Zitto Kabwe 'ACHARUKA' Bungeni "Tusije Kulaumiana, Siasa Itakuwa Ngumu"

  Рет қаралды 517,308

Global TV  Online

Global TV Online

5 жыл бұрын

Zitto Kabwe 'ACHARUKA' Bungeni "Tusije Kulaumiana, Siasa Itakuwa Ngumu"
Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe, amesimama Bungeni leo Januari 29, kuchangia hoja katika muswada wa mabadiliko madogo ya sheria ya vyama vya siasa uliowasilishwa Bungeni hapo Na Waziri Jenista Mhagama.
#ZittoKabwe
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter
GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.com/watch?v=L4UGw.

Пікірлер: 562
@amanimusenyi8217
@amanimusenyi8217 4 жыл бұрын
Zitto Kabwe ni kiongozi anaeongea kwa kutumia vifungu vya sheria,I appreciate to him.
@josepharon1338
@josepharon1338 5 жыл бұрын
Namkubali sana mh zitto apewe maisha marefu mtetezi mzuri sana wasisi wanyonge
@neemaemmanuel4942
@neemaemmanuel4942 4 жыл бұрын
Zitto Zuberi Kabwe, akili kubwa ❤🇹🇿
@ayubusanga3796
@ayubusanga3796 5 жыл бұрын
Zito kabwe!!! Heshima kwako mkuu!
@NyumbaniHabariMedia
@NyumbaniHabariMedia 5 жыл бұрын
Asante Mh.Zito......ww ni zaidi ya Vibajaji vyao Elfu nyingi
@gablielturuka9576
@gablielturuka9576 4 жыл бұрын
Awa jamaa wanaelewesha sanaa watu na wanaeleweka sana kama walimu vile
@rhiophiri9645
@rhiophiri9645 5 жыл бұрын
zito kabwe you are a precious asset 4 Tanzania and a Tanzania's parliament ' s pride.they'r luck to have a person of yo calibre,very brilliant,intelligent and driving points home when speaking
@johnsonzuma4932
@johnsonzuma4932 5 жыл бұрын
Isn't all Tanzania can see that brother...
@michaelmokiwa4724
@michaelmokiwa4724 5 жыл бұрын
Rhio Phiri jn
@mfaumeseif5872
@mfaumeseif5872 5 жыл бұрын
Mungu akulinde Mwami Zitto Kabwe... Hoja zako zitaishi milele....
@tindotanzania
@tindotanzania 5 жыл бұрын
Gonga like kama ume mwelewa zitto kabwe
@irinevedasto5943
@irinevedasto5943 5 жыл бұрын
tindo tanzania Ndiyo mzee
@godhelpkimaro6742
@godhelpkimaro6742 5 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa mchango mzuri mh mbunge
@jumannemfaume
@jumannemfaume 5 жыл бұрын
Ndo mbunge pekee wa upinzani ninayo mkubali zaidi anajua vitu vingi na anajua kufuatilia na anakwenda na nyakati huwez kusikia kashuka big up sana bro
@ramahhouzzer2342
@ramahhouzzer2342 5 жыл бұрын
Mungu akulinde zito Uko vizuri
@AP-uk3mq
@AP-uk3mq 4 жыл бұрын
Ameen
@juliaslaizer341
@juliaslaizer341 5 жыл бұрын
Kweli Mungu akubariki sana Tanzania yetu hii tunaelekea wapi
@rojakijana1162
@rojakijana1162 5 жыл бұрын
Nakuombea kwa Mungu siku moja uongoze taifa hili kama raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania (AMEEN)
@khalidballeth5957
@khalidballeth5957 5 жыл бұрын
Uzuri kwasasa wabongo huwa hawasahau😃 Ipo siku ikiwatokea puani tutawakumbusha maneno yako
@jumannerama8756
@jumannerama8756 5 жыл бұрын
Daaaaa!!!!!zito ni shidaaa!!!!nakuelewa sana!!!!
@mudhakirudauda7933
@mudhakirudauda7933 5 жыл бұрын
Sijawahi juta kumfuatilia Zitto
@feisalomar2807
@feisalomar2807 5 жыл бұрын
Mmh
@dorcasmruma1238
@dorcasmruma1238 4 жыл бұрын
Safi sana kabwe zito zuber Umeona mbelen Mungu akuongoze zaid
@cosmassquintine1320
@cosmassquintine1320 5 жыл бұрын
Pole kwa kujua ukweli na kumweleza MTU ambaye hayuko tayari kukuelewa na kutekeleza mapendekezo yako mazuri. If you failed to fight join it.
@macmax7767
@macmax7767 5 жыл бұрын
Zitto ni Mzito sana kwa Hoja na mpangilio wa namna ya kuweka mambo sawa. Anaushawishi mkubwa sana
@manenolugendo6396
@manenolugendo6396 5 жыл бұрын
Zitto ana GB100
@georgekigufa9554
@georgekigufa9554 5 жыл бұрын
Safi sana ndg yangu Zito. Unaona mbele.
@jimjam4162
@jimjam4162 5 жыл бұрын
Ndiyo maana mm upenda Sana upinzani kwa kutuelewasha mambo Kwa ufasaha
@ezekielmwadomba4675
@ezekielmwadomba4675 5 жыл бұрын
Big up bro! Bright brain!!
@AP-uk3mq
@AP-uk3mq 4 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@alfredmbasa2415
@alfredmbasa2415 5 жыл бұрын
zito kabwe we ni wa sayari nyingine hakika
@sadickd_knuckle5456
@sadickd_knuckle5456 5 жыл бұрын
Good brother, MTU mmoja hawezi akawa ni final say
@peterkatete5645
@peterkatete5645 5 жыл бұрын
Mh. Job Ndugai kuna kipindi huongozwa na roho wa Mungu kama hivi!
@IbrahimIbrahim-kq3iq
@IbrahimIbrahim-kq3iq 5 жыл бұрын
full of logic, I always appreciate you brother, live longer
@erymwazembe7369
@erymwazembe7369 5 жыл бұрын
Yani ccm na mtt mdogo hamna tofauti wao wanaangalia apoapo. Kisa nini wao wanajua eti watatawara nchi hi mpaka mwisho wa dunia ndomana wanatengeneza sharia zakuzibiti vyama vya upinzani kwanjia yoyote ile
@dr.djshigongo4927
@dr.djshigongo4927 5 жыл бұрын
Ako na respect sana.... Kasikia tu "taarifa "..akakaa chini,,,,He's so wise... Big up Zitto.
@isdorykiwale
@isdorykiwale 5 жыл бұрын
Keep preaching my MP may b one day they will understand.
@jesusfirst8464
@jesusfirst8464 4 жыл бұрын
Mtu makini sana nchini hapa!! Youthful wisdom genius man 👨 💜💜💜
@ismailimusa6640
@ismailimusa6640 5 жыл бұрын
Ndo mbunge anaeleta maana halisi ya nn kazi ya bunge anaongea kwa hoja at ukimsikiliza huwezi kujuta kwann ulimpa kura yako Mungu.akuhifadh san mh zitto Kabwe.
@japhetmwamlenga7078
@japhetmwamlenga7078 5 жыл бұрын
Ismaili Musa kuna siku mbuge wenu ikisimama kuchangia mkakosa kumsifia wenu sifa was ccm pumba.
@kulwakicheko5102
@kulwakicheko5102 5 жыл бұрын
Zitto unaongea vitu vya muhim kwa taifa ni letu sote.
@paulmnama9405
@paulmnama9405 5 жыл бұрын
wasio muelewa zitto ni vilaza vya upande wa pili maana ni mijitu ya kupelekwapelekwa tuu
@mudhakirudauda7933
@mudhakirudauda7933 5 жыл бұрын
Fact
@AcklandackyMichael
@AcklandackyMichael 5 жыл бұрын
Amin
@sefaniandabila8604
@sefaniandabila8604 5 жыл бұрын
talented man
@bernadinangasi7664
@bernadinangasi7664 5 жыл бұрын
Kiukweli ndugai amekuelewa ila basi tu nahapo alipo hayo maneno yamemuingia ilatu hana jinsi mheshimiwa wetu ndugai tuna miomba Mungu akupe nguvu Mpya ya huruma ya mawazo ya watanzania wenzako
@bonifacesanga8691
@bonifacesanga8691 5 жыл бұрын
naomba uwaelekeze hao wabunge Wa CCM maana wamezoea kukaririshwa maneno
@rommy7kihuriko452
@rommy7kihuriko452 5 жыл бұрын
NILICHO GUNDUA UPINZANI KUNA WATU WENYE AKILI SANA
@younginspired3899
@younginspired3899 5 жыл бұрын
Akili mingi sana 🔥🔥🔥🔥💯
@juliasmollel5176
@juliasmollel5176 4 жыл бұрын
zito kabwe stoway kukusahau katika elim yako katika bunge la Tanzania mungu akulinde kiongonzi
@WorldView24hrs
@WorldView24hrs 2 жыл бұрын
Zitto hapa uliona mbali sana
@jamesabdizo7581
@jamesabdizo7581 4 жыл бұрын
Zitto ubarikiwe
@aflahali7487
@aflahali7487 5 жыл бұрын
This man should b the president of ,Tz
@sebmalunde5945
@sebmalunde5945 5 жыл бұрын
Whaaaat?????
@elijahmange960
@elijahmange960 4 жыл бұрын
Can't be the President of the United Republic of Tanzania
@jackyjosemworia1063
@jackyjosemworia1063 5 жыл бұрын
Naomba Mungu usk na mchn awasimamishi viongozi wenye hofu ya Mungu na hekima Tz na dunia yote, Mungu awabariki wote wenye kutumia hekima na busara daima ameni
@ezekielmwadomba4675
@ezekielmwadomba4675 5 жыл бұрын
ASANTE ZITTO WATANZANIA TUKO NAWEWE NA VYAMA VYOTE VINAVYO WAKILISHA MASLAHI YA WA TANZANIA WANYONGE!! BIG UP ZITTO!! BIG UP UKAWA!!
@adinaniadam7314
@adinaniadam7314 3 жыл бұрын
Daaaa sasa level yako kaka ni ulaisss na sio ubuge wakupe nchiiiii
@helmanikomba576
@helmanikomba576 5 жыл бұрын
Kinga nibora kuliko TIBA. Nyepesi vipi!!
@joshuayengu3624
@joshuayengu3624 5 жыл бұрын
Ahsante MH ZITTO, Mimi nadhani ni vyema ccm wakajua kuwa njama nyingi wanazozifanya ili kudumaza siasa ya Tanzania tumeshazibaini. Pasipo kuwa Na jicho LA tatu Tanzania itadumbukia kwenye dimbwi baya.
@kashindembugano3467
@kashindembugano3467 5 жыл бұрын
nchi inakutegemea sana mh.mbowe.pambana kwa masilahi ya taifa letu.
@sixbertkirway3395
@sixbertkirway3395 5 жыл бұрын
mimi simwelewi zito
@wilbertmmole4412
@wilbertmmole4412 5 жыл бұрын
Nimekuelewa sana kijana
@athumanikaoneka5747
@athumanikaoneka5747 5 жыл бұрын
Nimekuelewaa kamandaaa
@kizurikinaua2242
@kizurikinaua2242 5 жыл бұрын
Yupo vizuri zito kabwe hongera sana hatutajuta kukuchagua
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 5 жыл бұрын
Leo zito amechangia kwa usikivu mkubwa mno na spika Leo amemsikiliza kwa umakin tena sana naona zito ameaza kueleweka sema ubishi tuuu
@agnesipetro3663
@agnesipetro3663 5 жыл бұрын
Wapinzani wako makini siku zote
@faustinelubago7498
@faustinelubago7498 4 жыл бұрын
Huyo jamaa anaitaji kutuvuruga tu. Anaitaji Taifa libaki nyuma kila Leo? Boya tuu
@asajilejohnmwakapinga1065
@asajilejohnmwakapinga1065 5 жыл бұрын
mungu aku barik zitto kabwe tuko pamoja
@mwaramiissa3553
@mwaramiissa3553 3 жыл бұрын
Mawazo yangu yanaweza kuwa tofauti kidogo. Tanzania ni nchi inayoendelea, mazungumzo ya zitto ni makubwa na yanahusu demokrasia iliyokomaa sana. Ushauri wangu ni kwamba wabunge wajadili miundombinu na maendeleo ya wananchi na huduma muhimu kwa wananchi
@kulwakicheko5102
@kulwakicheko5102 5 жыл бұрын
Zitto ni sawa na wabunge 100 ccm
@KVPONLINETV
@KVPONLINETV 5 жыл бұрын
Kama wabunge wenu waongo waongo wa ukawa sawa sawa ila huyo zito ni ccm kama utamsikiliza
@gabrielmpanda9709
@gabrielmpanda9709 5 жыл бұрын
Ni sawa na wabunge woote wa ccm + mwanasheria mkuu
@abdillahichicha8366
@abdillahichicha8366 5 жыл бұрын
Big up ZZK Watanzania tunakuelewa mungu akupe umri mrefu sana amiyn
@tedlema8105
@tedlema8105 5 жыл бұрын
wabunge was chama cha kijani wawe making sana,hii in vita inaandaliwa na vita haichagui chama,ohoooooo!
@nathanmapunda1052
@nathanmapunda1052 5 жыл бұрын
natamani kuwa kama wew kaka zito
@jordankivuyo9477
@jordankivuyo9477 3 жыл бұрын
Inaumaa sanaa mungu awe pamoja nao
@salummatumla5652
@salummatumla5652 5 жыл бұрын
zitto nimemkubari sana yani kama ayupo bungeni linapooza sana mungu akuweke sana
@sinclairmosha809
@sinclairmosha809 5 жыл бұрын
Akawaambia wanafunzi wake, Makwazo hayana budi kuja, lakini ole wake mtu yule ambaye yaja kwa sababu yake! Ingemfaa zaidi mtu huyo jiwe la kusagia lifungwe shingoni mwake, akatupwe baharini, kuliko kumkosesha mmojawapo wa wadogo hawa. Jilindeni; LK. 17:1‭-‬3 SUV 2019-2020 itakua ngumu kweli watanzania wenzangu, tujifunge mikanda Mungu yupo pamoja nasi hajatuacha....🙏🙏
@nabiiisaya5798
@nabiiisaya5798 5 жыл бұрын
i
@josephmtepa9552
@josephmtepa9552 4 жыл бұрын
Zinto wewe kweli mugu akujalie maishaalefu
@shomytventertainmenttanzan7842
@shomytventertainmenttanzan7842 5 жыл бұрын
Point Yani Tanzania inaelekea pabaya sana eh mungu tusaidie sisi
@furahanowa3420
@furahanowa3420 5 жыл бұрын
Hakika kama tungepata wabunge 40 kama ww tungesonga mbele
@husseinnyomi6120
@husseinnyomi6120 5 жыл бұрын
Zito wambie wananchi wako wa kgm tunakosa ajila kwa kukosa vitambulisho vya taifa watatupa lini
@salehmadawa7035
@salehmadawa7035 5 жыл бұрын
Sawa kabisa makasuku kazi yao kuunga mkono tu lengo ni kuua vyama upinzani
@paulmnama9405
@paulmnama9405 5 жыл бұрын
kweli kabisaaaaaaa
@mudhakirudauda7933
@mudhakirudauda7933 5 жыл бұрын
Hakika
@dismasalex5064
@dismasalex5064 5 жыл бұрын
Hakika
@gloryjoo6475
@gloryjoo6475 5 жыл бұрын
zitto umeongea vzur sana.. nakukubali mno mbunge wangu
@loishiyemollel8071
@loishiyemollel8071 5 жыл бұрын
Pole zito ,kweli wewe unaona mbali Mungu akulinde
@lennygeorge9165
@lennygeorge9165 5 жыл бұрын
Leo nimekuelewa ,zito uko mzito kwa leo
@lucystanley2641
@lucystanley2641 4 жыл бұрын
Mungu aendeleee kukutunza Zito niko mbioni tu ACT
@sifuelinyaki3341
@sifuelinyaki3341 4 жыл бұрын
Huwa kuna kitu najifunzaga San kwa wabunge hawa wa upinzani. Zitto kasimama 2 hapo dakika chache tayari somo lishaingia MTU anataarifa🙋
@sponsor7882
@sponsor7882 5 жыл бұрын
THIS GUY IS WISE
@mwidausaid5701
@mwidausaid5701 5 жыл бұрын
Huyu jamaa yani ata ukimsikiliza unainjoi Jinsi gani anaongea Pont yani hii ni hazina ya nchi mtake msitake
@africatanzaniatours5980
@africatanzaniatours5980 5 жыл бұрын
Chiz tu
@rinovatkazimili7362
@rinovatkazimili7362 5 жыл бұрын
Watanzania hamtaki kuwasikiliza Wabunge wa upinzani lakini Tanzania inazama. Shillingi inazidi kuporomoka kwanu uchumi ndani ya CCM ni hakuna kitu. Tunaongozwa na makanjanja. Fedha zinatumika tu bila mpangilio.
@paulmnama9405
@paulmnama9405 5 жыл бұрын
kweli kabisa
@AP-uk3mq
@AP-uk3mq 4 жыл бұрын
@@africatanzaniatours5980 sijui chizi ni nani hapa
@zabibubashiri3034
@zabibubashiri3034 4 жыл бұрын
Mimi nnapenda sana Zito kwakweli big up Mh
@deusmauka9626
@deusmauka9626 5 жыл бұрын
Zitto yupo vizuri tatizo lake huwa anajiongeza kupita kiasi. 😂😂😂😂😂😂
@masaulihassan2463
@masaulihassan2463 5 жыл бұрын
Anajiongeza etiiiii brooooo hahahahaahahaaaa
@naishimbilinyi3373
@naishimbilinyi3373 5 жыл бұрын
Zitto ni Pasua kichwa sana ndani ya bunge
@furahanowa3420
@furahanowa3420 5 жыл бұрын
Zito zuber kabwe nitafuatilia mijadala yako mpaka mwisho
@paulmnama9405
@paulmnama9405 5 жыл бұрын
Furaha Nowa uko vizuri sana
@stewardsimion7759
@stewardsimion7759 5 жыл бұрын
Furaha Nowa
@mashaurinjile1609
@mashaurinjile1609 4 жыл бұрын
Tuacheni siasa hata kwenye ukweli
@musamshosha3612
@musamshosha3612 4 жыл бұрын
HAPA katema point
@mahamudualmas9094
@mahamudualmas9094 4 жыл бұрын
Furaha Nowa zito baba lao
@ramadhanmanko4614
@ramadhanmanko4614 5 жыл бұрын
Zito bashe tundulisu hawanimashine watz nawakubalisana
@regiuskitosi7101
@regiuskitosi7101 3 жыл бұрын
Kinacho endelea sasa hivi 2021 ndo kilitabiriwa na zito wapinzani wanaonekana kama waasi 😂😂 Tz bhana
@williamludovick5143
@williamludovick5143 4 жыл бұрын
Zitto akili kama tembo yaan unatsha braza!big up
@tousihhhh6765
@tousihhhh6765 4 жыл бұрын
tanzania haipendi haki usikauke mate zito tulia tu
@mfukunyuzi8335
@mfukunyuzi8335 5 жыл бұрын
Nampenda sana huyu jamaa ,yuko vizuri sana kwenye kutengeneza hoja za msingi
@oscarobed7900
@oscarobed7900 5 жыл бұрын
Mh Ndugai kweli nasema kutoka moyoni sasa hivi umekomaa kuwa Spika wa bunge... Nimependa sana
@josephatnyambi62
@josephatnyambi62 5 жыл бұрын
Wangekuwepo hata watano tuu nchi ingesogea
@francmnzava7513
@francmnzava7513 5 жыл бұрын
Dah kakaangu zito umeongea vitu konki sana ila sasa anaye sikiliza anajikuta mungu mtu hana haja eti duh
@idrisamngagi284
@idrisamngagi284 4 жыл бұрын
2020 . you are genious bro
@hamisbulabo389
@hamisbulabo389 4 жыл бұрын
Uyu jamaa very thinker
@isayaorongay7053
@isayaorongay7053 5 жыл бұрын
Alizaliwa awe kiongoz....
@jameskivuyo5059
@jameskivuyo5059 4 жыл бұрын
Isaïe Entero
@moslihimhamad5541
@moslihimhamad5541 5 жыл бұрын
Hawa wabunge kwa kweli wapo wa aina mbili wabunge wanaowakilisha wananchi na wanaowakilisha matumbo yao
@ibrahimdabo7163
@ibrahimdabo7163 3 жыл бұрын
hawa ndio viongozi wenye akili wanaosimamiya ukweli zito kabwe yuko vizuri sana mungu akubarik kaka duuuuu
@eliasalamunyaki7684
@eliasalamunyaki7684 4 жыл бұрын
Baba uko vizuri ulitabiri y'a kwel
@abdulseif4093
@abdulseif4093 5 жыл бұрын
Kuna watu hata kama huwajui ukiwasikiliza utajua kuwa kuna watu bright sana
@yusuphmasingisa6722
@yusuphmasingisa6722 5 жыл бұрын
good
@idawakisambivi7747
@idawakisambivi7747 5 жыл бұрын
Asante sana Zitto
@dismasalex5064
@dismasalex5064 5 жыл бұрын
Yes, Economist I real appreciate this... There is Correlation btn those variables
@stellamwasenga6205
@stellamwasenga6205 3 жыл бұрын
Safiiiiiiii
@ezekielmwadomba4675
@ezekielmwadomba4675 5 жыл бұрын
MANYWA DAMU YA KIJANI YAMENYWEA NYWIIII!! SHUBAMITI!!! BIG UP ZITTO!!!!
@hemedwow8802
@hemedwow8802 5 жыл бұрын
Waswas wangu ni 2020,wabunge wengi kama hao.huenda watafanyiwa mizengwe wasirudi hapo.ili tubaki na wale wanaoshtuka usingizini na kupiga makofi!!
@ibrahimumtenje5672
@ibrahimumtenje5672 5 жыл бұрын
Hongera mr Zitto Zuberi kwa kuwafundisha
@notomumvile8349
@notomumvile8349 4 жыл бұрын
safi saaana
@katapaj2336
@katapaj2336 3 жыл бұрын
nawaerewa sana kazi juu ya kazi amna maneno kama mido simba
@abdallahidd2278
@abdallahidd2278 5 жыл бұрын
Watakuelewa tuu mheshimiwa!!
@anzurunimakala8416
@anzurunimakala8416 5 жыл бұрын
Zitto umesomea wapi na nipeleke mwanangu
@renatusrenatus5262
@renatusrenatus5262 4 жыл бұрын
daaah,mh zito hv umesomea wapi Kaká na mm nmpeleke mwanangu,,?
@victorsanga2229
@victorsanga2229 5 жыл бұрын
Jenister the monster is back
@tumainrenatus3572
@tumainrenatus3572 5 жыл бұрын
Wape somo hao Mh zitto,,maana hawajielewi hao Ccm
@neybenson7881
@neybenson7881 4 жыл бұрын
Zito hoyeeeee
@josephkyando4918
@josephkyando4918 4 жыл бұрын
J
@rockcittymail9978
@rockcittymail9978 5 жыл бұрын
Waambie baba CCM elim yao ni felia hata hawaon
@bernardbenedicto1373
@bernardbenedicto1373 4 жыл бұрын
Zitto mwana wa ruyaga.
@lugendondayanse4910
@lugendondayanse4910 5 жыл бұрын
Duh. Asante Mbunge wang
@alawibanda82
@alawibanda82 5 жыл бұрын
tatiz xio km hawaon au hawaxikii wanaon xn na wanjua wanach fany kwakuw wao wanadola ndo man kil kt kwao ubabe xix wanyonge tunamxhtakia mungu kila m 1 mungu atampa Lana ya milele
@temesjames8867
@temesjames8867 5 жыл бұрын
Safi spika kwa kujua umuhimu wa kila mbunge.
Zitto Kabwe VS Dk Tulia Ackson, Full package
19:34
Mwananchi Digital
Рет қаралды 320 М.
ZITTO KABWE Alivyowasha MOTO Bungeni, SAKATA la KOROSHO
17:08
Global TV Online
Рет қаралды 553 М.
ОСКАР vs БАДАБУМЧИК БОЙ!  УВЕЗЛИ на СКОРОЙ!
13:45
Бадабумчик
Рет қаралды 3,9 МЛН
3M❤️ #thankyou #shorts
00:16
ウエスP -Mr Uekusa- Wes-P
Рет қаралды 13 МЛН
SUGU: "Please Don't Shut Me! Tubishane kwa Hoja na Siyo Bunduki"
11:24
Global TV Online
Рет қаралды 465 М.
HECHE BUNGENI: "Mtaua Sana, Waambieni Watanzania Ukweli"
10:40
Global TV Online
Рет қаралды 463 М.
MBUNGE BWEGE: "Mnaua, Mnateka tu, Mlitaka Kuninunua nikakataa"
11:46
Global TV Online
Рет қаралды 749 М.
“Watu wanauawa, msifikirie Watanzania hawaoni”-John Heche
9:21
Waziri Ashindwa Kujizuia  "Nitaleta Marks Zenu Hapa"
14:04
Global TV Online
Рет қаралды 325 М.
BUNGENI: Bashe na Sugu kuhusu ishu za kutekwa
11:41
Millard Ayo
Рет қаралды 662 М.
Lissu afunguka kuhusu madini 'Mungu anasikia.. mtaniambia'
17:29
Millard Ayo
Рет қаралды 372 М.
ОСКАР vs БАДАБУМЧИК БОЙ!  УВЕЗЛИ на СКОРОЙ!
13:45
Бадабумчик
Рет қаралды 3,9 МЛН