Baba wa kigoma wew nirais wakigoma kwamwendo huu lzima kigoma iwe kisiwa tujitegemee,, mungu akulinde imara
@simonlucas41045 жыл бұрын
Uko vizur kijan Mungu azid kukzixhia uzma n aman uzd kufany makubwa /gonga like hap kam unamkubl Zitto kw hoja n mambo yake
@ahmedkhatibu53876 жыл бұрын
Ya Allah,,,,tujaalie nchi yetu ,,amani ,upendo na mshikamano ,,,tujaalie uwezo wa kutatua changamoto zetu,,,,,tujaalie umoja,,,,sote ni ndugu
@lexisavage17705 жыл бұрын
vizuri sana waziri wetu Lukuvi huyu Zitto hajui anachofanya
@elishachenya65805 жыл бұрын
Sawa ztto👏👍
@erenestkidomela70746 жыл бұрын
Pamoja sana
@paulleo96156 жыл бұрын
Zito apo big up lakn we mubeya. Sana kah
@stellamwasenga62054 жыл бұрын
Seen
@danielpaul39014 жыл бұрын
Jamaani ukweli utabakiya kuwa ukweli
@maicoelias1226 жыл бұрын
one love broo zito
@jei_maimu69576 жыл бұрын
Etiii hamnaaaa hawanaa helaaaaaa😂😂😂😂... nan kasema ilo amenikosha kwel🙌🙌🙌
@justinajonathan15574 жыл бұрын
K
@afrikana22876 жыл бұрын
I'm optimum.
@beatricelucas14546 жыл бұрын
Nakupenda sana zito
@justingeorge20086 жыл бұрын
Bro well grasped
@yohanaevance97846 жыл бұрын
kweli wapinzani wanafanya kazi ya. wananchi
@hajuboy28826 жыл бұрын
nawakubalii sanaaa aitheeee
@shabaniyunusi88316 жыл бұрын
Nmeipenda hoja ya Zito pamoja na aliemfatia amegusa vitu vya kisomi sana
@muhsinmwambule91286 жыл бұрын
Shabani Yunusi, Ni vigumu/ngumu sana kujenga na kutetea hoja na yule ambaye anatumia ushahidi tena wenye uthibitisho, halafu wewe ukatumia fikra tu, wakati jambo lenyewe linaenda kihistoria.
@nasrahussein84086 жыл бұрын
zitto ww ndo maana mm.nakukubaliii👏👏👏👏👏
@ahmadikitwana70276 жыл бұрын
Nasra Hussein kwa lipi sasa!! Zile unazoambiwa changanya na zako.
@bugabyarugaba88526 жыл бұрын
unamkubari? walio mtoroka kwenye chama ndo wanamjua wewe in zuzu hujuwi kilichoko nyuma ya pazia
@nasrahussein84086 жыл бұрын
Buga Byarugaba Ww uko na mtindio wa UBONGO ninda mirembe
@nasrahussein84086 жыл бұрын
Buga Byarugaba Wewe ni duwaziii Amkaaa
@vicoaron4676 жыл бұрын
Nasra Hussein zito noma
@mzelifadaud15606 жыл бұрын
nice
@neybenson78815 жыл бұрын
2020 zito kura yangu unayoo
@jostertweve98966 жыл бұрын
safi sana kaka angu
@napendamazoezi4464 жыл бұрын
Mazwazwa ndani ya bunge kazi yao taarifa tuu
@janethurio24536 жыл бұрын
haki nyinyi wabunge mkicmama kama zito tutaona uelekeo wa nchi yetu. Mungu mlinde zito
@husseinmucky8296 жыл бұрын
Hamna....hamna hela!!
@raymondmunis35535 жыл бұрын
Dah ingekuwa chaguzi ziko huru huyu jamaa anatufaa sana
@maggiemamaafricaofficial70805 жыл бұрын
Miguna miguna wa Tanzania
@zuhubeby94746 жыл бұрын
daaaah kichwa kimoja cha ZITTO kabwe weka vichwa 200 vya wabunge wa fisiem .😂😂😂😂😂😂😂
@cresporhofficiallking18665 жыл бұрын
Duuuh @zitto anabalaa ok
@sostentumbu60454 жыл бұрын
Duh
@loner_wolf5 жыл бұрын
Pesa ipo .... Kusema pesa hakuna huo NI ukiki au ugonjwa wa maisha ..... serikali hii pesa sio kitu chakuuliza.....ipo . Chamsingi acha tuone mradi utasimama au utaanguka . Otherwise tunaenda ktk uchaguzi , wakuanza kuaga viti anzeni kuviaga mapema TU kiroho Safi maana Kama pesa za vikao Kama mlinywea ugimbi basi turudi kwenye udalali wa vyumba mitaani
@samanyaswai62724 жыл бұрын
Wapinzani Tutawakumbuka sana
@abujamalaalghammawiy74704 жыл бұрын
Nani yupo tena hapa baada ya Bunge kumalizika leo tarehe 16/6/2020?
@wapoteenmedia48626 жыл бұрын
zitto ukitulia sehemu moja ni mtu mzuri sana ila wakati mwingine sijuh huwa unawehuka na nn
@abmeleckjuma80146 жыл бұрын
Nasari IMF hawajawahi kuwa marafiki ktk miradi mikubwa ya maendeleo,issue ni nini kifanyike kupata pesa ya huo mradi,ila pia tujitahidi sana na gas litumike vizuri at maximu capacity
@chazylben77116 жыл бұрын
Ila hawa jamaa wanaakir sana naona mungu anamakusudi kuwaweka upinzan
@mohamednassorkisome12165 жыл бұрын
Kama wangekua na hela wasingezuia hela za majanga mhh
@davidichambulia6896 жыл бұрын
Mungu amemuumbua
@msingidamtz66805 жыл бұрын
Tanzania kuna park nyingi sana hainasababu ya kuzuia chanzo cha umeme acheni kutumika
@stanleymavurastanleymavura92956 жыл бұрын
Hawana hela ndio maana wanatutesa
@manmborrow2126 жыл бұрын
Respect
@malekelachinyama97076 жыл бұрын
hii ni tanzania yetu
@damasioxygen8864 Жыл бұрын
Mlipinga ujenzi wa bwawa la Nyerere na la leo limejengwa
@jensennashon61476 жыл бұрын
Eti tuwapige NONDO huh... Mhe. Zitto bhna
@nurumohamedi99725 жыл бұрын
Huamini au ?.
@mako3316 жыл бұрын
Yani ingekuwa possible ningewachukua serikali yote ya CCM niwaweke mahali halafu tuwape hawa so called mapinzani for only one year, ndio Watanzania wajue kelele nje ya uwanja ni rahisi
@oliviaseth46526 жыл бұрын
Zitto umewapatia sana hao maboya
@prettypercy20ans76 жыл бұрын
oyeeeee awana pesa
@mashaurikilawa11856 жыл бұрын
fact should speak itself
@FrancisAMligo6 жыл бұрын
Kwenye mambo ya maendeleo ya nchi vyama vingine kwa kutumia viongozi wao.
@mshindimshindi91206 жыл бұрын
Hata kama watu hawatoi comments angalieni like ziko ngapi hii itatoa majibu
@akidasalim97986 жыл бұрын
Hahahaaaa.eti wana pesa.maisha yamekuwa mkwamo mkubwa wastaafu hawapewi madai yao.
@petermatonya68905 жыл бұрын
Kila siku sera ni zilezili, kujenga barabara, vituo vya afya, shule, maji, umeme, hizi sera zitatekelezwa lini? Jiulize ungekuwa unagombea nafasi ya uongozi ulaya au marekani ungeongea sera gani? mana kule hamna hizi sera.
@kabodasugwejo14876 жыл бұрын
ushauri wangu wa Tangazo la hiyo app, mumelezea mtu download hiyo app, Lakin munapaswa kumwelekeza mtu sehemu ya kuingia na kupakua hiyo app, musiji elezee nyie, elezea user, wangapi wanajua google play store????? Onesha jinsi ya kuingia google play store na jinsi ya ku pakua
@mwebraniaonline70015 жыл бұрын
ZITO KWELIIII
@doctorzero-dj5xg4 жыл бұрын
Hata Mimi suelewi mpango wa gas umeishia wapi?? Na unajengwa mwingine .
@chumizola18475 жыл бұрын
Uyo si ndio aliyempemsafirisha mke wake USA kwa ajili ya kujifungua ( tz hakuna hospitali ya maana, hakuna umeme) na hakutoa taarifa ya kutokuudhulia vipindi vya bunge?
@makongoronyerere25954 жыл бұрын
Hahaha, gd life has not come like dream
@allymohamed15635 жыл бұрын
Yani wabunge wa CCM ndio wapinzani!
@freddy-zanzibar4438 ай бұрын
Watoto wenu wanasoma kwenye hizo shule mnazo zijenga huko kwenye national received?pumbavu kumbe enheeee!!!!
@mzeebaba21846 жыл бұрын
Sema wachu sema wachu kigoma moja
@ahmadikitwana70276 жыл бұрын
Hawa jamaa sitawaamini hata kidogo, leo wanauliza pesa ziko wapi wanataka waletewe pesa bungeni waambiwe pesa hizi ili wabadilishe maneno!! Waliwahi kusema kuhusu mkataba wa muungano!! Mapovu yaliwatoka kweli kweli kila mtu akajua inawezekana kweli mkataba haupo, Kikwete alivyoupeleka bungeni, wakabadili maneno kwamba sahihi ya Karume imegushiwa sio hati yake!!leo wanasema pesa hakuna wakionyeshwa watabadili maneno ndio zao hizo, tangu siku ile nilipoteza imani nao kwa kila wanachoongea najua wanauza sura tu.
@ramsharuna89536 жыл бұрын
🙋
@primordial106 жыл бұрын
Asante zitto
@jafariakili87626 жыл бұрын
Mh!
@mahfoudhmabrouk8095 жыл бұрын
Hii kauli ya bwn LUKUVI ni kinyume na ile iliyotolewa kipindi kile walivyotaka kuzalisha umeme kwenye mto malagalasi huko Kigoma Nakumbuka kuna wazir alisema pale kuna VYURA aina yake ambao ni kivutio cha watalii. Hadi Leo kule kwa akina zitto KIGOMA hawana umeme wa kujitosheleza...!!!
@jamesmasome3596 жыл бұрын
Tatizo wanasiasa watazania karibu wote niwapigapolojo.
zito kichwa chako kina charenge sana yan wanapaswa walau kuku pongeza
@yohanahaule19416 жыл бұрын
Pesa hamna ninyi, mnakopa kimya kimya.... Haahaah tell em Zitto
@josephkobelo55796 жыл бұрын
zito kiboko yao
@dovicochristopher53886 жыл бұрын
yohana haule Hawa ndo wabunge mzee
@allysanani59676 жыл бұрын
yohana haule kwann viongoz kama hawawasipewe nafac katika taifa ili watuletee mandeleo
@jumajasjas29256 жыл бұрын
kuna haruf ya ufisad apo kweny huu mradi.... maana hawasikii la mdani sala wala saut za kanisa.... wangekomaa na gesi kwanza na sio kutafuta kaul za kweny kampen kwa kitu ambacho hawajakifanyia uchunguz wa kina
@amosgwadenga70536 жыл бұрын
Wachumia tumbo bana wao ( ccm)ni kupiga makofi
@hazibonplatformafrica96174 жыл бұрын
Namuombea ZZK arudi bunge lijalo
@davidichambulia6896 жыл бұрын
zitto maaskofu walishaona kitambo wanaojifanya wazalendo ndio wezi Mungu amemuumba
@iddymatata22026 жыл бұрын
Huku private sector usipofanya tathimini za adhari ya mazingira .....utaishia kulipa faini ...serikali yetu inatakiwa kuwa mfano kwanza
@sazafsuma75426 жыл бұрын
hamna pesa acheni majigambo pesa hamna mnajinogesha
@desdelemmanuel2275 жыл бұрын
Zitto siku zote hutaki maendeleo ya Tz. Bahati yetu wenye uchawi wao walikufa nao. Tungepata tabu sana.
@richardtv83395 жыл бұрын
Ccm bhana we sema ila cc mbele mbele yao
@eliudibrahim30586 жыл бұрын
wapige nondo mbwa hawaa
@heliernest47546 жыл бұрын
Afazali kidogo zito mambo yakuadamana, namengine kama hayo umewaachia Mh, Lema , maaskof nawengine WW TUMEONA KUA UNAFANYA UPINZA ULIO KOMAA NA ULIO ENDELEA saf Mh zitto saaaf kabiza ,, tumeona madiwan wa ccm na saiv stigrag .. Saf
@hudhud20226 жыл бұрын
Heli Ernest Ndio upinzani unavyokuwa hawa wanajitahidi lile wengine jengine maandamano pia yana umuhimu wake kwa nchi zenye democrasia ya kweli Uingereza juzi waliandamana kupinga Serikali yao wasende vitani Syria hawakuguguswa hata na nzi askari hata silaha hawana ndio kwanza wanawaelekeza watu njia ya kupita kwanini kwetu yazuiliwe