KING MSUKUMA Afunguka Mali Zake Kupigwa Mnada na NBC

  Рет қаралды 156,872

Global TV  Online

Global TV Online

5 жыл бұрын

KING MSUKUMA Afunguka Mali Zake Kupigwa Mnada na NBC
Baada ya taarifa kusambaa katika mitandao ya Kijamii kuwa Mali za mbunge wa Jimbo la Geita Vijijini Joseph Kasheku maarufu kwa jina la King Msukuma kudaiwa zitapigwa mnada na Bank ya NBC kutokana na deni analodaiwa na Bank hiyo.
Msukuma amekanusha taarifa hizo na kudai kuwa hakuna Bank itakayoweza kupiga mnada mali zake kutokana na kampuni yake kulipa mkopo wa Bank kulingana na mkatapa wake na Bank husika.
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe ww.kzbin.info FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Suazi1
/ uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .

Пікірлер: 90
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 4 жыл бұрын
Nakupa tano king Msukuma, safi sanaaaa piga Kazi , hao manyumbu wamezoea hawana agenda
@st99ngeni35
@st99ngeni35 5 жыл бұрын
Yaani wewe musukuma nakupenda sana. Piga kazi achana nao hawawezi kupambana KING.
@fadhilplatnumz6209
@fadhilplatnumz6209 3 жыл бұрын
👍Veema Jembeletu nakuaminia Mkuu
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 5 жыл бұрын
Kasheku Joseph Oyeeee3eeeee👏👏👏😀😀😀😀👆👆👆
@mayungamalegi834
@mayungamalegi834 5 жыл бұрын
Uko sawa kaka na anayekopesheka siku zote anavigezo vyote
@happyngulo2562
@happyngulo2562 5 жыл бұрын
Sawa kaka nakupenda sana mpambanaji
@kabangoamini8431
@kabangoamini8431 4 жыл бұрын
Mwajya 82 uliisha anza biashara mbona bado kijana wakati turikuwa tunaanza vidudu
@neyjoseph7112
@neyjoseph7112 5 жыл бұрын
😍😍😍nakuelewa sana
@innocentsevelin8731
@innocentsevelin8731 5 жыл бұрын
safi sana king
@denniskiango6901
@denniskiango6901 5 жыл бұрын
Tumefurahi sanaaaa...King ni King tu watapoteana na wivu wao CCM Oyeeeeeeeeee.......!!!!!!!!
@edrickniwamanya439
@edrickniwamanya439 5 жыл бұрын
Safi sana
@jamesjames4239
@jamesjames4239 5 жыл бұрын
Hawakujui king musukuma
@DeusNchembah
@DeusNchembah 5 жыл бұрын
Dawa ya deni kulipa, Kiongozi wangu naomba uonyeshe kupotezea maana haujapungukiwa kitu kama ni waongo
@amhamediserengeti4808
@amhamediserengeti4808 5 жыл бұрын
Ndugu usiogope mti wenye matunda ndiyo unaorushiwa mawe .ndugu nakukubari sana we nimpambanaji Mungu atakulinda
@isaahmbawala1591
@isaahmbawala1591 4 жыл бұрын
Kalipee
@samsonnzisabira768
@samsonnzisabira768 5 жыл бұрын
"Mimi siyo masikini" nimeipenda hiyo!!ila shukuru Mungu aliyekutajirisha.
@edinajosephat2562
@edinajosephat2562 4 жыл бұрын
Kumbe ni information ya kweli,
@mhinajohn1548
@mhinajohn1548 5 жыл бұрын
Nakuamini sana
@BabakeNazBeel
@BabakeNazBeel 3 жыл бұрын
Wikipedia states that this honorable member was born in the year 1974 Feb 12th. He states herein (in this clip) that he has been doing business since the year 1982 (themanini na mbili). You can do the math! He has been doing business since he was 8 years old!!
@mayungamalegi834
@mayungamalegi834 5 жыл бұрын
Uko sawa kaka wachalange siasa wanazileta kwenye biashara zako kukopa siyo kosa
MBUNGE MSUKUMA: Kuhusu kuishia Darasa la Saba, kaeleza kila kitu
5:25
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 13 МЛН
MTAALAMU WA TIBA ASILI AFICHUA SIRI YA KUANZISHWA KWA MWENGE WA UHURU
18:53
"RPC ni Mtu mdogo siwezi kuzungumza nae, nimempa siku 3' - MSUKUMA
10:05
Mtiti Tena Bungeni... John Mnyika Afurumushwa Nje ya Bunge na Askari
11:16
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН