ZITTO KABWE: "Tulieni Niwapige Nondo, Hamna Pesa Nyinyi"

  Рет қаралды 661,031

Global TV  Online

Global TV Online

6 жыл бұрын

ZITTO KABWE: "Tulieni Niwapige Nondo, Hamna Pesa Nyinyi"
Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe ameambia serikali kuwa inapanaga kutekeleza miradi mikubwa ili hali haina pesa ya kutekeleza miradi hiyo ambayo ameielezea kuwa ni gharama kubwa.
Tupate taarifa kamili kutoka kwa Catherine Kahabi…..
Akichangia hotuba ya Bajeti ya ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Zitto amesema kuwa licha ya kujigamba kuwa serikali ina uwezo wa kujenga mradi huo lakini ukweli ni kwamba haina pesa ya kufanya miradi hiyo.
Awali akitolea ufafanuzi suala hilo waziri wa Ardhi, nyumba na Maendeleo ya makazi William Lukuvi amesema, suala la ujenzi wa mradi wa kuzalisha umeme wa stiglers linamanufaa makubwa kwa taifa.
iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

Пікірлер: 321
@pambanomwadia4946
@pambanomwadia4946 6 жыл бұрын
kweli huyu jamaa nomaa xana anaongea point kama jina lake zito
@allenclemence
@allenclemence 6 жыл бұрын
OMG! What is on Zitto's mind, he is so bright, #his brain is full of fact.
@johnsonchonja4032
@johnsonchonja4032 6 жыл бұрын
daaaah 🙌🙌🙌🙌zitto we noma nimekuelewa
@dottosamweli2364
@dottosamweli2364 6 жыл бұрын
Zito kabwe ww nakukubali sana
@kfastak
@kfastak 6 жыл бұрын
Wapige nondo. Safi sanaaa
@abeidmayanga809
@abeidmayanga809 6 жыл бұрын
jama zitto mungu akulinde
@hosianajosephu4296
@hosianajosephu4296 4 жыл бұрын
Tunakuombea mbunge wetu... We loves u!!!!
@deojohn1413
@deojohn1413 6 жыл бұрын
Asante kk nondo nimeziona!!!
@abdyup-d5108
@abdyup-d5108 6 жыл бұрын
Pesa wanaiba wanayo 👏👏👏
@zuhubeby9474
@zuhubeby9474 6 жыл бұрын
daaaah kichwa kimoja cha ZITTO kabwe weka vichwa 200 vya wabunge wa fisiem .😂😂😂😂😂😂😂
@cresporhofficiallking1866
@cresporhofficiallking1866 4 жыл бұрын
Duuuh @zitto anabalaa ok
@sostentumbu6045
@sostentumbu6045 4 жыл бұрын
Duh
@nicolausekama5976
@nicolausekama5976 6 жыл бұрын
Ahsante Zito,Akili kubwa vs akili ndogo! Nafasi walizokalia zinawapwaya na hawataki kuonekana vilaza!Wape shule master!
@amaninaupendo.3539
@amaninaupendo.3539 5 жыл бұрын
Amen Amen. Mzee Lukuvi nenda kijiji cha buiko uko korogwe tanga kasikilize kilio cha wananchi . asante. Mungu akupe hekima. Amen.
@nasrahussein8408
@nasrahussein8408 6 жыл бұрын
zitto ww ndo maana mm.nakukubaliii👏👏👏👏👏
@ahmadikitwana7027
@ahmadikitwana7027 6 жыл бұрын
Nasra Hussein kwa lipi sasa!! Zile unazoambiwa changanya na zako.
@bugabyarugaba8852
@bugabyarugaba8852 6 жыл бұрын
unamkubari? walio mtoroka kwenye chama ndo wanamjua wewe in zuzu hujuwi kilichoko nyuma ya pazia
@nasrahussein8408
@nasrahussein8408 6 жыл бұрын
Buga Byarugaba Ww uko na mtindio wa UBONGO ninda mirembe
@nasrahussein8408
@nasrahussein8408 6 жыл бұрын
Buga Byarugaba Wewe ni duwaziii Amkaaa
@vicoaron467
@vicoaron467 6 жыл бұрын
Nasra Hussein zito noma
@elishachenya6580
@elishachenya6580 4 жыл бұрын
Sawa ztto👏👍
@simonlucas4104
@simonlucas4104 4 жыл бұрын
Uko vizur kijan Mungu azid kukzixhia uzma n aman uzd kufany makubwa /gonga like hap kam unamkubl Zitto kw hoja n mambo yake
@jastinefaustin9982
@jastinefaustin9982 6 жыл бұрын
Hongera sana zito kwa hoja yako nzur ikiambatana na mifano hai.
@pascarmwatosya5855
@pascarmwatosya5855 6 жыл бұрын
Daa mungu atusaidie
@shabaniyunusi8831
@shabaniyunusi8831 6 жыл бұрын
Nmeipenda hoja ya Zito pamoja na aliemfatia amegusa vitu vya kisomi sana
@muhsinmwambule9128
@muhsinmwambule9128 6 жыл бұрын
Shabani Yunusi, Ni vigumu/ngumu sana kujenga na kutetea hoja na yule ambaye anatumia ushahidi tena wenye uthibitisho, halafu wewe ukatumia fikra tu, wakati jambo lenyewe linaenda kihistoria.
@maicoelias122
@maicoelias122 6 жыл бұрын
one love broo zito
@paulleo9615
@paulleo9615 6 жыл бұрын
Zito apo big up lakn we mubeya. Sana kah
@erenestkidomela7074
@erenestkidomela7074 5 жыл бұрын
Pamoja sana
@justingeorge2008
@justingeorge2008 6 жыл бұрын
Bro well grasped
@stellamwasenga6205
@stellamwasenga6205 3 жыл бұрын
Seen
@hajuboy2882
@hajuboy2882 6 жыл бұрын
nawakubalii sanaaa aitheeee
@ahmedkhatibu5387
@ahmedkhatibu5387 6 жыл бұрын
Ya Allah,,,,tujaalie nchi yetu ,,amani ,upendo na mshikamano ,,,tujaalie uwezo wa kutatua changamoto zetu,,,,,tujaalie umoja,,,,sote ni ndugu
@desderymugasha7927
@desderymugasha7927 5 жыл бұрын
Big-up kamanda Zitto piga nondo.
@ilovemiginamygodblessumany2466
@ilovemiginamygodblessumany2466 6 жыл бұрын
#Wewe..Zit0..Mungu..Akujalia..Sana..Maisha..Marefu..
@beatricelucas1454
@beatricelucas1454 6 жыл бұрын
Nakupenda sana zito
@mzelifadaud1560
@mzelifadaud1560 6 жыл бұрын
nice
@yohanaevance9784
@yohanaevance9784 6 жыл бұрын
kweli wapinzani wanafanya kazi ya. wananchi
@WorldView24hrs
@WorldView24hrs 2 жыл бұрын
Zitto 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💜💜💜💜💜
@sylvestermasunzu8205
@sylvestermasunzu8205 4 жыл бұрын
Baba wa kigoma wew nirais wakigoma kwamwendo huu lzima kigoma iwe kisiwa tujitegemee,, mungu akulinde imara
@janethurio2453
@janethurio2453 6 жыл бұрын
haki nyinyi wabunge mkicmama kama zito tutaona uelekeo wa nchi yetu. Mungu mlinde zito
@manmborrow212
@manmborrow212 6 жыл бұрын
Respect
@mako331
@mako331 6 жыл бұрын
Yani ingekuwa possible ningewachukua serikali yote ya CCM niwaweke mahali halafu tuwape hawa so called mapinzani for only one year, ndio Watanzania wajue kelele nje ya uwanja ni rahisi
@arqamibnarqam.7185
@arqamibnarqam.7185 4 жыл бұрын
Really fact.
@jei_maimu6957
@jei_maimu6957 6 жыл бұрын
Etiii hamnaaaa hawanaa helaaaaaa😂😂😂😂... nan kasema ilo amenikosha kwel🙌🙌🙌
@justinajonathan1557
@justinajonathan1557 3 жыл бұрын
K
@lexisavage1770
@lexisavage1770 5 жыл бұрын
vizuri sana waziri wetu Lukuvi huyu Zitto hajui anachofanya
@ramsharuna8953
@ramsharuna8953 6 жыл бұрын
🙋
@afrikana2287
@afrikana2287 5 жыл бұрын
I'm optimum.
@husseinmucky829
@husseinmucky829 5 жыл бұрын
Hamna....hamna hela!!
@yohanahaule1941
@yohanahaule1941 6 жыл бұрын
Pesa hamna ninyi, mnakopa kimya kimya.... Haahaah tell em Zitto
@josephkobelo5579
@josephkobelo5579 6 жыл бұрын
zito kiboko yao
@dovicochristopher5388
@dovicochristopher5388 6 жыл бұрын
yohana haule Hawa ndo wabunge mzee
@allysanani5967
@allysanani5967 6 жыл бұрын
yohana haule kwann viongoz kama hawawasipewe nafac katika taifa ili watuletee mandeleo
@jabbydux
@jabbydux 6 жыл бұрын
Eti tulieni niwapige nondo! Zitto bhana, wapige nondo baba
@nurumohamedi9972
@nurumohamedi9972 5 жыл бұрын
Wewe mbulula inaonekana hujakulia kwa wastaarabu kwani matusi ndo dili?.
@alvangidion9366
@alvangidion9366 4 жыл бұрын
Sasahvi vipy , je pesa haipo au mradi haujengwi,, mwambieni zitto aseme Tena,
@jostertweve9896
@jostertweve9896 6 жыл бұрын
safi sana kaka angu
@mzeebaba2184
@mzeebaba2184 6 жыл бұрын
Sema wachu sema wachu kigoma moja
@heliernest4754
@heliernest4754 6 жыл бұрын
Afazali kidogo zito mambo yakuadamana, namengine kama hayo umewaachia Mh, Lema , maaskof nawengine WW TUMEONA KUA UNAFANYA UPINZA ULIO KOMAA NA ULIO ENDELEA saf Mh zitto saaaf kabiza ,, tumeona madiwan wa ccm na saiv stigrag .. Saf
@hudhud2022
@hudhud2022 6 жыл бұрын
Heli Ernest Ndio upinzani unavyokuwa hawa wanajitahidi lile wengine jengine maandamano pia yana umuhimu wake kwa nchi zenye democrasia ya kweli Uingereza juzi waliandamana kupinga Serikali yao wasende vitani Syria hawakuguguswa hata na nzi askari hata silaha hawana ndio kwanza wanawaelekeza watu njia ya kupita kwanini kwetu yazuiliwe
@absyabdallah1873
@absyabdallah1873 6 жыл бұрын
Mandamano pembeni, magufuli kashatoa amri huyu akamatwe
@daudijohn9007
@daudijohn9007 6 жыл бұрын
Heli Ernest
@nurumohamedi9972
@nurumohamedi9972 5 жыл бұрын
Pole kaka keke za chura hazimzuii fisi kunywa maji zito na kelele zake ni bure tuu kamahakuna mabadiliko kwa wasioona shida za watu.
@davidichambulia689
@davidichambulia689 6 жыл бұрын
zitto maaskofu walishaona kitambo wanaojifanya wazalendo ndio wezi Mungu amemuumba
@abmeleckjuma8014
@abmeleckjuma8014 6 жыл бұрын
Nasari IMF hawajawahi kuwa marafiki ktk miradi mikubwa ya maendeleo,issue ni nini kifanyike kupata pesa ya huo mradi,ila pia tujitahidi sana na gas litumike vizuri at maximu capacity
@neybenson7881
@neybenson7881 4 жыл бұрын
2020 zito kura yangu unayoo
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 6 жыл бұрын
"MNAFANYA SIASA, ILA UKWELI MNAUJUA" Duh #ZITTO ANAJUA KUWAKABA KOO.. #CAG
@abujamalaalghammawiy7470
@abujamalaalghammawiy7470 4 жыл бұрын
Nani yupo tena hapa baada ya Bunge kumalizika leo tarehe 16/6/2020?
@mshindimshindi9120
@mshindimshindi9120 6 жыл бұрын
Hata kama watu hawatoi comments angalieni like ziko ngapi hii itatoa majibu
@damasioxygen8864
@damasioxygen8864 10 ай бұрын
Mlipinga ujenzi wa bwawa la Nyerere na la leo limejengwa
@jensennashon6147
@jensennashon6147 6 жыл бұрын
Eti tuwapige NONDO huh... Mhe. Zitto bhna
@nurumohamedi9972
@nurumohamedi9972 5 жыл бұрын
Huamini au ?.
@loner_wolf
@loner_wolf 4 жыл бұрын
Pesa ipo .... Kusema pesa hakuna huo NI ukiki au ugonjwa wa maisha ..... serikali hii pesa sio kitu chakuuliza.....ipo . Chamsingi acha tuone mradi utasimama au utaanguka . Otherwise tunaenda ktk uchaguzi , wakuanza kuaga viti anzeni kuviaga mapema TU kiroho Safi maana Kama pesa za vikao Kama mlinywea ugimbi basi turudi kwenye udalali wa vyumba mitaani
@clt9914
@clt9914 6 жыл бұрын
Zitto, Zitto! Hydro-power haitumii maji quantitatively. Hydro ni non-consumptive user wa maji. Hydro inachuma energy na kuacaha maji yaendelee. Jengeni argument zenye shule!
@jumajasjas2925
@jumajasjas2925 6 жыл бұрын
CL T uo uchunguz umefanya ww kweny uo mrad au unakariri kila ktu hujui athari... ushaambiwa maj yamepungua unadhan ukiondoa izo lita zote kueka kweny bwawa la umeme utaathir shughul ngap za kibinadam.... Suala sio umeme suala n kufanya uchunguz kipind hiki na sio kufanya vtu kwa uchunguz wa enz za mwalim
@chrisselite
@chrisselite 6 жыл бұрын
Maji ni limited resource au unlimited? Kwanza jibu hapo. Halafu umeambiwa toka 1974 mpaka leo kuna asilimia 40% zimepotea... Sijui mm sijasikia
@chrisselite
@chrisselite 6 жыл бұрын
Halafu kwann mara gas, mara stigler ?
@salummakullah9031
@salummakullah9031 6 жыл бұрын
Wewe ni mhandisi wa wapi? Umekalili si ndio ya kwenye vitabu eeeh??
@hamzaomar9731
@hamzaomar9731 4 жыл бұрын
Hhhhhh huyu nae kanichekesh , ukaseme nin ww mbele ya Kabwe , ijue nafas yko mda mwengine hhhhhhhh
@makongoronyerere2595
@makongoronyerere2595 4 жыл бұрын
Hahaha, gd life has not come like dream
@prettypercy20ans7
@prettypercy20ans7 6 жыл бұрын
oyeeeee awana pesa
@raymondmunis3553
@raymondmunis3553 4 жыл бұрын
Dah ingekuwa chaguzi ziko huru huyu jamaa anatufaa sana
@FrancisAMligo
@FrancisAMligo 5 жыл бұрын
Kwenye mambo ya maendeleo ya nchi vyama vingine kwa kutumia viongozi wao.
@akidasalim9798
@akidasalim9798 5 жыл бұрын
Hahahaaaa.eti wana pesa.maisha yamekuwa mkwamo mkubwa wastaafu hawapewi madai yao.
@mwebraniaonline7001
@mwebraniaonline7001 4 жыл бұрын
ZITO KWELIIII
@freddy-zanzibar443
@freddy-zanzibar443 Ай бұрын
Watoto wenu wanasoma kwenye hizo shule mnazo zijenga huko kwenye national received?pumbavu kumbe enheeee!!!!
@danielpaul3901
@danielpaul3901 4 жыл бұрын
Jamaani ukweli utabakiya kuwa ukweli
@mahfoudhmabrouk809
@mahfoudhmabrouk809 5 жыл бұрын
Hii kauli ya bwn LUKUVI ni kinyume na ile iliyotolewa kipindi kile walivyotaka kuzalisha umeme kwenye mto malagalasi huko Kigoma Nakumbuka kuna wazir alisema pale kuna VYURA aina yake ambao ni kivutio cha watalii. Hadi Leo kule kwa akina zitto KIGOMA hawana umeme wa kujitosheleza...!!!
@mashaurikilawa1185
@mashaurikilawa1185 6 жыл бұрын
fact should speak itself
@samanyaswai6272
@samanyaswai6272 3 жыл бұрын
Wapinzani Tutawakumbuka sana
@napendamazoezi446
@napendamazoezi446 4 жыл бұрын
Mazwazwa ndani ya bunge kazi yao taarifa tuu
@AhmedAli-qr9ug
@AhmedAli-qr9ug 4 жыл бұрын
Mudaaaa mudaaaaa mudaaaaa😂😂😂😂😂
@samanyaswai6272
@samanyaswai6272 4 жыл бұрын
Waache wapigwe nondo
@maggiemamaafricaofficial7080
@maggiemamaafricaofficial7080 4 жыл бұрын
Miguna miguna wa Tanzania
@wapoteenmedia4862
@wapoteenmedia4862 6 жыл бұрын
zitto ukitulia sehemu moja ni mtu mzuri sana ila wakati mwingine sijuh huwa unawehuka na nn
@sillyvesterwilliam2535
@sillyvesterwilliam2535 5 жыл бұрын
Ukweli huyu bwana zitto yuko vzr namkubali sn natamaani kukuona ukiwa president wa tz
@husseinayoub6847
@husseinayoub6847 5 жыл бұрын
zito kichwa chako kina charenge sana yan wanapaswa walau kuku pongeza
@chazylben7711
@chazylben7711 6 жыл бұрын
Ila hawa jamaa wanaakir sana naona mungu anamakusudi kuwaweka upinzan
@vivianoforo2368
@vivianoforo2368 6 жыл бұрын
Woyooooo zitooooo
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 6 жыл бұрын
Zitto umewapatia sana hao maboya
@kasmirilamiye6991
@kasmirilamiye6991 6 жыл бұрын
ukiishiwa nondo nakuretea zingine chezea Zitto nondo
@happyfiverickaldo4662
@happyfiverickaldo4662 5 жыл бұрын
Hatariiiii upinzani sihami Leo wala keshoooo
@jumanyangi4330
@jumanyangi4330 5 жыл бұрын
tulia niwapige nondooooooooo nyinyi ccm hovyooooooooooo sana kazi kupiga makofiiiiii fyuuuuuuuuuuu
@peterbayo4677
@peterbayo4677 6 жыл бұрын
Huyu Zito Kabwe ni tatizo kubwa!!! Loh!!!!
@chillumbadionice1370
@chillumbadionice1370 6 жыл бұрын
Peter Bayo n kweli hao ccm ni watu wa kudanganyadanganya
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 6 жыл бұрын
Peter Bayo Yeah, nitatizo maana anasemaj UKWELI? Angekausha tu!
@charmerray8418
@charmerray8418 6 жыл бұрын
Peter Bayo Tatizo nyie mnaokataa ukweli zito sio tobwe kama nyie mnojitia hamnazo na hilo zombie lenu Magufuri na Lukuvi na hivyo vyombo venu vya dola
@charmerray8418
@charmerray8418 6 жыл бұрын
Toka rini ccm wakasema kweli
@rushtutrushtut9067
@rushtutrushtut9067 6 жыл бұрын
Peter Bayo wewe ndio tatizo
@iddiaman6418
@iddiaman6418 6 жыл бұрын
Safi zito unasema kweli wahusika wamemute hahaha
@njaunestory761
@njaunestory761 6 жыл бұрын
Hahahhaahha serikali bana yaaaan kila kiongozi anajitamba ana hela alafu badae analalamika pesa ya miradi jimboni kwake haikuja kabisa wengine zilikuja kidogooo
@chumizola1847
@chumizola1847 5 жыл бұрын
Uyo si ndio aliyempemsafirisha mke wake USA kwa ajili ya kujifungua ( tz hakuna hospitali ya maana, hakuna umeme) na hakutoa taarifa ya kutokuudhulia vipindi vya bunge?
@donaldnelson9226
@donaldnelson9226 6 жыл бұрын
Hawana hela hao siasa tu hizo.
@desdelemmanuel227
@desdelemmanuel227 4 жыл бұрын
Zitto siku zote hutaki maendeleo ya Tz. Bahati yetu wenye uchawi wao walikufa nao. Tungepata tabu sana.
@nuhubalandya9164
@nuhubalandya9164 6 жыл бұрын
" Don't Denny facts"
@petermatonya6890
@petermatonya6890 4 жыл бұрын
Kila siku sera ni zilezili, kujenga barabara, vituo vya afya, shule, maji, umeme, hizi sera zitatekelezwa lini? Jiulize ungekuwa unagombea nafasi ya uongozi ulaya au marekani ungeongea sera gani? mana kule hamna hizi sera.
@iddymatata2202
@iddymatata2202 6 жыл бұрын
Huku private sector usipofanya tathimini za adhari ya mazingira .....utaishia kulipa faini ...serikali yetu inatakiwa kuwa mfano kwanza
@fredrickkiberenge7569
@fredrickkiberenge7569 6 жыл бұрын
Et muda muda,yaan wabunge wa CCM sijui wamelogwa
@batulemwamwaja6524
@batulemwamwaja6524 6 жыл бұрын
Zitto wewe na Mimi ndio hazina ya nchi hii ya Tanzania
@malingazeboss9351
@malingazeboss9351 3 жыл бұрын
Serikari Haina hela, lukuvi unatudanganya!;!!!
@hazibonplatformafrica9617
@hazibonplatformafrica9617 4 жыл бұрын
Namuombea ZZK arudi bunge lijalo
@ahmadikitwana7027
@ahmadikitwana7027 6 жыл бұрын
Hawa jamaa sitawaamini hata kidogo, leo wanauliza pesa ziko wapi wanataka waletewe pesa bungeni waambiwe pesa hizi ili wabadilishe maneno!! Waliwahi kusema kuhusu mkataba wa muungano!! Mapovu yaliwatoka kweli kweli kila mtu akajua inawezekana kweli mkataba haupo, Kikwete alivyoupeleka bungeni, wakabadili maneno kwamba sahihi ya Karume imegushiwa sio hati yake!!leo wanasema pesa hakuna wakionyeshwa watabadili maneno ndio zao hizo, tangu siku ile nilipoteza imani nao kwa kila wanachoongea najua wanauza sura tu.
@abmeleckjuma8014
@abmeleckjuma8014 6 жыл бұрын
Zitto hauko objective issue ni mradi ukamilike au kutokuwa na pesa na kama pesa hakuna tufanyaje?
@manonimshindikwa1974
@manonimshindikwa1974 4 жыл бұрын
Umesema Jambo kwel awe specific afu aseme kwa umoja Mana SS wote watanzania habar za kusema wanabomba inamaana anajiexclude
@primordial10
@primordial10 6 жыл бұрын
Asante zitto
@deusywikes610
@deusywikes610 5 жыл бұрын
Wabunge waache siasa waziri wabanwe nyinyi ccm wabunge tumewachagua muwabane mawaziri sio taarifa mwenyekiti kuvuruga hoja msiangalie matumbo yenu watu wananjaa
@beatusmushi2686
@beatusmushi2686 6 жыл бұрын
Hahaa! Kweli hizo nondo. Tena za moto. Likuvi kumbe wewe boga tu. Hamjumbuki bandari ya Bagamoyo nayo iliwashinda?
@hollokubu118
@hollokubu118 4 жыл бұрын
Kwel
@msingidamtz6680
@msingidamtz6680 5 жыл бұрын
Tanzania kuna park nyingi sana hainasababu ya kuzuia chanzo cha umeme acheni kutumika
@danieliskander9680
@danieliskander9680 6 жыл бұрын
Laiti Bunge lingekatazwa kuletaleta taarifa.
@yassiniferuzi2867
@yassiniferuzi2867 4 жыл бұрын
Wewe ZZK njaa tu wewe huwezi kuwa sawa na lukuvi wewe kuwadi wa mabeberu
@ernesthakihuinuataifa641
@ernesthakihuinuataifa641 6 жыл бұрын
Kama zipo hizo pesa ajira tafadhali tunahitaji.
ZITTO KABWE Alivyowasha MOTO Bungeni, SAKATA la KOROSHO
17:08
Global TV Online
Рет қаралды 553 М.
Zitto Kabwe VS Waziri Kabudi Bungeni leo 'Siingii mtegoni ng'o'
5:47
I CAN’T BELIEVE I LOST 😱
00:46
Topper Guild
Рет қаралды 102 МЛН
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 76 МЛН
Zitto Kabwe 'ACHARUKA' Bungeni "Tusije Kulaumiana, Siasa Itakuwa Ngumu"
15:02
MBUNGE BWEGE: "Mnaua, Mnateka tu, Mlitaka Kuninunua nikakataa"
11:46
Global TV Online
Рет қаралды 749 М.
Waziri Ashindwa Kujizuia  "Nitaleta Marks Zenu Hapa"
14:04
Global TV Online
Рет қаралды 325 М.
HOTUBA ISIYO SAHAULIKA YA SHUJAA WETU, HAYATI DEO FILIKUNJOMBE (Mbunge)
9:16
ST MEDIA (Simba technology Media)
Рет қаралды 37 М.
Simba SC ilivyoichapa Nkana FC goli 3-1
6:24
Azam TV
Рет қаралды 10 МЛН
I CAN’T BELIEVE I LOST 😱
00:46
Topper Guild
Рет қаралды 102 МЛН