Unadhani Mungu anapendezwa na kifo cha mwenye dhambi? Magufuli ameuawa kwa mpango maalum kabisa , ambao manabii wa shetani walitangulia kusema , Manabii wa uongo wanafurahishwa sana inapokuja kutimia juu ya mtu ambae walitabiri atakufa, huu ni ushetani. kanisa lazima lisimame kuzuia hizi nabii nyuma yake zina roho kweli ya kuua kama kanisa lisipo simama
@malkiarosemuhando33103 ай бұрын
Kweli kabisa na wanachukia hayo maneneno Yao yasipotimia
@simeontwiyogohe27273 ай бұрын
Hakika. Mungu hutoa tahadhari na kuelekeza cha kufanya ili kuepuka. Wanadamu wasipoisikia sauti yake na kuelekea kufanya anachoelekeza ndipo mbaya huwakuta. Alimwelekeza Nuhu kujenga safina naye akatii na wote walioambatana naye kumtii Mungu.
@festinamwakipale3919Ай бұрын
InatakiwA ujichekeche kuota ndoto kijana yusufu aliota akiwa kijana ila uombe sana loho ya Mungu tafsiri na namna ya kuongelea au kulipeleka mbele za watu loho akupe loho namna ya kulipeleka jambo kwa watanzania na kukuchambulia.kuhusu watakalolipokea pata utulivu mwingi halafu jitahidi kuwasikiliza sana waliokutangulia mfano.gwajima mwakasege na Abiud misholi pata akili kwa hao pata muda wasikilize.mtandaoni uitafute hekima kwao usivowaelewa usivichukue waachie nina maana hii toa pokea
@lilianrwegasira27693 ай бұрын
Una jipya wewe acha wivu
@patsonkyando17323 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu Jakobo Fanya kazi ya Mungu acha kuwasema wengine,Mwamposa hajawahi kukutaja wewe sijawahi kumsikia akimsema vibaya wengine acha kumsingizia hubiri injili Mtumishi
@lilianrwegasira27693 ай бұрын
Wewe acha wivu
@obinasimbeye17503 ай бұрын
Sasa unasema Ili iweje. Huwezi kuzuia kama Mungu anepanga
@simeontwiyogohe27273 ай бұрын
Hakika. Mungu hutoa tahadhari na kuelekeza cha kufanya ili kuepuka. Wanadamu wasipoisikia sauti yake na kuelekea kufanya anachoelekeza ndipo mbaya huwakuta. Alimwelekeza Nuhu kujenga safina naye akatii na wote walioambatana naye kumtii Mungu.
@VictorJohn-fu7ch3 ай бұрын
Ubarkiwe Nabii❤❤❤❤❤ huduma yako iko wap
@geofreymilinga29653 ай бұрын
Sasa unafurahia viongozi kufa acha upumbavu
@feliciarfrancis23883 ай бұрын
Kweli kabisa unaweza kuangamia kwa sababu ya Lukas kwenye Baraza na waovu ingawa wewe sio mwovu ,wavaa irizi ,wapiga manyanga, waabudu SHETANI ,Wanafanya mapepo yakufuate hasa kama ndiyo wakuu wako wa kazi na hujakaa na Mungu vizuri( ubarikiwe )
@albertinamichael61233 ай бұрын
MUNGU hasababishi vifo kifo ni uchaguzi wa mwanadamu mwenyewe kila mtu atakufa.
@GeofreyKalo-ot3we3 ай бұрын
Huyu anahubiri pumba, Kila nafsi itaonja mauti sio Tu VIongozi Acha uninga basi jitabirie ww kama unaeza
@LucyLyimo-sc1lz3 ай бұрын
Ubarikiwe Mwl. Ukiota unaongeza na mtu aliyekufa hili iko na maana gani? Mdogo wangu ameota yuko na kaka yake ambaye n marehemu kwa sasa wako wanatembea na walikuwa wametofautiana walikuwa wakibishana sana mara wakavuka mto, walipo vuka tu akashtuka katika ndoto. Hiii imekaaje Mtumishi.
@GBhahat3 ай бұрын
SHAURIKO ,SASA,WEWE NDIO MKUFURU,HUJIJUI😂 YA MUNGU MUACHIE MUNGU,WATUMISHI HUWA WANA NEEMA YAO YA KIPEKEE, ! OKMIE NIMEKUPATIA USHAURI TUU,
@GBhahat3 ай бұрын
WEWE WACHA KUMSAKAMA MTUMUSHIBWA MUNGU ,UTAUMIA TAFUTA KIBARUA KINGINE UPIGE DEBE KWA VINGINE SIO HUYU! 😂
@AverinaShirati3 ай бұрын
Kila nabii amemtabilia huyo atakufa
@charlesmganga-gv2cs3 ай бұрын
UNAITAJI KUSAIDIWA
@moseshaule5863 ай бұрын
Sisi wote tutaondoka
@joyjackson2583 ай бұрын
Kijana safari ya huduma yako ni ndefu . Hiivyo acha kumsakama Mch Mwamposa . Tena ukionyeshwa mtu kafa wasiliana nae ili useme nae kwa habari ya toba .
@AverinaShirati3 ай бұрын
Sasa Kama atajukufa kweli
@NeenaGaspa3 ай бұрын
Mtumishi mungu amekuamini waombee hao viongozi mungu awahulumie wewe ni mlinzi wa Kuta za yerusalem mungu atusaidie
@Leeeeeeee-963 ай бұрын
asante mtumishi
@patsonkyando17323 ай бұрын
Kweli kabisa Mwamposa anafanya kazi aliyopewa na Mungu hana ujinga wa kuwasema wengine