WAZIRI MKUU MAJALIWA AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI na MWEKA HAZINA, WAJICHANGANYA FEDHA za SERIKALI

  Рет қаралды 39,685

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

WAZIRI MKUU MAJALIWA AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI na MWEKA HAZINA, WAJICHANGANYA FEDHA za SERIKALI
amemuagiza Kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Kigoma, Steven Mafiga afanye haraka kuwachunguza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza, Bi. Zainab Mbunda na Mweka Hazina wa Wilaya hiyo, Bw. Majjid Mabanga ili kubaini ni kwa nini miradi haiendi wakati fedha zilishatolewa kitambo.
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 122
@globaltv_online
@globaltv_online Жыл бұрын
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
@franknjau5578
@franknjau5578 Жыл бұрын
Mungu azidi kukutetea mh. PM. Watanzania tunataka utendaji wa namna hii.
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Жыл бұрын
Tume miss hii kitu yaani waziri mkuu nakupenda saaaana 2025 ndo Rais wetu
@geraldmakalala6091
@geraldmakalala6091 Жыл бұрын
Hapa na mkumbuka Hayati Magufuli
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Жыл бұрын
Sidhani
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 Жыл бұрын
Hawawezi kump nchi mafisadi wale,wanajua wakimpa huyu ni zaidi ya magufuli
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Жыл бұрын
@@magrethmbangama1199 eti ehe tuingie kwenhe maombi
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 Жыл бұрын
Kama Kuna mtu ninayempenda ni mwl majaliwa nakupenda bure
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 Жыл бұрын
Mbona wezi CAG hawakufukuzwa makosa ni yenu huko juu mnawaonea tu hawa wa chini hamna lolote mtoke kwenye ofisi za umma wote hamfai MACCM
@Muganyizi
@Muganyizi Жыл бұрын
Mbwa wew
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 Жыл бұрын
@@Muganyizi bora niwe mbwa kwa kusema ukweli kuliko kuwa binadamu asiejali utu na Watanzania na tabia ya mbwa kama ukivyoniita ni kulinda sasa wacha nilinde na ni kulinde hata wewe watanzania mnadanganyika haraka mno ujinga wetu ndio mtaji wao, mbwa nawapenda na rafiki kwa binadamu kwangu sio tusi ni cheo umenipa
@yonaalmasy8158
@yonaalmasy8158 Жыл бұрын
Mungu akubaliki waziri mkuuu mm ni chadema lakin unanivutia utendaji wako mkuu
@mukhtaribura6159
@mukhtaribura6159 Жыл бұрын
Wewe waziri mkuu acha kutumbua wadogo tumbua na vigogo sio wadogo tumbuwa wote wanaiba mali ya umma..kama vile ,mkamba,mchemba,na wengineo tumbua
@samsonkihwele6544
@samsonkihwele6544 Жыл бұрын
Kazi ya raisi sio waziri mkuu kutumbua
@thomastemu3332
@thomastemu3332 Жыл бұрын
Makamba ndo Papa kabisa hafai
@mtundipaul5748
@mtundipaul5748 2 ай бұрын
Ondoka now hao waziri wetu m mungu akupe afya njema tu
@michaelkimweri1074
@michaelkimweri1074 Жыл бұрын
Pole waziri mkuu tunakukubali,sana
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 Жыл бұрын
Jamani viongoz ifike sasa mahali muwe mnafukuza aina ya wezi na wazembe , hawa, tumechoka. Fukuzeni , ajirini wengine
@mohammedalghannami3150
@mohammedalghannami3150 Жыл бұрын
Kassim Majaaliwa, Rais Mzalendo ajae wa Tanzania
@abuumuhammad7133
@abuumuhammad7133 Жыл бұрын
Lakini tambueni hiyo ndio kazi ya Waziri Mkuu Mtendaji Mkuu wa Serekali hivyo yeye ndio anatakiwa mara kwa mara afwatilie hayo sio kazi ya Rais
@mohammedalghannami3150
@mohammedalghannami3150 Жыл бұрын
@@abuumuhammad7133 kweli kwahakika wote wanamuakilisha Rais ila Majaliwa anaonekana ni mtii mzuri zaidi Kwa Mama, na ana uchungu na nchi yetu
@AMANIASG-v3e
@AMANIASG-v3e Жыл бұрын
Waziri mkuu hawezi kuibua changamot za Kila wizara na mambo yake lazim wasaidiz walioaminiw wawe watendandaji,,, Kam msingi ukiharibika mweny haki atafanya nn
@michaelkimweri1074
@michaelkimweri1074 Жыл бұрын
Mama amekataa mabango,yalikua yanafichua Siri hizi,sasa waziri wetu mkuu anapata shida Bure,pole waziri wetu mkuu.
@bakarirajabu3783
@bakarirajabu3783 Жыл бұрын
MH WILAYA YETU YA UVINZA HATUNA VIONGOZI MZEE VIONGOZI HOTE NI WEZI MZEE WANAKUCHOSHA TU HAO SWENKA HOTE NDANI
@ankoanko-zz7it
@ankoanko-zz7it Жыл бұрын
Jionee mwenyewe mkuu
@IshipalemyPasko
@IshipalemyPasko 7 ай бұрын
Yaaani😭😭😭😭😭
@AbdilahiMriri
@AbdilahiMriri Ай бұрын
Vinginevyo mkitoka hapo tu ni basi hata takukuru anakupoteza mhe PM.
@mustaphersamson6174
@mustaphersamson6174 Жыл бұрын
DUHHHHHHHHHH, MBONA KIZUNGUMKUTI??????,
@AbdilahiMriri
@AbdilahiMriri Ай бұрын
Hapo ni kusema kuwa shida ni ufuatiliaji ambapo DC na RC hawana jukumu la kulazimika kufuatilia.
@KhamisHaji-pw4jo
@KhamisHaji-pw4jo Жыл бұрын
Good 👍👍👍👍
@KhamisHaji-pw4jo
@KhamisHaji-pw4jo Жыл бұрын
Good
@AbdilahiMriri
@AbdilahiMriri Ай бұрын
Kama hela ziko unapiga simu kwa meneja wa Benki tu unapata ukweli kwa dakika moja.
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 Жыл бұрын
Mtu anazembea hapa, na kuiba hapa mnamuhamisha idara, tutafika kweli, ??? Watu wanapewa mihela hawajui hata matumiz,
@PLAYPROGAMING568K
@PLAYPROGAMING568K Жыл бұрын
Ni kweli ukihamisha hamisha ugonjwa uko palepale ni kuondoa ondoa haswa wa chini ondoa mpaka messenger anajifanya ndiyo anaulizwa ati hii inafanyanini ?na au huyo hapa panahudumiwa na nani ?au mgambo ni anampa maelezo yule aliyeletwa yaani kutoka chini mpaka juu ni muozo tafuta waliyosoma wako wengi University of Dar es salaam wanatafuta kazi ,hawa imelemaa hawafuatili na wala hawasomi karasi yoyote wanayoletewa
@zuberigangisa2075
@zuberigangisa2075 Жыл бұрын
Kazi zao hao ni kutengeneza migogoro tu kwenye halimashauri zetu
@BIGSTONE-lb9po
@BIGSTONE-lb9po Жыл бұрын
Kwambali namuhona JPM.NGOMBEYA URAHISI BABA CASSIM MAJALIWA.
@abdulpagali7476
@abdulpagali7476 Ай бұрын
Staff incomprtencies😂. Ache kuteua makada "oyaa oyaa. Punguzeni utukufu wa Chama. Project Management ni taaluma adimu ambayo watumishi wengi Serikalini hawanayo. Why don't the Government outsource specialists in project work for better results. You need project staff with pne extra degree to make things move smoothly. Majaliwa utahangaika sana na hizi local governments zako. Almost, zote ziko hivi hivi. Hii unayopigia kelele ni sample tu. Pole Mheshimiwa😢!
@leylasaid9641
@leylasaid9641 Жыл бұрын
MPK WAFUATWETUATWE HAWAJITUMI-WATUMBULIWE WAPO WASOMI WENGI HAWANA KAZI.HAWAONI AIBU MPK WAZIRI MKUU AFUATILIE
@nenolauzima5281
@nenolauzima5281 Жыл бұрын
Haya mambo tumeyamiss sana...
@zainul-hassanhussein
@zainul-hassanhussein Жыл бұрын
Wanamuhuju Our President Her Excellency SAMIA SULUHU HASSAN.Accountability
@jasiriasili3694
@jasiriasili3694 Жыл бұрын
Njoo na ilemela mwishimiwwa waziri mkuu huyu mkurigenzi kalia pesa ya maji😊
@DONALDMTOWE-u9g
@DONALDMTOWE-u9g Жыл бұрын
Naomba namba yako muheshimiwa.this is voice of Gog.
@idyjumanne9796
@idyjumanne9796 Жыл бұрын
Wezi ao wamekula Ela zetu za walipa Kodi na tozo zetu ss Kodi nyngi walaji wachache
@directorabiero340
@directorabiero340 2 ай бұрын
Upo kwenye hako
@naturelle1097
@naturelle1097 Жыл бұрын
Watu wazima hawa kweli???? Yatumbulie mbali!!! Kisha wanunuliwe ma probox na sio V8. Hata kujieleza hawezi itabidi utembeze bakora this is too much!!
@FredMwamgogwa-td6ni
@FredMwamgogwa-td6ni Жыл бұрын
Daaaaah inasikitisha sana
@mukhtaribura6159
@mukhtaribura6159 Жыл бұрын
Tumbua pia mawaziri wako mpka sasa watanzania awapati umeme na maji
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 Жыл бұрын
Timua viongozi wote wanaohusika na umeme
@KARUTIFIONA
@KARUTIFIONA Ай бұрын
Ndioo raising mtarajiwa
@gloriamichael7935
@gloriamichael7935 Жыл бұрын
Mhuuuuuuuu pole ded
@Sharefa-v6n
@Sharefa-v6n Жыл бұрын
Kwanin wakipewa hela wanakaa nazo kwa muda wote huo, wanatakiwa wakipewa hela wapangiwe mda wakuitumia na pia kila kitu kiende kwa hesabu
@KARUTIFIONA
@KARUTIFIONA Ай бұрын
Ndio rais mtarajiwa
@mukhtaribura6159
@mukhtaribura6159 Жыл бұрын
Hao wanafundishwa na akina makamba ndio walimu wa kula rushwa..
@thomastemu3332
@thomastemu3332 Жыл бұрын
Ndiyoooo 😢 kabisa
@AllyMaulid-l6s
@AllyMaulid-l6s 11 ай бұрын
Hapa kazi tu fanya kazi baba
@CharlesLutandula-y3c
@CharlesLutandula-y3c 2 ай бұрын
Wezi hao chunguza huwezijiamlia fungu lakitukinginenakupeleka kwingine Tanzania ni shidaaaaaaaa
@deoprosper556
@deoprosper556 Жыл бұрын
Hayo mabilioni tajwa mpk kichwa chaniuma
@HashimYahaya-hd3zm
@HashimYahaya-hd3zm 2 ай бұрын
Naomba niurize kwamagufuri wizi mbona ukuwa ivi shida awa watumishi wana mashindano yakupata mari mara majumba mazuri mara magari mara magesti yani nitatizo nyerere wara hakujirimbikizia mari
@zuberigangisa2075
@zuberigangisa2075 Жыл бұрын
Hayo matatizo ya halimashauli hata Namtumbo yanasumbua sana kiongozi
@ZakiaSaid-d3f
@ZakiaSaid-d3f 4 ай бұрын
Waziri Mkuu maeneo yote yanengwe
@mweyaiddy
@mweyaiddy 7 ай бұрын
Mzee wangu nakuelewa but kwa xx huna nguvu ya kuongea km ulivyo kua nyuma 3yrs
@karimmunis8302
@karimmunis8302 Жыл бұрын
Tatizo ni huyo bibi hapo juu ndo anaturudisha nyuma mambo hayaendi ,na bi mkuubwq yupi tu kupaka hina
@hamadmakame6040
@hamadmakame6040 Жыл бұрын
HUYU NDIO TUNAE MUHITAJI SAASA
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Жыл бұрын
Mkurugenzi wa hovyooo saana ni kilaza kabisaa
@gloriamichael7935
@gloriamichael7935 Жыл бұрын
Mhuuuuuuuu nanyi mnabeba hata ambao hawayajui mambo ya halmashauri hayo sasa
@IshipalemyPasko
@IshipalemyPasko 7 ай бұрын
Duuu na leo kimeumana tena😂😂
@eliannko
@eliannko Жыл бұрын
Cheki lile jizi lililo Vaa shati la kijani
@barikimohammed
@barikimohammed Жыл бұрын
Naukiwakuta bar hao hatukai nao maboss wakula pesa zetu
@thomaskwibonelwa9240
@thomaskwibonelwa9240 Жыл бұрын
Kupeana vyeo kwa misingi ya udini italiangamiza taifa. Mkurugenzi anaonekana kilaza.
@abi-onlinetv4181
@abi-onlinetv4181 Жыл бұрын
We ndo kilaza tena Sana. Hapo kuna dalili gani ya udini au umeropoka tu. Makalio yako.
@thomaskwibonelwa9240
@thomaskwibonelwa9240 Жыл бұрын
@@abi-onlinetv4181 vaa miwani uone kilaza alie teuliwa.
@Hussein-qq2uy
@Hussein-qq2uy Жыл бұрын
Wewe Thomas ndio mdini tena hufai kabisa Acha chuki zako za kijinga na za ajabu ajabu,,,,kwa taarifa yako huo ushungi aliovaa mkurugenzi ndio ustaarabu na ndio heshima ya mwanamke ,,,,,,,,mdini mkubwa weee
@ramadhanisalum7476
@ramadhanisalum7476 Жыл бұрын
manawaonwa bwana nyinyi mbona mnakwiba alafu manonea hao CCM HAITUFAI BWANA HATUATAKI TENA
@NsobiLema-wq9vh
@NsobiLema-wq9vh Жыл бұрын
Mweshimiwa ungekuja hata mbarali tunateseka umeme unakatwa mpka jumapili
@CharlesLutandula-y3c
@CharlesLutandula-y3c 2 ай бұрын
Bb hapo hakuna fedha
@CharlesLutandula-y3c
@CharlesLutandula-y3c 2 ай бұрын
Wamekulaaaaaaaaaaaaaaa
@zachariathomas9980
@zachariathomas9980 Жыл бұрын
Hivi huyo mzee alikuwa amezuiliwa au
@zuberigangisa2075
@zuberigangisa2075 Жыл бұрын
Wakurugenzi hao vibaka kiongozi
@IshipalemyPasko
@IshipalemyPasko 7 ай бұрын
Subiri. Subiri. Ngoooja. Taraatibu😂😂😂😂
@michaelkimweri1074
@michaelkimweri1074 Жыл бұрын
Magu alieanyoosha Hawa,Sasa wamerudi kwa Kasi kwaajili ya kulindana,kilamoja anakula urefu WA kambayake .....
@WilbertDede-qp6gs
@WilbertDede-qp6gs Жыл бұрын
Wasimamizi ngazi ya wilaya na mkoa mbona hawaajibishwi
@RehaniKharidi-st4oe
@RehaniKharidi-st4oe Жыл бұрын
Raisi ajae hataari Sana mama anamajembe
@eliannko
@eliannko Жыл бұрын
Majizi wanazozana mtu ukisha kuwa ccm ni mwizi
@CharlesLutandula-y3c
@CharlesLutandula-y3c 2 ай бұрын
Waziri mkuu haondio wasomi aliwafukuza lasaba lasabawalikuwanaweledi sana nawaaminifu kuliko hao wasomi sasakikowapi nchihiii nishidaaaaaaa
@martinbarua9962
@martinbarua9962 11 ай бұрын
Namkubali sana kassim majaliwa😂😂
@denisyohana8104
@denisyohana8104 Жыл бұрын
naombeni basi na mimi nafasi nijaribu ,mbona naweza simamia vizuri sana ..
@thomastemu3332
@thomastemu3332 Жыл бұрын
Hahaaa hela tamu.unaweza kujisahau
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Жыл бұрын
Watumishi huwa wanahamishwa saaana huenda wote hapo wameyakuta hayo mauza uza
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Жыл бұрын
Ingekuwa enzk za JPM WOTE MNGEFUKUZWA wananchi wanacheka wanajua kinachoendelea
@CharlesLutandula-y3c
@CharlesLutandula-y3c 2 ай бұрын
Hazipoooooooo hizofeha
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Жыл бұрын
Nchi hii inapigwa kila kona, sababu ya viongozi wazembe na dhaifu. Mjiuzulu tu wote, wachumia matumbo tupu
@mbmbwana
@mbmbwana Жыл бұрын
PM
@cleophacephelician6739
@cleophacephelician6739 Жыл бұрын
HIYO HAIKIBALIKI, RAIS WETU ANATAFUTA PESA SOTE NI MASHAHIDI, ALAFU WATU WACHACHE WALIOPEWA DHAMANA WANASHINDWA KUTEKELEZA MIRADI NA WANANCHI WANAENDELEA KUPATA SHIDA, TUNAOMBA HATA KAMA PESA HAWAJAILA, KWA KOSA TU LA KUCHELEWWSHA MIRADI, WAWAJIBISHWE!?
@kagoyemwambal9061
@kagoyemwambal9061 Жыл бұрын
Wezi hao peleka jela tumechoka
@davidchihimba9489
@davidchihimba9489 3 ай бұрын
Mwananchi anawaangalia tu mnavobwabwaja hapo ipo siku yenu
@fredyfile623
@fredyfile623 Жыл бұрын
Sishangai bcz hayo ndo madhara ya kupita bila kupingwa wangechaguliwa kwa haki wangesimamia hayo vizuri lakini wooote ni ccm hivyo wamefumbwa macho.
@elihurumanada4874
@elihurumanada4874 Жыл бұрын
Fukuza mkuu wa mkoa Kigoma na mkuu wa wilaya kwasababu ni aibu kubwa kwa waziri mkuu kuibia uozo
@thomastemu3332
@thomastemu3332 Жыл бұрын
Hawafai watumbuliwe hao
@MRPRESIDENT-w4l
@MRPRESIDENT-w4l Жыл бұрын
MKURUGENZI Mpumbavu saana huyu. Tumbua Wote
@Jandugu
@Jandugu Жыл бұрын
CCM naifananisha na nyumba yenye panya waswahili alisema paka akitoka panya hutawala paka wa ccm alikuwa Magufuli kwa hiyo mapanya wanachezea mishahara yao na pesa za miradi ya maendeleo. Pia sio kila anae lia eti ana majonzi Wala sio kila anaepiga kelele amekasirika wengine ni furaha na mzaha . sijawahi kuona sabuni na uchafu vikakaa pamoja . Kapigiwa pasi fupi fupi kashindwa kukaba muweka hazina kasema pesa hakuna uchunguzi wa nini paka akitoka panya hutawala.
@zainabwage4658
@zainabwage4658 Жыл бұрын
Mpk apite wazir mkuu ndipo aone ayo duh
@saudmohammed3390
@saudmohammed3390 Жыл бұрын
Tatizo wizi mtupu hakuna mawazo ya kujenga watu wanataka kuuza
@stephanokanyika6321
@stephanokanyika6321 Жыл бұрын
LABDA NDIO MSIMAMO WA SERIKALI KWA NINI WASITUMBULIWE WANASIMAMISHWA TU
@KhamisBoss
@KhamisBoss 2 ай бұрын
Shida wanaoiba pesa nying mnawacha
@justerissaya9165
@justerissaya9165 2 ай бұрын
Tatizo fixzd account mheshmiwa na tamko
@sembuakimbosho3319
@sembuakimbosho3319 Жыл бұрын
Kimenuka
@eleutermhumba347
@eleutermhumba347 Жыл бұрын
Viongozi acheni kulalamika ,chukueni hatua acheni bwebwe.
@shabanipanya1033
@shabanipanya1033 Жыл бұрын
Sasa hii itasaidia nini wakati nchi haina raisi ni kelele tu za bure
@aediayumgo8546
@aediayumgo8546 Жыл бұрын
Wezi Wezi Wezi Wezi mjomba kassimu watakuloga hao
@naturelle1097
@naturelle1097 Жыл бұрын
Washindwe kwa Jina La Yesu!!!
@princeofhulabula
@princeofhulabula Жыл бұрын
mMWERA HUYO huko lindi ndiko uchawi ulikozaliwa.
@zegelibilishanga6047
@zegelibilishanga6047 Жыл бұрын
Mhulumie inatosha hiyo ngonjera Atakufiako bure mama ashaumia
@Fundi12345
@Fundi12345 Жыл бұрын
Waziri hawa watu hawana uwezo wa kusimamia hawajitambui tandika vimbo hera kama zimeperekwa mama huyo anatesa watanzania
@victorsanga2229
@victorsanga2229 Жыл бұрын
Makosa ni rais mwenywe namna anawapata wateule wake, vijana wa CCM si wawajibikaji wakutupwa. Aache kuchagua kwa vigezo vya uchama
@mtundipaul5748
@mtundipaul5748 2 ай бұрын
Hahahaha wanyoshe hao ndo wezi wasumbufu wanakwamisha miradi viongozi wanaonekana hawafai 7bu za wajinga wachache tu
@saynabmohammed6263
@saynabmohammed6263 Жыл бұрын
Wazir unamuuliza lin Kate mbelelea je wewe wazir lin ulienda kufatilia
@shadrackmohamedi8765
@shadrackmohamedi8765 Жыл бұрын
Sasa Wazir atatembelea sehemu zote kweli?
@bakarirajabu3783
@bakarirajabu3783 Жыл бұрын
Wilaya ya wajinga hii mzee kila mtu ni mungu mtu kz tunayo bila maombi na dua hatuponi
@fredyfile623
@fredyfile623 Жыл бұрын
Sishangai bcz hayo ndo madhara ya kupita bila kupingwa wangechaguliwa kwa haki wangesimamia hayo vizuri lakini wooote ni ccm hivyo wamefumbwa macho.
How To Get Married:   #short
00:22
Jin and Hattie
Рет қаралды 27 МЛН
Don't look down on anyone#devil  #lilith  #funny  #shorts
00:12
Devil Lilith
Рет қаралды 17 МЛН
Help Me Celebrate! 😍🙏
00:35
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 65 МЛН
How To Get Married:   #short
00:22
Jin and Hattie
Рет қаралды 27 МЛН