No video

"TUKO TAYARI KUSILIMU" || ALIYERITADI ZAIDI YA MIAKA 20 ASILIMU TENA

  Рет қаралды 10,460

Straight Path Dawah

Straight Path Dawah

Күн бұрын

Please remember to support our channel by subscribing. Feel free to text or call us through the following numbers:
+254722600533
+254777600777
STRAIGHT PATH ASSOCIATION

Пікірлер: 71
@AliIbrahim-lv5cq
@AliIbrahim-lv5cq 2 жыл бұрын
Shekh Ramadhan pamoja na imam Allah azidi kuwaongoza tunakuahidi bado tuko pamoja na nyinyi, mkono kwa mkono Hadi PEPONI,Allah azidi kuwapa nguvu nyinyi pamoja na familia zenu mlizoziacha majumbani mwenu, ‏آمين
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 2 жыл бұрын
Shekh Ramadhan huu mtaa pia lazima kupatikane msikiti japo mdogo tutachanga hivyo ivyo ili kulifanikisha hilo na Allah atatujaalia, inaonekana watu wa eneo hilo sio watu wakumezeshwa sumu ,na hawana kiburi
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 2 жыл бұрын
Ndugu zangu waislamu ili zima nilakwetu sote mnaona mji mzima hauna hata muislam mmoja . Hawa Mashekhe wetu wanafikisha dawa sisi kazi yetu nikuwasapoti kwa pesa ili wafanikishe hii kazi. Shime ndugu zangu tutoeni ktk Dini .
@alfanm.8221
@alfanm.8221 2 жыл бұрын
Kweli bro
@maherzain615
@maherzain615 2 жыл бұрын
Tuko duniani kulingania dini,ya uisilamu kwa walo duniani, tuwafunze mema yalio kitabuni, kwenye Qur'an na sunnah za amini.
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 2 жыл бұрын
Huyu mzee aliesilimu anaitqjika kupata elmu, inaonekana hata elmu ya uislam hana kabisa, alipenda dini lakini alikosa mtu wa kumfundisha
@jumanjenga7682
@jumanjenga7682 2 жыл бұрын
Masha Allah Ustaz.good job.watching from Boston USA
@hassanmpemba5747
@hassanmpemba5747 2 жыл бұрын
Masha Allah sheikh Ramadan kazi nzuri ya kulingania dini ya haki Allah awape shifaa na uvumilivu
@andallaathman3856
@andallaathman3856 2 жыл бұрын
Mashaa llah huyo mama kauliza swali la sadaqa hio nimuhimu sana
@blazeking2331
@blazeking2331 2 жыл бұрын
MashaAllah Allah awabarikie na awalipe kheri duniani na Akhira
@fatumjumaa5563
@fatumjumaa5563 2 жыл бұрын
Munafanya kazi nzuri Allah atawalipa kila la kheri inshaallah
@alyaqdhan5206
@alyaqdhan5206 2 жыл бұрын
*Wakristo Wasabatu* wanatangaza kwenye mijadala yao yakuwa hii Quruani imeteremshwa na Shetani, nataka niwaulize:Shetani gani huyo, anae amrisha kufanya mambo haya: 1- Kumuabudu Mwenyezi Mungu Mmoja alie umba mbingu, ardhi, binaadamu na viumbe vyote 2- kuwatendea mema wazazi wako 3- kusaidia maskini, yatima, wajane na mtu yeyote mwenye shida 4- kutenda mema juu ya ndugu zako, majirani na uongee mema na watu 5- kukataza kuuwa mtu yeyote kwa kinyume cha sheria 6- Mwanamke ajistiri kimavazi asitoe mwili wake njee ila kwa mumewe 7- akataza kufanya zina na ushoga 8-akataza kula mali za watu dhulma, kuharimisha ulevi na kula nyama ya nguruwe 9- kuteremsha storia za Manabii kama hadithi ya Nabii Musa alipo ona moto akausogelea halafu Mungu akamuita akaongea nae direct, halafa akampa muujiza wa fimbo unao geuka nyoka akamuamrisha ende kwa Farao amkanye asiijifanye Mungu 10- storia ya Nabii Ibrahim alivyo tupwa kwenye moto halafu mungu akauamrisha moto usimuunguze 11- storia ya nabii Nuhu na mafuriko ya maji yalio angamiza watu wake na yeye akanusurika ndani ya safina 12 - Hadithi ya Mariamu alipo pewa habari njema na Malaika ya kuwa atazaa Yesu bila kukaribiwa na mwanamme yoyote na mtoto wake atakuwa Nabii mtukufu na atateremshiwa Injiil, then hadithi ya Yesu vipi alivyo kuwa anafufuwa watu kwa idhini ya Mungu sio kwa uwezo wake, anaunda ndege kwa udongo halafu anampulizia anakuwa ndege kwa idhini ya Mwenyezi mungu sio kwa uwezo wake, na hali kadhalika alikuwa anaponyesha watu, vipofu na wakoma kwa idhini ya Mungu... na hadithi za manabii wengine 13- Majukumu ya Malaika 14 - uumbaji wa binaadamu na majini 15- matukio ya siku ya mwisho 16 -adhabu wanayo pata makafiri ndani ya Jahannam na starehe wanayo ipata Waislamu wacha mungu Peponi. Haya yote niliotaja ni maamrisho ya shetani?!! Si kweli kabisa, shetani haamrishi mema always ana amrisha maovu, haya ni maamrisho ya Mwenyezi Mungu aliomteremshia Nabii Muhammad ( Piece Upon him ) kwa njia ya Wahyi (Mwenyezi Mungu anakataa yakuwa hii Quruani imeteremshwa na Mashetani, surat 26:210,211 ( Wala Mashet'ani hawakuteremka nayo. Wala haitakiwi kwao, na wala hawawezi ) halafu Mwenyezi Mungu anasema kama hii Quruani kutoka kwake, surat 26:192-196 ( Na bila ya Shaka hii ni uteremsho wa Mola Mlezi wa walimwengu wote. Ameuteremsha Roho muaminifu, Juu ya moyo wako ili uwe katika Waonyaji, Kwa ulimi wa Kiarabu ulio wazi. Na hakika bila ya shaka haya yamo katika Vitabu vya kale )
@maherzain615
@maherzain615 2 жыл бұрын
Mti wenye matunda lazma upigwe mawe
@hassangalgallo8496
@hassangalgallo8496 2 жыл бұрын
2cor 11:14 ....Sio ajabu Shetani mwenyewe ajigeuze kuwa Malaika wa Nuru.....
@alyaqdhan5206
@alyaqdhan5206 2 жыл бұрын
@@hassangalgallo8496 Kwa nini sio shetani aliejigeuza Paulo halafu akawatungia imani yenu inayo pingana na imani ya Manabii wote aliyo watuma Mwenyezi Mungu, hakuna nabii aliye sema kama Mungu ana mwana ila nyinyi wakristo, vizuri nikupe ushahidi njee ya waislamu kama sisi tunaabudu Mwenyezi Mungu Mmoja wa haki, sikiliza huyu Rabii ambaye kitabu chake tukufu ni Agano la kale mnalolihisabu yakuwa ni sehemu ya kwanza ya kitabu chenu bibilie kzbin.info/www/bejne/hGebiHxuerOHqqM
@hassangalgallo8496
@hassangalgallo8496 2 жыл бұрын
@@alyaqdhan5206 kumbuka nabii Mohamed aliposema akimwambia bibi yake Khadija alipotoka pamgo la Hira "nahofia maisha yangu kuchezewa na mashetani"….lakini bi Khadija alimdakia na kumwambia sio shetani ila ni Malaika Jibreel amekutokea Cha kushangaza ni kwamba Bi Khadija hakuwa kwenye pamgo ila Mohamed alikuwa. Mohamed alikuwa na Shetani tangu kuzaliwa na alitolewa shetani mara nne.
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 2 жыл бұрын
Asalam Ayelkum Shekhe Ramadhani iyo idea ya kupanga chumba hapo ili watu wasome Dini ni idea nzuri sana. Kwamawazo yangu chumba kitakuwa hakitoshi bora tupange nyumba nzima au vyumba viwili kuwe na sehemu ya wanawake na wanaume kuswali na madrasa. Then tutafute kiwanja tujenge msikiti na madrasa in shaa Allah.
@linetkikin4023
@linetkikin4023 2 жыл бұрын
Mashaallah tabarakah Allah awalipe kheri
@marvelousofzanzibar9556
@marvelousofzanzibar9556 Жыл бұрын
MashaAllah Allah akupe umri mrefu kaka Ramadhani na afya njema uzidi kufunza uislamu kwa wasio ujua uislamu
@mariamkhaikachitechi6552
@mariamkhaikachitechi6552 2 жыл бұрын
Maashallah mubarikiwe
@salimomary1922
@salimomary1922 2 жыл бұрын
Masha Allah natamani sikumoja nijekua kama shekhe ramadhani kulia
@aishaibrahim1613
@aishaibrahim1613 2 жыл бұрын
MashaALLAH tabarak
@saeedisa9798
@saeedisa9798 2 жыл бұрын
MashaAllah. Asanteni sana. Please wear gloves 🧤🧤 during construction 🚧, so you don't get injured in the hands. Thanks.
@jamilaomari2444
@jamilaomari2444 2 жыл бұрын
Allah awalipe kila la kheri
@nooroman2535
@nooroman2535 2 жыл бұрын
MashaAllah shelkh Ramadhani pomoja na mashelhk yote Mungu hawape afya njema na subira kwakumtangaza Allah
@bentybenty2343
@bentybenty2343 2 жыл бұрын
Masha ALLAH..ALLAH AKBAR..
@moanamohammed1406
@moanamohammed1406 2 жыл бұрын
Masha Allah masheikh wetu ..kaz kubwa mwaifanya Allah awatie nguvu Inshaallah
@sayeedwangara8954
@sayeedwangara8954 2 жыл бұрын
Kazi ya daawah ni ngumu ,Allah bless you
@mangeraalbert7982
@mangeraalbert7982 2 жыл бұрын
Shukurani sheikh wetu nyote,
@salmasalim6055
@salmasalim6055 2 жыл бұрын
Mashallah mashallah
@ummua5006
@ummua5006 2 жыл бұрын
Jazakumu Llaahu khairan. Huko kunahitaji msikiti na madrasa. Mukianza waislam watajitokeza tu.
@batulialmass8914
@batulialmass8914 4 ай бұрын
Masha Allah tabarakallah,shekhe ramadhan kulia Allah akupe afya ili uzidi kuendeleza uwislamu
@NIKE-xy6et
@NIKE-xy6et 2 жыл бұрын
Dah! Mtihani kweli. Mtu akikosa msikiti anaritadi !!! Mtu anakuwa muisilamu kwa sababu ya mume / mke !!!
@mukandamaakbar599
@mukandamaakbar599 2 жыл бұрын
Masha'Allah Allah awabariki
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
Allahuma ameen
@abdur-rahmanmuhammad6900
@abdur-rahmanmuhammad6900 2 жыл бұрын
I wish muge fundisha na Kikuyu kwa sababu kiswahili kwao ni ngumu kuogea (kujieleza vinzuri)
@bentali5773
@bentali5773 2 жыл бұрын
Mashaallah
@mishijuma5558
@mishijuma5558 2 жыл бұрын
Maasha allah
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 2 жыл бұрын
Masha Allah
@Sai.Mo69
@Sai.Mo69 2 жыл бұрын
Ai, Sadaka ime katazwa SANA na Yesu, anasema, "injeeli mulipewa bureee, na pesa musi pokey kabisaaa", Mathew 10:8-9! Yesu alisema yakwamba, haki za Sadaka, niza Masikini, Luke 18:18-23. Ni HARAMU Pastor ku itisha Sadaka. Malachi 3:10 ina ongelea habari za ZAKA, ambao ni NGANO, inao tolewa na ma Farmers ONCE a year, kupelekwa GANARINI , ili maskini aweze ku teka anytime! Halafu angalia BARAKA za kutoa Sadaka, kama ni Sadaka ya Chakula, auza ya Pesa, baraka nihizi, Luka 14:13-14. Sadaka hupewa mwenzako ambaye haji wezi, SIO upeyane Pastor aka lewe au alipiye Lodgi wakati wame 'kesha' na Mabibi za wengine! Kichwa zenu ni sawa kweli, muna enda ku peyana ma Pastor wakati Yesu ame wa kataza? Ukipatia 'fungo lako' la kumi kwa mwenzako ambaye hajiwezi, MUNGU ataku bariki sana, tena sana! Jaribu uone!!
@bakari52
@bakari52 Жыл бұрын
Umewlezea vizuri kaka
@maymgaya4192
@maymgaya4192 2 жыл бұрын
Mashallah
@saumkisira9328
@saumkisira9328 2 жыл бұрын
Mashallah Allah awape umri mrefu mashekh wetu ♥️
@NIKE-xy6et
@NIKE-xy6et 2 жыл бұрын
Kazi mzuri ndugu zangu lakini imam naona kama macho yamezeeka.
@Idysalim
@Idysalim 2 жыл бұрын
Ma-Sha-Allah Sheikh Ramadhan, good job you doing may Allah reward you, Am idi born muslim n practice islam but i want and am very interested in learning Arabic so that can be able to read and understand Qur-an deeply. Am in mombasa mtwapa if you offer such classes here kindly direct me where In-Sha-Allah
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
thank you for watching, kindly call or whatsapp me we discuss the matter inshallah. 0777600777
@abdallahnassor7891
@abdallahnassor7891 2 жыл бұрын
Nataka fatwa ya mtu aliyeritadi miaka 20 nyuma je Ni sahihi kumsilimisha upya Tena mbona tunasikia hukumu ya mtu aliyeritadi Ni kukatwa kichwa
@SalunumaulidmsumiMsumi-cc2im
@SalunumaulidmsumiMsumi-cc2im 11 ай бұрын
Mashaa llah Allah atukutanishe peponi
@faceface739
@faceface739 2 жыл бұрын
Assalam aleykoum shekh Ramadan napenda sana harakati zako vipi tayari sagana na kipingoti wameshajenga msiki
@mangeraalbert7982
@mangeraalbert7982 2 жыл бұрын
Huyo shoshi, ako furahisha
@user-eg4lc7dd5z
@user-eg4lc7dd5z 5 ай бұрын
Allahu akbar
@chiefmkalikibz1503
@chiefmkalikibz1503 2 жыл бұрын
Assalam alleykum. Sasa Bin Kaguo nipe Pass ya juu nitulize na kifua Kisha nifunge bao...... Nyawera size yangu niongeze Thulatha
@rajabmahmoud7660
@rajabmahmoud7660 Жыл бұрын
Changamoto ni elimu tu ya uislam
@maherzain615
@maherzain615 2 жыл бұрын
Nlikuwa muislamu vile nlipokosa mskiti nkatoka kwa uislamu nkarudi kwa ukristo kidogo. Dah uislamu si mskiti ardhi yte ni mskiti
@mariamkhaikachitechi6552
@mariamkhaikachitechi6552 2 жыл бұрын
Sema kujipodoa
@NIKE-xy6et
@NIKE-xy6et 2 жыл бұрын
Tatizo vijana waislam ambao hawajasoma dini wanakuwa matatizo katika dini.
@saynabmohammed6263
@saynabmohammed6263 2 жыл бұрын
Kwan kujenga hapo msikiti mdogo sh ngp Na yy alorud kuwa muislam apewe hkubwa fulan
@sirpleasureb
@sirpleasureb 2 жыл бұрын
WEWE UMEPOTEA MUNGU WA WAISLAMU SIO MUNGU WETU SISI WAKRISTO.MUNGU WA WAISLAMU HANA MWANA.WETU SISI WAKRISTO ANAE MWANA YESU KRISTO.JOHANA 3:16.MTU ATAKWAMBIAJE ETI YESU SI MWANA WA MUNGU ALAFU UMWAMINI?WEWE UKO KATIKA MFUMO WA KUPOTEA.SOMA 2 WATHESSOLONIKE 4:10-12.
@abdulhakimhasan7673
@abdulhakimhasan7673 2 жыл бұрын
Ndugu fikiria vizuri , Mungu alivyo umba na kuchengeneza binadamu , ni sawa sawa kama wewe vile mfano una umba na kuchengeneza baisekeli , kisha unasema na kuamini kuwa baisekeli ni mtoto wa binadamu. Hapo sasa akili imekwenda wapi ? Ujue hiyo ni kazi ya shetani .
@sirpleasureb
@sirpleasureb 2 жыл бұрын
@@abdulhakimhasan7673 quran 72.1 ndini ya majini haiwezi kuwa ya kweli
@abdulhakimhasan7673
@abdulhakimhasan7673 2 жыл бұрын
@@sirpleasurebWewe ni pastor muongo na mpotofu. Holy Koran 72:1 , ina eleza"sema ( Muhammad ) nimepewa " wahyi " ( Mungu kumtuma gabriel na kumwambia ) kuwa kundi la majinni wali isikia ( koran ) , wakasema , " tumesikia koran ya ajabu " . Hakika , vitabu vya Mungu vyote , injili, taurati na zaburi , vinaeleza kuna majinni waumini na majinni iblisi mashetani
@abdulhakimhasan7673
@abdulhakimhasan7673 2 жыл бұрын
@@sirpleasurebWewe Pastor mkristo , ukipata masomo na maelezo kamili ya koran tukufu , ili kutafuta ukweli , hapana shaka 100% utaacha kusema uongo kwa wakristo
@sirpleasureb
@sirpleasureb 2 жыл бұрын
@@abdulhakimhasan7673 quran 2:97 quran iliteremshwa na nani?jibu liko quran 2:36.amini yesu ni mwana wa Mungu upate kuokolewa.
@salmanassor8732
@salmanassor8732 2 жыл бұрын
Mashallah mashallah
@user-oo7xd9ex7m
@user-oo7xd9ex7m 2 жыл бұрын
Masha Allah
WACHUNGAJI WAPASUA MBARIKA "WAKRISTO HAWAENDI MBINGUNI WALA PEPONI !!!!"
1:21:33
WALIOCHAGUA KUSIKILIZA DAWAH BADALA YA KUCHEZA MPIRA WAELIMIKA
44:26
Straight Path Dawah
Рет қаралды 4,6 М.
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 49 МЛН
Comfortable 🤣 #comedy #funny
00:34
Micky Makeover
Рет қаралды 17 МЛН
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 44 МЛН
UNO!
00:18
БРУНО
Рет қаралды 4,9 МЛН
MASAIBU YA SHARIFF BAADA YA KUFIWA NA MAMA YAKE.
1:09:15
Straight Path Dawah
Рет қаралды 2,5 М.
DADA ASHANGAA NA MAANDIKO HUKU WENGINE WAKISILIMU.
50:01
Straight Path Dawah
Рет қаралды 11 М.
MDAHALO MKUBWA WA WAISLAMU NA WAKRISTO, Namba 1 #Uwakta #Mdahalo #Quran #Bible
2:59:00
فتاة مذهولة من حقوق المرأة في الإسلام - ركن المتحدثين
23:48
Ali Dawah Arabic - علي دعوة باللغة العربية
Рет қаралды 564 М.
Agnostic Man Grills Muslim With Difficult Questions! Muhammed Ali
18:38
The Muslim Lantern
Рет қаралды 270 М.
PASTOR NDACHA AKUBALI KUWA YESU SIO MUNGU MKUU. (PART 2 B)
1:00:23
Straight Path Dawah
Рет қаралды 11 М.
JOTO LA MAANDIKO LAPANDA HUKU WAKRISTO WAKIHOJI KUHUSU WANAWAKE WA PEPONI
1:00:59
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 49 МЛН