HECHE BUNGENI: "Mtaua Sana, Waambieni Watanzania Ukweli"

  Рет қаралды 466,592

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

HECHE BUNGENI: "Mtaua Sana, Waambieni Watanzania Ukweli"
Mbunge wa Tarime (Chadema), John Heche, akichangia hoja katika mjadala wa kupitisha Bajeti Kuu ya serikali 2018 / 2019 iliyowasilishwa Bungeni na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Philip Mpango.
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK:
/ globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

Пікірлер: 226
@ndilanhasjeremiah
@ndilanhasjeremiah 6 жыл бұрын
Powerful points
@hamadshein935
@hamadshein935 6 жыл бұрын
Wabunge wa ccm hawawezi kuongea kama heche.akiongea hvyo tu.anapugwa.
@bahatikengese3603
@bahatikengese3603 3 жыл бұрын
heche noma
@getaromagaiwa7918
@getaromagaiwa7918 6 жыл бұрын
Tarime hatuchagui mabwege!!!! Heche 2020 hakuna mpinzani kwako tata!!!!!!
@mariamuomari1944
@mariamuomari1944 3 жыл бұрын
Wabunge wa upinzani wana akili sana na ndio maana mwaka huu wamewafanyia figisu ili asiwepo wa kusema maovu yao ccm kuna ubabaifu sana
@RobertshijaMakumi
@RobertshijaMakumi Ай бұрын
Hongera sn mkuu utarudi tena Mungu akipenda
@hosearwechungura7164
@hosearwechungura7164 6 жыл бұрын
Kuna wabunge mna akili kuptiliza, saf sana
@liberatusulaya2269
@liberatusulaya2269 4 жыл бұрын
Honourable !! Heche
@kilekeremson9821
@kilekeremson9821 4 жыл бұрын
Ni kit chaajabu sana wat wenye akili kama hawa kama Taifa hawatakiw
@khamisihussein8777
@khamisihussein8777 6 жыл бұрын
uko vizuri Heche nakuelewa sana watanzania wanahitaji watu kama wewe
@elishamollel2131
@elishamollel2131 6 жыл бұрын
Nchi yetu bado tupo gizani wanaitajika wabunge kama hawa wanaoweza kutoa mwanga iweze kuwanganza hongera sana Mkuu tuko pamoja
@matthiusmsule2213
@matthiusmsule2213 6 жыл бұрын
mungu akubaliki heche
@justinerasto3430
@justinerasto3430 6 жыл бұрын
Wewe mh heche ni msema ukweli kuliko jiwe
@ndagabwenemachunda313
@ndagabwenemachunda313 6 жыл бұрын
Hon.Heche big up!..Tel'em da truth
@kaminyogemwachelwa9884
@kaminyogemwachelwa9884 6 жыл бұрын
Kwa akili yangu wanataka halmashauri zote waziongoze tu kwa remote ccm waweze kuwanyima wapinzani kwenye halmashauri zao.....WATALIPIGANIA SANA HILO WAZO CCM WATZ TUKIKAA KIMYA.LITAPITA KISHA MTAONA JINSI UBAGUZI UNAVYOZIDI KUKUA KWA HARAKA
@bonabonala8253
@bonabonala8253 4 жыл бұрын
CCM wataweza kuongea kama wapibzani ? Au mbataka kuumuua lissu kwa ukweli wake?? Bure!?
@georgesamwelchacha7680
@georgesamwelchacha7680 6 жыл бұрын
VITA NI VITA TATA TANZANIA NI YETU SOTE KINACHOPATKANA KIWEKWE WAZI NA KILICHO SHINDIKANA TUAMBIWE NA SIO WATUDANGANYEDANGANYE
@erasmusnzibonela5151
@erasmusnzibonela5151 6 жыл бұрын
Nikweli nimeenda Tanesiko kuwekewa umeme kwenye nyumba ambayo inaumeme tahari ninatakakutumia pekeyangu make mwenyenyumba aliniruhusu nikaambiwa nilipe sh350000
@yusuphlusinde9832
@yusuphlusinde9832 6 жыл бұрын
Mh. Heche upo vizuri endeleza mapambano zidi ya ufisadii
@winfridangingo8848
@winfridangingo8848 4 жыл бұрын
Daaaaaah mbunge mpinzani 1 sawa na wabunge wa ccm 100, safi sanaaa Heche🙏
@antonijohn6958
@antonijohn6958 4 жыл бұрын
Shikamoo heche ,nipo singida nakuja msoma kukuona tu na nijue ivi wew ni MTU kweli ama malaika?
@frankzominister1473
@frankzominister1473 6 жыл бұрын
Mh.Waziri wa fedha chukua hili...tuokoe watz...
@julianusnambert2237
@julianusnambert2237 6 жыл бұрын
yaani nataka kukunyanyua zaidi mungu akulinde
@simonfundi9658
@simonfundi9658 6 жыл бұрын
Kuna raha sana kuwa upinzani
@jamesmwaipaja5196
@jamesmwaipaja5196 5 жыл бұрын
Simon Fundi
@kibangahassan8773
@kibangahassan8773 5 жыл бұрын
Mbn ccm wanawachukua wapinzani...
@nehemiamsigara419
@nehemiamsigara419 4 жыл бұрын
Hengereni watu wa tarime kwa kupata jembe cyo iyo minyumbu ya___
@kaminyogemwachelwa9884
@kaminyogemwachelwa9884 6 жыл бұрын
Utashangaa hata hawasikilizi na kufanyia kazi point kuntuntu kama hizi
@mapundamapunda2868
@mapundamapunda2868 6 жыл бұрын
safi sana kamanda heche hawa maccm tumewachoka na hadithi zao
@musarichard2934
@musarichard2934 5 жыл бұрын
Huyu jamaa hatareee sanaa
@juliuspaul7927
@juliuspaul7927 6 жыл бұрын
Mbona ccm hawatoi maoni yao hapa
@mohamedimganga1481
@mohamedimganga1481 4 жыл бұрын
Mwenyez mungu ibalik Tanzania
@japhetbaraka587
@japhetbaraka587 6 жыл бұрын
yani selikari hii nishida
@allymohamed1563
@allymohamed1563 4 жыл бұрын
We nenda chuoni kukariri wakati kuna watu wanaenda kusoma kuelewa halafu kwenye kukariri kwako unatuletea ufisadi
@gtmalanga6953
@gtmalanga6953 3 жыл бұрын
well done,Mr heche u'll never never be forgotten
@transmadale
@transmadale 6 жыл бұрын
Hii Mashine huwa naielewa mbaya,BigUp Heche,
@fabianmories4218
@fabianmories4218 6 жыл бұрын
Heche ww ni mbunge wa aina yake tangu tarime tuchague sijaona kiboko kama ww, kura yangu 2020 lazima iangukie kwako .
@idynasoro3250
@idynasoro3250 4 жыл бұрын
Saw kabisa
@charlessengasenga2582
@charlessengasenga2582 4 жыл бұрын
Namkubali
@winfridangingo8848
@winfridangingo8848 4 жыл бұрын
Jembeeeee hilooo
@hezronsanga5197
@hezronsanga5197 2 жыл бұрын
Silinde ht km kipofu mnafiki mkubwa
@bennitezcharles5369
@bennitezcharles5369 6 жыл бұрын
mula mm nilsha xm ww ni jeshi mzee. waambie ukwel hao Wapuuzi MZEE. huyo mpango ni mpengo wnkosea tu kmtaja.
@fakihothman6266
@fakihothman6266 5 жыл бұрын
Hongera kwa maneno yako mazima
@sammymichael693
@sammymichael693 6 жыл бұрын
Daaaaah wat kama hawa
@yegokubebekamugurus8072
@yegokubebekamugurus8072 6 жыл бұрын
Mbunge wangu nakukubali sanaaa, piga kazi jembeeee
@sadikimwalongo7871
@sadikimwalongo7871 6 жыл бұрын
Watu kama hawa wachache sana duniani
@abuuaishaahmadtwaha7711
@abuuaishaahmadtwaha7711 6 жыл бұрын
Sijawahi jutia Mb zangu kwako kaka, I wish maneno yako yangewekwa km kumbukumbu ili kizazi kijacho kijue kuwa uliyasema hayo!
@hawasaid6024
@hawasaid6024 3 жыл бұрын
Muungwana huongea yaliio moyon tumewamiss
@elizabethmniko2522
@elizabethmniko2522 6 жыл бұрын
Safi Murah tabhaghambera mbane Enokwe akotangate
@kinglance9816
@kinglance9816 6 жыл бұрын
anaongea point tupu
@Peterson__J
@Peterson__J 6 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭 Rais wazikilize hawa hata kidogo tu. Itakusaidia
@janetmtei5892
@janetmtei5892 6 жыл бұрын
Safi sana kiongozi wangu unaongeo point sana
@pascarmwatosya5855
@pascarmwatosya5855 6 жыл бұрын
Kazikazi mkuuuu.
@kinglance9816
@kinglance9816 6 жыл бұрын
jamaa lina akili mpaka basi
@jamesakhabuhaya4747
@jamesakhabuhaya4747 6 жыл бұрын
Kaka umeongea ukweli
@barakamathew8656
@barakamathew8656 6 жыл бұрын
hahahahahah!! jaman heche duuh
@paulfrancis7143
@paulfrancis7143 6 жыл бұрын
point bin point
@shauriernest7934
@shauriernest7934 6 жыл бұрын
Mbona ufisadi. Hamsemi ? Mnataka fedha badala ya watu kufanyakazi?
@juliuskitomari3057
@juliuskitomari3057 6 жыл бұрын
Ila kweli kuna kitu cha kujiuliza hapa mapato ukitoa matumizi unaanza kujiuliza hela ya kujenga Standard gauge Railway zipo wapi?
@saidikamduma5468
@saidikamduma5468 6 жыл бұрын
jamaa kawapa za usoo
@jumangojole4009
@jumangojole4009 6 жыл бұрын
Mtapata tabu sanaa ccm
@habilmselemu4610
@habilmselemu4610 6 жыл бұрын
Safi sana mh heche Waambie hao wa ndio mzee
@fransicsamson106
@fransicsamson106 6 жыл бұрын
Mbona wabunge WA CCM hawa hoji mambo ya hivi?hiindio faida ya upinzani makini wabunge makini chama makini pigs point kaka tarime mnaakili Myra kumpigania heche kuwa mbunge minaona upinzani woote wana akili na uwelewa
@marthalewis332
@marthalewis332 3 жыл бұрын
C c m hovyo hao wapinzan wako vizur Sana japo mm nili ccm ya chukua Chalo malaya
@psterinishayo4270
@psterinishayo4270 6 жыл бұрын
Saf safi mh heche upo vizur mbunge
@paschalnyabatende4385
@paschalnyabatende4385 6 жыл бұрын
Tarime wana Jembe
@suzymwinuka4923
@suzymwinuka4923 6 жыл бұрын
Paschal Nyabatende nondo haswaaaaa
@alfamvula1079
@alfamvula1079 4 жыл бұрын
@@suzymwinuka4923 nahitàji kuañgaria t b ç
@karegakisimbo4145
@karegakisimbo4145 4 жыл бұрын
Heche ni mwanaume na kiongozi wa kipekee anayeweza kusimamia maslahi ya wananchi wote Tanzania nzima
@bensonystepheny299
@bensonystepheny299 4 жыл бұрын
Fita nifita mulaaa iwe upanga au simeeee tumiaaaa
@musaogira385
@musaogira385 6 жыл бұрын
wabunge ni kama hawa sio wale nyinyiem wanao ogopa kusema ukweli
@محمدالقايد-د6ب
@محمدالقايد-د6ب 3 жыл бұрын
😄😄hili ni Bunge
@salomejonas3823
@salomejonas3823 6 жыл бұрын
saf saaana
@stansilauseliasi7883
@stansilauseliasi7883 6 жыл бұрын
Sana kaka imepenye
@Byondorujulika17
@Byondorujulika17 6 жыл бұрын
Safi sana umeeleweka
@isayajoseph164
@isayajoseph164 6 жыл бұрын
Maisha marefu heche
@omarymbalala6224
@omarymbalala6224 6 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 wachane hao eti wamejenga ukuta hili wasiibiwe madini hahaha vilaza kwakweli
@nelsonnmwaipaja6980
@nelsonnmwaipaja6980 5 жыл бұрын
mb zikikata najaza tena mzee wangu endelea kuunguruma
@prosperamlima86
@prosperamlima86 6 жыл бұрын
Upo sawa Kamanda
@sibiromallya5894
@sibiromallya5894 6 жыл бұрын
Heche yuko sawaa dahhhhhh
@jaredjohanes3839
@jaredjohanes3839 6 жыл бұрын
Hon.Heche nimekupata vizuri lakn tatizo la wabunge wetu wanaongea kisha wanasema naunga mkono hoja,wabunge inusulini nchi hii
@mashakamakoye3157
@mashakamakoye3157 5 жыл бұрын
Pitta msigwa nakupendaga ukichekaga
@wazomagenge2348
@wazomagenge2348 6 жыл бұрын
hatariii cjui
@ibrahimjuma9974
@ibrahimjuma9974 4 жыл бұрын
Heche umeshashinda ubunge trh 29'10'2020
@ngwanayande6761
@ngwanayande6761 6 жыл бұрын
Heche we ni jiwe kwerikweri nakupongeza kwa dhati kabisa,
@mangsonsamson7712
@mangsonsamson7712 5 жыл бұрын
Nimeamin kichwa kimoja cha cdm bungen ni zaid ya vichwa 10 vya ccm bungen
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 4 жыл бұрын
Wizi ndio wanaoujuwa na dhuluma.
@dicksonlusinde2830
@dicksonlusinde2830 6 жыл бұрын
Ssantee na ss tunatambua kuwa tunadanganywa
@bahatikengese3603
@bahatikengese3603 3 жыл бұрын
anaongea jamaaa noma sana
@aidangilles8136
@aidangilles8136 6 жыл бұрын
Fact
@siwemaalphoncy2452
@siwemaalphoncy2452 4 жыл бұрын
Huyu ndio mra msimi
@mwambirekwamboka9525
@mwambirekwamboka9525 6 жыл бұрын
Best work of opposition ....I like ur spirit Mr Heche. May u leave long in sha Allah
@hudhud2022
@hudhud2022 6 жыл бұрын
Maalim Ali Amiin
@hudhud2022
@hudhud2022 6 жыл бұрын
you are Absolutely right Mr Heche
@hudhud2022
@hudhud2022 6 жыл бұрын
na sio deni la bunge peke yao kodi za wavuja jasho hizo
@officialtravellerj.9221
@officialtravellerj.9221 6 жыл бұрын
Saf San
@wilsonkimaro6375
@wilsonkimaro6375 5 жыл бұрын
Nakosa imani na ccm maana hawahoji haya, inamaana kuna kiunafiki somewhere
@biggamihayombotte184
@biggamihayombotte184 6 жыл бұрын
Duuu, Yeke Muraaa Tisha sanaaaa... Bravo hon. Heche it was on ur best ....Madini Tupu
@adenmayala9298
@adenmayala9298 6 жыл бұрын
Heche uko vizuri sana na upinzani kwa ujumla mungu awasaidie sana
@juniorraphael7042
@juniorraphael7042 6 жыл бұрын
Mmm
@petereliaskk2355
@petereliaskk2355 4 жыл бұрын
Taarifa za leo
@petereliaskk2355
@petereliaskk2355 4 жыл бұрын
Majibu
@yohanamollel2335
@yohanamollel2335 6 жыл бұрын
Global tv mm nna ushauri icho kitu kinacholia iyo sound mwanzo kabsa toeni inaumiza maskio kwa ss tunaotumia earphone
@dariuslimbu7442
@dariuslimbu7442 6 жыл бұрын
Point's tupu
@eradmdage8504
@eradmdage8504 6 жыл бұрын
Safi sana heche
@calebstephen5077
@calebstephen5077 6 жыл бұрын
akili umepewa wew aseee mulaaaaa madaraka wanang'ang'ania wasio na utashi wakufikili. wachaneeee man 😉😉😉😉
@emmanuelmesiack2654
@emmanuelmesiack2654 5 жыл бұрын
Bravoo
@sebamkalikwanza5097
@sebamkalikwanza5097 4 жыл бұрын
Najivunia chadema
@wrghkjdghklljg3819
@wrghkjdghklljg3819 6 жыл бұрын
du hongera sana kamanda apana chezea chadema www
@elizabethmniko2522
@elizabethmniko2522 6 жыл бұрын
Hakuna mkurya bwege ninajivunia kuwa mwana Tarime Mara
@danieldaniel-lb2on
@danieldaniel-lb2on 5 жыл бұрын
Mwita Waitara nae siyo bwege?
@johnsonzuma4932
@johnsonzuma4932 6 жыл бұрын
Hasante sana mheshimiwa
@pastorysent6586
@pastorysent6586 Жыл бұрын
John Heche ni mmojawapo wa watu makini na vichwa sana, bahati mbaya sijui kwa nini watu bora wapo nje ya system.. walio kwenye system ukisikiliza wakiwa wanahojiwa unaweza kushika kichwa aibu tupu
@sankawila2689
@sankawila2689 6 жыл бұрын
iki kichwaaa
@ibrahimzuberi1029
@ibrahimzuberi1029 6 жыл бұрын
big brain heche
@amosipaulo7829
@amosipaulo7829 3 жыл бұрын
Baba unatakiwa uwe wasili kaka maana unasema ukweli siyo uongo wambie ukweli ccm maana hawana maana
@Mamatonny2065
@Mamatonny2065 6 жыл бұрын
Nakuunga mkono Mheshimiwa Heche..umeongea la maana leo.
@stevencharles9101
@stevencharles9101 6 жыл бұрын
Mbunge wa mbeya
@Oboss_billharvester
@Oboss_billharvester Жыл бұрын
Wengine wanasema uncle magu alikua Sawa%, lakini uamini usiamini lipo kusudi la kuondoka kwake, maana hakuna mwanadam mkamilifu ila Mungu TU
@geraldlebbayo8286
@geraldlebbayo8286 6 жыл бұрын
Waambie thaatha....
@amarally.4828
@amarally.4828 5 жыл бұрын
'
@charlesanangisye5909
@charlesanangisye5909 6 жыл бұрын
Barlows sana kamanda
@charlesanangisye5909
@charlesanangisye5909 6 жыл бұрын
mungu akubarki sana ndugu
@danielyohana5781
@danielyohana5781 6 жыл бұрын
mbona hawaombi taarifa ,saf
@davidlissu9099
@davidlissu9099 6 жыл бұрын
Bigup heche! Uko makin
@sissoalfred7259
@sissoalfred7259 7 ай бұрын
Dunia Inahitaji mtu kama Heche awakilishe
@danielzakaria3927
@danielzakaria3927 6 жыл бұрын
wape dozi
@issasaid5177
@issasaid5177 5 жыл бұрын
Mbaka laa kuwa upinzan
@amosmakini6676
@amosmakini6676 4 жыл бұрын
Wewe ni master bro
“Watu wanauawa, msifikirie Watanzania hawaoni”-John Heche
9:21
HECHE BUNGENI: "Waziri Huoni Aibu, Unafki Tu, Mungu Anajua"
7:31
Global TV Online
Рет қаралды 81 М.
小天使和小丑太会演了!#小丑#天使#家庭#搞笑
00:25
家庭搞笑日记
Рет қаралды 33 МЛН
Крутой фокус + секрет! #shorts
00:10
Роман Magic
Рет қаралды 24 МЛН
iPhone or Chocolate??
00:16
Hungry FAM
Рет қаралды 44 МЛН
Lissu afunguka kuhusu madini 'Mungu anasikia.. mtaniambia'
17:29
Millard Ayo
Рет қаралды 378 М.
MBUNGE BWEGE: "Mnaua, Mnateka tu, Mlitaka Kuninunua nikakataa"
11:46
Global TV Online
Рет қаралды 753 М.
"Mnachoma moto nyumba na watu bado mnawafunga? "- John Heche
10:36
Millard Ayo
Рет қаралды 192 М.
ZITTO KABWE Alivyowasha MOTO Bungeni, SAKATA la KOROSHO
17:08
Global TV Online
Рет қаралды 555 М.
Zitto Kabwe 'ACHARUKA' Bungeni "Tusije Kulaumiana, Siasa Itakuwa Ngumu"
15:02
HECHE: Ziko Wapi Dola MIL 500, Bora Wakoloni Kuliko Nyie
4:55
Global TV Online
Рет қаралды 137 М.