mambo vp dereva mkongwe🤛🤛 zanguvu kaka nakukubali sanaaa
@SideNgairo4 ай бұрын
Nakubali dereva mkwongwe
@mashimangoselemani60898 ай бұрын
Sisi wa Congo 🇨🇩 atunashuda, watu wanatutesa ni WaGANDA na Wa NYERWANDA, lakini soon or later we will fight back....
@زيتونتنزانيا8 ай бұрын
Tatizo nini kwanini msikae mkayamaliza
@kingkendrickk8 ай бұрын
Poleni sana
@ramadhaniayubu61037 ай бұрын
Haaahaaaaaaaaa nimecheka sasa Dereva uyu akikabiziwa basi kila MTU atatamani alipande ilo basi
@ExcitedBarbecue-iz7fi8 ай бұрын
Nakubari sana mkogwe
@binyussuf3 ай бұрын
Bamkongwe like 2pac sura ile kafanannae
@AyubuMwakabelele7 ай бұрын
Asante baba
@salimmohamed55597 ай бұрын
WEE MZEE USITUCHEZEE UMEKUWA MUONGO KILA SIKU UNATUPA UWONGO MPYA 😡😡😡🤬
@louisisd10908 ай бұрын
Nakukubali sanaaaaa
@AmisoMuyohira8 ай бұрын
Wekaa muziigoo karibuu bujumburaa burundii
@BensonMpomo7 ай бұрын
Sasa naona watu wanapinga kwamba congo hakuna vita kwani ni nani asiejua kwamba congo hakunaga amani
@paulkambaulaya45918 ай бұрын
Ayaaaaaah
@ibrahimselemani43068 ай бұрын
Uwongo wake unafanana na ukweli na maneno yake yana funzo kwa dereva
@lugendodaudi55108 ай бұрын
GBP chukua dereva huyu
@madalemagadula40028 ай бұрын
Mkoa gani upo
@mkoma498 ай бұрын
Pwani io kisemvule
@ruu65928 ай бұрын
mvue ngozi kama nguo wakuiba uyo😂😂😂😂😂
@IsmailIddy-u3r8 ай бұрын
Hahahaha wallah huyu ni mkongwe
@sawfiaoman92938 ай бұрын
😂😂❤❤
@mohamedhamissihamim70558 ай бұрын
Ningeomba nikutane na dereva mkongwe naamini atanisaidia maana nataka nianze kazi ya udereva
@waliisamma21294 ай бұрын
yy mwnyw anaitafta hio kaz ana kaz ya kupiga story tu 😁😁😁
@ChristopherKiiza-rt1uz8 ай бұрын
Huyo mzee muongo sana Mimi nipo congo hakuna ulinzi wowote
@antonymuoki8 ай бұрын
Hakuna Escort?
@badifundi60898 ай бұрын
Acha uongo bwana ww unapeleka gari zipi mm trip za Congo kuna escort ya polisi ata Kenya ukifika kwenda lamu kuna escort ya polisi na ni waumoja wa Africa mashariki so ongea kitu wajua
@Gerald-hq5km7 ай бұрын
Congo pabaya bhn munaongea nn nyinyi machafuko Kila siku