Hali ya Siasa 2024 ni Ya Matumaini au Mashaka? Jenerali Ulimwengu Awapa Somo Vyama Vya Upinzani| S23

  Рет қаралды 9,865

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Katika mazungumzo haya Jenerali Ulimwengu na mwandishi wa habari Sammy Awami wamechambua mwelekeo wa hali ya siasa kwa mwaka 2024, na kujadili kwa kina joto la kisiasa lilivyopanda mapema mwanzo wa mwaka baada ya chama cha upinzani CHADEMA kutangaza maandamano kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi.
Sambamba na hilo, Ulimwengu ametoa somo kwa vyama vya upinzani na wanamageuzi wengine nchini juu ya mambo ya kuzingatia katika mapambano yao kama kweli wanataka kuleta mageuzi yatakayolenga kujenga taifa linalozingatia siasa safi na utawala unaojali haki, utu na uhuru wa raia.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 30
Oscar Kambona: Shujaa au Msaliti? | The Chanzo Documentary
1:04:34
Dad Makes Daughter Clean Up Spilled Chips #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 7 МЛН
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 99 МЛН
eLA 2011 Plenary Speech: Jenerali Ulimwengu
24:38
ICWE
Рет қаралды 8 М.