Brother Thabit Mlangi you are so intelligent keep it well
@kalumbugideon41592 жыл бұрын
You are the Icon of our country....
@johnmalembo64642 жыл бұрын
Tunakosea Sana kumwachia Rais na mawaziri ndio wawe na maamuzi ya fikra ya nchi na Wananchi ... Mi nafikiri tungekuwa na jopo la wataalamu watengeneza Sera , dira na vipaumbele vya nchi na wananchi... Serikali ibaki kutekeleza tu... Bunge lichambue na kuboresha Kisha kufunga Sheria za adhabu kwa wakaidi...mahakama isubiri kutoa adhabu kwa wakaidi wa dira yetu.... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
@leahmgunda1772 жыл бұрын
Katiba imewatenga.Wakitaka ibadilishwe visingizio vinachachamaa.Rais tunamuona kama Mungu.Ukimpinga kuuawa kunakuhusu au kufungwa kwa kusingiziwa kesi.
@saidipara41342 жыл бұрын
Dahii yani leo nimemuona huyu mwamba tu .nimemkumbuka Mjomba dahhi.,😭😭
@josephatkiliko25462 жыл бұрын
Nilimkumbuka Sana Thabiti mlangi maana uwa najifunza vingi toka kwake
@erickmwakipesile25072 жыл бұрын
Jamaa very smart, watu kama awa serikali ilibidi iwatumie
@mgallason...56862 жыл бұрын
Serikali kuwatumia watu kama hawa inakuwaga ngumu sana Kwa sababu wananyoosha sana Mambo kitu ambacho serikali hasa hizi zetu hazipendi, kutokana na madudu yaliyopo.
@amanijampion30452 жыл бұрын
Bado hata hivyo anaitumikia serikali ya tz
@stanfordshombe13792 жыл бұрын
Mwanasaikolojia namwamini sana
@albertinamichael61232 жыл бұрын
Hawa ndio watu wenye akili ndefu Taifa linawahitaji
@mrmhenipm2 жыл бұрын
Huyu jamaa alipotelea wapi?????? Yaani nilikuwa namgojaaaaa
@kabhikachambala33922 жыл бұрын
Alisoma vizuri
@mds52932 жыл бұрын
Great great brother........
@mutayengelwamasatu23842 жыл бұрын
Mkali wa wakali Thabit Mlangi
@abdulrahmanhassan92542 жыл бұрын
Mbona umuulizi maswala ya ujasusi katika biashara kati ya taifa moja na lingine
@godifalsafa69562 жыл бұрын
Milengo ya kisiasa katika ujumla wake ipo mlengo wa kuria hawa ni waliberali, mapebari wanaamini katika Uhuru na demokrasia na soko huria lakini mlengo wa kushoto hawa wanaamini katika ujamaa na ujamaa wa kidemokrasia inaingia hapo pamoja na ukomonist mchambuzi sijamuelewa hapo alichomaanisha kwenye left wings na right wings anachomaanisha
@simonmwashambela32332 жыл бұрын
nisiku nyingi sna aisee huyo jamaa twamfuatilia sna
@samweljuma585Ай бұрын
taifa lililoanguka.
@jamesriwatuvana95612 жыл бұрын
Mbona maswali rahisi jamaa anajieleza mzunguko mrefu historiaaaa.. we sema Africa inafanyiwa maamuzi na magharibi, mfano Covid 19 chanjo ili upate tril.1.3 Straight forward, viongozi wanaingiliwa sana maamuzi na mataifa ya ulaya. Na Africa ni maskini by design. Someni sana.
@DawsonKiwia-qt6zf8 ай бұрын
Tunacho hitaji hivi sasa ni mabadiliko ya kiuchumi ili tufanikiwe tusiwe tegemezi tupite njia zipi?
@venanceselegebu85662 жыл бұрын
Huyu jamaa to great thinker anatakiwa awe kwenye benchi la ushauri wa Raisi wetu, usiwe unakaa muda mrefu tunahitaji kumsikia atupe ushauri uliotukuka.
@antoinekatembo85202 жыл бұрын
Negative, huwaga awafanyi vizuri wanapokua kwenye safu za washauri wa viongozi! Why? Simply because huwaga wanalenga sana kuwafuraisha viongozi!
@user-sz1lw9kq5s5 ай бұрын
Aya kaka ukusawa
@barakaothumani6421 Жыл бұрын
watu Kama hawaajiliwi kwasababu hawajajiunga na ufreemason , Ila angekuwa freemason angeteuliwa zamanii,Nchi hii!!!
@fintanmkesha1077 Жыл бұрын
Kwan ukitpa no ya hyu thabit utakua ma dhambi gani
@BONGOINMOTION2 жыл бұрын
Nikija hapa huwa namfuata Thabiti
@benedictmrisho23612 жыл бұрын
Maneno huumba jamani muwe mnachagua tusi hasa la ujumla.
Mazungumzo mazuri na matamu sana sana sana. Il kuna baadhi ya vitu mnalazimika kuangalia namna ya kufanya. Lugha mseto, kiingereza na kiswahili, sio kitu kizuri. Bora mtumie lugha moja tu. Kama ni kiingereza iwe hivyo au ni kiswahili iwe hivyo. Na kitu cha pili, ni kuogopa kutaja majina ya wahusika wakuu. Mzungumzaji amesita kulitaja jina la mwalimu wake na akatudokeza kuwa ni mtu anayechukiwa sana na Waarabu! Kama ni hivyo, basi asingemuhusisha kwa kiwango hicho ili aendelee kuwa mbali ya mazungumzo.
@emmanuelmwangoka17402 жыл бұрын
Namfatilia sana huyu Jamaa! Yuko vizuri! Natamani siku moja Khalid Gangana umlete aje azungumzie Mgogoro wa Ethiopia na mikakati ya AU kuisaidia Ethiopia isianguke, Ethiopia inanisikitisha sana! Watu wanakufa kule! Natamani tupate madini(Elimu) kutoka kwa Thabiti.
@ganganainfochannel2 жыл бұрын
🙏
@sadofaraji59992 жыл бұрын
Khalid HUWEZI kumuhoji huyo Jamaa Yuko na level kubwa akili inaonekana hata humuelewi,si Kwa ubaya lakini.
@ganganainfochannel2 жыл бұрын
😀😀😀 Daa jamani ,kweli simuwezi hata sielewi .Wala si kwa ubaya ,kuhoji ni kukomoana au kuuliza usiyoyajua ? Ingia KZbin andika MCHAMBUZI THABIT angalia video 3 tu kisha urudi tena hapa mtaalamu wa kuhoji. Kama kuhoji ni kutafuta elimu ya ufafanuzi au usiyoyajua, Acha wenye uelewa hata chizi wa jalalani naweza kumuhoji. Wenzako wanafaidika na madini ya jamaa wewe unaleta hoja dhaifu kabisa, nisingemuweza usingetambua hayo madini aliyotema.
@antoinekatembo85202 жыл бұрын
Gangana tv, nawezaje kupata mawasiliano ya ndugu Thabit/ mchambuzi wetu huyo?
@ganganainfochannel2 жыл бұрын
+255692700833
@antoinekatembo85202 жыл бұрын
@@ganganainfochannel Ahsante sana na tafadhali endeeleni kutuleteeni mahojiano kama hayo! Very very great content
@ganganainfochannel2 жыл бұрын
@@antoinekatembo8520 asante Kaka, ratiba ya Thabit ni ngumu ila akiwa na time tunashusha tu mambo
@antoinekatembo85202 жыл бұрын
@@ganganainfochannel kwa hakika ndugu Thabit yupo kwenye level nyingine katika uchambuzi wa maswala kama na haya!
@peterdeus60932 жыл бұрын
Huyu jamaa kwa nin asiwe lecturer pale udsm
@peterdeus60932 жыл бұрын
Bro tupe shule kaka
@beninigabo7692 жыл бұрын
Kama kawaida yako Mtaalamu Bobo, siku zote umekuwa ukionesha kuwa wewe ni mwerevu, mjanja na mwenye akili nyingi. Binafis, naamini kuwa hiyo ni karama na siyo kwa sababu ulienda Israel...wewe ni kifaa. Uchambuzi huu umeutoa kwa tahadhari sana, nakupongeza kwa hilo, hiyo inadhirisha ni namna gani ulivyo na akili nyingi. Wenye kuelewa tumeelewa.
@husseinmkanga77942 жыл бұрын
Jamaa anachanganya mambo magufuri angeishi mda mrefu huyu angepata aibu. Harafu marekani hawajawahi kushinda vita, walishindwa Vietnam, Iraqi na wameshindwa Afghanistan. Hawajaondoka Afghanistan kwa mapenzi yao kumbuka waingereza walishindwa warusi walishindwa na sasa marekani wameshindwa. Kiongozi unatizamwa kwanini unawafanyia unao waongoza sio mlengo gani wa kisiasa unaufuata. Sifa ya kiongozi ni kuwa mkweli sio mlaghai, fanya kitu ambacho kipo ndani ya moyo na unakiamini sio kwa ajili ya kupugiwa makofi. Alichokiongea ni maoni yake sio ukweli. Wapo viongozi wa mlengo wa kushoto waliofanikiwa kiuongozi na wapo kulia waliofanikiwa.kwa Mimi naona direct strategy is better than indirect strategy so is a matter of opinion it's not realistic. It's not black or white it's everything in between.
@ganganainfochannel2 жыл бұрын
Humjui vizuri Thabit, ingia KZbin andika MCHAMBUZI THABIT tazama video zake 3 tu ,halafu uje ukoment tena.
@ngwanafabian46122 жыл бұрын
@@ganganainfochannel Unataka kutuaminisha Thabit mtazamo wake ni 100% kwa kila mada? Niaminicho mimi hakuna mtu anaweza kuwa correct kwa kila jambo. Na simaanishi kwamba anachoongea siyo sawa isipokuwa mambo mengine ukweli wake hujulikana baada ya muda fulani.
@ganganainfochannel2 жыл бұрын
Sijasema hivyo. Ni kweli kila binadamu ana mapungufu, basi huwezi kataa asilimia 100 aliyiyasema Thabit.
@husseinmkanga77942 жыл бұрын
@@ganganainfochannel sikatai yote lakini kumekukuwa na tabia ya watu sasa hivi kutumia lugha fulani ili JPM aonekane alikuwa sio kiongozi mzuri. Huwezi kumnyang'anya JPM heshima yake kwa Watanzania au Africa kwa ujumla. Kama uongozi ni ucheshi je mwalim Nyerere alikuwa mcheshi? Kwa mfano nimemsikia mbunge leo anauliza hela alizokopa JPM zimeenda wapi hayo yote aliokuwa anafanya hela alizitoa wapi? Kama Wewe ni mtanzania unaependa nchi yako utamueshimu JPM. . Nilikuwa namfuatilia Thabit lakini sasa ameanza kutafuta nafasi za kazi kwenye utawala uliokuepo. It's a shame!
@titokwareh18522 жыл бұрын
Huyu jamaa anaongea mambo mengi ambayo hayaendani na ukweli wa mada iliyopo. Kukamatwa na police sio violence, violence ni kitendo cha kutumia nguvu kujeruhi. Kuumiza au kuua. Police akikukamata kisa taa nyekundu ametuaje violence hapo? Anajaribu kuongea vitu vingi ambavyo viko irrelevant na swali analoulizwa. Stick kwenye jibu linalotakiwa.
@joeltayari532 жыл бұрын
Ni watu wenye uelewa Wa juu sana watakao kukuelewa, brother .Uko vizuri sana brother, endelea kuelimisha.
@cidewashington6702 жыл бұрын
Huyu ndugu Thabiti Mlangi ndio alifaa kuwa mshauli wa Samia kwa maono yake na sio Tony Blair
@j.c.maxima8162 жыл бұрын
Tony BLAIR ni mshauri wa Kagame, Rais wa Rwanda...
@j.c.maxima8162 жыл бұрын
Kwa uchambuzi wa huyu Jamaa, tayari Tz ni Taifa lililoanguka! 🙃🙃 Statement inatoka leo, kesho mwingine anaipinga, yaani utafikiri ni Serikali 2 tofauti! 🤦♂️🤦♂️ Gwajima na Polepole, sikilizeni vizuri huyu Kijana!👈🤣 Labda hamuelewi kile mnachokifanya!🤣🤣🤠
@j.c.maxima8162 жыл бұрын
Ngoja, ngoja kwanza! Je, Tz Awamu iliyopita tulikuwa tunaelekea kuwa Taifa kichaa?! 😳😳🙆♂️😂😂 Crazy State!!! 🤭🤭 Kwa sababu Tulikuwa tunajitenga na dunia! 🤪🤔🤔Yaani tulikuwa hatutaki kushirikiana na wengine! 😀😀🤫🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🚴♂️🚴♂️
@ngwanafabian46122 жыл бұрын
@@j.c.maxima816 ki vipi?
@kaygreko2 жыл бұрын
@@j.c.maxima816 Taarifa hii umeisoma wapi?Tusaidie nasi tupate uhakika