Nimekuwa nikikufuatilia sana na unanibariki mno. Mimi nikuombe tuungane kwenye naombi Ili Mungu awanusuru hao ambao wanataka nchi ikae sawa na wanatetea maslahi ya taifa. Mimi nimekuwa nikiombea sana yale maono ya bahasha yule anaechukua kwa nguvu Mungu akatengue nakuomba uendelee kuomba haupo peke yako tupo tunaofuatilia na tunaomba. Mungu wa mbinguni atukuzwe kwa kuwa anatupenda na anafunua mambo ya sirini kuanzia leo sitaacha kuwaombea hao Askari wachache watakaokuja kufanya mageuzi tuombe Mungu awatete wasidhulike hata kama kuna mipango mibaya inapangwa juu yao. Amen
@MACHOYATAI-jk6fu4 ай бұрын
Kweli kabisa BHANA MUNGU ALIEUMBA MBINGU NA NCHI atatusaidia tuombe sana hata Mimi naomba sana t
Wanajeshi watajificha je kwenye fence au michongoma
@AdamFundikira-jb9vq3 ай бұрын
Hii ni kweli kabisa hii nchi inaelekea kubaya sana
@matiredms9174 ай бұрын
Mtumishi Mungu atakulinda. Endelea kuwa na ujasiri wa kutufunulia mambo yaliyo katika Ulimwengu wa Roho ambayo yatatokea kwenye Ulimwengu wa Mwili. Usiogope kunena. Wewe ndiye Daniel wetu kwani Tanzania inaangamia kutokana na uharamia wa Watawala wetu wa sasa.
@DickisoniMshobozi21 күн бұрын
7:49
@edwindavid703722 күн бұрын
Duh ! Hii umeiga tena, ilishatabiriwa kuwa itatokea mapinduzi ila atarudi tena au nimekosea?
@Master-ww7ur20 күн бұрын
Ukiona utabiri unajirudiarudia ujue upo mgongoni very soon utatimia, stay awake bro Edwin
@RoseKimishabhalemi-oz9bn4 ай бұрын
Mpasuko upo tangu kifo cha jpm
@lugelosanga57984 ай бұрын
Acha wafeee wanatutesaaa baadhi ya viongoz ccm ni wabaya sana mungu atawavuna kama mahindi
w😂😂😂😂😂😂😂😅😢😂 ww mwenye huna kiongozi wa kukuongoza😂😂😂😂😂😅😢
@musajoseph78964 ай бұрын
Ok
@loisruhembe16874 ай бұрын
Naomba no yako
@luciadominik16263 ай бұрын
Jamni baba sasa watajuaje jmn
@khaliduhadi23364 ай бұрын
Wewe usizingue ndoto gani mjomba mbona unajihami mafumbo mengi tamka tujuwe we si mchungaji mwanaharkati,wewe mwenyewe hapo mchumia tumbo tu acha miyeyusho eti ndoto duh kweli we wamichongo kweli
@user-hu3bz3lv7s3 ай бұрын
Umenikumbusha=JPM Nchi hii sio masikini=
@abdulrahmanrajab43693 ай бұрын
lana za muungu zikushukie kam muung haja kuonesha na bila shaka haja kuonesha iloooooooo😮😮😂😂 halimpend samia ilooo😮😮😮😂😂
@daiqmull74743 ай бұрын
Wewe choko mungu sio wako peke yako usilete uislamu wako kwenye Masilai yataifa we muislamu msikiti uujui mipira Tu ya Simba na yanga
@AdamFundikira-jb9vq3 ай бұрын
Umemjibu vizuri sana ni choko huyo @@daiqmull7474
@rogerabdallah4393 ай бұрын
Sasa mbona uoneshwi tufanye nini ili vua zisibomoe majumba
@ibrahimaziz71584 ай бұрын
Bwana anakuamrisha ukue fundi gereji nahic kwa ndoto hizi alphard kesho utatwambia umeota semi treler
@rogerabdallah4393 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂wewe
@abdulrahmanrajab43693 ай бұрын
muung gan uyo muung snasimamia nchi moja tu pumbavu weeeh
@emmanueljohn401825 күн бұрын
umetumwa au kaa kimya usije kuwa mjinga
@SarahShao-jw1up11 күн бұрын
wana wa shetani utawajua tu! Kwa maneno yao na matendo yao
@RoseKimishabhalemi-oz9bn4 ай бұрын
Mwambie atuombee kama yuko karibu na Muumba atunyoshee njia amkumbushe machozi ya kilio chake Bwana anaweza peke take wametugandamiza na majabali sisi tu hatuwezi kutoka.
@RoseKimishabhalemi-oz9bn4 ай бұрын
Acha wafe
@ramadhaniathumani10254 ай бұрын
Hayo yanatokea kwasababu wenye mamlaka ya nchi hii waliamua siasa ndio iwe kazi yenye mapesa meengi kuliko KAZI nyingine!! Taifa haliwezi kuendelea kama ubunge,uwaziri,urais utaendelea kumwagiwa mapesa mengi Sana ya mishahara na posho nyingi nyingi!! Fedha ziwekezwe kwenye ueledi na uzalishaji plus utafiti wa teknolojia za kiuzalishaji!!!
@emmanuelmisalaba31694 ай бұрын
Ogopa sana hawa Watumishi wa Mungu wanaojiita Mitume na manabii hapa Tanzania, sasa hivi wana magroup ya WhatsApp ya kujipendekeza kwa Rais wa nchi, Kinachopostiwa kwenye magroup yao ni Samia na serikali yake kwa kwenda mbele, Huwaoni kutumia nguvu nyingi kuombea nchi katika mawanda yake, picha kwenye profile ya magroup yao ni Samia tu hukuti kuweka bendera ya nchi Tuna watumishi kweli hapo?
@user-qk9iz5lt8q4 ай бұрын
NACHANGIA KIDOGO WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA MAREKANO NDIO CHEO KIKUBWA NAFASI YA TATU MAREKANI UACHO ZUNGUMZA HAKITOFAUTANI NA YANAYOENDELEA
@paskaziasholla74714 ай бұрын
Yaani kaka MUNGU akupe maono yooote lakini sio ya Gwajima kuwa rais tuna watu wazuri sana wenye hofu ya MUNGU tuombe tu MUNGU atupe uwezo wa kuchagua kiongozi mzuri
@elibarikilukasimakala55344 ай бұрын
Unampangia Tena Mungu ?
@rukiamale66444 ай бұрын
usiyempenda ndy atakaekuw😊 Mungu tuletee gwajma🎉
@happnesskitumbo57133 ай бұрын
Mungu hatazami kama wanadamu tunavyotazama.
@masamakijames78374 ай бұрын
Hebu jaribu kutueleza nani anafaa kuwa rsis tz.
@user-id6xo9td6k4 ай бұрын
Ni ndoto
@abdulrahmanrajab43693 ай бұрын
muung gani uongo tu kafiri m1 weeeh
@paskaziasholla74714 ай бұрын
Sasa hapo wataacha kazi au itakuwaje? Waambie waombe sana