na manake ingekua niwatu binafsi hangewataja kwajina as couple ( shoga) kwasababu ukiona mtu huezi jua kama ni shoga. Wakati mwingine nivizuri kukubali ukweli ili ujue vile utasimama.
@ajn9087
@ajn9087 9 ай бұрын
Alafu unataka kusema baraka zawatu binafsi amezikubali leo?
@JeradiMaulidi
@JeradiMaulidi 9 ай бұрын
⁷nabado mtajuta kuacha millenia
@petermuganda7322
@petermuganda7322 9 ай бұрын
Mhuu
@samwelgetocho6913
@samwelgetocho6913 9 ай бұрын
Huyo aliyeongea wa pili ina maana ndiye pekee kamuelewa boss wake kwamba hajasema wengine wooote wameshindwa kumwelewa siyo? Mnachokificha mtakuja kujielewa mkute mko uchi mkidhani mmevaa
@JeradiMaulidi
@JeradiMaulidi 9 ай бұрын
Kwasisi wazewamila tunawahongelasana naba
@josephatemmanuel458
@josephatemmanuel458 9 ай бұрын
Hebu turudi nyuma maneno yake myaludie kuhakiki
@evancykashaga6576
@evancykashaga6576 9 ай бұрын
Ajasema mtu kasema wabarikiwe mashonga mbona mna munguya maneno
@KisagasiLuyangi
@KisagasiLuyangi 9 ай бұрын
Wanapoteana hawa
@JeradiMaulidi
@JeradiMaulidi 9 ай бұрын
Waziwamila tuliwambi hizodini zawatu zitawatesa nabado
@AishaMhoka
@AishaMhoka 5 ай бұрын
Acha kumtetea karuhusu ndoa za ushoga huyo mtumishi wa shetan😡😡😡
@maidafrancis45
@maidafrancis45 9 ай бұрын
Ila wewe askofu unaeita baba mtakatifu unanikwaza sijui hujasoma?
@simonetz7036
@simonetz7036 9 ай бұрын
Hivi Hawa maaskofu wa kikatoliki wanatuona sisi wajinga Hadi watutafsirie tamko la Pope?
@KisagasiLuyangi
@KisagasiLuyangi 9 ай бұрын
Akili za wazungu ni hatari kwetu naona mnakataa uhalisia, hebu mnukuu maneno yake msituchanganye
@EmmanuelMbungu-c6v
@EmmanuelMbungu-c6v 8 ай бұрын
Hatupambani na shetani kwa kumbembeleza atuache, mwalimu wetu ni Yesu alitumia nguvu kuondoa uchafu hekaluni alimkaripia Petro akisema" rudi nyuma yangu shetani" dhamira ya Petro ilikuwa kumhurumia bwana wake asipatwe na mateso
НИКИТА ПОДСТАВИЛ ДЖОНИ 😡
01:00
HOOOTDOGS
Рет қаралды 2,5 МЛН
小丑家的感情危机!#小丑#天使#家庭
00:15
家庭搞笑日记
Рет қаралды 33 МЛН
Ouch.. 🤕⚽️
00:25
Celine Dept
Рет қаралды 14 МЛН
Миллионер | 2 - серия
16:04
Million Show
Рет қаралды 1,6 МЛН
Gũcokia riri wa kĩrĩma #Kĩrĩrĩmbĩ
1:10:52
Inooro TV
Рет қаралды 7 М.
WHY AN ISRAELI NUCLEAR STRIKE ON IRAN IS NOW POSSIBLE
14:05
ATE CHUET
Рет қаралды 216 М.
KANISA TAG KUPOTOKA CASSIAN ALIONYA NA ASIKOFU MTOKA MBALI EV PASCHAL CASSIAN
1:27:19
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 64 М.
KUHUSU USHOGA ASKOFU MKUU RUWA'ICHI AFAFANUA TAMKO LA PAPA FRANCIS
4:57
KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC
Рет қаралды 31 М.
HARAKATI ZA DINI MOJA DUNIANI ZAHUSISHWA NA MIKUTANO YA VIONGOZI WA DINI TANZANIA.
8:46
Archbishop Prof. Sylvester Gamanywa
Рет қаралды 54 М.
НИКИТА ПОДСТАВИЛ ДЖОНИ 😡
01:00
HOOOTDOGS
Рет қаралды 2,5 МЛН