Mtumishi wa Mungu Asantee kwa maneno matamu ubarikiwe kokote uliko Na uzidi kueneza nno lake christo jesu Amen🙏🙏
@JophisterBosibori23 күн бұрын
Kupitia mahubiri yako maisha yangu yamebadilika.Barikiwa sana Pastor 🙏
@EstherMoraa-bp3jt15 күн бұрын
Napenda sana mahubiri yako pastor God bless and you family
@suzimachongole5043 жыл бұрын
Pastar napenda sana kufuatilia mahubiri yako, mungu aendelee kukwinua uzidi kutufundisha, na mungu akupe baraka tele nyumbani mwako
@rongaileakwara65553 жыл бұрын
God bless you man of God you are a teacher God bless you have a blessed night iam praying for you iam from baringo learning more about Bible thank you
@glorymsira85743 жыл бұрын
Amen Pastor, Naomba Sabato ikiwezekana mteketeze live na sisi huku tufanye kwa imani🙏
@Thyme938Ай бұрын
Nimepitia hii Leo, 29, usiku wa kuamkia JUMATANO, MAY 2024. NIMEBARIKIWA SANA. MUNGU ANISAIDIE MUNGU AKUBARIKI PR.
@perisbosibori85243 жыл бұрын
LORD JESUS, humble me so that i can be worthy before you. Thank you pastor and be blessed and your family.
@BwJnyamari3 жыл бұрын
From Kenya. Nimebarikiwa sana. God bless you pastor.
@chancekambale34982 жыл бұрын
Nazidi kubarikiwa
@dequtyboyboy4173 жыл бұрын
Nabarikiwa sana
@rosemutinda307622 күн бұрын
AMINA Amina 🙏🙏🙏
@JaluoOdera11 күн бұрын
Mchungaji MUNGU akubariki sana
@jennysabina869623 күн бұрын
Amen
@rosepeter89963 жыл бұрын
Asante kwa kutuoa mahubiri mazuri siku zote.barikiwa sana mchungaji.....asante kwa maombi pia.🙏
@conniemukami1273 жыл бұрын
Asante Mungu kwa mtumishi wako umempa hekima ya kutuelimisha sisi, Mungu tusaindie
@user-xg4mr4gs6j3 жыл бұрын
Nashukuru sana Mchungaji Mungu azidi kukutumia kupitia masomo yako nmejifunza mengi na pia nafunguka katika vifungo
@chalzjuniour34953 жыл бұрын
Ubarikiwee sanaa mtumishii mi nasubirii kwa hamu iyo series ya ufunuoo🙏🙏
@ezekielmpale14613 жыл бұрын
Kwel Mungu huinua watu wake kwa wakati wake.ubarikiwe Pastor
@elishankandajonathan42653 жыл бұрын
Pastors Mmbaga, nimekufuatilia sana kwa muda mrefu sasa, nikitoka kanisani naanza kufuatilia somo lako, naamini siyo wewe bali nguvu itokayo juu, sifa na utukufu zimrudie Mungu aliyekupa kipawa hicho, Kwa muda sasa nimekuaa sina imani na GC hasa baadhi ya viongozi wake, , GC inafahamu kabisa kuwa La Sierra university ni chuo cha kichungaji cha kanisa la wadventista wa sabato ukiingia kwa website yao kuna kikundi kinaitwa Sabbath Kinship ambao wanakubaliana na mambo ya ushoga Yaani LGBT (Lesbian, Gay Bisexual and transgender), Kuna kitu ulishawahi kukiongea kilinipa ukakasi sana nisingependa kukiweka hapa Lakini yote kwa yote kinashabiana na hicho
@officiallymawazo11593 жыл бұрын
Amen Mungu akubariki sana
@jemairisparick75413 жыл бұрын
akii nampenda yesu christo kwakunipenda sana 🙏🙏
@emmymwasalwiba19123 жыл бұрын
nabarikiwa sana
@herinimhina37773 жыл бұрын
Be blessed Pastor Mbaga
@officialkinghimself26373 жыл бұрын
Pastor mungu akubaliki na uweze kuisema kwer ya mungu pasipo kuogopa
@nehomemwaliasha91062 жыл бұрын
Mimi nahitaji msaada wa maombi kwasabu. Mtoto wangu mlevi sana jina lake ni lumumba
@estharlovely62022 жыл бұрын
Bwana YESU asifiwe Mchungaji
@enocksilungwepondajr97073 жыл бұрын
Am blessed .....pst
@Vel423 жыл бұрын
AMEN
@alfredmoturi74853 жыл бұрын
Amen be blessed
@gordfreysangawe75353 жыл бұрын
Mimi najifunza Sana mafundisho yako nikiwa baa na ninaishi maisha salama Sana kupitia maubir yako mchungaji
@calvinjoseph3 жыл бұрын
Mtumishi naomba unisaidie hapo kwenye kula nguruwe imekaaje?
@winifridamushi13413 жыл бұрын
Thank u
@japhetbarton82683 жыл бұрын
Kupata tiba kutoka kwa mganga wa kienyeji...dawa ya tumbo maslani... Inaweza chafua utakaso wa kikristo
@alfredmoturi74853 жыл бұрын
Barikiwa Boss
@user-hp7my3jt4t28 күн бұрын
Pastor Kijana wangu analewa anasema ataokoka akiwa Miaka 40 nisaidie kwa maombi jina lake ni Gilbert