Nakubali Kaka ebm... Tangu 2016,wewe n mentor wangu mpk kufungua akaunti ya KZbin.... One day yes!! nitawin green card lottery.... Hakuna kukata tamaa...👊
@jaydagreat4l3 ай бұрын
Mr. Makulilo unatoa taarifa muhimu, zinazo saidia Watu wanaopenda kwenda ughaibuni. KAZI NZURI ✌🏾
@alexandermanase89568 ай бұрын
Kaka EBM, ahsante sana Kwa elimu unayoitoa Kwa moyo,,,, naomba siku Moja utusadie kupata ufafanuzi wa currency za mareken, coins and notes kuanzia ndogo adi kubwa
@kisagentabirage66939 ай бұрын
Kaka hongera pia kwa kufungua ofisi yako DSM barikiwa sana na bwana mungu.
@user-bq3xm8wp2c5 ай бұрын
Nimecheka sana kaka
@herielmao39003 ай бұрын
Jamaa kanivunja mbavu zangu sana leo...et toka huko konde boy wewe😂😂😂😂
@JOHNJUMA-uo1fy9 ай бұрын
Nakuvulia kofia Mr EBM,wewe ni msema kweli 👍
@violetcyrillo19459 ай бұрын
Kaka nakukubali. Nimecheka kweli ATI kuongea English ukiwa unakula karanga😂 Unatupa vitu vizuri na educative
@kakamkuu53839 ай бұрын
Ndugu EBM binafsi nakushukuru kwa taarifa ili kama mimi mwenye ndoto ya kuja USA nijiandae kisaikolojia
@paulaugustino32429 ай бұрын
wnegine wanataka uwishi kama wao waliyopitia sio roho nzuri ya kuelewesha kama ulivyo(kamati ya roho mbaya) wanakupoteza na kelele nyingi bila muelekeo,asante kwa ujumbe huu
@ngoynzoagermain9 ай бұрын
Pamoja sana 5/5 🇨🇩🇨🇩
@ElikanaKiheka-fl4wu9 ай бұрын
Haya madini sio ya nchi hii 😂😂🤝🤝Kaka ebm sijawahi juta kukufahamu , all the best kaka .
@nathanontegi32229 ай бұрын
Kaka twafurahia mafundisho Yako kongole kwa kazi swafi kabisa.
@NdayisabaKarim9 ай бұрын
Nakufata vizuuuri Mheshimiwa Ernest Makulilo
@froogame19229 ай бұрын
Kaka ebm nakubali sana elimu unayotupatia juu ya maisha ya state.
@kisagentabirage66939 ай бұрын
Kaka EBM mungu akubariki sana kwa kutoa elimu ya huko USA na Canada
@NdayisabaKarim9 ай бұрын
Wallahi ayo unayosema nikweli Mheshimiwa Ernest Makulilo
@lexmondniyukuri86179 ай бұрын
Welcome kk leo naitiji uniambie vienye naweza ogea na ww kuhusu werk experience pls nitaongea na wew kupitia jia gani kk❤❤
@masaifinancialagent50899 ай бұрын
Naona napata elimu pasipo lipa ada kaka EBM
@Its_Goodluck9 ай бұрын
Hahhahahahha kaka Ebm kwahyo wabakie na bongo kisa matako😂😂😂😂😂
@NdayisabaKarim9 ай бұрын
Ubarikiwe kaaabisaaa
@Rohyteeno9 ай бұрын
Asante sana kwa elim yako
@michaelnyandindi84619 ай бұрын
Respect full madini
@DizzoclassicSoundstz9 ай бұрын
Kwa nini marekani 🇱🇷🇱🇷🇱🇷 wengi wameweka bedera kwenye nyumbani zao kaka
@stanleykiboko98569 ай бұрын
Ninakupata mkuu wa kazi Chef Stans @royal Caribbean cruise
@ArrivalTv9 ай бұрын
😂😂😂😂
@liberatusjackson50459 ай бұрын
Mr.content
@lexmondniyukuri86179 ай бұрын
Niko tayaliiiiiii🎉
@esterpeter82959 ай бұрын
Uko vizuri sana kaka
@NgelejaCharles-ng7bh9 ай бұрын
Asante Kwa story
@musicthrowbackworld9 ай бұрын
Asante kaka
@Tekash69-im9ks9 ай бұрын
Steaz umenikumbusha mbali sana kudadeki😂😂😂😂 tumeluka sana
@farhannahomary55059 ай бұрын
UKWELI.mtupu jmn ni shida
@lexmondniyukuri86179 ай бұрын
Nijibu Kk ebm naomba unijibu😢 nimekuandikia sana lakini haunijibu pls nataka uniasaidie kutengeneza werk experience nipatie maongezi 😢 i need it #werkexperience
@lexmondniyukuri86179 ай бұрын
Samahani mkuu off course niliandika vibaya mkuuu
@lexmondniyukuri86179 ай бұрын
Nimeandika sasahivi naheshima kk ebm so nimekuandikia gmail kama unaweza nitengenezea #werk #experience pls🙏
@Maishacanada6 ай бұрын
Na mm nshapigwa iyo sitosahau 😂2014
@kwizeramo-white60869 ай бұрын
Hi❤❤👌👌🇧🇮🇧🇮👌👋
@bonifacewanyonyi35559 ай бұрын
Poa pro
@JoseBoazy9 ай бұрын
❤
@DizzoclassicSoundstz9 ай бұрын
Mimi wife alikataa hata kupigwa picha tu nikajaza separate je itakuwaje nikishinda dv lottery kaka
@ZeeLaVyeti4.89 ай бұрын
Leo haujamtaja mzee MPILI 😂
@mjumbemwanda96669 ай бұрын
😂😂😂 inachekesha ila ni very informative
@Winnie-89 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 yani hapo hadi unazima taa ili umuelewe mtu 😂😂😂😂😂😂 Wallah
@goodnesshosea3039 ай бұрын
😅 unatutoa ushamba kweli kweli.
@enemtatuka58639 ай бұрын
Wajina banaaaa😅😅😅
@hamadimdumbu6 ай бұрын
Je visa ya student unaipataje..? Bro naomba unisaidie
@ME-kb8rk9 ай бұрын
Kwani ushamba umekuisha?😂😂😂😂😂😂 Mbona bado BONGE LA MSHAMBA TU!!!!!.....
@Scholah-uj7he9 ай бұрын
Hi bro am Phares Jackson from Mwandiga Kigoma so how can I gel LMAI
@laviewilondja81069 ай бұрын
26:34 39:30 39:38
@neemahappyeverafter61819 ай бұрын
Eti unachambua vinavyo kuhusu na visivyo kuhusu unaacha😆😆😆sijui wengine tutakutwa na lipi😅
@ms_teeonly9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@nathanontegi32229 ай бұрын
Swali Hawa wanakuwa homeless ni lipi walifanyalo kuwafikisha papo?
@MalJr019 ай бұрын
Tujue kabisa waliyatimbia wapi tuamue😂😂
@nathanontegi32229 ай бұрын
@@MalJr01 😁😁😁kweli kaka.
@svt39 ай бұрын
@@nathanontegi3222asilimia 95% ni waathirika wa ulevi na madawa za kulevya, wengi wao walisha pelekwa rehab mara kibao wanatoroka, wakisha toroka kila mara kulingana na haki za binadamu hauwezi wachukuwa na nguvu kama waalifu changa moto ni nyingi
@Scholah-uj7he9 ай бұрын
Also I am in need to be join in ur group WhatsApp
@oxwad38369 ай бұрын
😂😂😂😂 . 🇹🇿
@streetconatv100k9 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@hamadimdumbu6 ай бұрын
Bro naomba Email yako
@DizzoclassicSoundstz9 ай бұрын
Mimi wife alikataa hata kupigwa picha tu nikajaza separate je itakuwaje nikishinda dv lottery kaka