USTADHI SHAFII TULIKAA NA NAE NA KUPATA WASAA WA KUPEWA ELIMU KUHUSU MANABII WA KUWAFATA NA WA KUWAAMINI BILA KUPOTOKA WALA KUPOTOSHA
Пікірлер: 27
@CosmasMachungwa25 күн бұрын
Shafii mwenyezi mungu akuzidishie Elimu na fahamu
@joshuajohn853329 күн бұрын
Imani ya kweli jamani ni Yesu Kristo tu. Huo udanganyifu mtajuta milele
@khamishassan68Ай бұрын
Mashallah sheikh points
@msemakweli243Ай бұрын
Wamepita sawa je maneno ya mungu yanapita? Mitume wakipita hila maneno ya mungu hayapiti
@user-rk1cp5qs9d14 күн бұрын
Assalamualaikum warahmatullah wabarakatuh🙏🙏🙏🌹
@joshuajohn853329 күн бұрын
mungu wa kislamu amrshindwa kutetea watu wake gaza wanakufa kama sisimizi😭
@salisali373829 күн бұрын
Kwa hiyo ww hutakufa sababu haupo gaza
@joshuajohn853329 күн бұрын
@@salisali3738 Mimi sifi
@user-ij9te1ck9p23 күн бұрын
"Kullu nafsi dhaaikatul mauti wainnamaa tuwafauna ujuurakum yauma l-kiaama famanzuhzih Ani nnaari waudkhila ljannat fakad faaza wamalhaatu ldunia illaa mataul lghurur". Kila nafsi itaonja mauti na Kila Mmoja wenu ataulizwa kwa alichokifanya basi atakaepushwa na moto na kuingizwa peponi huyo amefuzu na sichochote haya maisha ya dunnia ispokuwa ni upumbavu tu.
@AbdulracheedАй бұрын
Short cat, ni kwamba unapomfata Muhammad basi utakuwa umefuata manabii wote
@AliAli-lu7orАй бұрын
Kusiana jambo lakuwafuata mitume iliyopita mitume s-a-w amesema kumwambia Omar R-A lau hakika Musa A-S yuhai namukamfuata yeye mukania😢cha Mimi mungalipotea
@amadeomarsaide502328 күн бұрын
Yeye alikua mtume kwa hiyo alipewa miujiza
@BURUNDIBАй бұрын
Hhhhhh uyo mtume wakuogea na majini 😅😅😅😅 achana na dini ya dunia
@bustedislam357829 күн бұрын
Mbona Muhammad alioa Aisha akiwa mtoto wa miaka sita. Kwanini nyinyi hamuowi watoto kama yeye?
@BekhaChambalyАй бұрын
Walimu kama hawa wamebaki wachache sana Alllah akuhifadhi shekh 💎💎
@mbalilax162Ай бұрын
Ni kama sisi wakristo tunavyomfuata Kristo Yesu, vivo hivyo waislamu wa kweli wanatakiwa kumfuata mtume tu na si vinginevyo, hapo nimekukubali sheikh.....!!!sema masheikh wote duniani hawatakubaliana na ww, maana hizo taratibu za majini zinafanywa na masheikh wakubwa sanaaaa na wanatumia quraan hiyo hiyo kuwanga.
@user13375Ай бұрын
Wakimfuata mtume hawatakwepa majini, maana ndo aliwasilimisha majini.
@Benjathekingofficialtv29 күн бұрын
Iyo ni kweli hamfanyi kila kitu ambacho manabii wengine walifanya mnamfuata muddy 😂 lakini Ibrahim hakumbaka mtoto wa miaka sita ila muddy kambaka mtoto wa miaka sita hii inakaaje kwenu au halali 😂 fanyeni basi 😂
@SIMULIZIZONE29 күн бұрын
@@Benjathekingofficialtv una andiko linalosema hivyo?? Kutoka kitabu chochote!!
@Benjathekingofficialtv29 күн бұрын
@@SIMULIZIZONE sasa cha kufanya wew uliza hao ambao unaowaoji kisha wabishe mtume wao alimbaka mtoto wa miaka 6 kisha Nije na andiko . Na ukimaliza unaimbie wew unawake wangap wa miaka 6
@user13375Ай бұрын
Kama unamfuata mtume basi na wewe uwe unawasomea quran majini,maana yeyea aliwasomea quran majini wakaamini.
@user-xw5tf6xi4z22 күн бұрын
Lakini hiyo Mtume kuwazomea majin qur an ilikua ni maalum kwa mtume sio kila mtu shekh hana hiyo nafasi
@Anza_tzАй бұрын
Swali langu kwako sheikh kati ya Ibrahim na Mohamed nani alikua wa kwanza kuishi mila ya uislam...na kama ibrahim ndyo alianza basi hata Mohamed na yeye amejifunza uislam kwa ibrahim
@chaco1466Ай бұрын
Point 🤜
@walterngowi5835Ай бұрын
Muhammad s.a.w ndio muislam wa kwanza kuamriwa na Allah asilimu wa pil ni make wke bi Hadija wa tatu ni Majin Ibrahim hakuwi kuwa Muislam hio ni Kwa mujibu wa Quran
@joshuajohn853329 күн бұрын
Huu Udanganyifu wenu Ibrahim alikua muislamu munautoa wapi? Hii dini ilianza mwaka,610 baada ya Kristo. Haingii akilini Ibrahim Isaka na Yakobo hawakuawa na dini yoyote Bali Ni kizazi Mungu alikichagua akaingia nao agano.