Mbunge Mrisho Gambo Akasirika Vibaya Mbele ya RC Makonda, DC "Asinichokonoe Sitaki Kugombana Na..

  Рет қаралды 77,814

Tiki Tv

Tiki Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 72
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 4 ай бұрын
T M U... Team Makonda Ukombozi... Mungu azidi kuwatangulia....kuwalinda na kuwaongoza... Makonda ni mtumishi wa Mungu aliye hai, asante mama Samia kwa hii zawadi...Ma ko mda❤
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 4 ай бұрын
Sisi wengine hatuko Arusha , lakini tuna fuatilia habari za Arusha kwajili ya makonda tuuu nahao walio dhulumiwa hakizao , wala sio kwaajili ya Gambo, wala Huyo Dc kwanza wengine tuna muona kwajili ya makonda, hawa wote wanatembelea nyota ya Rc Makonda , kama umeona wanatembelea nyota ya Rc Makonda, weka like za kutosha,
@TwalibHusseinteni-qz8tb
@TwalibHusseinteni-qz8tb 4 ай бұрын
Wakuu WA mikoa 😮wote fanyen hivyo
@FurahaMwajeka
@FurahaMwajeka 4 ай бұрын
Daa natamani mama angenipa ukuu wa mkoa ningefanya kazi kwa weledi kama wewe mh. Makonda ila sio mwanasiasa daa
@salumsimai642
@salumsimai642 4 ай бұрын
Hawatembelei nyota wanasaport
@PrinceKelvin-ht2hm
@PrinceKelvin-ht2hm 5 күн бұрын
Makonda upo vizuri
@EgallSamsam
@EgallSamsam 4 ай бұрын
Makonda anaulizi wa Mungu na Mungu akuongoze.
@FurahaMwajeka
@FurahaMwajeka 4 ай бұрын
Your my best natamani niwe mkuu wa mkoa nifanye kazi kama wewe makonda
@RehemaBukuku
@RehemaBukuku 4 ай бұрын
Makonda salute
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 4 ай бұрын
Asante….. Dr. Rais Samia Oyeeeeee Arusha
@williammassana
@williammassana 4 ай бұрын
Kaka Mungu akubariki,wewe ni mtu wa Mungu
@EliudMtamanyirwa-v3p
@EliudMtamanyirwa-v3p 4 ай бұрын
Dr Samia,shikamoo mama yangu,nakuomba huyu makonda umtengue Mara kwa Mara na umteue Mara kwa Mara,namaanisha Kila mkoa ahudumu hata kwa miezi miwili miwili na sisi Mara huku tumfaidi ili mamungu watu wayapishe maendeleo na migogoro ziishe.ahsante.
@nkwabidonald4277
@nkwabidonald4277 4 ай бұрын
Congratulaton leader
@RastaSuma
@RastaSuma 4 ай бұрын
Gambo jifunze kazi kwa Rc makonda
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 4 ай бұрын
Kazi hii Kama itafanywa na Wakuu wote wa Mikoa nchini basi nchi hii ingefika mbali sana!lkn inaonesha wazi kwamba viongozi wengi hawaungi mkono kazi hii adhimu na muhimu kwa wananchi.Hivyo ni vyema Mh Rais akafanya uteuzi moya kwa Wakuu wa Mikoa
@MasungaJooji
@MasungaJooji 4 ай бұрын
Makonda mungu akubaliki tunamuomba samiya akulente mwanza kunaukilitimba wahaki mzawanyoge kama arusha
@MzeeAbdallah-gx9sd
@MzeeAbdallah-gx9sd 4 ай бұрын
Allah atakulimda kwakweli
@AbdilahiMriri
@AbdilahiMriri 4 ай бұрын
Hongera sana Mhe Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mke wangu jamani mpenzi wangu kwa ueledi wako na usikivu maendeleo ya Arusha na Nchi nzima yanaonekana Mhe daktari Rais Samia Suluhu Hasani mke wangu jamani mpenzi wangu.
@EmanuelMarandu-o2q
@EmanuelMarandu-o2q 2 ай бұрын
Ww ni kuma
@mpambanajitz7026
@mpambanajitz7026 4 ай бұрын
Nikipata ukuu wa wilaya tu.... Nitafuata nyayo zako Makonda. Makonda MUNGU AKUTANGULIE MKUU WANGU nimekuelewa SANA 🙏🙏🙏🙏
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 4 ай бұрын
Supana juu ya Supana 😂😂😂
@JohnChatila-z7c
@JohnChatila-z7c 4 ай бұрын
Hatar sana
@kashindisimon5265
@kashindisimon5265 2 ай бұрын
Kwa hiyo. Kabla makonda hajaenda Arusha ilikuwa chini ya serikali ya TLP??😮😮😮😮😮😮😮😮
@mkambamaulid447
@mkambamaulid447 4 ай бұрын
Ss kwanini viongozi wote msifuate mfano wa Kijana mwenzetu mzalendo Mako yaani mpaka apite mako ndio mshituke 💪🏽🙏🏼TZ inamambo kweli kweli Mungu akutangulie Mh.Makonda utakuwa Rais imekuwa mitano mitano mitano tena🤣🤣🤣🤣🤣
@samwelshedrack631
@samwelshedrack631 4 ай бұрын
Mnafik tu mbon we umewahi kuwa mkuu wa mkoa lkn hukufanya kitu?ebu muache makonda apge kazi tunatamn makonda akae arusha milele
@AlimasiLukomba
@AlimasiLukomba 4 ай бұрын
Ktk comment zotw Yako ndo nzuri kuliko Zote
@sophsoph4740
@sophsoph4740 4 ай бұрын
😂yan gambo mkorofi
@zariadunia6328
@zariadunia6328 4 ай бұрын
Kusema ukweli hata mimi nilikuwa simuelewi Gambo ila baada ya kuona haya yote yanayoibuka baada ya makonda ya ubadhilifu kiukweli Gambo was and he is right Arusha kuna shida ya wizi wa pesa
@kudramkoma8438
@kudramkoma8438 4 ай бұрын
Mheshimiwa makonda ipo siku ,mwezi,mwaka atakuwa raisi wa Tanzania hii
@kwisa4899
@kwisa4899 4 ай бұрын
Gambo anatengeneza shida
@HashimuAbubakar-ej8gc
@HashimuAbubakar-ej8gc 4 ай бұрын
Hiyo ni nyota ya makonda na mungu wake makonda ipo siku utakuwa rais wa nchi hii
@AsiaNgoleka
@AsiaNgoleka 4 ай бұрын
Ni kweli
@JoyceManyuka-ot7sg
@JoyceManyuka-ot7sg 4 ай бұрын
Makonda ishiiiii
@AsiaNgoleka
@AsiaNgoleka 4 ай бұрын
Hii ndio kazi tunayoitaka wananchi chama na viongozi wetu wafanye.
@edrisalusonge4141
@edrisalusonge4141 4 ай бұрын
Makonda atakuja kuwa l Raisi wa nchi hii Yani alipata nafasi hata kula watu wasilige apewe tu uraisi makondaaaa mungu ampe jhai yajayo yanafurahisha
@sabinahobe3478
@sabinahobe3478 4 ай бұрын
Jmn mbona ana majungu huyu Gambo?
@albartdastani3412
@albartdastani3412 4 ай бұрын
On fact GAMBO
@lordymawoiya5818
@lordymawoiya5818 2 ай бұрын
Kwani Makonda ni Akimu alosomea sheria?
@tumainiellyimo4657
@tumainiellyimo4657 4 ай бұрын
Ni vyema Makonda akabaki kuwa mkuu wa Mkoa wa Arusha ila Mbunge hapana.
@sabinahobe3478
@sabinahobe3478 4 ай бұрын
Huyu Gambo ni mkorofi jmn
@MarthaGambaloya
@MarthaGambaloya 4 ай бұрын
Gambo aache kujikomba
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 4 ай бұрын
Arusha wamepata Rais
@AbdulMwengwa
@AbdulMwengwa 4 ай бұрын
Mhe mbunge nimekuelewa kwa lugha ya kufikisha ujumbe wako kwa jamii
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 4 ай бұрын
Huyu Gambo hovyo kabisa boya tu
@EzekiaMyila
@EzekiaMyila 4 ай бұрын
Huyu makonda awe mtu anayetaka ugonvi na watanzania hatukubali ambao si raia wa nchi ndiyo wanaotamani makonda wapishane hao hatuwataki waende kwenye nchi yao
@namsamson3443
@namsamson3443 4 ай бұрын
Make sure kiwango cha barabara kinakuwa kama zile barabara za Maguful ziwe imara maana nyingi zinakuwa sio imara
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 4 ай бұрын
Kiki za uchaguzi ngoja uchaguzi upite mtaona kitakachoendelea
@princesschii4090
@princesschii4090 4 ай бұрын
Mpenda majunguuuu
@laizermaasai6759
@laizermaasai6759 4 ай бұрын
Kagambo ni kanafikk sanaa na kichonganishi. Na hakuna chochote alichowah kufanya
@EmmanuelJacobo-l3s
@EmmanuelJacobo-l3s 4 ай бұрын
nilichogundua baadhi ya viongozi wa ccm wanafki sana 😢 huyu jamaa anasifia tu na yeye alishawahi kuwa mkuu wa mkoa mbona hujafanya kama anavyofanya makonda? makonda hana ata miezi mitano lakin anavyowajibika ni kwa moto kila mahali arusha, yaani inavutia sana huyu makonda ni raisi wangu miaka kadhaa mbeleni
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 4 ай бұрын
KWANI AGIZO LA MACHINGA KUFURUSHWA LILIKUWA NI AGIZO LA RAIS
@khadjamhozya
@khadjamhozya 4 ай бұрын
Kama mrijuwa machinga wanateseka nahio migogoro mrifanya nini muda wote
@mgalulamatongo4079
@mgalulamatongo4079 4 ай бұрын
Manene unafaa kuwa rais wetu uchaguzi ujao
@dismaslalubare4196
@dismaslalubare4196 4 ай бұрын
Piga spana makonda mimi nina paiprench na tailiva sijui nikuletee hapo mkuu uwapige kweli kweli
@aganolamotoeliya2027
@aganolamotoeliya2027 4 ай бұрын
Huyu makonda anastahili kupewa nchi tu.
@OdenBidili-lj5qi
@OdenBidili-lj5qi 4 ай бұрын
We gambo ulikua mkuu wa mkoa hapo mbona hukufanya chochote acha kupiga siasa hapo mwezi wa 10 kuna uchaguzi ndio maana unadanganya watu
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 4 ай бұрын
Mrisho Gambo unaona namna kazi zinavyofanywa na RC Makonda?? Je wewe uliwahi kuwasadia Wananchi kwa lipi zaidi ya kulinda cheo??
@khadjamhozya
@khadjamhozya 4 ай бұрын
Kwani huyu ndo arikuwa mkuu wa mkoa kabura ya makonda
@SamoMgore-x3v
@SamoMgore-x3v 4 ай бұрын
​@@khadjamhozyamkuu Kuna R na L daah Sasa arikua kabra ndonini
@odhiambojames8578
@odhiambojames8578 4 ай бұрын
We Mambo ulifanya nini
@sarahjames2287
@sarahjames2287 4 ай бұрын
Huyu Gambo??? ni
@JosephatMagumba
@JosephatMagumba 4 ай бұрын
Tuko pamoja na makonda wewe ulizaliwa kuwa kiongozi na Wala siyo uongozi wa kujifunza
@lawrencegwerino1656
@lawrencegwerino1656 4 ай бұрын
Wambie mitalo yote ifunikwe isikae wazi
@ElishaOisso
@ElishaOisso 4 ай бұрын
Watu
@khatibumtaki7425
@khatibumtaki7425 4 ай бұрын
new magufuli wewe ni jpm mpya wa badae
@abaskhatoon9425
@abaskhatoon9425 4 ай бұрын
Taka huku ni shida gari hazipiti
@priscairene4605
@priscairene4605 4 ай бұрын
Makonda jembe
@fredmbossa-kc3qn
@fredmbossa-kc3qn 4 ай бұрын
huyo dc ana mapito makubwa...huyo gambo nidhamu mbovu ccm wanatakiwa wamuajibishe kwenye kamati ya nidhamu
@baruaninombo291
@baruaninombo291 4 ай бұрын
Gambo wewe ni hamna kitu, kajeuri na kakorofi sana, wewe ndo uliyesababisha leo hii arusha tusiwe na stand kubwa. Enzi ukiwa mkuu wa mkoa ulikuwa na bifu kubwa na mkurugenzi wako mkawa mnagombana kila mtu akitaka stand ijengwe eneo analotaka yeye. Hadi pesa zikarudi hazina na magufuli ndo akaja kuwasuluhisha na akawasema sana kwa kuwacheleweshea maendeleo wana arusha.
@baruaninombo291
@baruaninombo291 4 ай бұрын
Sasa leo hii gambo unaugomvi na dc. Hii inaonesha wewe ni mkorofi. Unapenda migogoro
@lordymawoiya5818
@lordymawoiya5818 2 ай бұрын
Kwani Makonda ni Akimu alosomea sheria?
Хасанның өзі эфирге шықты! “Қылмыстық топқа қатысым жоқ” дейді. Талғарда не болды? Халық сене ме?
09:25
Демократиялы Қазақстан / Демократический Казахстан
Рет қаралды 332 М.
VAMPIRE DESTROYED GIRL???? 😱
00:56
INO
Рет қаралды 7 МЛН
🕊️Valera🕊️
00:34
DO$HIK
Рет қаралды 8 МЛН
ALIYEMPIGA RISASI TUNDU LISSU ABAINIKA
37:08
SHEIKH MWAIPOPO TV
Рет қаралды 12 М.
Утерла нос жюри😳 #фильм
1:00
КИНОВИЗОР
Рет қаралды 2,1 МЛН
Как назовем группу?)🤣
0:13
Dragon Нургелды 🐉
Рет қаралды 2,6 МЛН
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 6 Серия
28:53
Inter Production
Рет қаралды 780 М.
А ТАК МОЖНО БЫЛО?😂
0:33
СЕМЬЯ СТАРОВОЙТОВЫХ 💖 Starovoitov.family
Рет қаралды 3 МЛН
Гости в шоке 😂 #shorts
0:24
Владислав Шудейко
Рет қаралды 3,3 МЛН