KIKAO KIFUPI CHA USTADHI DANIEL MWANKEMWA NA MZEE SIMBAULANGA WAKIUCHAMBUA USABATO MWALIMU NDACHA NA MASSAWE
Пікірлер: 29
@user-hi8le2vb7zАй бұрын
Ao wazee wabishi sijaona😊..ndacha anafuata😊....na muitafute intvw 1 ndacha na uyo daniel mwankemwa wakichuana wenyew kwa wenyewe kuhusu siku ya sabato..noma sana umo ndani
@GULIELMASАй бұрын
Nawafuatilia vizuri sana,. Kwa hakika hii ni kazi njema. Mungu awabaRiki.
@user-it7ih1it3mАй бұрын
Sabato iliumbwa kwa ajili ya mwanadamu lakini mwanadamu hakuumbwa kwa ajili ya sabato Mk 2:27:28
@jotafungo4622Ай бұрын
Dini zote miyeyusho tu
@stephanosospeter1709Ай бұрын
Naombeni mwojiane na ndacha kuhusu sabato. Ili mtu weke sawa wanafunzi wa YESU KRISTO
@SabihaRajabАй бұрын
Hamuna mpya wafuwasi wa wauwaji wa yesu
@sheikhAbdulwaqass-k2uАй бұрын
Tena Sisi wainje tuona uwongo wenu ya masomo ambaye wenu,
@sheikhAbdulwaqass-k2uАй бұрын
Nyinyi hamuna elimu
@Kuminamoja1995Ай бұрын
Wauni
@HajiAmbali-jq9drАй бұрын
Aaa we kafiri mwongo yani tukuulize hata kuchamba hujui
@user-mc2xd4eu2pАй бұрын
Sasa wakristo wana kipi cha kuulizwa waulizwe wanaojua ni wanachuoni sio nyie hata mungu wenu hamumjui
@user-mc2xd4eu2pАй бұрын
Hizo dini za kuanzisha na kina martin luther kina elen g white mwanamke wa kisabato halafu mnasema mna dini nyie watu mnachekesha sana
@user-mc2xd4eu2pАй бұрын
hakuna muislamu mnaweza kumpata kwa hoja zenu mfu labda muwalipe au wale wasiojua kitu kabisa lakini bibilia ina mgongano sana
@SuleimanmumaniOmar13 күн бұрын
ATI kipimo Cha waisilamu kujuwa kama wako sawa ama hawako sawa, wawaulize wakristo, hahahaha. Yani binadamu anaweza tafsiri maandiko anavotaka yeye bars kimemfaa!!. Kwanamna hii tofauti zitaendelea kwamaana kila mtu anauwezo wakutafsiri atakavyo. Mbona muwalaumu ndacha na wenzake wakati nyinyi mnafanya wanacho kifanya wao?
@user-qo2xd3hb8lАй бұрын
Mnakemea mapepo kwa jina la yesu lakini kulisha mikate mitano watu 10000 kwa jina la yesu amuwezi!
@ramadhanmahongole9293Ай бұрын
Wanaweza
@user-wj8ym6ew1h23 күн бұрын
@@ramadhanmahongole9293 yunaweza hatujaamua tu
@user-qo2xd3hb8lАй бұрын
Yesu aliondoka duniani akawacha wanafunzi si walimu
@ChamuyagoMelamateАй бұрын
Kwani akina nani waliambiwa wakawafanye mataifa kuwa wanafunzi wangu kama hao wanafunzi wa yesu hawawezi kuwa walimu
@OmariShuliАй бұрын
Daniel acha uongo. Hakuna aya ndani ya qurani inayowaagiza wakawaulize wakristo juu ya dini yao. Tuwaulize lipi wakati Mayahudi wameghadhibikiwa na wakristo wamepotea njia.
@mohdbest5859Ай бұрын
hivi wewe Daniel unadhani uongo ndio unajenga au unajidharaulisha hakuna Aya iliyosema waulizwe wakristo Tena tuwaulize kama eti kama Imani yetu iko sawa hujui lolote msikiti wa masjid al,aksa ndio uliojengwa ma suleiman
@daudimichael7338Ай бұрын
Acha uongo
@SabihaRajabАй бұрын
Wewe mpuuzi@@daudimichael7338
@denismugisha2Ай бұрын
Kwa hiyo mfalme nebkadneza hakuwahi kuvunja hilo hekalu? Kweli waislamu mnadanganywa
@seifserenge3340Ай бұрын
Nyinyi wakristo sio ahlu-lkitaab. Ahlu-lkitaab ni watu walioteremshiwa "Taurat" nao ni watu wa nabii Mussa, wengine ni walioteremshiwa "Injiil" nao ni wafuasi wa nabii Issa( huyo mnayemuita Yesu) nyinyi mnasoma biblia. Hii biblia kateremshiwa nabii yupi? Waliotakiwa kuulizwa ambao ni ahlu-lkitaabu sio nyinyi msipotoshe maandishi mkatafairi mnavotaka nyinyi wenyewe tupo
@sheikhAbdulwaqass-k2uАй бұрын
Tena Sisi wainje tuona uwongo wenu ya masomo ambaye wenu,
@seifserenge3340Ай бұрын
Nyinyi wakristo sio ahlu-lkitaab. Ahlu-lkitaab ni watu walioteremshiwa "Taurat" nao ni watu wa nabii Mussa, wengine ni walioteremshiwa "Injiil" nao ni wafuasi wa nabii Issa( huyo mnayemuita Yesu) nyinyi mnasoma biblia. Hii biblia kateremshiwa nabii yupi? Waliotakiwa kuulizwa ambao ni ahlu-lkitaabu sio nyinyi msipotoshe maandishi mkatafairi mnavotaka nyinyi wenyewe tupo
@OmariShuliАй бұрын
Daniel acha uongo. Hakuna aya ndani ya qurani inayowaagiza wakawaulize wakristo juu ya dini yao. Tuwaulize lipi wakati Mayahudi wameghadhibikiwa na wakristo wamepotea njia.