Рет қаралды 156,872
KING MSUKUMA Afunguka Mali Zake Kupigwa Mnada na NBC
Baada ya taarifa kusambaa katika mitandao ya Kijamii kuwa Mali za mbunge wa Jimbo la Geita Vijijini Joseph Kasheku maarufu kwa jina la King Msukuma kudaiwa zitapigwa mnada na Bank ya NBC kutokana na deni analodaiwa na Bank hiyo.
Msukuma amekanusha taarifa hizo na kudai kuwa hakuna Bank itakayoweza kupiga mnada mali zake kutokana na kampuni yake kulipa mkopo wa Bank kulingana na mkatapa wake na Bank husika.
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe ww.kzbin.info FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Suazi1
/ uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .