UNYAKUO PT 1. JE, UNYAKUO NI KABLA AU BAADA YA DHIKI KUU?

  Рет қаралды 25,358

NABII ELIYA ILYAAS

NABII ELIYA ILYAAS

Жыл бұрын

Пікірлер: 121
@wycliffkasinga8086
@wycliffkasinga8086 Жыл бұрын
Habari Nabii, long time bana. Nafuatilia darasa zako nikiwa Kenya. Mwenyezi mungu akubariki. Hakuna mtu hamewahi fundisha kama wewe
@MUMBIWAGOVENOR
@MUMBIWAGOVENOR 8 ай бұрын
Hallelujah hallelujah huu Dio ukweri
@sabbob574
@sabbob574 Жыл бұрын
Alleluia Alleluia Alleluia. Praise the Lord.
@stellakaluwa3647
@stellakaluwa3647 Жыл бұрын
Hatutalala wote mauti lakini wote tutabadilishwa na kumlaki Bwana mwawinguni hapa ipoje hapo , awinguni
@ryobanchagwa2499
@ryobanchagwa2499 5 ай бұрын
YESU ATAKUJA KAMA MWIZI KULICHUA KANISA YAANI WEWE ELIA MIMI SIJAKUELEWA SOMA AGANO JIPYA VIZURI ACHA KUPOTOSHA UMATI
@histonmwasonzwe1868
@histonmwasonzwe1868 Ай бұрын
Elia ni mwalimu anayejaribu kuchanganya maji na mafuta kwa kutumia ukristo na uislamu kitu ambacho hakiwezekani, mtiririko mzuri wa matukio yote kuelekea unyakuo upo kwenye Danieli 9 kuanzia mstari wa 21 na kufafanuliwa na Yesu mwenyewe kwenye mat 24
@CharlesMangumba
@CharlesMangumba 4 ай бұрын
Unajitaindi sana, kunahina mbali za kuonekana kwa yesu wakati wa unykuo , mara ya kwanza hataoneka katika unykuo wakanis, ila ya pili ndo ataonekana na ndunia yote, kama ya semavyo maandiko, kila cho litamuona na kila ngoti litapigwa, nk
@CharlesMangumba
@CharlesMangumba 4 ай бұрын
Hapo hamna umechnganya maandiko kuhusu dhiki , pia kuhusiana na sauti sauti itasikika kwa wale tu waliyo mwamini na wale waliyo lala katika mauti, hy 4:24-25, umejitahindi ila umekosea kidogo
@manyamamanyama4491
@manyamamanyama4491 Жыл бұрын
Nakupata Sana na unafunuo ambazo hazina Shaka ndani yake mungu akubariki Sana na wote wanakubaliki kazi yako. Na mungu awasaidie wote wanaokutusi wala . Akiongoka hata mmoja ni furaha mbinguni
@DARUBINIYAUNABII538
@DARUBINIYAUNABII538 Жыл бұрын
Ndugu zangu some maandiko vzr acheni kusikiliza uyu muongooooo uyu ni nabii wa huongoooooooo
@ruthclark9166
@ruthclark9166 Жыл бұрын
Excellent thanks
@linetkhaemba1029
@linetkhaemba1029 Жыл бұрын
Amen pastor be blessed too 😢kweli haya mafundisho inaelesea matezo ambayo pastor Ezekiel wa kwetu Kenya. Anasingiziwa muuwaji mwingine anauwa breaking news ni Ezekiel 😢😢😢
@richardmakweta8875
@richardmakweta8875 10 ай бұрын
Asante Mungu azidi kukutia nguvu zaidi
@christinasulle4984
@christinasulle4984 10 ай бұрын
Ubarikiwe nabii wa Mungu
@lilianeingabire1411
@lilianeingabire1411 11 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe soma katika 1thesalonike 4: 16-18
@mossesjovenari9457
@mossesjovenari9457 Жыл бұрын
Unachokosea ni kumtafutia muhamad wadhifa ktk bibilia MUNGU hana kauli mbili Hawezi kusema ktk bibilia YESU NIMWANAE alafu arudi kwa waislam aseme YESU SI MWANAE YESU NIWAMWANZO NA MWISHO WAKWANZA NA WAMWISHO ALFA NA OMEGA.
@user-gr3ox1cf3c
@user-gr3ox1cf3c Жыл бұрын
Amina Nabii Eliya umefafanua vizuri sana
@paulyaledy6110
@paulyaledy6110 Жыл бұрын
Kuna mambo makubwa Mungu amekupa kuyafunua Kwa wateule Ubarikiwe sana
@christinahzi8202
@christinahzi8202 Жыл бұрын
Amen Nabii wa Yesu christo
@malengamsombwa3115
@malengamsombwa3115 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana baba
@KijuuBorongo
@KijuuBorongo 11 ай бұрын
Nuru,Nuru kutoka kwa Allah,Yehova.
@MawazoMwamba-fz5hr
@MawazoMwamba-fz5hr 9 ай бұрын
Amen 🙏🙏💯💯
@dezruh
@dezruh Жыл бұрын
Unafundisha vyema, Mungu aendelee kukupa neema
@joeljohn5527
@joeljohn5527 Жыл бұрын
unafundisha vizur sana ase Mungu akubaliki
@user-do1ut4gb1e
@user-do1ut4gb1e 10 ай бұрын
Unyakuo wa kanisa kama mwivi kabla ya dhiki kuu miaka(7) mizeituni miwili Uf 11:2 -3 -12, hao ni Eliya na Henoko hawajafa siyo wewe,aliyezaliwa na mwanamke lazima aonje mauti; baada yake utawla wa miaka (1000) unaanza lsrael na Yesu Zek 14:1-4-21. Nabii Eliya uongo wako kutokufahamu Neno na ufunuo wa Roho wa kweli, Uf 16:15 sawa 1Thes4:14-17,Baada ya miaka (1000) ,ufufuo wa wazi kwa hukumu ya wote Uf 20:7-10,11-15. Uf 21:1-4. Ukisoma haya utapona,sababu unajitahidi; Wazungu ni kama wewe,tatizo Joka Uf 12:17.Amen
@wesakawesaka4549
@wesakawesaka4549 6 ай бұрын
Ata mafarisayo walimpinga yesu
@wesakawesaka4549
@wesakawesaka4549 6 ай бұрын
Yesu akisema atakuja kama mwiv maana yake atakuja siku usioijua boss
@mpokimwakaje8178
@mpokimwakaje8178 10 ай бұрын
Mnachanganya na mnachanganikiwa mno Kuna thiki ya mataifa na thiki ya yakobo , yakobo ndie atakae pambana na thiki kuu ambao niwateule wa agano wateule kutaka mataifa Yani waliozaliwa Mara ya pili watakuwa wameondolewa na mzee wa siku anapokuja Tena kuhumu Dunia hapo atakuja na jeshi lake ,ninamana wale walioshinda Vita vya kiroho waliokuwa wamenunuliwa kutoka mataifa yato hapo ndipo kila jicho litamuona waliomchoma waliokataa kuokolewa, na Bwana,
@mpokimwakaje8178
@mpokimwakaje8178 10 ай бұрын
Picha ya unyakuo sio wakati wa thiki kuu niwakati wa amani watu wakila na kunywa wakioa na kuolewa Kama ilivyokuwa siku za nuhu au siku za lutu ndio itakavyokuwa kuja kwake mwana wa Adamu mzee wa siku ,ukitaka kuelewa kuondolewa watakatifu Duniani soma kitabu Cha mwanzo abali za henoko na nuhu na lutu hapo utapata picha kamali kuhusu unyakuo ,nyakati za unyakuo ndio siku hizi tulizo nazo , mpendwa Kama ndo anaanza kujiamdaa utakuwa umechelewa mno mpendwa wangu,
@edwardsamwel5084
@edwardsamwel5084 Жыл бұрын
Waislam wanasema Yesu atakuja kuua ngurue,kuondoa kodi ect
@user-do1ut4gb1e
@user-do1ut4gb1e 10 ай бұрын
Haujui,Dhiki kuu na Dhiki ni vitu viwili,soma Mt 24: 15-21,Uf 16:15-17, lThes 4:14-17, Uf 3:3 ,Uf 11:3-14 siyo wewe soma,ni mpinga Kristo mafundisho hayo! Amen
@abordecapester9086
@abordecapester9086 Жыл бұрын
Imani Yaki Cristo
@heliudjulias7748
@heliudjulias7748 Жыл бұрын
Shalom shalom
@munaisack4288
@munaisack4288 Жыл бұрын
HABARI,Nafuatilia mafundisho yako ya unyakuo
@bonifaceshayo4747
@bonifaceshayo4747 Жыл бұрын
Chapa neno nabii wa mungu
@brightonmkamba4881
@brightonmkamba4881 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana nabii Eliya Mungu azidi kukuimarisha.
@neemamaganga9774
@neemamaganga9774 Жыл бұрын
Wanaposema kwamba atakuja kama mwivi inamaanisha kwamba Yesu atakuja bila taarifa au hakuna ajuaye ratiba ya Mungu.
@histonmwasonzwe1868
@histonmwasonzwe1868 Ай бұрын
Nabii Eliya ni mpotoshaji mtume Paulo anaposema waliolala mauti hatutawatangulia ni katika suala la unyakuo yaani hakuna kaburi la mtakatifu litabaki na mwili isipokuwa waliolala mauti katika dhambi kama ikitokea siku Yesu anakufa msalabani na hapo ndipo Yesu mwenyewe anasisitiza watu wawili watakuwa wamelala mmoja anatwaliwa huku kutwaliwa tafsiri yake ni kwamba aliye mtakatifu ndiye anaondoka kwenye kusaga na shambani vivyo hivyo hao wanakwenda paradiso si kwenye safina na watakatifu watakao kumbana na mpinga kristo niwale walio baki kwa mapungufu ya kiimani juu ya Kristo na wamekubali kwa dhati kwa kuthibitisha unyakuo pia kwa kuimarishwa kiimani kupitia injili kutoka kwa manabii wawili watakao hubili kwa miaka mitatu na nusu ya mwanzo ya dhiki kuu hao ndio Mungu atawaponya wasipigwe chapa ya mnyama lkn ni kwa mateso ikiwemo kutengwa na huduma za kijamii, ahsante
@rafitoruffin1175
@rafitoruffin1175 10 ай бұрын
Maanake weye nabii haukubali maandiko yote ya bibliya. Ni kusema kuna uongo mu bibliya. Hapo unaporomoka.
@mariamfaicalhassan2890
@mariamfaicalhassan2890 Жыл бұрын
Hapo nimekuelewa kabisaa
@kevoalwodo5655
@kevoalwodo5655 Жыл бұрын
Mtumishi part two ya unyakuo sijaona
@simonlukiko2850
@simonlukiko2850 Жыл бұрын
Safi nabiii
@ziporanangolo9397
@ziporanangolo9397 Жыл бұрын
Nimebarikiwa asubuhi ya leo ,huwa nafuatilia sana
@godwinmbwambo3316
@godwinmbwambo3316 Жыл бұрын
Nabii unafundisha vzr na utulivu haijalishi wewe ni dini gani. Mungu akubariki sana.
@fredrickgitonga1972
@fredrickgitonga1972 Жыл бұрын
Wacha uongo ww nabii, KRISTO YESU atakuja bila watu kujua yuaja siku hipi, alafu kanisa ni lazima litaingia katika majaribu
@DARUBINIYAUNABII538
@DARUBINIYAUNABII538 Жыл бұрын
Vzr sana ndugu yangu umemjibu sahihi kabisa.
@mariamfaicalhassan2890
@mariamfaicalhassan2890 Жыл бұрын
Yesu atakaporudi tutamuona kila jicho litamuona wafu watafufuliwa ndipo atakapotoa hukumu
@alexmauki6935
@alexmauki6935 Жыл бұрын
@@mariamfaicalhassan2890 kila jicho litamuona hata hao waliompiga
@user-pv8zg8ps9s
@user-pv8zg8ps9s 10 ай бұрын
Muhimu ni kuhubiri INJILI watu waokolewe, habari ya unyakuo tumwachie YESU MWENYEWE sisi tubaki ktk utakatifu ili tunyakuliwe. Hizi habari zingine tuziache tudumu ktk utakatifu.
@evalinekitomary4307
@evalinekitomary4307 26 күн бұрын
hizi nazo ni muhimu sana ndo maana kwenye bibilia imeandikwa katika ufunuoa
@bonifaceshayo4747
@bonifaceshayo4747 Жыл бұрын
ASANTE SANA UBARUKIWE SOMO LA UNYAKUO NI KONKI SANA
@raphaelcharles6237
@raphaelcharles6237 10 ай бұрын
Umenifungua pakubwa sana, maana na mimi ni mmoja wa walio potoshwa, ubarikiwe sana mtumishi
@mussammanga7791
@mussammanga7791 10 ай бұрын
Na utaendelea kupotoshwa kama akili aliyekupa MwenyeziMungu hukuitumia. Pole sana.
@moureenkyusa423
@moureenkyusa423 9 ай бұрын
​@@mussammanga7791mbona umekoment kwa hasira sana😅😅😅😅
@histonmwasonzwe1868
@histonmwasonzwe1868 Ай бұрын
Sasa huko ndiko unapotoshwa unatolewa kwenye kweli unaingizwa upotevuni
@simonmisri7824
@simonmisri7824 Жыл бұрын
Panahitaji muda sana kuketi chini kuelewa maana lile kundi la Hellen G White watakubishia mpaka basi
@rafitoruffin1175
@rafitoruffin1175 10 ай бұрын
Hausadiki maandiko yote njo shida Yako.
@festomishita3303
@festomishita3303 Жыл бұрын
Nmekuelewa sana kaka Isaya ...lakin kwenye eneo la kukufuliwa tumeona watafufuliwa wale waliokufa wakiwa wakirsto je wale wenye hawakufa wakiwa wakirsto itakuaje?
@mariamfaicalhassan2890
@mariamfaicalhassan2890 Жыл бұрын
Tutafufuliwa wote ndipo Bwana wetu Yesu kristo atahukumu wazima na wafu
@HildaPaul-hm4jk
@HildaPaul-hm4jk 9 ай бұрын
Kuna kuokolewa kwa neema
@histonmwasonzwe1868
@histonmwasonzwe1868 Ай бұрын
Maandiko yanasema watakatifu si wakristo kwa maana si wote wjulikanao kama wakristo wana neema ya utakatifu maana yamkini hata wateule wakabaki, wafu walio lala katika dhambi wao watasubiri matukio yote mawili kupita yaani dhiki kuu na Utawala wa Yesu wa miaka elfu moja ili kusimama kwenye hukumu ya Mungu
@bernardmkuffya5171
@bernardmkuffya5171 Жыл бұрын
Somo zuri ila unatumia muda mwingi sana kuongelea swala la kuja kwa siri au bila siri.Endelea kutoa point muhimu.
@edwardsamwel5084
@edwardsamwel5084 Жыл бұрын
Sasa nabi kama unajua Yesu atakuja kuchukua kanisa je waislam watachukuliwa na nani tuweke wazi hapo kwasababu hakika umetambua ukweli halisi
@jonathankessy9615
@jonathankessy9615 10 ай бұрын
Ipo hivi Usidhani watu wa Mungu wapo Kanisani tu!! Kanisa sio jengo mzee Hata kwa wapagani Mungu anawatu wake, hata kwa Waislamu Mungu anawatu wake Anayekuja atachukua 50%
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 10 ай бұрын
Edwardsamuel msikilize kwa makini umuelewe vizuri Ilyaasa kwamba wakati huo, wale waislamu na wakristo watakubaliana na kua wamoja wa Kristo baada ya mashauriano ya Russia na Afghanistan pale Uturuki...
@zoharimohammed2942
@zoharimohammed2942 Жыл бұрын
Naaaaaam
@barakapetro2174
@barakapetro2174 Жыл бұрын
Barikiwa sana nabii
@abordecapester9086
@abordecapester9086 Жыл бұрын
Kweli natamani ninge kua kishika mkoba wako niwe Kam mwanafunzi wako
@joshuamatagane1318
@joshuamatagane1318 Жыл бұрын
Nabii Eliya, umepata tatizo gani kwenye mdomo??
@DARUBINIYAUNABII538
@DARUBINIYAUNABII538 Жыл бұрын
Aiseee udanganya duuuu wewe ni muongooooooo kweli. Acha kudanganya watu auna unabii wowote
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 Жыл бұрын
Kuhabudu katika Roho na Kweli maana yake ni nini
@fredrickgitonga1972
@fredrickgitonga1972 Жыл бұрын
Ni kuwa n Imani ya YESU KRISTO na kumtegemea MUNGU pekee,
@shalomchaula4420
@shalomchaula4420 10 ай бұрын
Yohana 4:24 Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli. Maana yake hapo hakuna unafiki ndugu yangu katika miili yetu unaweza muona mtu ni kama mcha Mungu sana na mtakatifu Kwa mwili ila rohoni mi mtu wa ajabu ukipewa uwezo wa kuona unaweza husiamini Ila Mtu akianza rohoni akiwa mtakatifu kweli na mwaminifu mwilini inakuja automatic bila mtu kusema Wala yeye kulazimisha kujionesha Sana Kwa watu.
@user-zf8kr5eo5w
@user-zf8kr5eo5w Жыл бұрын
Yaaan weee ni kiboko du!!!!!!
@wilsonlugutu5747
@wilsonlugutu5747 Жыл бұрын
Warokole wanatumia andiko linalo sema atakuja kama mwivi ndo wana tengeneza hitimisho kwamba anakuja kwa siri kwa maana ya kwamba mwizi huwa anakuja bira kujuwa anaye ibiwa, wanasahau kwamba andiko hilo lilikuwa na maana kwamba hakuna aijuwae siku wala saa, halafu wanarudi kwenye point nyingine kwamba kila jicho litamuona. Wakiwa na maana kwamba baada ya dhiki kuu ndo kila jicho litamuona. Bila shaka mm naungana wewe kwamba hii dhana imetengenezwa na jesuit kujaribu kuuficha ukweli watu wakae gizani ili atakapo funuliwa mpinga kristo wasielewe wajione wako salama sababu waliisha fundishwa hawezi kutokea wakiwepo Duniani dhana hii imetengenezwa na mawakala wa shetani!
@wycliffkasinga8086
@wycliffkasinga8086 Жыл бұрын
Usilete matusi wewe! Exit from the teachings if you're not interested.
@wilsonlugutu5747
@wilsonlugutu5747 Жыл бұрын
@@wycliffkasinga8086 Matusi gani uliyo yaona hapo?
@fredrickgitonga1972
@fredrickgitonga1972 Жыл бұрын
Mpinga KRISTO tayari kasaa funuliwa naona hamjui bado
@mariamfaicalhassan2890
@mariamfaicalhassan2890 Жыл бұрын
Hapo umeongea ukweli Kuja kama mwizi ni kama surprise
@focusmsimbe3573
@focusmsimbe3573 9 ай бұрын
Hapana Kuna Kuna shida hapa
@zugaonlinetv3902
@zugaonlinetv3902 Жыл бұрын
🤔🤔🤔
@ryobanchagwa2499
@ryobanchagwa2499 5 ай бұрын
Yaani wewe ni Nabii wa Uongo japo unajitahidi kusema ukweli kwa asilimia 35% lakini uongo ni asilimia 65% sasa wewe potosha tu utajuta siku ya mwisho
@petermutuku1289
@petermutuku1289 Жыл бұрын
Akili unayoitumia kupotosha watu,ukiyangeuza maandiko upside down, kama hutaasha na kutupu utalipia Siku ya mwisho.lakini nakuobea uokolewe.
@festombugi58
@festombugi58 Жыл бұрын
Uongo wake niupi hapo
@deuspascal978
@deuspascal978 Жыл бұрын
Unaweza kuthibitisha uongo?
@petermutuku1289
@petermutuku1289 Жыл бұрын
@@deuspascal978 kujiita Eliya.
@petermutuku1289
@petermutuku1289 Жыл бұрын
@@festombugi58 pale anapojiita Eliya.
@manenomwambene3942
@manenomwambene3942 Жыл бұрын
@@petermutuku1289 wewe kuwa muelewa
@fredrickgitonga1972
@fredrickgitonga1972 Жыл бұрын
Dio maana ww ni mwongo sababu mafundisho yako yanapingana yenyewe
@ahmedmakame1687
@ahmedmakame1687 Жыл бұрын
Nabii naomba nikuulize kuhusu Ndama mwekundu (red heifer ) kuwasili Israel tarehe 15/09/2022 inamaanisha nn ?
@Anna-ch6if
@Anna-ch6if 9 ай бұрын
Wanajiandaa kujenga hekalu la tatu
@davidmihambo3051
@davidmihambo3051 10 ай бұрын
mi nina swali hapo, je kama hiyo sauti ya malaika mkuu na parapanda watakao weza kusikia ni wale tu watakao nyakuliwa je hiyo haitoshi kumaanisha atakuja kwa siri. maana maandiko hayasemi kama kila mtu atasikia hiyo sauti ya malaika mkuu na parapanda. Hata hivyo tunatakiwa tuishi maisha matakatifu ili vyovyote itakavyo kuwa huo unyakuo tusiachwe.
@raphaelcharles6237
@raphaelcharles6237 10 ай бұрын
Mwalim, mimi nakufuatilia sana neno tamu la Mungu, je kuhusu kufufuka kwa walio kufa hii imekaaje?
@histonmwasonzwe1868
@histonmwasonzwe1868 Ай бұрын
Anakuingiza shimoni huyo, watakatifu walio lala mauti katika utakatifu watanyakuliwa pamoja na watakatifu walio hai ndipo mtume Paulo anaposema waliolala mauti hatutawatangulia wafu wengine watafufuliwa baada ya utawala wa miaka elfu moja Yesu na watakatifu baada ya dhiki kuu ili kusimama kwenye hukumu ya Mungu ya milele
@moseskasereka6834
@moseskasereka6834 Жыл бұрын
Muongo wewe,mpinga kristo atapingana na nani kama kanisa litakuwa limenyakuliwa?
@omaar5693
@omaar5693 Жыл бұрын
Hii
@furahasimon676
@furahasimon676 Жыл бұрын
Huu ni upotoshaji kabisa,
@jamesmutwiri8213
@jamesmutwiri8213 10 ай бұрын
Je kanisa litaingia dhiki kuu au la?
@histonmwasonzwe1868
@histonmwasonzwe1868 Ай бұрын
Halitaingia ni lazima linyakuliwe huyu nabii Eliya ni mpotoshaji, kanisa haliwezi kushiriki mapigo ya manabii wawili watakao wahubiria watu kuwataadhalisha na mpinga kristo na nabii wa uongo kabla shetani hajampa uwezo wake mpinga Kristo katika nusu ya pili ya miaka saba ya dhiki kuu
@luckymsomba4818
@luckymsomba4818 9 ай бұрын
m naona kila mtu ataonja mauti. mbona biblia imesema kila mtu ataonja mauti. je mtu akinyakuliwa atakufaje
@histonmwasonzwe1868
@histonmwasonzwe1868 Ай бұрын
Maandiko yanahitaji utulivu ili usichanganye mambo ili urudi kwenye maandiko matakatifu ni lazima sentensi yako iwe kama ilivyoandikwa
@paulophissoo5091
@paulophissoo5091 10 ай бұрын
Yaani unatuchsnganya jamaa wewe nawe una lengo fulani kuelekeza yaani unatafuta wafuasi maama mrengo wako ni kiuislam 100% kutoka mwanzo wa Biblia hadi ufufnuo baada ya Yesu hakuna nabii mwingine aliyetabiri Yesu aliulizwa habari hiyo akawajibu eliya ni Yohana mbatizaji Au kwenu waislam Nabii Yahaya
@robertlyimo8092
@robertlyimo8092 Жыл бұрын
Ndivyo ilivyo hata Mimi nafahamu hivyo.
@markopedeshe9692
@markopedeshe9692 10 ай бұрын
😊
@markopedeshe9692
@markopedeshe9692 10 ай бұрын
😊😊😊😊😊😊😊
@markopedeshe9692
@markopedeshe9692 10 ай бұрын
😊
@markopedeshe9692
@markopedeshe9692 10 ай бұрын
😊😊😊😊
@ziporanangolo9397
@ziporanangolo9397 Жыл бұрын
Nauliza swali ,basi mbona Biblia imesema mmoja atwaliwa mmoja aachwa , halafu Biblia imesema itakuwa kama siku za Nuh yaani maisha ya kawaida , wengine waingia kwenye safina wengine wapata adhabu. SASA INAMAANA TUTAIONA DHIKI KUUU ?
@igihozouruatidrissa691
@igihozouruatidrissa691 Жыл бұрын
Maskini unaonekana kama mwizi mwizi fulani hivi " ile nuru ulikuwa nayo katka CD za zama za mwisho haipo kabisa kabisa
@igihozouruatidrissa691
@igihozouruatidrissa691 Жыл бұрын
Sasa hivi umepoteza hata Nuru ya uutu unaonekana kama tapeli tapeli tu maskini " wee mwenyewe uso wako umejaa aibu ya unachokiongea
@fredrickgitonga1972
@fredrickgitonga1972 Жыл бұрын
C wewe tena umesema kwa fundisho lako eti dunia uko katika dhiki kuu, mbona unachanganya watu
@kefajoseph158
@kefajoseph158 Жыл бұрын
Mi sikupingi ila manabii huwa wanatabili Basi tutabilie 2025 nani raisi nakama huwezi tabili kwà chochote Basi jiite mwalimu Eliya na Sio nabii elia
@wycliffkasinga8086
@wycliffkasinga8086 Жыл бұрын
Nabii teachings are basically on issues of escatology and the church. Mambo ya politics za kidunia husilete hapa
DHIKI KUU NA UNYAKUO-MCH.  AMOS MWABAKANA
1:24:16
Nuruni Tv
Рет қаралды 2,2 М.
ASKOFU GAMANYWA. UNYAKUO KABLA YA DHIKI KUU
14:00
Chomoza Tv
Рет қаралды 7 М.
Алексей Щербаков разнес ВДВшников
00:47
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 14 МЛН
Schoolboy - Часть 2
00:12
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 17 МЛН
ISSEI & yellow girl 💛
00:33
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 15 МЛН
MIAKA 1000 YA UTAWALA WA YESU - Pastor Myamba
1:23:44
Pastor Myamba
Рет қаралды 853
YESU NI MUNGU AJE?
46:11
Ukweli Ministries
Рет қаралды 8 М.
Mch Moses Magembe - DALILI ZA KURUDI KWA YESU MARA YA PILI | LIWALE 06
1:45:36
UKIRISTO NI IMANI NA SIO DINI. SO DINI NI NINI?
39:59
NABII ELIYA ILYAAS
Рет қаралды 22 М.
KANISA NA KURUDI KWA YESU (UNYAKUO)
1:13:39
Beit Abraham ( Nyumba ya Abraham)
Рет қаралды 16 М.
Алексей Щербаков разнес ВДВшников
00:47