Shujaa Lisu mzalendo wa kweli unaendelea kupambana Mungu akubariki sana
@fredrickmwakalinga63902 ай бұрын
Hii bank inaonyesha inauhusiano wa aina na ccm hta juzi wametoa pikipiki huko arusha
@mgungulem31872 ай бұрын
Mzee Kinana?
@margarethpolepole74382 ай бұрын
Acheni wale hayo ni mambo ya kawaida hata mngeshika dola nyie mngeiba tu Lisu kapewa milioni 400 unalijua hilo Siasa nchezo mchezo Dr Slaa hujui kitu Baba
@pancrasluoga45842 ай бұрын
Bora ukpose pesa kuliko kuwa mnafiki, Kama Dr slaa anaongea ujinga Basi wewe unae mbeza unamatatizo humo kichwani
@jimmymnuano71652 ай бұрын
Mimi saa nyingine huwa najiuliza pia nashindwa kuelewa, Hivi Tanzania hakuna Serikali au Mahakama ? Maana kama huyo mzee Silah mara nyingi huwa analalamika kwa humu mitandaoni kwani si aende akarIpoti Polisi baada ya kulalamika tu mitandaoni tunaibiwa weee tunaibiwa weee kwani kwenye DinI yake ya unafiki nini ?
@deniccgabriel61532 ай бұрын
We nenda kamshitaki police kama anakukela doctor slaa senge ww
@TegemeaFutemakatifu2 ай бұрын
Mahakama zenyewe zinazosimamiwa na Majaji wanao haguliwa na Ccm?
@jimmymnuano71652 ай бұрын
@@TegemeaFutemakatifu kwani Tundu Lissu Mahakama yake iko wapi ili watu tuanze fujo ya mambo juu ya mambo
@adamlubawa12812 ай бұрын
Huyu mzeee ameishiwa anatafuta huruma ya kupata maokoto
@TegemeaFutemakatifu2 ай бұрын
Ameishiwa kwakuwa anawasema ktk Ukweli mchungu kwenu, Vumilieni tu