FOLLOW US BY CLICKING THESE LINKS BELOW: INSTAGRAM: / edmound_mys. . KZbin: / edmoundmuye. . AUDIO PODCASTS: player.fm/series/edmounds-pod... FACEBOOK ACCOUNT web. Edymystic?_r... church.heavenlyimagemanifest.org
Пікірлер: 36
@HAAM6702 күн бұрын
Naam, tutapita pagumu tutalia lia 2025, lakini mwisho wa siku Bwana atalitukuza Jina lake. Giza nene lakini mwisho wa siku nuru itang'aa gizani, wala giza halitaiweza. Mwisho wa yote Kusudi la Bwana litasimama. So, tuombe SANA ili kufupiza giza nene au kuliondoa kabisa ktk Jina la Yesu, Amen.
@mselimsuya695215 күн бұрын
Nimepata kwa asilimia 70 kwa vile Napenda siasa. Nazidi kuombea Nchi yangu. Asante Prophet
@JOSHUAMWAKALAGO15 күн бұрын
Wenye akili tu ndio wataelewa.
@lulanjamd388614 күн бұрын
Niliona maandamano mkubwa watu wakitokea barabara ya gongo la mboto njia ya airport watu wengi wameuwawa na hasahasa wafuasi wa Ccm niliona serikali ya Ccm imeondolewa madarakani kwa maandamano makubwa ya raia huku biashara za watu zikihalibiwa Mungu atusaidie sana inatosha sana.Ombi langu uchanguzi 2025 ufanyike kwa amani na asiwepo kiongozi wakutaka kuiba kura maana ndiyo chanzo cha fujo zote
@innocentcareen81815 күн бұрын
Mungu ATUKUMBUKE
@ShalomNissitv13 күн бұрын
Hii ni kubahatisha,sema wazi
@elishampoki875115 күн бұрын
Nyota nikiongozi Bora atakae ibuka bila matalajio ya watu,
@mchisraelimbarikiwanassari358815 күн бұрын
Aya bhana tunangojea
@3leggedbird22211 күн бұрын
Nimeelewa sana Baba Mungu autunze unabii wako
@Shalom80313 күн бұрын
We need our Tanganyika back❤
@cosmasshauri900215 күн бұрын
Jua huchomoza Mashariki na kuzama Magharibi, hivyo mawio ni Magharibi na machweo mashariki
@malkiarosemuhando331015 күн бұрын
Linaitwa Machweo mtumishi
@pastorabraham755115 күн бұрын
The watchers we are on .
@samuelmakara15 күн бұрын
Sema Tanganyika na Zanzibar
@josephmutalemwa146115 күн бұрын
Let's pray 🙏
@jesusismyeverything163015 күн бұрын
Ameen
@gervasmakalo178713 күн бұрын
Mimi sijaelewa kinachotabiriwa kwa hiyo mawingu ambao ni wapinzani watasambaa na atachomoza makamba kung'aa watumishi wa Mungu mwacheni yeye afanye anavyotaka kwa sababu humpa amkatakae na humnyima amtakaye munakosea kuingilia siasa hubirini neno watu waokolewe
@mathiasmichael99154 күн бұрын
Mungu hutoa unabii juu ya jambo lolote maana tawala zote za Toka Kwa Mungu kwahiyo Mungu anaweza kusema chochote juu ya lolote
@Leeeeeeee-9614 сағат бұрын
ko mungu akiwapa unabii wa siasa wasiseme
@elishampoki875115 күн бұрын
Maombi Ya watakatifu Ndiyo yatakayoishikilia nchi hii isingie kwenye machafuko,
@JosephMunisi-xj5yu11 күн бұрын
Amen
@rweumbizalugaimukamu490515 күн бұрын
Ubarikiwe Nabii
@user-pr7pe4lf8p6 күн бұрын
Makonda ndio aliyetabiriwa
@DottoKagoro15 күн бұрын
Nimeielewa
@lanezboy701612 күн бұрын
Hapa nimeanza kuelewa 😅😅😅😅
@JamesPesambili-yt2cm2 күн бұрын
Mimi sikupingi ila nia ya Mungu kukupa ujumbe ni ili tuombe mabaya yasitokee au yatokee tufe? Hata ninawi walitakiwa wafe ila wakamgeukia Mungu na Mungu akagili kuwaua, nataka manabii mjue kuwa mimi sifurahii unabii wenu kutokea,nafurahia mnapotumia mamlaka zenu kuzuia mabaya kwenye taifa, nasiyo kufurahia kutimia unabii wawatu kufa,
@edmoundmystic2 күн бұрын
Baada ya ujumbe wa Nabii Yonah Ninawi walimgeukia Mungu wakatubu. Swali ambalo Tanzania tunajiuliza: Je, Tanzania baada ya unabii tumeshuhudia tendo lolote la kumgeukia Mungu lililotolewa na kiobgozi wa nchi?