HECHE BUNGENI: "Waziri Huoni Aibu, Unafki Tu, Mungu Anajua"

  Рет қаралды 82,244

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 72
@ngomagipaul7011
@ngomagipaul7011 5 жыл бұрын
Mh heche atambue kuwa watanzania tunajua kazi nzuri inayofanywa na serkali ya mh magufuri :pia tunawajua wabunge walio na nia ya dhati kwa wananchi 'kwa kutoa ushauri kwa serkali yao ..pamoja na usemi wa serkali yenu maneno anayotumia mh heche ,jambo hili nalifananisha na mtoto akishiba kutupa vyombo'na kuviita vichafu ...mh..mpango in miongoni kwa mawaziri wa kasi ya mh ..magufuri hivyo na kasi hii itapelekea baadhi ya wabunge kubaki wakishangaa!na kulalanika;wakifikiri kwenye budget ndipo pa kupigia campaign in mwaka mmoja umebaki wataingia kwenye uchaguzi, 'wabunge'madiwani'tutawaomba mtuambie ulichofanya in pamoja na mh heche ..hataki kabisa hata kusifia hata posho anayopata sh 300000.00 kwa siku wakati kuna wanoitumikia kwa mwezi ..na wengine wakulima waliowachagua hata kuipata in bahati kwa mwaka 'sijasema mshahara kwa mwaka na mwezi * nani, atakuwa maskini je kwa miaka 5 ni fedha kiasi gani na hii ni sheria iliyotugwa na wabunge na hayo (maposho)basi wekeni sheria ya kujitolea tuona kasi yenu .mhe..mpango /ndalichako/nditiye/zitto/Daniel/Obama/chiza/vuma/serukamba/sisi wananchi wa kigoma tunajua bahati tuliyopewa na serkali ya awamu ya 5 ya ccm hatuhitaji na hatupenda kukosa fursa 'na kulalanika ..tu kwani uwepo wenu in mtaji kwa wananchi wa kigoma' na kiongozi bora halalamiki hutoa ushauri kwani yaliopangwa anayajua,wananchi ndio wanaopaswa kulalanika kwani,huenda mipango ya serkali baadhi in vigumu kuijua,pia nawapa ujumbe kuwepo kwa (refugees) ktk mkoa ilikuwa fusa sasa tuona shida kubwa ..kutoka kasulu,kibondo kwenda nchi jirani sio,mbali tunawahitaji mje kama timu mzungumze na wananchi ...jambo hili sasa linatishia maisha ya wananchi was kigoma,na kuna vitu vya msingi ,umeme ,barabara,ujenzi wa kituo cha afya busunzu KB...zahanati iliyopo hutoa huduma kwa kata yenye wakazi zaidi ya 15000 ..jingine in swala LA usalama..tunajua jitihada za polisi na viongozi wote mungu awatia nguvu..kusimamia kwa dhati ,na kwa haki,nasi wananchi tunaunga mkono..hata kutoa chombo cha usafiri kwa ajili ya kituo kidogo cha polisi busunzu..jambo hili sio dogo...ombi kwa mh ..ndugai na mh ..tulia tujulisheni kwa njia zote maalam na haraka budget ya serkali .na hata kupia njia ambazo in rahisi kwa wananchi walioko vijijini kigoma, mtwara na ngara..kujua kwa haraka shughuri za serkali..mwisho na save ujumbe na nia in njema niliowataja watanisamehe lakini,tumsaidie mh ..magufuri.. kwa kuona hakika maendeleo ya nchi yetu ..
@joyceMwaikusa
@joyceMwaikusa 12 күн бұрын
Asante heche
@mercybyashara9711
@mercybyashara9711 6 жыл бұрын
Asante Heche
@gabrielkitia6767
@gabrielkitia6767 6 жыл бұрын
Nakuelewa Sana mh
@andrewmagwila8649
@andrewmagwila8649 6 жыл бұрын
big point
@josephmatonyi1802
@josephmatonyi1802 6 жыл бұрын
Henche asante tata asante saaannaaa
@williamkishiva9446
@williamkishiva9446 5 жыл бұрын
Hii machine aisee
@pascarmwatosya5855
@pascarmwatosya5855 6 жыл бұрын
Daaa hecheee hata waliokupigia kula wanajisikia lahaaaa,Mungu akujalie hakika uko vizuri.
@kibachak7850
@kibachak7850 5 жыл бұрын
Nakuelewa sana
@ramahhouzzer2342
@ramahhouzzer2342 5 жыл бұрын
Heche point zako ni nizito sana kwa mtu aliesoma na muelewa
@zubedaramadhani5777
@zubedaramadhani5777 6 жыл бұрын
Asante ukwel WA mungu utabakia siku zote
@stephanomwakyobe4675
@stephanomwakyobe4675 6 жыл бұрын
amina na iwe ivy kweli
@anthonymgogo2651
@anthonymgogo2651 6 жыл бұрын
Umeongea points zote baba
@TeamKRX
@TeamKRX 6 жыл бұрын
Anthony Mgogo si. Uongo
@abduliurassadaudi5051
@abduliurassadaudi5051 6 жыл бұрын
huwezi kuona point
@zumamarande2969
@zumamarande2969 6 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏👏
@emmanuelalphaxard9276
@emmanuelalphaxard9276 5 жыл бұрын
Kamanda heche
@marwanguma1137
@marwanguma1137 5 жыл бұрын
nabii,hafiiiii kamwe..
@wiza2309
@wiza2309 6 жыл бұрын
Ni kweli tupu, tatizo haiwezekani kutengua tena. Ila kwenye utaratibu wa Kindoa kuna tatizo, watu wanaishi mbali na familia, umuhimu wa familia uzingatiwe maana ndio kiwanda cha raia waliopo na wajao
@evodmagidanga7730
@evodmagidanga7730 6 жыл бұрын
Wiza Mushi Unapoingia kwenye majukumu ya kiuongozi hujui kuwa unafamilia? Kama ni familia baki nyumbani basi ulee familia.
@wiza2309
@wiza2309 6 жыл бұрын
@@evodmagidanga7730 ndiyo maana tunasema iwepo mipango, kilabjambo linafanyika kwa mipango hapo hakuna swala la uongozi, wewe hujapatwa na kadhia, watoto shule n.k. ulipate kwa mwenzako utaona simple
@mgimaabdul1064
@mgimaabdul1064 5 жыл бұрын
Heche natumaini unazijua shidazetu sio kama waropokaji
@emmanuelayall5029
@emmanuelayall5029 6 жыл бұрын
Kuna tofauti kubwa katika uzito wa hoja inapotolewa na mbunge wa chadema kuliko wa CCM japo mi siyo mwanasiasa na sina chama ila huwa wanaongea ukweli mwingi kuliko uongo.
@mugemainyas5241
@mugemainyas5241 6 жыл бұрын
Sioni point.
@Keputchelo1621
@Keputchelo1621 6 жыл бұрын
Kuelewa inahitaji utulivu na uwezo wa akili yako upoje
@evaristshonga9566
@evaristshonga9566 6 жыл бұрын
cjui ameongea nn hapo ndo ninapopata shida kuwatambua wapinzani
@bahatisadikiwambura8547
@bahatisadikiwambura8547 6 жыл бұрын
huwezi kuona Kama umpofu
@hechechacha4032
@hechechacha4032 6 жыл бұрын
Mtu ameanza na katiba hujaelewa Huoni pointi Ameongea kutojipanga kuhamia dodoma hujasikia Anasema kuhusu ndoa za watu hujaona kitu Yawezekana huoni kabisa
@georgesamwelchacha7680
@georgesamwelchacha7680 6 жыл бұрын
+Evarist Shonga Mpaka uwe na uelewa mkubwa ndipo utalielewa bunge
@kibachak7850
@kibachak7850 5 жыл бұрын
Ndomana huwa nasikiliza hoja za upinzani tu cyo fisiem
@awadhially
@awadhially 2 ай бұрын
Mwamba wa tarime
@evodmagidanga7730
@evodmagidanga7730 6 жыл бұрын
Kazungumza vizuri ingawa ni kwa jaziba. Ila ukweli ni kwamba hakuna nchi au mtu yoyote ambaye anaweza kutatua changamoto zote, pia kitu kingine mfano wa mgonjwa hauendani na kuhamia Dodoma.
@fredreckmwakalinga3475
@fredreckmwakalinga3475 6 жыл бұрын
Akisimama mbunge wa cdm lazima uwe makini hoja mzito na zenye mashiko
@mohammedsalim6398
@mohammedsalim6398 6 жыл бұрын
Fredreck Mwakalinga hapana ni kama wanapoteza hamu yA kuchangia na wamekata tamaa na wamezidisha CHuki na jazba? Hawawezi tena kuisaidia serikali ni ma lawama jazba na matusi?ni kelele tuuu wote Nadhani wangepumzika wakawaacha ccm wakafanya kazi zao ,Mbona serikali inafanya kazi vizuri tu? Jana tumeona miradi yA Maji mikubwa tu inazinduliwa? Tena majimbo yanayoongozwa na chadema? Leo inafuatiliwa tena bunda kwA bulaya? Siasa za CHuki hazitatunufaisha
@scholarmawalla6735
@scholarmawalla6735 6 жыл бұрын
Wanazengo mbona mko kimya hapa hamjasikia ama mnafanya makusudi? mpita njia
@rasnchimbi
@rasnchimbi 6 жыл бұрын
Ukweli wanaupata,unazibua pamba zilizopo masikioni mwao.
@danielwu4924
@danielwu4924 5 жыл бұрын
bro jaribu kweka mitambo yako sawa coz saut yako mwishon mwa video ii iko juu mno so kulko ata mbunge fanyia kaz ilo
@humayduwe1762
@humayduwe1762 6 жыл бұрын
Hahaaaa tisha sana kichwa
@fantsonmpango7742
@fantsonmpango7742 6 жыл бұрын
Ni kweli kila jambo razima liwe na mipango, hata nyumbani kwako ni mipango kwamba mwaka huu ntafanya hiki next hiki
@evodmagidanga7730
@evodmagidanga7730 6 жыл бұрын
Fantson Mpango Mipango ya kuhamia Dom ilianza Lini?
@smarty1064
@smarty1064 6 жыл бұрын
Ha ha ha haa fact inauma mzee hatutaki kusikiaaa
@kajanjaahamadi7550
@kajanjaahamadi7550 6 жыл бұрын
heche ninoma yaan wewe pekeyako sawa na wabunge makofi 50 wa ccm aiseee wazee wakununua wabunge wanakuwinda kama lisu
@fatumarajabu810
@fatumarajabu810 6 жыл бұрын
Kwakweli ...miundo mbinu ddoma bdo sana.... Wangetengza kwanza
@rashidmaingu3639
@rashidmaingu3639 6 жыл бұрын
Nchi hii imebak kuw inaendeshwa kwa matamko,mkulu akisema asubuh k2 ata km hakiwezekan kwa ck hyo lazima watendaj wafanye atakama n kwa lasha lasha ilimladi kumlidhisha yy
@ibraharuna3045
@ibraharuna3045 6 жыл бұрын
HECHE UKO VZR NA HEBU IFIKE WKT WABUNGE WOTE MUISAIDIE TAIFA HILI NA C KUPIGA MAKOFI KIHOLELA.
@stephanomwakyobe4675
@stephanomwakyobe4675 6 жыл бұрын
m4c
@sultannchacha666
@sultannchacha666 6 жыл бұрын
Jamani wabunge wa Ccm sio kwamba wao wanapenda ila inawabidi ili waonekane waadilifu kwa mtu mmoja na si kwa watz
@getaromagaiwa7918
@getaromagaiwa7918 6 жыл бұрын
Wengine wana vyeti feki """""waanze kusoma """""badala ya kupiga simu na miayo chuoni!!!!!!!!!!!!
@mugemainyas5241
@mugemainyas5241 6 жыл бұрын
Hata angeanza na wimbo wa taifa . Mi nimezoea kusikia kelele kutoka kwao.
@salumushabani5364
@salumushabani5364 6 жыл бұрын
Anae lalamika dodoma kuwa jiji ajiuzuru
@omarmbwana4029
@omarmbwana4029 6 жыл бұрын
Sawa hamna mpango hayo yanayofanyika katika nchi hii ya ujenzi wa miundo mbinu mbalimbali pesa zinatoka wapi nyinyi wapinzani acheni kuropoka ovyoovyo wananchi wenu hamuwajali halafu munapiga domo tuu wakimbia bajeti ww
@nkatakulimamkuwa4872
@nkatakulimamkuwa4872 6 жыл бұрын
Wabunge wa upinzani wanaakili kuliko mipumbavu ya ccm pumbavu
@dariuslimbu2325
@dariuslimbu2325 6 жыл бұрын
Ni kipi hapo kilichokufanya utukane
@jimykayaga2376
@jimykayaga2376 6 жыл бұрын
@@dariuslimbu2325 ujawai niangusha heche mungu akubarik sna mwalimu wng
@fantsonmpango7742
@fantsonmpango7742 6 жыл бұрын
Darius Limbu kupiga makofi kujipendekeza japo ukweli unajua
@TeamKRX
@TeamKRX 6 жыл бұрын
Nkatakulima Mkuwa wao wanasubir 2020waje wapore na kitupiga dag
@mkamaboniphace7635
@mkamaboniphace7635 5 жыл бұрын
Duuu nikweli jembe
@PetroMwita-yc2uy
@PetroMwita-yc2uy 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂lnauma sana na inaliza sana heche
@ngomagipaul7011
@ngomagipaul7011 5 жыл бұрын
Mh heche atambue kuwa watanzania tunajua kazi nzuri inayofanywa na serkali ya mh magufuri :pia tunawajua wabunge walio na nia ya dhati kwa wananchi 'kwa kutoa ushauri kwa serkali yao ..pamoja na usemi wa serkali yenu maneno anayotumia mh heche ,jambo hili nalifananisha na mtoto akishiba kutupa vyombo'na kuviita vichafu ...mh..mpango in miongoni kwa mawaziri wa kasi ya mh ..magufuri hivyo na kasi hii itapelekea baadhi ya wabunge kubaki wakishangaa!na kulalanika;wakifikiri kwenye budget ndipo pa kupigia campaign in mwaka mmoja umebaki wataingia kwenye uchaguzi, 'wabunge'madiwani'tutawaomba mtuambie ulichofanya in pamoja na mh heche ..hataki kabisa hata kusifia hata posho anayopata sh 300000.00 kwa siku wakati kuna wanoitumikia kwa mwezi ..na wengine wakulima waliowachagua hata kuipata in bahati kwa mwaka 'sijasema mshahara kwa mwaka na mwezi * nani, atakuwa maskini je kwa miaka 5 ni fedha kiasi gani na hii ni sheria iliyotugwa na wabunge na hayo (maposho)basi wekeni sheria ya kujitolea tuona kasi yenu .mhe..mpango /ndalichako/nditiye/zitto/Daniel/Obama/chiza/vuma/serukamba/sisi wananchi wa kigoma tunajua bahati tuliyopewa na serkali ya awamu ya 5 ya ccm hatuhitaji na hatupenda kukosa fursa 'na kulalanika ..tu kwani uwepo wenu in mtaji kwa wananchi wa kigoma' na kiongozi bora halalamiki hutoa ushauri kwani yaliopangwa anayajua,wananchi ndio wanaopaswa kulalanika kwani,huenda mipango ya serkali baadhi in vigumu kuijua,pia nawapa ujumbe kuwepo kwa (refugees) ktk mkoa ilikuwa fusa sasa tuona shida kubwa ..kutoka kasulu,kibondo kwenda nchi jirani sio,mbali tunawahitaji mje kama timu mzungumze na wananchi ...jambo hili sasa linatishia maisha ya wananchi was kigoma,na kuna vitu vya msingi ,umeme ,barabara,ujenzi wa kituo cha afya busunzu KB...zahanati iliyopo hutoa huduma kwa kata yenye wakazi zaidi ya 15000 ..jingine in swala LA usalama..tunajua jitihada za polisi na viongozi wote mungu awatia nguvu..kusimamia kwa dhati ,na kwa haki,nasi wananchi tunaunga mkono..hata kutoa chombo cha usafiri kwa ajili ya kituo kidogo cha polisi busunzu..jambo hili sio dogo...ombi kwa mh ..ndugai na mh ..tulia tujulisheni kwa njia zote maalam na haraka budget ya serkali .na hata kupia njia ambazo in rahisi kwa wananchi walioko vijijini kigoma, mtwara na ngara..kujua kwa haraka shughuri za serkali..mwisho na save ujumbe na nia in njema niliowataja watanisamehe lakini,tumsaidie mh ..magufuri.. kwa kuona hakika maendeleo ya nchi yetu ..
@vijaypatrick7134
@vijaypatrick7134 6 жыл бұрын
Asante heche
"Maprofesa Wengi Wemefeli, Hii Ndio Changamoto" - SILINDE
12:10
Global TV Online
Рет қаралды 94 М.
HECHE AUCHAMBUA MPANGO WA MAENDELEO 2019/2020, ATUPA VIJEMBE KWA DK MPANGO
9:40
🕊️Valera🕊️
00:34
DO$HIK
Рет қаралды 8 МЛН
Ozoda - Lada ( Official Music Video 2024 )
06:07
Ozoda
Рет қаралды 31 МЛН
Стойкость Фёдора поразила всех!
00:58
МИНУС БАЛЛ
Рет қаралды 7 МЛН
ZITTO KABWE Alivyowasha MOTO Bungeni, SAKATA la KOROSHO
17:08
Global TV Online
Рет қаралды 556 М.
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 670 М.
HECHE AILIPUA SERIKALI - "Mnatudanganya, Sitetei Mwizi, Watu Wanateseka"
7:59
SUGU: "Please Don't Shut Me! Tubishane kwa Hoja na Siyo Bunduki"
11:24
Global TV Online
Рет қаралды 469 М.
“Watu wanauawa, msifikirie Watanzania hawaoni”-John Heche
9:21
HECHE ATOA YA MOYONI, AKERWA NA UKIUKWAJI WA UTAWALA BORA
7:34
Mwananchi Digital
Рет қаралды 57 М.
"Mnachoma moto nyumba na watu bado mnawafunga? "- John Heche
10:36
Millard Ayo
Рет қаралды 192 М.
🕊️Valera🕊️
00:34
DO$HIK
Рет қаралды 8 МЛН