No video

SUGU: "Please Don't Shut Me! Tubishane kwa Hoja na Siyo Bunduki"

  Рет қаралды 466,759

Global TV  Online

Global TV Online

6 жыл бұрын

Subscribe / uwazi
Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, amemshukuru spika wa Bunge, Job Ndugai, kwa kuwahakikishia wabunge wote kuwa kwa sasa wanapohudhuria vikao vya Bunge mjini Dodoma watakuwa salama, halitatokea tukio kama lililomtokea Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, ambaye alipigwa risasi na watu wasiojulikana alipokuwa nyumbani kwake Mjini Dodoma.
Aidha Mh Sugu ameliomba Bunge hilo kuwahakikishia usalama hata wanapokuwa maeneo mengine mbalimbali ya nchi.
"Kwa sababu ni uwazi dunia yote inajua wabunge wote wa upinzani na watu wengine wenye mawazo mbadala hawako salama, sasa hatuwezi kujadili mipango katika mazingira ambayo siyo salama, 'So Please Don't Shut Me', natoa ushauri, mawazo, maoni yangu kwa serikali, tubishane kwa hoja na siyo Bullet.
Subscribe / uwazi1 FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .

Пікірлер: 335
@bensonfrank643
@bensonfrank643 6 жыл бұрын
MH. SUGU KILA AKIONGEA ANAONGEA POINT 💪✊ MUNGU AKUWEKE SANA BRO.
@abdallahdataguy
@abdallahdataguy 6 жыл бұрын
umeona eh. Yaani kihuni kihuni flani lakini full point mwanzo mwisho
@denisexpchannel3684
@denisexpchannel3684 6 жыл бұрын
benson frank √√√√
@lastpage488
@lastpage488 5 жыл бұрын
"Kutofautiana mawazo na mitazamo ni utamaduni wa watu wanaofikiri na walioelimika" Prof. Joseph Mbele
@donboscolunguya2936
@donboscolunguya2936 Жыл бұрын
Huyu jamaa aliongea point sana na sasa hii speech yake leo ndio inareflect ukweli Big up sugu
@emmanuelsilungu446
@emmanuelsilungu446 6 жыл бұрын
mbeya city president much respect president
@nicodemocharles5566
@nicodemocharles5566 5 жыл бұрын
respect sugu
@jumacostantine8003
@jumacostantine8003 6 жыл бұрын
nimekuelewa Sana sugu Asante kwa kutuwakilisha
@essaumtawa2344
@essaumtawa2344 5 жыл бұрын
Juma Costantine
@mwambirekwamboka9525
@mwambirekwamboka9525 6 жыл бұрын
Big up Sugu keep on moving with genuine reasons n fact #BeBlessedEver
@antarysuleiman5338
@antarysuleiman5338 6 жыл бұрын
Kusoma san sio kwamba utakua muelewa sana 😂 kuna walio jielewa tangu tumboni yani wakishushwa duniani utapenda ......SUGU BABA UPO VIZURI SANA
@geraldstanslaus6471
@geraldstanslaus6471 5 ай бұрын
2024 and still the best speech ever
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 6 жыл бұрын
Hahahaha daah aisee Sugu kanifurahisha sana, nothing serious lakini ujumbe umefika. Mwalimu mzuri ni yule anayeburudisha darasa akili haichoki uelewa unakua juu word by word ni rahisi kukumbuka huwezi sahau.Big up Sugu
@ilumbukibi4169
@ilumbukibi4169 6 жыл бұрын
Dah!We haumo bwana!
@morathraphael6287
@morathraphael6287 6 жыл бұрын
Sugu hivohivo wakuelewa atakuelewa mbona musukuma walasaba na anaeleweka
@emanueljtluway1265
@emanueljtluway1265 6 жыл бұрын
joji georige kwa kweli huynoma
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 6 жыл бұрын
joji georige true
@fabianvenance2891
@fabianvenance2891 6 жыл бұрын
Twende kazi sugu
@kitangacharles5818
@kitangacharles5818 6 жыл бұрын
waeleweshe maana wanajua c hatujui
@festomeshack8581
@festomeshack8581 6 жыл бұрын
Massage delivered mh. Sugu
@scarletscarlet5363
@scarletscarlet5363 6 жыл бұрын
Nimekukubali mbunge wangu I sarut you
@mfedeful
@mfedeful 6 жыл бұрын
Salehe Yassin ni salute sio sarut...
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 4 жыл бұрын
@@mfedeful hahahahahaha
@ramambongo4069
@ramambongo4069 6 жыл бұрын
Kamanda sugu uko vizuri wapasue mimacho imewatoka haamini kama ni ww sugu wachane kaka wanamuogopa sana
@samwellaizarsamwellaizar5839
@samwellaizarsamwellaizar5839 4 жыл бұрын
Asantee baba.
@vicentigiboregibore1007
@vicentigiboregibore1007 5 жыл бұрын
chadema wooote nivichwaaa kwanza niwasomi napoint wanazjua kwahiyo tunajivunia hilo
@saidinalmsofethatsgoodwaya6454
@saidinalmsofethatsgoodwaya6454 4 жыл бұрын
Dah Brother you are real Genius
@danieljoseph6309
@danieljoseph6309 6 жыл бұрын
This is the way to send message across 😂😂😂😂😂😂😂
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 6 жыл бұрын
daneil joseph yeah
@vincentmokenye4465
@vincentmokenye4465 4 жыл бұрын
Barable of seed1🤣🤣
@chapamtukironge2375
@chapamtukironge2375 6 жыл бұрын
yo sugu damn you killed it 😀😀😀😀!
@nurunswebe4203
@nurunswebe4203 4 жыл бұрын
sugu big up bro your the best member of parliament respect to you up coming president of tanzania
@mselematiku2318
@mselematiku2318 6 жыл бұрын
safi sana sugu una akili sana
@richardmanyelezi5826
@richardmanyelezi5826 6 жыл бұрын
nimekubali sungu
@nasserkomba6231
@nasserkomba6231 6 жыл бұрын
True say Mr Sugu.
@mbumbulicomedians3286
@mbumbulicomedians3286 6 жыл бұрын
point
@samsonkusupa6809
@samsonkusupa6809 6 жыл бұрын
kweli sugu umeongea
@bungapaul5221
@bungapaul5221 4 жыл бұрын
Respect bro
@rasnchimbi
@rasnchimbi 6 жыл бұрын
Kweli kabisa yote yanayofunguliwa Leo yalianzishwa Na kikwete
@edsonmosha7418
@edsonmosha7418 6 жыл бұрын
Big up broo
@petermwanyondo6459
@petermwanyondo6459 6 жыл бұрын
umekomaa vizuri mkuu
@isackpaulo7946
@isackpaulo7946 6 жыл бұрын
oooh my god
@SHPI156
@SHPI156 6 жыл бұрын
"UNALETA JANGWA,,,.. KARATASI NYIIIINGI""
@victormaimu3748
@victormaimu3748 4 жыл бұрын
2020 bado nacheki
@fauziaharuna6397
@fauziaharuna6397 4 жыл бұрын
Mbilinyi ni fire mungu azidikukulinde
@aboubakarkaseko8670
@aboubakarkaseko8670 6 жыл бұрын
Nimekuelewa bro,ujumbe umefika hivyo2 hakuna namna.
@shabbymakapane3212
@shabbymakapane3212 6 жыл бұрын
Huyu jamaa Dah
@mbarakaathumani3035
@mbarakaathumani3035 Жыл бұрын
Speach nzuri
@rosemarysempombe8559
@rosemarysempombe8559 6 жыл бұрын
Akili za huyu mheshimiwa anazijua mwenyewe
@lucasabunuas4662
@lucasabunuas4662 6 жыл бұрын
Sugu ndio mbunge wetu anaekuja kupambana nae kwenye jimbo lake mby city atapunguza wingi wa kura zake tu but ushindi uko palepale.
@victorjames3730
@victorjames3730 4 жыл бұрын
Mbunge wangu huyu nampenda sana,
@renaldakamugishazeramulake940
@renaldakamugishazeramulake940 6 жыл бұрын
Kweli NDALICHAKO maelezo yake hayakuwa n.a. mantiki. Sigu bwana umenivunja mbavu.n
@e-mzambuli6647
@e-mzambuli6647 2 жыл бұрын
Big up
@evanslugoya1232
@evanslugoya1232 6 жыл бұрын
mjinga mjinga hawez kumuelewa sugu timamu pekee ndoatamuelewa
@zaudatmakula3454
@zaudatmakula3454 6 жыл бұрын
Evans Lugoya kabisaaaa
@subiradalabu6616
@subiradalabu6616 5 жыл бұрын
Evans Lugoya ..umeonaeeee..
@siwemaalphoncy2452
@siwemaalphoncy2452 4 жыл бұрын
Salute sugu
@oscaromary7437
@oscaromary7437 6 жыл бұрын
good
@user-ie2sr4fi4k
@user-ie2sr4fi4k 4 ай бұрын
Binafs nawaomba selikali yangu jimbo la mbeya mjini ligawanywe maana sugu ni muhim sana kurd bungeni
@amonsanga6209
@amonsanga6209 6 жыл бұрын
dah ebwana nimeielewa sana hii speech
@abhambomihambo6754
@abhambomihambo6754 5 жыл бұрын
Safi sana MP Sugu!
@seifmohamedseif9467
@seifmohamedseif9467 3 жыл бұрын
We miss this 😂😂
@babytee4901
@babytee4901 6 жыл бұрын
nakuelewaga sana mheshimiwa sugu.......
@adsonjoseph8933
@adsonjoseph8933 3 жыл бұрын
Mr ll 2 proud
@mselematiku2318
@mselematiku2318 6 жыл бұрын
ahaaaa ahaaa anamaliza miti yetu hao mpe makavu bwana sugu
@samsonkusupa6809
@samsonkusupa6809 6 жыл бұрын
kweli sugu umeongea maana kula MTU siku hz ni kambale kila SKU tunasikia mapya
@salmaibrahim9585
@salmaibrahim9585 4 жыл бұрын
BP sana mh.sugu tuchape kazi
@athumaniomary1245
@athumaniomary1245 5 жыл бұрын
sugu we need you 2020 to be our president
@mosamossile9113
@mosamossile9113 4 жыл бұрын
Mashindwa kwenda Butihama kwa baba wa Taifa, Mtawezaje kwenda Chato
@samwelimwinyi9327
@samwelimwinyi9327 6 жыл бұрын
Mipango bila taratibu ni VURUGU ucseme co mipango! Nafurahiaga uongeaj wako tu Mh.
@sidemtata2212
@sidemtata2212 6 жыл бұрын
Salut :#Sugu
@christophersypriano7824
@christophersypriano7824 6 жыл бұрын
big up sugu
@johnnillan3990
@johnnillan3990 4 жыл бұрын
Ongera xana sugu unapoint nzuri xana
@godblesskyangala3785
@godblesskyangala3785 6 жыл бұрын
Smart politician
@husseinseif9856
@husseinseif9856 6 жыл бұрын
Viva sugu
@abdulseif4093
@abdulseif4093 5 жыл бұрын
Majimbo yenye wabunge wafuatao mnajua kuitendea haki kula , Msigwa Sugu Lema Mdee Zitto Mnyika Bwege😂😂 Bashe Lisu Nape Prof j Haya ni majembe
@abasisamunge5355
@abasisamunge5355 5 жыл бұрын
Kweli kabisa
@rutashubanyuma4546
@rutashubanyuma4546 6 жыл бұрын
Ni dont shoot me sio shut jamani global vp??
@kundyarajabkundya9235
@kundyarajabkundya9235 6 жыл бұрын
dont shoot not dont shut....be smart
@ericstephenm.844
@ericstephenm.844 6 жыл бұрын
Kundya Rajab Kundya True!.... DON'T SHOOT ME!!!..
@princekasheku8741
@princekasheku8741 6 жыл бұрын
Kundya Rajab Kundya 😂😂😂🤣🤣😂🤣
@wingavangaga1778
@wingavangaga1778 4 жыл бұрын
H
@albertjames6845
@albertjames6845 Жыл бұрын
Wewe ndo hujuwi, “don’t shut me” usinyamazishe/usinzime. Usikariri kuwa alitaka kusema usiniuwe. English is so diverse shida ni wewe unaekariri badala ya kuelewa.
@elishamwaya4074
@elishamwaya4074 6 жыл бұрын
Hahahahaha! mbaazi huk zinaitwa haujaulamba maana hazina bei kabisa yaani ukiomba unapewa bure tu,
@musocar408
@musocar408 6 жыл бұрын
ELISHA MWAYA mmmmhhhh
@fadhilimgohamwelu1891
@fadhilimgohamwelu1891 6 жыл бұрын
Duh kweli wapinzani wa tanzania ni chenga leo unamsifu kikwete ikiwa ndiyo mlikuwa mnamtukana hovyo hovyo azarani
@furahajonas839
@furahajonas839 6 жыл бұрын
kweli sugu sasa umebadilika unachangia fresh
@daudhenry913
@daudhenry913 6 жыл бұрын
Huyu ni Lecture
@vincentmokenye4465
@vincentmokenye4465 4 жыл бұрын
Fact fact fact sugu
@joycejohn7754
@joycejohn7754 6 жыл бұрын
Ujumbe umefika
@georgembilinyi2824
@georgembilinyi2824 4 жыл бұрын
Mbeya city......up
@mbogomagembe6318
@mbogomagembe6318 6 жыл бұрын
huyu mbuge bana kweli msanii anachomekeza ukweli
@ernestomaphie1475
@ernestomaphie1475 5 жыл бұрын
Suguuuu
@bertineddyne610
@bertineddyne610 6 жыл бұрын
You so funny!
@notabenemwakamala7590
@notabenemwakamala7590 6 жыл бұрын
Mh Sugu huwa unazungumza mazuri daima jitihada ya kuzuia radi naziona we jipange kwa yote
@a.j9964
@a.j9964 6 жыл бұрын
Shut????!ulieapload hii video ulipatat ngap english??nadhn ni shoot
@amirmotors9735
@amirmotors9735 6 жыл бұрын
nice ones
@abujamalaalghammawiy7470
@abujamalaalghammawiy7470 6 жыл бұрын
Duh!!! leo Kikwete kakumbukwa??
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 6 ай бұрын
👍✌️👊.
@marcusdonald1472
@marcusdonald1472 6 жыл бұрын
Big up brother
@fredrickmsomba4123
@fredrickmsomba4123 6 жыл бұрын
APPRICIATE NYINGI KWAKO SUGU
@HelakridiWella
@HelakridiWella 3 ай бұрын
2024🎉🎉🎉🎉🎉
@paulmalula8714
@paulmalula8714 6 жыл бұрын
hawa ndo wabunge tunaowahitaji katika bunge letu
@lawrencebundala5769
@lawrencebundala5769 6 жыл бұрын
Eti anamaliza miti tu, Dah! Ama kweli kazi ipo.
@pauloalufayo6145
@pauloalufayo6145 6 жыл бұрын
Kweli tundu lisu wapo wengi ila tundu lisu yuko bungeni haleluya upinzani roho wa bwana yu juu yenu atawalinda kweli
@brownmshan2629
@brownmshan2629 6 жыл бұрын
Huyo ndio sugu moto chini!!
@danielmatya373
@danielmatya373 Жыл бұрын
Daaah Sugu z still Sugu jamaa kanyooka kama chuma
@evodmagidanga7730
@evodmagidanga7730 6 жыл бұрын
Duuuuuh jakaya kawa wa muhimu kwa wapizani hakika mtu huwezi jua umuhimu wake mpaka atoke
@twevebrown2206
@twevebrown2206 6 жыл бұрын
EVOD MAGIDANGA . Rudi shule wewe elimu bure hatakuandika shida
@hudhud2022
@hudhud2022 6 жыл бұрын
EVOD MAGIDANGA Japo ndie alipeleka majeshi kupindua matokeo ya uchaguzi Zanzibar lakini alifanya mazuri yake
@hudhud2022
@hudhud2022 6 жыл бұрын
Kweli kabisa Mheshimiwa Sugu uko mkwe kabisa
@seadkolasnic6894
@seadkolasnic6894 6 жыл бұрын
alikubali kukosolewa ndio maana kasema mwanadiplomasia mzuri
@wilbertcharles9129
@wilbertcharles9129 6 жыл бұрын
nakuonaa
@mossesmlokozi3425
@mossesmlokozi3425 6 жыл бұрын
uko poa
@henrygwalema8508
@henrygwalema8508 6 жыл бұрын
Hamjibu kwa hoja mnasubiri tukoke nje mtufanyie pyuu pyuu Pyuuuu😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-oy8de5jm2j
@user-oy8de5jm2j 10 ай бұрын
Sungu.arudi Mbungen
@paschalboniface8319
@paschalboniface8319 4 жыл бұрын
Uyu jamaa family yake wanajifunia kuwa na mtu kama uyu yani nikichwa sana mungu amlinde sana
@elizabethpondela6482
@elizabethpondela6482 6 жыл бұрын
Hiv ndivyo namna ya kuongea, no matusi ila SMS sent
@vincentmokenye4465
@vincentmokenye4465 4 жыл бұрын
Umeona
@omalisaidi3245
@omalisaidi3245 5 жыл бұрын
nikweli kabisa
@user-qw5ft8xc1e
@user-qw5ft8xc1e 8 ай бұрын
Sugu fundi sana jamaa
@mwakinhosantos6307
@mwakinhosantos6307 4 жыл бұрын
Maelezo mengii.....anamaliza miti tu huyu analeta jangwa
@roggersmwangumbe5382
@roggersmwangumbe5382 6 жыл бұрын
Mi naomba mpunguze bei ya wali maharage, iwe sahani mbili buku!!
@ericgeorge7405
@ericgeorge7405 6 жыл бұрын
🙌motto chini
@iviejustified8109
@iviejustified8109 6 жыл бұрын
Sugu si kwamba ana praise empty bowls... Sugu ana praise right because as the matter of fact Mh. Jakaya alipitia misukosuko saana lakini alikuwa humble.... sijui kama you get me right. sijui!
@harunimfaume6280
@harunimfaume6280 5 жыл бұрын
yalio funguliwa ni ya kikwete na kama kikwete alivyo kua anafungua miladi ya mkapa uwanja na vingine
@saidinalmsofethatsgoodwaya6454
@saidinalmsofethatsgoodwaya6454 4 жыл бұрын
Piu piuuuu
@bigdad1816
@bigdad1816 6 жыл бұрын
Sugu umesema vizuri sans principal and organization this is what this government of ccm .
@onesmolwambano9349
@onesmolwambano9349 6 жыл бұрын
misifaaaaa
@hassanmakweto4012
@hassanmakweto4012 4 жыл бұрын
ET unamaliza miti, unaleta jangwa # sugu we noma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
MWANZO-MWISHO: Mbunge Mnyika alivyotolewa Bungeni na Askari
10:23
Millard Ayo
Рет қаралды 356 М.
KITIMTIM BUNGENI! Wapinzani Waitwa Mbwa, SUGU Aliamsha
12:09
Global TV Online
Рет қаралды 130 М.
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 41 МЛН
WHO CAN RUN FASTER?
00:23
Zhong
Рет қаралды 40 МЛН
艾莎撒娇得到王子的原谅#艾莎
00:24
在逃的公主
Рет қаралды 47 МЛН
CHOCKY MILK.. 🤣 #shorts
00:20
Savage Vlogs
Рет қаралды 28 МЛН
Sugu Amvaa Bashite, Ataka Ashtakiwe, Awaponda Bongo Muvi
11:55
Global TV Online
Рет қаралды 134 М.
Tundu Lissu Aliamsha Dude Sakata la Mikataba ya Madini, Bunge Lachafuka
6:46
Mh. Joseph Mbilinyi: CCM hawashauriki
8:47
Chadema Diaspora
Рет қаралды 162 М.
Ni Tundu Lissu na Joseph Mbilinyi tena Bungeni leo May 5 2017
11:11
Millard Ayo
Рет қаралды 1,4 МЛН
K Sudhakaran In Nerechowe | Old Episode | Manorama News
25:46
Manorama News
Рет қаралды 665 М.
ZITTO KABWE Alivyowasha MOTO Bungeni, SAKATA la KOROSHO
17:08
Global TV Online
Рет қаралды 554 М.
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 41 МЛН