T M U... Team Makonda Ukombozi... Mungu azidi kuwatangulia....kuwalinda na kuwaongoza... Makonda ni mtumishi wa Mungu aliye hai, asante mama Samia kwa hii zawadi...Ma ko mda❤
@DeogratiusAndrew-zi7zv4 ай бұрын
Sisi wengine hatuko Arusha , lakini tuna fuatilia habari za Arusha kwajili ya makonda tuuu nahao walio dhulumiwa hakizao , wala sio kwaajili ya Gambo, wala Huyo Dc kwanza wengine tuna muona kwajili ya makonda, hawa wote wanatembelea nyota ya Rc Makonda , kama umeona wanatembelea nyota ya Rc Makonda, weka like za kutosha,
@TwalibHusseinteni-qz8tb4 ай бұрын
Wakuu WA mikoa 😮wote fanyen hivyo
@FurahaMwajeka4 ай бұрын
Daa natamani mama angenipa ukuu wa mkoa ningefanya kazi kwa weledi kama wewe mh. Makonda ila sio mwanasiasa daa
@salumsimai6424 ай бұрын
Hawatembelei nyota wanasaport
@PrinceKelvin-ht2hm5 күн бұрын
Makonda upo vizuri
@EgallSamsam4 ай бұрын
Makonda anaulizi wa Mungu na Mungu akuongoze.
@FurahaMwajeka4 ай бұрын
Your my best natamani niwe mkuu wa mkoa nifanye kazi kama wewe makonda
@RehemaBukuku4 ай бұрын
Makonda salute
@awatifalghanim11064 ай бұрын
Asante….. Dr. Rais Samia Oyeeeeee Arusha
@williammassana4 ай бұрын
Kaka Mungu akubariki,wewe ni mtu wa Mungu
@EliudMtamanyirwa-v3p4 ай бұрын
Dr Samia,shikamoo mama yangu,nakuomba huyu makonda umtengue Mara kwa Mara na umteue Mara kwa Mara,namaanisha Kila mkoa ahudumu hata kwa miezi miwili miwili na sisi Mara huku tumfaidi ili mamungu watu wayapishe maendeleo na migogoro ziishe.ahsante.
@nkwabidonald42774 ай бұрын
Congratulaton leader
@RastaSuma4 ай бұрын
Gambo jifunze kazi kwa Rc makonda
@AliSalim-yu4mo4 ай бұрын
Kazi hii Kama itafanywa na Wakuu wote wa Mikoa nchini basi nchi hii ingefika mbali sana!lkn inaonesha wazi kwamba viongozi wengi hawaungi mkono kazi hii adhimu na muhimu kwa wananchi.Hivyo ni vyema Mh Rais akafanya uteuzi moya kwa Wakuu wa Mikoa
@MasungaJooji4 ай бұрын
Makonda mungu akubaliki tunamuomba samiya akulente mwanza kunaukilitimba wahaki mzawanyoge kama arusha
@MzeeAbdallah-gx9sd4 ай бұрын
Allah atakulimda kwakweli
@AbdilahiMriri4 ай бұрын
Hongera sana Mhe Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mke wangu jamani mpenzi wangu kwa ueledi wako na usikivu maendeleo ya Arusha na Nchi nzima yanaonekana Mhe daktari Rais Samia Suluhu Hasani mke wangu jamani mpenzi wangu.
@EmanuelMarandu-o2q2 ай бұрын
Ww ni kuma
@mpambanajitz70264 ай бұрын
Nikipata ukuu wa wilaya tu.... Nitafuata nyayo zako Makonda. Makonda MUNGU AKUTANGULIE MKUU WANGU nimekuelewa SANA 🙏🙏🙏🙏
@kilogreekachananawatuwasio40544 ай бұрын
Supana juu ya Supana 😂😂😂
@JohnChatila-z7c4 ай бұрын
Hatar sana
@kashindisimon52652 ай бұрын
Kwa hiyo. Kabla makonda hajaenda Arusha ilikuwa chini ya serikali ya TLP??😮😮😮😮😮😮😮😮
@mkambamaulid4474 ай бұрын
Ss kwanini viongozi wote msifuate mfano wa Kijana mwenzetu mzalendo Mako yaani mpaka apite mako ndio mshituke 💪🏽🙏🏼TZ inamambo kweli kweli Mungu akutangulie Mh.Makonda utakuwa Rais imekuwa mitano mitano mitano tena🤣🤣🤣🤣🤣
@samwelshedrack6314 ай бұрын
Mnafik tu mbon we umewahi kuwa mkuu wa mkoa lkn hukufanya kitu?ebu muache makonda apge kazi tunatamn makonda akae arusha milele
@AlimasiLukomba4 ай бұрын
Ktk comment zotw Yako ndo nzuri kuliko Zote
@sophsoph47404 ай бұрын
😂yan gambo mkorofi
@zariadunia63284 ай бұрын
Kusema ukweli hata mimi nilikuwa simuelewi Gambo ila baada ya kuona haya yote yanayoibuka baada ya makonda ya ubadhilifu kiukweli Gambo was and he is right Arusha kuna shida ya wizi wa pesa
@kudramkoma84384 ай бұрын
Mheshimiwa makonda ipo siku ,mwezi,mwaka atakuwa raisi wa Tanzania hii
@kwisa48994 ай бұрын
Gambo anatengeneza shida
@HashimuAbubakar-ej8gc4 ай бұрын
Hiyo ni nyota ya makonda na mungu wake makonda ipo siku utakuwa rais wa nchi hii
@AsiaNgoleka4 ай бұрын
Ni kweli
@JoyceManyuka-ot7sg4 ай бұрын
Makonda ishiiiii
@AsiaNgoleka4 ай бұрын
Hii ndio kazi tunayoitaka wananchi chama na viongozi wetu wafanye.
@edrisalusonge41414 ай бұрын
Makonda atakuja kuwa l Raisi wa nchi hii Yani alipata nafasi hata kula watu wasilige apewe tu uraisi makondaaaa mungu ampe jhai yajayo yanafurahisha
@sabinahobe34784 ай бұрын
Jmn mbona ana majungu huyu Gambo?
@albartdastani34124 ай бұрын
On fact GAMBO
@lordymawoiya58182 ай бұрын
Kwani Makonda ni Akimu alosomea sheria?
@tumainiellyimo46574 ай бұрын
Ni vyema Makonda akabaki kuwa mkuu wa Mkoa wa Arusha ila Mbunge hapana.
@sabinahobe34784 ай бұрын
Huyu Gambo ni mkorofi jmn
@MarthaGambaloya4 ай бұрын
Gambo aache kujikomba
@RenaldaZeramula4 ай бұрын
Arusha wamepata Rais
@AbdulMwengwa4 ай бұрын
Mhe mbunge nimekuelewa kwa lugha ya kufikisha ujumbe wako kwa jamii
@warakawayohana28964 ай бұрын
Huyu Gambo hovyo kabisa boya tu
@EzekiaMyila4 ай бұрын
Huyu makonda awe mtu anayetaka ugonvi na watanzania hatukubali ambao si raia wa nchi ndiyo wanaotamani makonda wapishane hao hatuwataki waende kwenye nchi yao
@namsamson34434 ай бұрын
Make sure kiwango cha barabara kinakuwa kama zile barabara za Maguful ziwe imara maana nyingi zinakuwa sio imara
@nelsonnyamle4 ай бұрын
Kiki za uchaguzi ngoja uchaguzi upite mtaona kitakachoendelea
@princesschii40904 ай бұрын
Mpenda majunguuuu
@laizermaasai67594 ай бұрын
Kagambo ni kanafikk sanaa na kichonganishi. Na hakuna chochote alichowah kufanya
@EmmanuelJacobo-l3s4 ай бұрын
nilichogundua baadhi ya viongozi wa ccm wanafki sana 😢 huyu jamaa anasifia tu na yeye alishawahi kuwa mkuu wa mkoa mbona hujafanya kama anavyofanya makonda? makonda hana ata miezi mitano lakin anavyowajibika ni kwa moto kila mahali arusha, yaani inavutia sana huyu makonda ni raisi wangu miaka kadhaa mbeleni
@nelsonnyamle4 ай бұрын
KWANI AGIZO LA MACHINGA KUFURUSHWA LILIKUWA NI AGIZO LA RAIS
@khadjamhozya4 ай бұрын
Kama mrijuwa machinga wanateseka nahio migogoro mrifanya nini muda wote
@mgalulamatongo40794 ай бұрын
Manene unafaa kuwa rais wetu uchaguzi ujao
@dismaslalubare41964 ай бұрын
Piga spana makonda mimi nina paiprench na tailiva sijui nikuletee hapo mkuu uwapige kweli kweli
@aganolamotoeliya20274 ай бұрын
Huyu makonda anastahili kupewa nchi tu.
@OdenBidili-lj5qi4 ай бұрын
We gambo ulikua mkuu wa mkoa hapo mbona hukufanya chochote acha kupiga siasa hapo mwezi wa 10 kuna uchaguzi ndio maana unadanganya watu
@upendoeliya93294 ай бұрын
Mrisho Gambo unaona namna kazi zinavyofanywa na RC Makonda?? Je wewe uliwahi kuwasadia Wananchi kwa lipi zaidi ya kulinda cheo??
@khadjamhozya4 ай бұрын
Kwani huyu ndo arikuwa mkuu wa mkoa kabura ya makonda
@SamoMgore-x3v4 ай бұрын
@@khadjamhozyamkuu Kuna R na L daah Sasa arikua kabra ndonini
@odhiambojames85784 ай бұрын
We Mambo ulifanya nini
@sarahjames22874 ай бұрын
Huyu Gambo??? ni
@JosephatMagumba4 ай бұрын
Tuko pamoja na makonda wewe ulizaliwa kuwa kiongozi na Wala siyo uongozi wa kujifunza
@lawrencegwerino16564 ай бұрын
Wambie mitalo yote ifunikwe isikae wazi
@ElishaOisso4 ай бұрын
Watu
@khatibumtaki74254 ай бұрын
new magufuli wewe ni jpm mpya wa badae
@abaskhatoon94254 ай бұрын
Taka huku ni shida gari hazipiti
@priscairene46054 ай бұрын
Makonda jembe
@fredmbossa-kc3qn4 ай бұрын
huyo dc ana mapito makubwa...huyo gambo nidhamu mbovu ccm wanatakiwa wamuajibishe kwenye kamati ya nidhamu
@baruaninombo2914 ай бұрын
Gambo wewe ni hamna kitu, kajeuri na kakorofi sana, wewe ndo uliyesababisha leo hii arusha tusiwe na stand kubwa. Enzi ukiwa mkuu wa mkoa ulikuwa na bifu kubwa na mkurugenzi wako mkawa mnagombana kila mtu akitaka stand ijengwe eneo analotaka yeye. Hadi pesa zikarudi hazina na magufuli ndo akaja kuwasuluhisha na akawasema sana kwa kuwacheleweshea maendeleo wana arusha.
@baruaninombo2914 ай бұрын
Sasa leo hii gambo unaugomvi na dc. Hii inaonesha wewe ni mkorofi. Unapenda migogoro