UCHAWI WA KISUKUMA UKO HIVI-REV MOSES MAGEMBE

  Рет қаралды 74,656

NY TV

NY TV

2 жыл бұрын

Uchawi wa kisukuma upo hivi -Mchungaji Moses Magembe

Пікірлер: 71
@philipogabriel6056
@philipogabriel6056 2 жыл бұрын
MUNGU akubariki sana naongea toka moyoni hii injili ni ngumu sana ila najishangaa nakuelewa sana na hii ndiyo inayotakiwa
@user-do1ut4gb1e
@user-do1ut4gb1e 9 ай бұрын
Wamekufunga na Umisheni wa Taifa kidini, Mzee chomoka ! Hatukusikii uwanja wa lnjili.Ask wa kifremnson hawataki lnjili; tunaiga Joka dhidi yako. We are all to get her Ukerewe voice.Amen
@simonsukwa9979
@simonsukwa9979 2 жыл бұрын
Amina injili kama hii inafungua watu.nakurejesha msimamo wa wakristo wa kileo
@wiza2309
@wiza2309 Жыл бұрын
Sijapenda hiyo Tittle ya hii clip, maana ilipaswa kuwa "Uamsho au Changamoto za Uomgozi katika Kanisa la Africa, Baba Mchungaji Magembe ni Muhubiri na Mwl mzuri sana na tunabarikiwa na mafundisho yake, hakuna sababu ya kuweka heading za ajabu ili watu wavutike kusikiliza, Mbarikiwe
@rodrickmetusala2968
@rodrickmetusala2968 2 жыл бұрын
Amina mchungaji ,ubarikiwe
@user-do1ut4gb1e
@user-do1ut4gb1e 9 ай бұрын
Umisheni Taifa wa kidini na Utume,huduma yako si ya dini ni ya Mungu na watu wake,hatukusikii tena as a remain of big three and five,where are you Man of God! Ukerewe voice.Amen
@floramrema5743
@floramrema5743 2 жыл бұрын
Ubarikiwe Mchungaji.
@devissyprian9348
@devissyprian9348 2 жыл бұрын
Nakuelewa wakala wa Yesu
@MethodSimbeye-iv4lo
@MethodSimbeye-iv4lo 3 ай бұрын
Amina mutumishi ukweliunao
@quentinmafwere545
@quentinmafwere545 Жыл бұрын
Namkubali sana huyu mchungaji
@floralyimo9450
@floralyimo9450 2 жыл бұрын
SAFI SANA MCHUNGAJI NIMEBARIKIWA SANA SANA
@josephwilliam8780
@josephwilliam8780 11 ай бұрын
🎉
@vashtyburge3998
@vashtyburge3998 4 ай бұрын
Wachungaji hawa ni adimu. Wengi ni wababaishaji na wasaka Tonge. Mungu amekupa busara. Uzidi kutoa elimu baba
@user-bp5pq9to9e
@user-bp5pq9to9e 4 ай бұрын
Jack sambaa
@paulwamlyoma3927
@paulwamlyoma3927 2 жыл бұрын
Amina amina
@mercypeter162
@mercypeter162 2 жыл бұрын
Unasema kweli kabisaaa mtumishi tukonao huku mtaani. Lakini Ni biashara ya kuzimu kufungua makanisa ili kuua makanisa ya kweli. Na kuua nguvu ya maombi kwa wanamaombi. Wao Ndio wanapiga kelele mtaa mzima kwamba wanasifu na kuomba. Ni shetani yuko kazini sio watumishi wa MUNGU ni watumishi wa kuzimu
@yohanakisumbe3607
@yohanakisumbe3607 2 жыл бұрын
Barikiwe. Pasta. Kwahudum
@elishamalisa.chanel8161
@elishamalisa.chanel8161 2 ай бұрын
Kuna lugha ambazo Zina ukakasi unatumia jifunze zaidi kwa yesu example litoto wendawazimu ninakushauri usome mathayo 11:28 pia Kuna tofauti ya kusimamisha huduma ya kichungaji madhabahuni na taaalumu ya kichungaji madhabahuni
@kakabaraka1058
@kakabaraka1058 2 жыл бұрын
nakuelewa Baba
@duniakibisiinnocentdunia5844
@duniakibisiinnocentdunia5844 Жыл бұрын
Unafundisha vizuri Ila unaugonjwa wakujiinuwa!!! YESU alisomeya shule ya kibiblia wapi!??? Jikosoe hapo mchungaji na roho ya mungu akuongoze
@jeremiahkijika1991
@jeremiahkijika1991 6 ай бұрын
Unadhani Yesu hakusoma? Alizungumzwa hadi alipotimiza miaka 12,then biblia ikakaa kimya hadi alipofikisha miaka 30,je unajua miaka hyo 18 ya ukimya alikuwa wapi na alikuwa anafanya nn
@katambisimon9840
@katambisimon9840 5 ай бұрын
Kwahy yesu alipokuwa anakaeti katikati ya walimu wa kiyahudi(ma rabi) unadhani alikaa kupiga stori??
@nefujackson3422
@nefujackson3422 2 жыл бұрын
Wewe ni mimi kabisaa🙌
@brokermangimwanzatanzania8836
@brokermangimwanzatanzania8836 Жыл бұрын
Ubarikiwe mchungaji
@blessedgodsgirl2703
@blessedgodsgirl2703 2 жыл бұрын
Haha he is speaking the truth
@shijakaswahili1374
@shijakaswahili1374 2 жыл бұрын
amen
@bahatimlingi491
@bahatimlingi491 2 жыл бұрын
🙏🙏
@user-jo8bf9uw6n
@user-jo8bf9uw6n 6 ай бұрын
Ni njema sana maana vitu hivi ni adimu,sana tuwekeni,karibu,na, Mungu
@felixsanga
@felixsanga 7 ай бұрын
Is leadership in connection with "Holliness?A dozen of spiritual leaders like "Moses,Jehoshuah,Elijah was from Oxford Dictionary?
@linuslaurent4316
@linuslaurent4316 2 жыл бұрын
Safe ksbisa
@pastorscola5738
@pastorscola5738 2 жыл бұрын
Kwani tag ilianzaje?
@johnrobert48
@johnrobert48 2 жыл бұрын
Mbn unahubiri sometimes kwa Jazba sana
@user-kk9jn8dp9m
@user-kk9jn8dp9m 6 ай бұрын
Wana damu wana uzi sana ndo maan lazima awe na jazb
@Jackson-wv6pz
@Jackson-wv6pz 6 ай бұрын
👏🏼👏🏼😅😅
@edgarmagele8784
@edgarmagele8784 2 жыл бұрын
Anababaika na wazungu nyuma yake kuokoka ni kumpokea Yesu kristo sio unacho jivunia nani Alie potoka ni yule Alie muacha Mungu.
@alphadreammedia
@alphadreammedia 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🥰
@gloriaaugustino8031
@gloriaaugustino8031 2 жыл бұрын
Kanisa liko wapi?
@silvaraphael9327
@silvaraphael9327 2 жыл бұрын
Majumba sita- Unashuka Njia panda ya segegerea (kwenye mataa)kama unatokea Airport, then unavuka upande wa pili njia ya lami unanyoshaaa, utakuta reli, mbele kidogo ni njia ya Vumbi ifate hiyo ukitembea hatua kidogo utaona geti la kanisa limeandikwa MAJUMBA SITA GOSPEL CAMPAIGN CENTER.
@gloriaaugustino8031
@gloriaaugustino8031 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@lizzybahati3739
@lizzybahati3739 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@chrismassawe326
@chrismassawe326 2 жыл бұрын
Mchungaji hewa kabisa eti kuanziza kazi ya Mungu ukamsomee hee hio umetumwa na watu MUNGU akikutuma anakufundisha mwenyewe sijui unasoma wapi hayo unayoongea mzee ..sasa kanisa lako unawasema tu tangu umeanza ni kuwasema tuu masengenyoo ibada iko wapi hapo au wewe komedia
@emmanuelymamba7594
@emmanuelymamba7594 2 жыл бұрын
Mungu akijuchagua kuwa mchungaji lazima atakuoeja shule ili uweze endana na mabadiliko yaliyopo
@chrismassawe326
@chrismassawe326 2 жыл бұрын
@@emmanuelymamba7594 shule anakufundisha mwenyewe sio unaenda kusomea kwa wazungu waliomkataa Mungu anakufundisha anaweka maaneno ya kusema ..mfano MUSA alipotumwa aliambiwa na cha kusema na cha kufanya
@stephensandiko6049
@stephensandiko6049 2 жыл бұрын
Maana ya huyo mzeee ni kwamba watu wengi wanaanzisha makanisa bila kujua maana ya kuongoza kanisa mbali na kwamba unasema roho atakuongoza sawa biblia unatakiwa kuielewa kwa sababu Kuna mafundisho unayo wafundisha waumini wako ni muhimu ukayajua
@chrismassawe326
@chrismassawe326 2 жыл бұрын
@@stephensandiko6049 sasa huyo mbona hana hekima ni ibada ya kuwasema tu watu huyo mungu aliemsomea mbona hamsaidii
@chrismassawe326
@chrismassawe326 2 жыл бұрын
@@stephensandiko6049 sasa huyo mbona hana hekima ni ibada ya kuwasema tu watu huyo mungu aliemsomea mbona hamsaidii
@chrismassawe326
@chrismassawe326 2 жыл бұрын
Wazamini wamekaa pale mbele wenye dini yao hahaha waoatoa misaada kusaidia kanisa ili liendelee
@robertaloyce1358
@robertaloyce1358 5 ай бұрын
Hapo unahubiri au unaponda, na wewe umefilisika huna cha kuhuburi.
@engzuberir.akilenza1764
@engzuberir.akilenza1764 2 жыл бұрын
Huyu jamaa yupo kanisani au kwenye darasa la kidunia. Mbona hajataja jambo lolote la kumuweka mtu karibu na mungu hajataja mstari wowote wa kwenye biblia? Mbona wakristo mnachezewa sana kuna nini?
@sarhkimboi9085
@sarhkimboi9085 2 жыл бұрын
We unajua ni nn? Kikichokuwa kunazungumziwa au kuropokwa, hata mpumbavu akinyamaza anahesabiwa hekima kama kitu huelewi nyamaza au uliza.
@simonsukwa9979
@simonsukwa9979 2 жыл бұрын
Wewe sio mkristo nandiomaana huelewi
@dottokomanyasoke2544
@dottokomanyasoke2544 2 жыл бұрын
Huwez kumuelewa Kama umeanza Leo kumuona
@benjaminkapelah7664
@benjaminkapelah7664 2 жыл бұрын
Kwani unajuaje Kama huyu unayemuita mama ni mama yako au baba ni baba yako ?
@benjaminkapelah7664
@benjaminkapelah7664 2 жыл бұрын
Kwani unajuaje Kama huyu unayemuita mama ni mama yako au baba ni baba yako ?
@ericklaura7511
@ericklaura7511 2 жыл бұрын
Kwa nn wahubiri wanahubiri vitu ambavyo havirelate na biblia??? Wanahubiri maisha binafsi ya watu
@saimonijonas1471
@saimonijonas1471 2 жыл бұрын
Yesu akasema,ole wenu mnao cheka sasa maana baadae mtalia nakuomboreza,Hapa aliwasema watu moja kwa moja.Namahuburi yoyote nilazima yaguse maisha ya watu moja kwa moja.
@selafinlisiely6009
@selafinlisiely6009 2 жыл бұрын
Sipendi kusema Neno juu ya hili? Ila maandiko yalisema wazi ili watu wapotoshe ukweli wa Neno la Mungu ambayo ni biblia ..watatumia migezo cha elimu zao kuuwa watu wa Mungu..huyu mzee anatukana makanisa madogo..kwa kiburi ya Elimu yake..ila hajui kuwa kanisa la kwanza lilianza kwenye nyumba za watu..roho mtakatifu alikuta watu wakiabudu ndani ya nyumba zao na kuwajaza roho..ila kwakua pesa inatangazwa sio Yesu kristo wacha tuone uko mwisho itajulikana..Maana Yesu alisema wanapokusanyika watu wawili or watatu yeye yupo nao..huyu mzee anawaita wenda wazimu..inamaana na Yesu ni mwenda wazimu sindio or? T.A.G ilianza watu wa ngapi mwanzo je? Walikuwa wendawazimu sio? Aisee Mungu yupo wacha tusubiri final
@ericklaura7511
@ericklaura7511 2 жыл бұрын
@@selafinlisiely6009 sure thing, mahubiri ya siku hizi huwa siyaelewi especial muhubiri kama huyu, huwa namuelewa tu mwalimu Kristopher mwakasege.
@ericklaura7511
@ericklaura7511 2 жыл бұрын
@@selafinlisiely6009 na wendawazimu wawili watatu, yan huyu pastor huyu duu
@gwengoldie6485
@gwengoldie6485 Жыл бұрын
ukiwq hujui huwez elewa ila hyu ni fire nenden kanisani kwake
@linuslaurent4316
@linuslaurent4316 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
MCH: NDACHA :ETI? MUHAMMED SI MTUME WA MUNGU!
19:52
GOSPEL CORNER
Рет қаралды 6 М.
Heartwarming: Stranger Saves Puppy from Hot Car #shorts
00:22
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 16 МЛН
Did you believe it was real? #tiktok
00:25
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 27 МЛН
Получилось у Вики?😂 #хабибка
00:14
ХАБИБ
Рет қаралды 6 МЛН
Luck Decides My Future Again 🍀🍀🍀 #katebrush #shorts
00:19
Kate Brush
Рет қаралды 8 МЛН
WANAUME HATUFI#PASTOR MGOGO#HANANJA#BONGO MOVIES
1:25
SERASH PRO
Рет қаралды 10 М.
HII USIIGE-APANDA GARI BILA NAULI-REV. MOSES MAGEMBE
26:12
MACHAWI ALIYE ACHA UCHAWI NA KUA MCHUNGAJI PART 2
32:24
LUSEKELO MWALYAJE
Рет қаралды 26 М.
ALLAH SIO MUNGU WA WAKRISTO: MCH NDACHA
19:09
GOSPEL CORNER
Рет қаралды 4 М.
Mch Moses Magembe  - KUMUONA YESU KATIKA UTUKUFU WAKE
3:10:51
Rev Moses MagembeTv
Рет қаралды 11 М.
Heartwarming: Stranger Saves Puppy from Hot Car #shorts
00:22
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 16 МЛН