NABII ATOA UNABII PART TWO KUELEKEA UCHAGUZI 2025 || Prophetedmoundmystic

  Рет қаралды 15,322

Prophet Edmound Mystic

Prophet Edmound Mystic

17 күн бұрын

FOLLOW US BY CLICKING THESE LINKS BELOW:
INSTAGRAM:
/ edmound_mys. .
KZbin:
/ edmoundmuye. .
AUDIO PODCASTS:
player.fm/series/edmounds-pod...
FACEBOOK ACCOUNT
web. Edymystic?_r...
church.heavenlyimagemanifest.org

Пікірлер: 36
@HAAM670
@HAAM670 2 күн бұрын
Naam, tutapita pagumu tutalia lia 2025, lakini mwisho wa siku Bwana atalitukuza Jina lake. Giza nene lakini mwisho wa siku nuru itang'aa gizani, wala giza halitaiweza. Mwisho wa yote Kusudi la Bwana litasimama. So, tuombe SANA ili kufupiza giza nene au kuliondoa kabisa ktk Jina la Yesu, Amen.
@mselimsuya6952
@mselimsuya6952 15 күн бұрын
Nimepata kwa asilimia 70 kwa vile Napenda siasa. Nazidi kuombea Nchi yangu. Asante Prophet
@JOSHUAMWAKALAGO
@JOSHUAMWAKALAGO 15 күн бұрын
Wenye akili tu ndio wataelewa.
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 14 күн бұрын
Niliona maandamano mkubwa watu wakitokea barabara ya gongo la mboto njia ya airport watu wengi wameuwawa na hasahasa wafuasi wa Ccm niliona serikali ya Ccm imeondolewa madarakani kwa maandamano makubwa ya raia huku biashara za watu zikihalibiwa Mungu atusaidie sana inatosha sana.Ombi langu uchanguzi 2025 ufanyike kwa amani na asiwepo kiongozi wakutaka kuiba kura maana ndiyo chanzo cha fujo zote
@innocentcareen818
@innocentcareen818 15 күн бұрын
Mungu ATUKUMBUKE
@ShalomNissitv
@ShalomNissitv 13 күн бұрын
Hii ni kubahatisha,sema wazi
@elishampoki8751
@elishampoki8751 15 күн бұрын
Nyota nikiongozi Bora atakae ibuka bila matalajio ya watu,
@mchisraelimbarikiwanassari3588
@mchisraelimbarikiwanassari3588 15 күн бұрын
Aya bhana tunangojea
@3leggedbird222
@3leggedbird222 11 күн бұрын
Nimeelewa sana Baba Mungu autunze unabii wako
@Shalom803
@Shalom803 13 күн бұрын
We need our Tanganyika back❤
@cosmasshauri9002
@cosmasshauri9002 15 күн бұрын
Jua huchomoza Mashariki na kuzama Magharibi, hivyo mawio ni Magharibi na machweo mashariki
@malkiarosemuhando3310
@malkiarosemuhando3310 15 күн бұрын
Linaitwa Machweo mtumishi
@pastorabraham7551
@pastorabraham7551 15 күн бұрын
The watchers we are on .
@samuelmakara
@samuelmakara 15 күн бұрын
Sema Tanganyika na Zanzibar
@josephmutalemwa1461
@josephmutalemwa1461 15 күн бұрын
Let's pray 🙏
@jesusismyeverything1630
@jesusismyeverything1630 15 күн бұрын
Ameen
@gervasmakalo1787
@gervasmakalo1787 13 күн бұрын
Mimi sijaelewa kinachotabiriwa kwa hiyo mawingu ambao ni wapinzani watasambaa na atachomoza makamba kung'aa watumishi wa Mungu mwacheni yeye afanye anavyotaka kwa sababu humpa amkatakae na humnyima amtakaye munakosea kuingilia siasa hubirini neno watu waokolewe
@mathiasmichael9915
@mathiasmichael9915 4 күн бұрын
Mungu hutoa unabii juu ya jambo lolote maana tawala zote za Toka Kwa Mungu kwahiyo Mungu anaweza kusema chochote juu ya lolote
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 14 сағат бұрын
ko mungu akiwapa unabii wa siasa wasiseme
@elishampoki8751
@elishampoki8751 15 күн бұрын
Maombi Ya watakatifu Ndiyo yatakayoishikilia nchi hii isingie kwenye machafuko,
@JosephMunisi-xj5yu
@JosephMunisi-xj5yu 11 күн бұрын
Amen
@rweumbizalugaimukamu4905
@rweumbizalugaimukamu4905 15 күн бұрын
Ubarikiwe Nabii
@user-pr7pe4lf8p
@user-pr7pe4lf8p 6 күн бұрын
Makonda ndio aliyetabiriwa
@DottoKagoro
@DottoKagoro 15 күн бұрын
Nimeielewa
@lanezboy7016
@lanezboy7016 12 күн бұрын
Hapa nimeanza kuelewa 😅😅😅😅
@JamesPesambili-yt2cm
@JamesPesambili-yt2cm 2 күн бұрын
Mimi sikupingi ila nia ya Mungu kukupa ujumbe ni ili tuombe mabaya yasitokee au yatokee tufe? Hata ninawi walitakiwa wafe ila wakamgeukia Mungu na Mungu akagili kuwaua, nataka manabii mjue kuwa mimi sifurahii unabii wenu kutokea,nafurahia mnapotumia mamlaka zenu kuzuia mabaya kwenye taifa, nasiyo kufurahia kutimia unabii wawatu kufa,
@edmoundmystic
@edmoundmystic 2 күн бұрын
Baada ya ujumbe wa Nabii Yonah Ninawi walimgeukia Mungu wakatubu. Swali ambalo Tanzania tunajiuliza: Je, Tanzania baada ya unabii tumeshuhudia tendo lolote la kumgeukia Mungu lililotolewa na kiobgozi wa nchi?
@timothyzablon3224
@timothyzablon3224 15 күн бұрын
Something is happening
@MillenMlay
@MillenMlay 15 күн бұрын
Nataman ningeelewa
@gabrielsulle8756
@gabrielsulle8756 13 күн бұрын
Ndoto
@gasperelasto8842
@gasperelasto8842 15 күн бұрын
Sa mbona hujatoa tafsiri ya hiyo ndoto?
@user-bz5ti6op6z
@user-bz5ti6op6z 11 күн бұрын
Mimi kiukweli sipendi vitisho
@leahmgunda4154
@leahmgunda4154 4 күн бұрын
Unapenda uongo mtamu (cheza nikakuletee pipi)pole.
@yusuphkabora7685
@yusuphkabora7685 15 күн бұрын
Kuna wakati naamini ila Kuna wakati siamini maana ni muda Sasa tangu muanze kutabiri lakini ni hola tu Kila kukicha na Sasa miaka imekwisha
@josephmutalemwa1461
@josephmutalemwa1461 15 күн бұрын
Yusufu unaitaji D 4 tu kuelewa hapo wala usjl sio ww pambana upate D hata moja tu utaelewa nn Nabii anamanisha
@happynesjulius1914
@happynesjulius1914 12 күн бұрын
Ameen
Alicho kisema Prophet edmound kuhusu UCHAGUZI 2025 | KUHUSU MAKUNDI MATATU
9:34
Prophet Edmound Mystic
Рет қаралды 131 М.
She ruined my dominos! 😭 Cool train tool helps me #gadget
00:40
Go Gizmo!
Рет қаралды 62 МЛН
Tom & Jerry !! 😂😂
00:59
Tibo InShape
Рет қаралды 60 МЛН
ОДИН ДЕНЬ ИЗ ДЕТСТВА❤️ #shorts
00:59
BATEK_OFFICIAL
Рет қаралды 8 МЛН
KWA NINI UNAPASWA KUIOMBEA ARUSHA 2025 || Asema Nabii EdmoundMystic
10:42
Prophet Edmound Mystic
Рет қаралды 6 М.
ALICHOKIONGEA ROLINGA JUU YA MTOTO ALIYEUWAWA.
15:50
Haleluya Tv
Рет қаралды 13 М.
UNABII WA BALAA KENYA NA TANZANIA WAANZA KUTIMIA
38:02
huduma ya kristo
Рет қаралды 17 М.
UNABII KUHUSU NCHI YA KENYA | Prophetedmoundmystic
1:06
Prophet Edmound Mystic
Рет қаралды 4,3 М.
PROPHET CLEAR MALISA: SIRI ITAKAYO BADILISHA MAISHA YAKO
24:33
Chomoza Tv
Рет қаралды 22 М.
She ruined my dominos! 😭 Cool train tool helps me #gadget
00:40
Go Gizmo!
Рет қаралды 62 МЛН