VURUGU BUNGENI MSUKUMA, MATIKO "JANABI AJIELEWE, ASHIKE BREKI, MAZIWA YAMELALA" POMBE KALI NI BALAA

  Рет қаралды 251,958

Uhondo TV

Uhondo TV

Күн бұрын

#UhondoTV #Uhondo

Пікірлер: 290
@SalmaMushi-l7t
@SalmaMushi-l7t 3 ай бұрын
Msukuma Mwenyezi Mungu Azidi kukuinua uweze kutusemea mwanangu
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 9 ай бұрын
Msukuma. Allah akulinde. Maashaallah. Unajitambua sana
@Lighttemba
@Lighttemba 9 ай бұрын
Safi sana mh. Msukuma
@shabanimataka8418
@shabanimataka8418 9 ай бұрын
Allah akuzidishie
@edsonsalvatory5121
@edsonsalvatory5121 9 ай бұрын
Msukumu is very genius❤
@bonsondavid5756
@bonsondavid5756 9 ай бұрын
Msukuma we ni proffeser,madini unayoyatoa ni fire,sauti ya Magufuli ipo ndani tunaisikia big up
@abudalaabdumalik9362
@abudalaabdumalik9362 8 ай бұрын
Uhakika babu
@ismaeliZakayo
@ismaeliZakayo 2 ай бұрын
5:08
@jerryrugiga5157
@jerryrugiga5157 9 ай бұрын
Safi sana msukuma unatuwakirisha vyema
@FelixMwacha
@FelixMwacha 8 ай бұрын
Msukuma kwa hayo Mungu akubariki
@emmilianlukaye3125
@emmilianlukaye3125 9 ай бұрын
Tusemee tusioweza kupaza sauti ikasikika. Mwenye Sikio na asikie ❤❤
@ramadhanabdul2297
@ramadhanabdul2297 9 ай бұрын
🎉huyu ndo msomi pekeee bungeni
@saramartine7330
@saramartine7330 8 ай бұрын
Mm mwenyewe namuelewa sana kwakweli Mr Janaby
@michaelmlugu5654
@michaelmlugu5654 9 ай бұрын
Msukuma Uko vizuri
@emanuelcholela8679
@emanuelcholela8679 3 ай бұрын
Warundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 nimeona mnaupendo wa dhati kwa vile nilivyoishi buterere jirani na kanisa la waadiventist opposite na msikiti. Nasema Asante sana kwa familia ya mzee omary nduwamungu
@omaryshafii1284
@omaryshafii1284 8 ай бұрын
Kiukweli wazungu wanaajenda mbaya sana kwetu tuaiposhituka tutakwisha hongera msukuma mungu azidi kukuongoza
@ZephaniaMwita-z4l
@ZephaniaMwita-z4l Ай бұрын
Safi sana musukuma.
@gladyssembojas5308
@gladyssembojas5308 9 ай бұрын
Msukuma hoyeeee
@PascasMathew
@PascasMathew 9 ай бұрын
Asnt sana ubarikiwe
@ShabbirAbdulsattar
@ShabbirAbdulsattar 9 ай бұрын
Mweshimiwa msukuma hongera na pia nakupongeza lakini jee mmepitilia kwenye vioski wamepata wapi vibali vya kuuzia pombe Kali watu Huwa wanatumia kutoka asubuhi
@stanleyfocas8250
@stanleyfocas8250 9 ай бұрын
Daktari msukuma tumesha chelewa kaka ningumu Sana kwasasa
@ChimolasiniourMagawa
@ChimolasiniourMagawa 9 ай бұрын
Hongera mh kasheku mtani wangu. Huwa nakukubali sana ndio wabunge ninao wataka waaina yako
@pablomuyu1670
@pablomuyu1670 9 ай бұрын
Unawataka wewe kama nani ??
@ShafiiSaid-v5n
@ShafiiSaid-v5n 3 ай бұрын
Watu kama hawa Tanzania ni wacheche,Sanaa,m/mungu Akulinde mzee,wng,safii Sanaa🙏
@MussaSeseka
@MussaSeseka 6 ай бұрын
Vzr saana
@jafarmlawa9627
@jafarmlawa9627 9 ай бұрын
Tafti ya msukuma naikubari,, sarutttti
@HappyKettlebell-qx7sp
@HappyKettlebell-qx7sp 6 ай бұрын
Nakubali Kaká ongea
@alexmatt9504
@alexmatt9504 9 ай бұрын
Ahsante sana Msukuma kwa kumwaga upupu,TBS hakuna uthibiti kazi ni kugonga mihuri.Cha msingi hapa ni sisi wananchi/wanywaji kususia hizo pombe za kigeni, acheni ulimbukeni kwa kujigamba unakunywa pombe za kutoka nje ya nchi eti utaonekana ni mtu mwenye uwezo wakati haufahamu kilichochanganywa humo. Kunyweni pombe zinazotengenezwa humu nchini,zipo bia zetu nzuri,pombe kali zenye ubora. Na sio uongo anachosema Msukuma hizi imported liquors nyingi sio salama mtaharibu figo,maini na kusababisha impotence kwa wanaume.
@GatsonGweso
@GatsonGweso 2 ай бұрын
Safi sana mweshimiwa musukuma
@LeahMkwabi
@LeahMkwabi 9 ай бұрын
Wabheja sana nsukuma mwichane🎉🎉🎉love you 😍 ❤️ 💖
@RamadhanKitama
@RamadhanKitama 7 ай бұрын
Onsukuma ng'wiyo jinga sana! Ahale mbehi o-mpina, nadarahile sana, ontwe gwakwe hamo gomadekile mashi, ali dogohaya genehe?
@khamisihamadi629
@khamisihamadi629 8 ай бұрын
Asante sana
@RwechunguraRaymond
@RwechunguraRaymond 2 ай бұрын
Nakukubali mheshiwa musukuma
@Yerevandayizoh
@Yerevandayizoh 8 ай бұрын
Umetisha
@allymohamed2724
@allymohamed2724 3 ай бұрын
Sasa Hapo umepotea njia kaka, Pro yupo vizuri sana. Walioko mjini ndo shida
@AllyButuro-b5t
@AllyButuro-b5t 3 ай бұрын
Hongera sanaa msukumaa
@nurulukali4291
@nurulukali4291 8 ай бұрын
Safii sanaa,, unapoint babaaa😢 ,,viongozii wafanye ytafti ndani ndan huko nd kuna mambo
@benikayange2605
@benikayange2605 9 ай бұрын
Daaa! kwaupande waushoga watoto wetu wanangamia kwakweli bora hatamusukuma umesema
@SurprisedDalmatianPuppie-tn7fq
@SurprisedDalmatianPuppie-tn7fq 3 ай бұрын
Uko vizuri, hila kutairiwa muhimu na lazima
@ngosimabwai322
@ngosimabwai322 8 ай бұрын
Ni kweli kaka chanjo zimezidi sanaa😢😢
@Mary-fs4mc
@Mary-fs4mc 8 ай бұрын
Mwamba huyu hapaaaa❤❤❤
@johnmichael-zg6sd
@johnmichael-zg6sd 8 ай бұрын
Huyu mzee n daktar kabsa
@MartinGao-pq3ed
@MartinGao-pq3ed 7 ай бұрын
Hongera sana musukuma
@MelkioryDigha-ry8nu
@MelkioryDigha-ry8nu 8 ай бұрын
Huyu jamaa jembe sana safi dah
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 9 ай бұрын
Ila kwa Dr. Janabi. Anaeleweka sana anafundisha vizuri ukimsikiliza utaishi vixuri bilaya maladhi maashaallah. Janabi Allah akupe umri wenyeheri nawe❤❤
@judaspantaleo9779
@judaspantaleo9779 9 ай бұрын
Ndio lkn kwa kundi frani la wenye nacho hakuna faida kwa maskini kwa maelekezo yake
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 8 ай бұрын
Msukuma ameeleweka kwa wenye akili kubwa tu, mafundisho ya Dr. ni general sana na yanatia hofu hata wasio husika! Awe mahususi!
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow 8 ай бұрын
​@@judaspantaleo9779so kweli dada masikin hawez kosa maharage mboga za majani tena Mimi imenisaidia sanaa
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow 8 ай бұрын
Sanaaa
@MahmoudMohamed-gx1fk
@MahmoudMohamed-gx1fk 8 ай бұрын
Dr janabi anafafanuw vzr kwa kila aina za watu na kazi zao vp waishi
@AllyAllyRamadhani
@AllyAllyRamadhani 9 ай бұрын
Upo vizuri sana kweli
@razaromakas1836
@razaromakas1836 3 ай бұрын
Kuna wakati bro msukuma nakukubali sana
@MasudIssa-u9i
@MasudIssa-u9i 3 ай бұрын
Proffeser msukuma wew silasaba unajua sana
@rukiyamohammed2945
@rukiyamohammed2945 8 күн бұрын
Dah!
@Bareboy-fx9so
@Bareboy-fx9so 7 ай бұрын
Nzuri ndugu
@JomoKilawe
@JomoKilawe 2 ай бұрын
Kutahir Sio Lzm.. Ubaki Na Mkono Wa Sweta😂😂😂
@foundationforcommunityhope7327
@foundationforcommunityhope7327 3 ай бұрын
Daaa yaani uko vizuri Sana Mheshimiwa Tz Tz jamani
@LukaLazaro-fd1kr
@LukaLazaro-fd1kr 8 ай бұрын
sukuma 1
@elishayona5887
@elishayona5887 7 ай бұрын
Hapo umeingea kaka
@ShiwaNghabi-b3e
@ShiwaNghabi-b3e Ай бұрын
Vip
@ibrahimkasim922
@ibrahimkasim922 9 ай бұрын
Unafaa kuwa waziri ❤❤
@fatmasaid9556
@fatmasaid9556 8 ай бұрын
Sana ty
@JoshuaSteven-z3r
@JoshuaSteven-z3r Ай бұрын
Msukuma ndiye aliye haribu hii nchi kazi kufagilia ujinga bungeni
@joshuakobe6619
@joshuakobe6619 8 ай бұрын
Hajamuelewa Prf. Janabi
@chomasongidion6047
@chomasongidion6047 8 ай бұрын
Wape ukweli chpsi mjini bwana,wakulima wapi na wapi
@DavidBundala-u1r
@DavidBundala-u1r 9 ай бұрын
Musukuma uko sawa, ila Janabi naye yuko byeee na elimu ya afya, muache atufun dishe afya
@dechardavid2555
@dechardavid2555 9 ай бұрын
Aisee hii nimeipendaa..
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 9 ай бұрын
Ndio shida yetu watalamu wetu hatwatumii , wazungu hawawezi kutupenda kama munavyokuwa munazani wataraamu amukeni .
@muniraahmed624
@muniraahmed624 8 ай бұрын
Bunge limechangamkaaa fact kama hizi ndo tunazozihitajiii mtaani pagumu wakuu watu wako na hali ngumuuu😢🫶🏿
@justinekubilungokolo5703
@justinekubilungokolo5703 2 ай бұрын
Chapa ng'ombe okoa Taifa japo wanakuona kama mshereheshaji tu, but the time bis coming 😢
@Fatima-b4z5y
@Fatima-b4z5y 8 ай бұрын
Safi.sana msukuma
@chrismkama4889
@chrismkama4889 9 ай бұрын
Kama si siansa, Bunge liombe ushahidi wa kisayansi kuhusu alichokisema janabi kiletwe tena bungeni ikibidi aje aeleze mbele ya Bunge kama waliyomkosoa hawatahaibika.Wabunge jifunzeni kunyamaza kama hamna uelewa na kile kinachozungumzwa na wataalamu waliyosoma kwa miaka mingi vyuoni na kuhitimu.
@MichaelKingazi-wm7xj
@MichaelKingazi-wm7xj 9 ай бұрын
Tanga kuna watu bora sana,waaminifu sana,hawana tamaa, wataendelea kuchaguliwa kuwa viongozi wa nchi hii, ni watu sahihi. Amen
@thinktwice7176
@thinktwice7176 9 ай бұрын
Hoja yako ya mahali inakujaje hapa
@hakihaki2154
@hakihaki2154 8 ай бұрын
Yanga na Zanzibar tofauti yao ndoho Sana ubinafsi 😂😂😂
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 9 ай бұрын
CCM ni janga la taifa namba moja.
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 9 ай бұрын
Weee kweli au
@YohaneBenedicto
@YohaneBenedicto 2 ай бұрын
Ama vipi bunge wamkabidhi mskuma
@backrissmgayamgaya749
@backrissmgayamgaya749 8 ай бұрын
Safiii
@florakweyunga4490
@florakweyunga4490 8 ай бұрын
Yaaap,maana hizo machanjo,hazifai kabisaaaa.JPM Alipima papai kama litakuwa na corona.
@flomenamvungi988
@flomenamvungi988 9 ай бұрын
Mzee uyu yupo vzr
@Meshack-q8s
@Meshack-q8s 7 ай бұрын
Nan kama uyo mbunge apo bungen hakuna wengne machawa
@deoluma1706
@deoluma1706 9 ай бұрын
Ahsante sana maukuma.hizi chanjo zimezid balaa
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 9 ай бұрын
Ushazingua 😂😂
@KhadijaDaudi
@KhadijaDaudi 8 ай бұрын
Maukuma tena
@KhadijaDaudi
@KhadijaDaudi 8 ай бұрын
😢
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 9 ай бұрын
😂😂😂 Msukuma oyeeeee
@aarona.midende1789
@aarona.midende1789 9 ай бұрын
Namkubari Sana huyu jamaa Msukuma
@KennedyNgusa
@KennedyNgusa 3 ай бұрын
Huyu ndani yake kuna uchadema ,ananyosha sana
@julyodette6945
@julyodette6945 8 ай бұрын
Papai la njano nje ndani kugumu kama maisha ya mtanzania wa kawaida☹️ Hatuna vyakula vya asili masoko yamejaa matakataka tu matunda holaaa nafaka ndo usiongee mifugo huko ndo full michanjo 😭😭😭 huko mbele ni taabu tupo
@ForeverCaptain
@ForeverCaptain 9 ай бұрын
Prof Janabi Said it Right! If you think it is a joke, Keep ignoring it as Ignorance is expensive than Education
@DaudMbarikiwaKayanda
@DaudMbarikiwaKayanda Ай бұрын
Edelea kusema ukweli na mungu ataku
@joachimhancemwakoba8283
@joachimhancemwakoba8283 2 ай бұрын
😂😂😂Mskuma
@frankkitosi732
@frankkitosi732 8 ай бұрын
Sema msuma
@MalikiaRecho
@MalikiaRecho 6 ай бұрын
Nikweli kaka angu hili ni tatizo
@hubman6780
@hubman6780 2 ай бұрын
Msukuma Mungu akutunze. Wizara inakubali tu hadi madr wamepewa miongozo ya kuratibisha hizi chanjo na wakienda kinyume sijui kifuatacho isidingo.Cha ajabu mheshimiwa watu wa afya watuambie kwa nini kila sehemu wanalalamika upungufu wa nguvu za kiume?
@agnessangawe3844
@agnessangawe3844 9 ай бұрын
MSUKUMA HONGERA SANA. HIZI CHANJO NA POMBE ZIFANYIWE TAFITI
@bennygwasa4563
@bennygwasa4563 8 ай бұрын
Msukuma ana akili sanaaaa
@godfreysimoni4270
@godfreysimoni4270 9 ай бұрын
Huyo ni zaidi ya pr.
@babazizu1255
@babazizu1255 8 ай бұрын
Msukuma mtani wangu vazi la kiisilam linakutoa kwer aisee
@jerryrugiga5157
@jerryrugiga5157 9 ай бұрын
Umenigusa sana kwenye swala la chanjo na kutahiri watu
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 8 ай бұрын
Hata mimi aisee huyu jamaa ni mtu na nusu
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 8 ай бұрын
Ila watu kama hawa ni kama hawathaminiwi, ila huyu kaka ni lulu kweli. Ameongea mambo kontu
@stanymccary7136
@stanymccary7136 3 ай бұрын
Hulazimishwi mwanao kupata chanjo au kutahiri siku mwanao akishapata serious illness ndo utajua kazi ya chanjo ni nin
@victorkambona2024
@victorkambona2024 4 ай бұрын
Tanzania tuna watu sema tu hatuwaungi mkono
@matthewmichaelsylvester5612
@matthewmichaelsylvester5612 9 ай бұрын
kweli kaka DR MSUKUMA
@HappyKiteboarder-du9th
@HappyKiteboarder-du9th 8 ай бұрын
Wewe ni Zaidi ya wabunge wote bungeni hongera sana upo vzr nchi inahitaji iwe na wakina msukuma Kama wewe mfike 100 tutafika mbaki
@emmanuelcharles3079
@emmanuelcharles3079 4 ай бұрын
Kadi hadi Jana hapa dodoma zinaizwa kwa wajawazito
@kuzenzamasule1281
@kuzenzamasule1281 9 ай бұрын
Maziwa ndala😂😂😂😂
@simiongasirigwa6316
@simiongasirigwa6316 3 ай бұрын
Hapo no ukweli msukuma usemacho
@selemanikazingini5566
@selemanikazingini5566 9 ай бұрын
Msukuma ni msomi kweli kweli Ni afadhali ya msukuma aliyesoma informal education
@AdamSaffi211
@AdamSaffi211 9 ай бұрын
Musukuma na DP world oyeeeee
@RaphaelLucas-uh7hx
@RaphaelLucas-uh7hx 8 ай бұрын
Daaaah uyu msukuma anajua na kwa design hii atakuwa rais kama mafufuli
@NicksoniSajilo
@NicksoniSajilo 7 ай бұрын
Ww nimsema kweri wachanetu
@allysaidallysaid4530
@allysaidallysaid4530 9 ай бұрын
mimi ningekuwa mbunge nanipo bungeni ningeomba kiti changu kiwe karibu na msukuma😂😂😂
@HenryNJohn-mm5zn
@HenryNJohn-mm5zn 9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@jumannerajabu5288
@jumannerajabu5288 8 ай бұрын
Wape msukuma😂
@emmanuelbernard9552
@emmanuelbernard9552 9 ай бұрын
Naona wakevi mnakuwa wakali musuku kugusa pombe zenu.Mpaka mnamtukana,tena hizo pombe ziondolewe kabsa,hazina faida kabsa.
@DeboraBenjamini
@DeboraBenjamini 2 ай бұрын
Hospitali kadi hakuna ispokua kwenye maduka ya madawa zipo zinauzwa sh5000 kadi Moja tutapona kweli
@dominicfrancis4073
@dominicfrancis4073 9 ай бұрын
Msukuma mbunge kula tano iyo ✊👊
@emmanuelsalala-xu1xj
@emmanuelsalala-xu1xj 9 ай бұрын
Ni kweli kabisa lakini serikali,haichukui hatua hizo chajo ni nyingi muno
"UMEPATA UBUNGE TU, UKAMUACHA MUMEO, TULIA NIKUPASHE WEWE" - MBUNGE KEISSY
6:07
СИНИЙ ИНЕЙ УЖЕ ВЫШЕЛ!❄️
01:01
DO$HIK
Рет қаралды 3,3 МЛН
The evil clown plays a prank on the angel
00:39
超人夫妇
Рет қаралды 53 МЛН
MSUKUMA "AVURUGA" bunge Zima, AKINUKISHA Balaaa!!!!!
10:02
SUPER TAMUTAMU
Рет қаралды 685 М.
KUFUKUZWA KAZI WATUMISHI DARASA LA SABA, MSUKUMA ALIAMSHA DUDE
5:00
Mwananchi Digital
Рет қаралды 787 М.
"RPC ni Mtu mdogo siwezi kuzungumza nae, nimempa siku 3' - MSUKUMA
10:05
Leonardo alivyomfunika Ndaro Awavunja watu mbavu na kupewa pesa
14:21