Uchawi wa kisukuma upo hivi -Mchungaji Moses Magembe
Пікірлер: 71
@philipogabriel60562 жыл бұрын
MUNGU akubariki sana naongea toka moyoni hii injili ni ngumu sana ila najishangaa nakuelewa sana na hii ndiyo inayotakiwa
@user-do1ut4gb1e9 ай бұрын
Wamekufunga na Umisheni wa Taifa kidini, Mzee chomoka ! Hatukusikii uwanja wa lnjili.Ask wa kifremnson hawataki lnjili; tunaiga Joka dhidi yako. We are all to get her Ukerewe voice.Amen
@simonsukwa99792 жыл бұрын
Amina injili kama hii inafungua watu.nakurejesha msimamo wa wakristo wa kileo
@wiza2309 Жыл бұрын
Sijapenda hiyo Tittle ya hii clip, maana ilipaswa kuwa "Uamsho au Changamoto za Uomgozi katika Kanisa la Africa, Baba Mchungaji Magembe ni Muhubiri na Mwl mzuri sana na tunabarikiwa na mafundisho yake, hakuna sababu ya kuweka heading za ajabu ili watu wavutike kusikiliza, Mbarikiwe
@rodrickmetusala29682 жыл бұрын
Amina mchungaji ,ubarikiwe
@user-do1ut4gb1e9 ай бұрын
Umisheni Taifa wa kidini na Utume,huduma yako si ya dini ni ya Mungu na watu wake,hatukusikii tena as a remain of big three and five,where are you Man of God! Ukerewe voice.Amen
@floramrema57432 жыл бұрын
Ubarikiwe Mchungaji.
@devissyprian93482 жыл бұрын
Nakuelewa wakala wa Yesu
@MethodSimbeye-iv4lo3 ай бұрын
Amina mutumishi ukweliunao
@quentinmafwere545 Жыл бұрын
Namkubali sana huyu mchungaji
@floralyimo94502 жыл бұрын
SAFI SANA MCHUNGAJI NIMEBARIKIWA SANA SANA
@josephwilliam878011 ай бұрын
🎉
@vashtyburge39984 ай бұрын
Wachungaji hawa ni adimu. Wengi ni wababaishaji na wasaka Tonge. Mungu amekupa busara. Uzidi kutoa elimu baba
@user-bp5pq9to9e4 ай бұрын
Jack sambaa
@paulwamlyoma39272 жыл бұрын
Amina amina
@mercypeter1622 жыл бұрын
Unasema kweli kabisaaa mtumishi tukonao huku mtaani. Lakini Ni biashara ya kuzimu kufungua makanisa ili kuua makanisa ya kweli. Na kuua nguvu ya maombi kwa wanamaombi. Wao Ndio wanapiga kelele mtaa mzima kwamba wanasifu na kuomba. Ni shetani yuko kazini sio watumishi wa MUNGU ni watumishi wa kuzimu
@yohanakisumbe36072 жыл бұрын
Barikiwe. Pasta. Kwahudum
@elishamalisa.chanel81612 ай бұрын
Kuna lugha ambazo Zina ukakasi unatumia jifunze zaidi kwa yesu example litoto wendawazimu ninakushauri usome mathayo 11:28 pia Kuna tofauti ya kusimamisha huduma ya kichungaji madhabahuni na taaalumu ya kichungaji madhabahuni
@kakabaraka10582 жыл бұрын
nakuelewa Baba
@duniakibisiinnocentdunia5844 Жыл бұрын
Unafundisha vizuri Ila unaugonjwa wakujiinuwa!!! YESU alisomeya shule ya kibiblia wapi!??? Jikosoe hapo mchungaji na roho ya mungu akuongoze
@jeremiahkijika19916 ай бұрын
Unadhani Yesu hakusoma? Alizungumzwa hadi alipotimiza miaka 12,then biblia ikakaa kimya hadi alipofikisha miaka 30,je unajua miaka hyo 18 ya ukimya alikuwa wapi na alikuwa anafanya nn
@katambisimon98405 ай бұрын
Kwahy yesu alipokuwa anakaeti katikati ya walimu wa kiyahudi(ma rabi) unadhani alikaa kupiga stori??
@nefujackson34222 жыл бұрын
Wewe ni mimi kabisaa🙌
@brokermangimwanzatanzania8836 Жыл бұрын
Ubarikiwe mchungaji
@blessedgodsgirl27032 жыл бұрын
Haha he is speaking the truth
@shijakaswahili13742 жыл бұрын
amen
@bahatimlingi4912 жыл бұрын
🙏🙏
@user-jo8bf9uw6n6 ай бұрын
Ni njema sana maana vitu hivi ni adimu,sana tuwekeni,karibu,na, Mungu
@felixsanga7 ай бұрын
Is leadership in connection with "Holliness?A dozen of spiritual leaders like "Moses,Jehoshuah,Elijah was from Oxford Dictionary?
@linuslaurent43162 жыл бұрын
Safe ksbisa
@pastorscola57382 жыл бұрын
Kwani tag ilianzaje?
@johnrobert482 жыл бұрын
Mbn unahubiri sometimes kwa Jazba sana
@user-kk9jn8dp9m6 ай бұрын
Wana damu wana uzi sana ndo maan lazima awe na jazb
@Jackson-wv6pz6 ай бұрын
👏🏼👏🏼😅😅
@edgarmagele87842 жыл бұрын
Anababaika na wazungu nyuma yake kuokoka ni kumpokea Yesu kristo sio unacho jivunia nani Alie potoka ni yule Alie muacha Mungu.
@alphadreammedia2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🥰
@gloriaaugustino80312 жыл бұрын
Kanisa liko wapi?
@silvaraphael93272 жыл бұрын
Majumba sita- Unashuka Njia panda ya segegerea (kwenye mataa)kama unatokea Airport, then unavuka upande wa pili njia ya lami unanyoshaaa, utakuta reli, mbele kidogo ni njia ya Vumbi ifate hiyo ukitembea hatua kidogo utaona geti la kanisa limeandikwa MAJUMBA SITA GOSPEL CAMPAIGN CENTER.
@gloriaaugustino80312 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@lizzybahati37392 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@chrismassawe3262 жыл бұрын
Mchungaji hewa kabisa eti kuanziza kazi ya Mungu ukamsomee hee hio umetumwa na watu MUNGU akikutuma anakufundisha mwenyewe sijui unasoma wapi hayo unayoongea mzee ..sasa kanisa lako unawasema tu tangu umeanza ni kuwasema tuu masengenyoo ibada iko wapi hapo au wewe komedia
@emmanuelymamba75942 жыл бұрын
Mungu akijuchagua kuwa mchungaji lazima atakuoeja shule ili uweze endana na mabadiliko yaliyopo
@chrismassawe3262 жыл бұрын
@@emmanuelymamba7594 shule anakufundisha mwenyewe sio unaenda kusomea kwa wazungu waliomkataa Mungu anakufundisha anaweka maaneno ya kusema ..mfano MUSA alipotumwa aliambiwa na cha kusema na cha kufanya
@stephensandiko60492 жыл бұрын
Maana ya huyo mzeee ni kwamba watu wengi wanaanzisha makanisa bila kujua maana ya kuongoza kanisa mbali na kwamba unasema roho atakuongoza sawa biblia unatakiwa kuielewa kwa sababu Kuna mafundisho unayo wafundisha waumini wako ni muhimu ukayajua
@chrismassawe3262 жыл бұрын
@@stephensandiko6049 sasa huyo mbona hana hekima ni ibada ya kuwasema tu watu huyo mungu aliemsomea mbona hamsaidii
@chrismassawe3262 жыл бұрын
@@stephensandiko6049 sasa huyo mbona hana hekima ni ibada ya kuwasema tu watu huyo mungu aliemsomea mbona hamsaidii
@chrismassawe3262 жыл бұрын
Wazamini wamekaa pale mbele wenye dini yao hahaha waoatoa misaada kusaidia kanisa ili liendelee
@robertaloyce13585 ай бұрын
Hapo unahubiri au unaponda, na wewe umefilisika huna cha kuhuburi.
@engzuberir.akilenza17642 жыл бұрын
Huyu jamaa yupo kanisani au kwenye darasa la kidunia. Mbona hajataja jambo lolote la kumuweka mtu karibu na mungu hajataja mstari wowote wa kwenye biblia? Mbona wakristo mnachezewa sana kuna nini?
@sarhkimboi90852 жыл бұрын
We unajua ni nn? Kikichokuwa kunazungumziwa au kuropokwa, hata mpumbavu akinyamaza anahesabiwa hekima kama kitu huelewi nyamaza au uliza.
@simonsukwa99792 жыл бұрын
Wewe sio mkristo nandiomaana huelewi
@dottokomanyasoke25442 жыл бұрын
Huwez kumuelewa Kama umeanza Leo kumuona
@benjaminkapelah76642 жыл бұрын
Kwani unajuaje Kama huyu unayemuita mama ni mama yako au baba ni baba yako ?
@benjaminkapelah76642 жыл бұрын
Kwani unajuaje Kama huyu unayemuita mama ni mama yako au baba ni baba yako ?
@ericklaura75112 жыл бұрын
Kwa nn wahubiri wanahubiri vitu ambavyo havirelate na biblia??? Wanahubiri maisha binafsi ya watu
@saimonijonas14712 жыл бұрын
Yesu akasema,ole wenu mnao cheka sasa maana baadae mtalia nakuomboreza,Hapa aliwasema watu moja kwa moja.Namahuburi yoyote nilazima yaguse maisha ya watu moja kwa moja.
@selafinlisiely60092 жыл бұрын
Sipendi kusema Neno juu ya hili? Ila maandiko yalisema wazi ili watu wapotoshe ukweli wa Neno la Mungu ambayo ni biblia ..watatumia migezo cha elimu zao kuuwa watu wa Mungu..huyu mzee anatukana makanisa madogo..kwa kiburi ya Elimu yake..ila hajui kuwa kanisa la kwanza lilianza kwenye nyumba za watu..roho mtakatifu alikuta watu wakiabudu ndani ya nyumba zao na kuwajaza roho..ila kwakua pesa inatangazwa sio Yesu kristo wacha tuone uko mwisho itajulikana..Maana Yesu alisema wanapokusanyika watu wawili or watatu yeye yupo nao..huyu mzee anawaita wenda wazimu..inamaana na Yesu ni mwenda wazimu sindio or? T.A.G ilianza watu wa ngapi mwanzo je? Walikuwa wendawazimu sio? Aisee Mungu yupo wacha tusubiri final
@ericklaura75112 жыл бұрын
@@selafinlisiely6009 sure thing, mahubiri ya siku hizi huwa siyaelewi especial muhubiri kama huyu, huwa namuelewa tu mwalimu Kristopher mwakasege.
@ericklaura75112 жыл бұрын
@@selafinlisiely6009 na wendawazimu wawili watatu, yan huyu pastor huyu duu
@gwengoldie6485 Жыл бұрын
ukiwq hujui huwez elewa ila hyu ni fire nenden kanisani kwake