"HUYU NDIYE MKUU WA USALAMA TANZANIA, WALA SIMFICHI" - JPM

  Рет қаралды 412,780

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

"HUYU NDIYE MKUU WA USALAMA TANZANIA, WALA SIMFICHI" - JPM
RAIS Dkt John Magufuli, leo Juni 11, amezindua jengo la makao makuu ya jeshi la zimamoto na uokoaji mkoani Dodoma..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Пікірлер: 109
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 2 жыл бұрын
Speech zenye hamasa ya kuskiliza even today zinamake sense..RIP Mkuu wetu
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 2 ай бұрын
Kumchagua mwanajeshi mangerez wapi na wapi..!
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 3 жыл бұрын
Daah 😥 Yani Kama bado siamin ila ndyo mipango ya Mungu 🙏
@myself4128
@myself4128 3 жыл бұрын
Aliyemuua Mzee wetu Mungu Atamahughulikia tu damu yake haitokwenda bure
@lukagulagekidehele5788
@lukagulagekidehele5788 3 жыл бұрын
Hongera mdogo wangu Athuman Diwani ulikuwa mtendaji mzuri msimamia haki ulipokuwa OCD Ifakara kabla hujaniacha ukaends Mbeya, Shinyanga, Mbeya tena, Mkurugenzi makosa ya jinai, katibu tawala TAKUKURU na leo juu juu juu zaidi
@daviesoscar1603
@daviesoscar1603 Жыл бұрын
Amina
@piusmsekwa8502
@piusmsekwa8502 3 жыл бұрын
Much respect to him
@sniper93999
@sniper93999 3 жыл бұрын
J.P.M rest in peace 😭😭😭😭
@sniper93999
@sniper93999 3 жыл бұрын
Inaumaaaa😭😭😭😭😭😭
@safarimallya4536
@safarimallya4536 4 жыл бұрын
Namuona Keisha
@margitmargitt5935
@margitmargitt5935 3 жыл бұрын
CONGRATULATIONS makufuri💪💪💪
@kuchukuchu4856
@kuchukuchu4856 4 жыл бұрын
Ongera sana Ris wetu wew ni muwazi sana kwakila kitu
@chanangwatv3011
@chanangwatv3011 3 жыл бұрын
Mh. haangalii vyeti bali utendaji kazi, kila la kheri BABA
@anthonyasahani5270
@anthonyasahani5270 4 жыл бұрын
Yes boss
@moriscollins4494
@moriscollins4494 4 жыл бұрын
Hii ni nchi yetu hivyo kila mtu ni mlinzi wa hii nchi yetu.....Mungu simama nasi
@beatricmmpantaleo3420
@beatricmmpantaleo3420 3 жыл бұрын
Mheshimiwa anaakili nyingi xn ambayo c ya shule tu bali ya kuzaliwa pia kwa sababu Mambo mengi anafanya kwa kutumia akili na sio nguvu......mungu akubariki daima
@heridadia9634
@heridadia9634 3 жыл бұрын
HOtuba zako ni mwangaza kwtu rip our hero
@hamisikalulumbe6857
@hamisikalulumbe6857 4 жыл бұрын
Mbona kama Keisha kwa mbali
@carteq
@carteq 4 жыл бұрын
Support!!!!
@SauliBasso
@SauliBasso 2 күн бұрын
Speech za maana kuna huyu iliyemuacha yupo jikoni anakaanga nyanya
@mwanahamisimanglepa418
@mwanahamisimanglepa418 2 жыл бұрын
Dady i miss you
@gastordominic410
@gastordominic410 4 жыл бұрын
Nimekuelewa mkuu kinachomata ni kuwa kichwani una kitu gani
@jamesasholiyo5012
@jamesasholiyo5012 3 жыл бұрын
Sawa Baba Mungu u pamoja na we
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 4 жыл бұрын
Safi sana.
@mussamwamoto8231
@mussamwamoto8231 4 жыл бұрын
Sioni sababu ya kutobadili mfumo,presidential terms to be 20years instead of 10years now, ni rahisi sana kupata bora RAIS ktk miaka 100 Lkn ni vigumu sana kupata RAIS bora ktk miaka 100.
@elizabethmabula101
@elizabethmabula101 4 жыл бұрын
Bora tu awe. Tumechoka kuona sura mpya bila maendeleo
@SampleKiller99
@SampleKiller99 4 жыл бұрын
It's not easy work! The issue of constitutional matters.
@mussamwamoto8231
@mussamwamoto8231 4 жыл бұрын
ni kama vile kubadilishana terms zisizo na maendeleo,sura mpya na kujaza majina tu,tunaitaji kiongozi bora na sio bora viongozi.constitution can be changed or amended, its possible.
@othmanalsherem7313
@othmanalsherem7313 4 жыл бұрын
Huyo Binadamu anaweza kufa muda wowote na akaja mtu mwingine asiyefaa akaitumia vibaya katiba, au ulitaka akifa rais huyu katiba irudishwe kama zaman?
@mussamwamoto8231
@mussamwamoto8231 4 жыл бұрын
PUTIN alikuwa waziri mwenye nguvu na mad wake ulipokwisha walikubadiliana kwa maslahi ya taifa awe rais mwenye madaraka ,na akapata urais na yupo hai,kifo hakiepukiki si kwa mzee wala kijana.
@georgekimboka6218
@georgekimboka6218 4 жыл бұрын
Mwenyenzi Mungu Mkuu Mtakatifu akubariki sana Mh Raisi Magufuli nakupenda sana
@felistamaembe4895
@felistamaembe4895 3 жыл бұрын
Tafuta namna ya kumaliza majeraha ya uchaguzi kupunguza mgawanyiko wa Watanzania. Hata ukipita mitaani Tanzani hatuko pamoja na hii ni hatari sana kwa usalama wa Taifa letu.
@adammlonganile7921
@adammlonganile7921 3 жыл бұрын
Sufuri
@kanukanute1514
@kanukanute1514 4 жыл бұрын
Tunakuunga mkono muheshimiwa ktk majukumu yako muheshimiwa diwani Hassumani
@abdulkadirizuberi6432
@abdulkadirizuberi6432 4 жыл бұрын
Tundu lissu
@hajjighanji5667
@hajjighanji5667 3 жыл бұрын
MFUATA UBELGIJI
@hamadatahir9307
@hamadatahir9307 4 жыл бұрын
Naipenda sana secta ya usalama wa Taifa. Muheshimiwa kama kuna uwezekano wa kupatiwa hiyo nafasi nami naiomba in shaa Allah.
@user-kg3cr9gg1h
@user-kg3cr9gg1h 3 ай бұрын
Uncleee
@jacoblaiser7634
@jacoblaiser7634 4 жыл бұрын
Mhe Rais dhamira njema uliyo nayo dhidi ya Tanzania, Mungu atakusaidia uikamilishe. Mungu akulinde Mhe Raisi.
@auntdorah9141
@auntdorah9141 3 жыл бұрын
Tunakupenda muheshimiwa..
@ommimg2467
@ommimg2467 4 жыл бұрын
MH. NAKUOMBA NIPATIE NAFASI YA USALAMA WA TAIFA DAH NAIPENDA SANA NA NALIPENDA SANA TAIFA LANGU TZ
@kuchimillionaire6683
@kuchimillionaire6683 3 жыл бұрын
Unajua utzkachofanyiwa pale utkapotoa siri?
@ramadhanmatinya7053
@ramadhanmatinya7053 3 жыл бұрын
@@kuchimillionaire6683 hahhahhahhaaha
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 Жыл бұрын
​@@kuchimillionaire6683 😅😅mm nahuu umbea wangu dooooo
@abuumfaki8445
@abuumfaki8445 3 жыл бұрын
Wazii iyoo
@chachamwita6535
@chachamwita6535 4 жыл бұрын
Apa kazi ipo
@Visionmaker70
@Visionmaker70 3 жыл бұрын
Raisi mchapa kazi nampenda sana Na ukali wake pia kazi yake
@morandraymond8602
@morandraymond8602 4 жыл бұрын
Nimependa nataka tuchape kazi kama wachina umetisha ila zawadi peke kwako ni kuongezewa muda tu na sinyingine
@tumamapishi2184
@tumamapishi2184 4 жыл бұрын
Nimependa mkuu wa tiss ana heshma kubwa duuu sijawahi kuona
@sharifunyengedi6322
@sharifunyengedi6322 4 жыл бұрын
Watanzania hakuna zawadi au fadhila tunayoweza kukuliZaidi Ya Kukuongezea Muda Tu Wa Kukaa Madarakani. Mungu atusaidie tulifanikishe hili
@rambomachimu4286
@rambomachimu4286 3 жыл бұрын
Ongera.mkuu.wausalama.chpakazi
@makusanyanungnungu1123
@makusanyanungnungu1123 3 жыл бұрын
Kazi inaendelea
@ramadhanisuru1822
@ramadhanisuru1822 4 жыл бұрын
Safi raisi wetu
@valentinemtei2927
@valentinemtei2927 4 жыл бұрын
Je
@asteriambwei3349
@asteriambwei3349 3 жыл бұрын
Ndiyo wasiojulikana
@obugobaraka141
@obugobaraka141 4 жыл бұрын
Iko vzri but bashindwa kuelewa kwani ili uweze kusimamia kitengo nyeti ni kazima uwe umepitia jeshi .kwaio ajira yoyete ya usimamizi lazima uwe unepitia jeshi!?kwaio sisi ambao hatuna uwwzo Wa kufika huko na tumesoma anagalau hizo kazi hazituusu tutabaki wasafisha viatu huku chini ,kila MTU anaweza kusimamia kitengo chochote aijalishi wew ni haskari cha muhimu ni uhaminifu tu,au sio wote nchi ni yetu
@sudaissoud3670
@sudaissoud3670 3 жыл бұрын
Mkuu wa mambo yale tuliofanyiwa Znz. .
@billgussy6099
@billgussy6099 3 жыл бұрын
Kama hizo ndo sifa za wana usalama kwamba kila mtu anaweza yaan mradi tu ajue mguu pande mguu sawa basi ndo maana uhuni umeongezeka kwenye vyombo vyetu.
@wilsonwafulachebokati4933
@wilsonwafulachebokati4933 3 жыл бұрын
Keisha wacha nyege
@jacoblaiser7634
@jacoblaiser7634 3 жыл бұрын
JPM nitaendelea kukukubali tu hata ukistaafu. Dhamira yako njema kwa TZ na uadilifu katika utendaji kazi vitakufanya uheshimike zaidi hata ukistaafu utaacha historia ambayo haitakuwa rahisi kuja kuvunjwa na mtu yeyote. Shkamoo Mhe Dr JPM, Raisi wangu, Raisi wa Watanzania na Amirijeshi Mkuu wa majeshi yetu yote TZ.
@upendohalisi80
@upendohalisi80 4 жыл бұрын
Nami naomba ukuu usaidizi wa Tis jamani, mkuu unapitia comment, zetu vijana.
@ramadhanmatinya7053
@ramadhanmatinya7053 3 жыл бұрын
Haahaahah safari ni ndefu kdg mpaka kufika hapo
@jumannemlacha7318
@jumannemlacha7318 4 жыл бұрын
Taifa letu tulijenge,twende mbele Tanzania.
@aroonmuchunguzi3442
@aroonmuchunguzi3442 4 жыл бұрын
Huyu jamaa wa usalama mbona hapigi salute
@allymuhammad325
@allymuhammad325 4 жыл бұрын
Kavaa kiraia, hapigi saluti yakuinua mkono, anakakamaa tu
@adelatusiadolph8911
@adelatusiadolph8911 4 жыл бұрын
Hana uniform ya jeshi.
@emmanuelchizenga1572
@emmanuelchizenga1572 4 жыл бұрын
Huyo ni kitu ingine kabisa
@faridamikindo4524
@faridamikindo4524 3 жыл бұрын
Uyu anaetafsiri ujinga apo ni nani ??anaharibu maneno yanayo ongea rais. Msitafsiri msochokijua please 🙏🙏
@issabilali3539
@issabilali3539 Жыл бұрын
Binadamu ni vìumbe wa ajabu sana, huyo Kikwete kapata nini kumuuwa Magufuli?
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 3 жыл бұрын
Unaweka jamaa zako ili akulinde tu ndio maana unawaweka kila pahala
@edenbaraka7533
@edenbaraka7533 3 жыл бұрын
Msitafishe kama kasha kuwa mzee
@kayealey1097
@kayealey1097 4 жыл бұрын
0:13 03:23 0:33
@Amneamne-qi2du
@Amneamne-qi2du 4 жыл бұрын
Safi sana Mhe Rais wetu
@omaryhaji1664
@omaryhaji1664 3 жыл бұрын
Nimekusoma boss
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 Жыл бұрын
Nyota hii tutaitafuta wameipoteza majasusi ili wale Bata,eemungu tusaidie
@jamesmapenzi1319
@jamesmapenzi1319 3 жыл бұрын
Nani anatafsiri huu utopolo? Lugha haieleweki
@scholafelix8739
@scholafelix8739 3 жыл бұрын
Magufuli anatupenda watanzania anaviongozi wazulisana ilatu ukibolonga hunachako sisi wanyonge tunampenda kwasababu msema kweli laisi tunakupenda sana by SCOLA 0756538430
@daviesoscar1603
@daviesoscar1603 Жыл бұрын
Hotuba inashawishi kusikiliza tena na tena
@MwalimuPeter
@MwalimuPeter 5 ай бұрын
Mmhhhhh
@valeriananziku3561
@valeriananziku3561 4 жыл бұрын
Wengine waletwe kwenye kilimo watu wavivu kulima
@bashirsalimin4948
@bashirsalimin4948 4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@johaally669
@johaally669 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@aishajuma7739
@aishajuma7739 3 жыл бұрын
😂😂
@babylonyNgwembe
@babylonyNgwembe 4 жыл бұрын
Unatakiwa utumie akili sana kumwelewa mh magufuli haswa anapo mtambulisha mkuu wa usalama Tz..it means at all GVT instutions or directory it is available to work with TIS without identify hm/her so you should be carefully
@ramadhanmatinya7053
@ramadhanmatinya7053 3 жыл бұрын
Hiyo system iko tangu zaman sana ndugu tena yeye kaharibu kdg kumtambulisha yaan ukirudi miaka 10 nyuma ilikuwa ngumu sana kumjua kwa sura mkuu wa usalama
@adammwita3150
@adammwita3150 4 жыл бұрын
👍
@kipigapasilisungu2581
@kipigapasilisungu2581 4 жыл бұрын
N
@goalpost6753
@goalpost6753 3 жыл бұрын
Police aende JW
@allexchriss5425
@allexchriss5425 4 жыл бұрын
Mkuu wa usalama wa taifa nimemuona naanza kupita mbali
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 4 жыл бұрын
Basis Wewe kuna kitu moyoni mwako ,
@karimmkejina980
@karimmkejina980 4 жыл бұрын
una majanga nn?
@nuruelymollel707
@nuruelymollel707 4 жыл бұрын
Kumbe huyo ndio diwani,
@geraldgodsontv7982
@geraldgodsontv7982 4 жыл бұрын
Kigogo huwa anamchambua sana😂😂
@mrishojumaamrisho3212
@mrishojumaamrisho3212 4 жыл бұрын
Yan apo tyu kashaangalia wa2 wote fasta ni hatareee
@shaibukaskas9594
@shaibukaskas9594 4 жыл бұрын
Pongez nyingi kwko mh rais ww ni jembe....
@margitmargitt5935
@margitmargitt5935 3 жыл бұрын
Ati ni jembe😃😃😃
@issaali5434
@issaali5434 3 жыл бұрын
Kuficha ni hapa Tanzania tu,nchi zilizo na democrasia na transparency, viongozi wa usalama wa nchi wote wanatambilka wazi kabisa
@ramadhanmatinya7053
@ramadhanmatinya7053 3 жыл бұрын
Kasema hao viongozi wa juu wa usalama huwa hawafichwi jaman khaaa
@abelsimon9994
@abelsimon9994 3 жыл бұрын
Sifa mmmmh haya jmn
@ibrahimrajabu8722
@ibrahimrajabu8722 4 жыл бұрын
Hahaha
@frankassey5971
@frankassey5971 4 жыл бұрын
mbona kikwete akikuwa hasimamishi watu ivo yaan kama imekuwa headmaster na mwanafunz sasa wababa na familia zao
@martinkipenya4592
@martinkipenya4592 4 жыл бұрын
Kila mtu na utawala wake
@rashidyshabanishewedy145
@rashidyshabanishewedy145 4 жыл бұрын
@@martinkipenya4592 Ni kweli kila zama na kitabu chake japo kuna misingi yake ktk hiyo kauli... Watu wa usalama ktk Nchi hii sio wa kuwatajataja mbele ya hadhala za watu. Hata ktk miiko ya kazi zao haziruhusiwi...
@saudatendega8250
@saudatendega8250 4 жыл бұрын
Hahahahaha nimecheka kwa sauti yani ndio hivyo rais tumempata
@beberurafiki3534
@beberurafiki3534 3 жыл бұрын
Ni bora hao unaowatambulisha wao ndio wangekuwa marais lakini c ww. kisa kukariri majina ya bara bara ndio ukafika hapo, tz bn!
Captain Aliyetoroka na NDEGE Kenya Apewa Mamilioni na JPM!
5:25
Global TV Online
Рет қаралды 503 М.
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 99 МЛН
Glow Stick Secret Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 18 МЛН
Magic or …? 😱 reveal video on profile 🫢
00:14
Andrey Grechka
Рет қаралды 56 МЛН
Fahamu vipengele vyenye ukakasi Sheria ya Usalama wa Taifa
28:05
MAGUFULI AMVAA MKURUGENZI - "TAFUTA MWANAMKE UOE, UNA TATIZO GANI?"
4:20
USIPIME: ULINZI MKALI WA MAGUFULI AKIONDOKA KWENYE MKUTANO KAGERA
4:23
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 618 М.
Mpambe wa Rais alivyowasilisha bahasha ya siri bungeni
9:39
Daily News Digital
Рет қаралды 789 М.
RAIS MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSTUKIZA GEREZA LA UKONGA  mp4
34:13
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 99 МЛН