RAIS RUTO AULIZWA KUHUSU MTOTO wa MIAKA 12 ALIYEPIGWA RISASI 8 KWENYE MAANDAMANO - AJIBU...

  Рет қаралды 15,169

Global TV  Online

Global TV Online

7 күн бұрын

RAIS RUTO AULIZWA KUHUSU MTOTO wa MIAKA 12 ALIYEPIGWA RISASI 8 KWENYE MAANDAMANO - AJIBU...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 44
@jacklinezombo5806
@jacklinezombo5806 5 күн бұрын
uyu ruto Yani anaona kua raisi basi anadhani kutawala adi watu umu kenya anaweza fanya lolote Aki wewe ruto utalipia kila ulilo lifanya
@abusalmaabdullah2093
@abusalmaabdullah2093 4 күн бұрын
Initially i was in total agreement with rest of the kenyans who thought the president was lying but now i have realized that he is right in most of what the president says is TRUE
@MusaOgwoko
@MusaOgwoko 5 күн бұрын
Ruto una Mali nyingi sana wakenya watachukuwa yote na kufugwa nimeota Niko Tz
@sarahkeivaly3351
@sarahkeivaly3351 5 күн бұрын
Nchi yako iko kwenye mfadhaiko mkubwa na ww uko hapo unastarehe na kukunja nne, kweli ww ni mtu mwenye moyo mbaya kweli kweli
@daudiniyonsaba1113
@daudiniyonsaba1113 5 күн бұрын
Who is interviewing who? Mr President, it is clear that situation is out of hand unfortunately.
@MoinaminaAmina-qh1jb
@MoinaminaAmina-qh1jb 5 күн бұрын
Magaidi wa Haïti wana anza kusema kwenye mitandao kua wata wachoma polisi wa Kenya walio kwenda kwenye nchi yao
@VanishMoraa-iu3om
@VanishMoraa-iu3om 4 күн бұрын
Uongozi mbaya
@hateemmerj6020
@hateemmerj6020 5 күн бұрын
Ruto muongo sana yaani mtu awapokonye askari bunduki halafu aue raia badala ya police??wewe acha kutubeba ufala
@CharlesSomeke-ml7ju
@CharlesSomeke-ml7ju 5 күн бұрын
Hivi ninyi hao askari mnawachukulia kua ni miti mnawapiga mawe wao hawana uchungu?
@eunicemulaa939
@eunicemulaa939 5 күн бұрын
He's not even sure who he's talking about, and yet goes on to explain....
@VanessaMatti
@VanessaMatti 5 күн бұрын
​@@CharlesSomeke-ml7juusitumie hii akili kuvuka barabara ukiwa busy
@sabihasalim942
@sabihasalim942 5 күн бұрын
Good question !!!!🇬🇧👍🏽
@johnlobuin4212
@johnlobuin4212 5 күн бұрын
​@@CharlesSomeke-ml7ju If it is a rivalry, then the citizens too be armed and go with police in a range competition.
@elnorahmjomb1896
@elnorahmjomb1896 5 күн бұрын
Mungu sijui tunaongozwa na mtu wa aina gani
@tausikiyabo6302
@tausikiyabo6302 5 күн бұрын
hv hawa lugha yao ya taifa ni kiswahili lkn wanakuwa watumwa hongra Uhuru Kenyata
@eliahmahega5639
@eliahmahega5639 5 күн бұрын
Kingereza na kuswahili.....tanzania tu kiswahili ndio lugha ya taifa pekee
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 5 күн бұрын
Mhe Ruto Nchi inapitia wakati mgumu waache Polisi wakusaidie kutuliza ghasia, haya mambo ya kuiga wakina Biden kuita waandishi wa Habari sio poa , Waite baadae kukishatulia , Wakenya wameamua kuiharibu Nchi Yao na wewe umekula kiapo kulinda raia wema na Mali zao, ukianza kuita hizi media kukuhoji zitakuchanganya , wewe ni Rais halali kwasasa Ungekaa kimyaaaa hadi Polisi watakapo maliza hizi kadhia
@sankofaman4112
@sankofaman4112 5 күн бұрын
Wafkiri ni rais wa Tanzania? Kenya inaongozwa na katiba na rais sharti aeleze nchi kwenye vyombo vikuu vya habari kila kunapotokea jambo. Vyombo vya habari vya Kenya vina uwezo ki katiba kumuita rais interview, sio yeye aliyewaita.
@sankofaman4112
@sankofaman4112 5 күн бұрын
Halafu ujue wa Kenya wanatengeza nchi yao, anayeharibu nchi ni yeye. Pia rais wa kenya hana mamlaka juu ya polisi. Kenya police is a service, not a force, na polisi ukiua unakwenda mahakamani mwenyewe, sio rais. Wewe tulia uangalie tu. Kenya hata ikibomoka Tanzania tutakuja kuwakuta hapohapo tu mkipiga mark time.
@philemornmutta1597
@philemornmutta1597 5 күн бұрын
Mmmmmmmmmhhhhhhhhhhh poleni sana ila wanaoumia ni wafiwa yaani wajane yatima n.k​@@sankofaman4112
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 4 күн бұрын
​@@sankofaman4112😂😂 sisi maroboti wanatufanya watakavyo
@user-tx6nz4up5h
@user-tx6nz4up5h 5 күн бұрын
Afadhali hata Ruto anakubali kuulizwa maswali
@MuniraShughuli-kc7vj
@MuniraShughuli-kc7vj 5 күн бұрын
Yani hyu jamaa mungu pekee ndio atake mtosha tu
@sarahkeivaly3351
@sarahkeivaly3351 5 күн бұрын
Mmekunja 4 hapo kwasababu mnaraha, Hujali kabisa wananchi wako walioteketezwa na ambao wako Hosp
@hajikhamis3288
@hajikhamis3288 5 күн бұрын
Huyu ruto hayuko SAWA kiakili kwa sasaa kutokana na majibu na muonekano wake
@sponsor7882
@sponsor7882 5 күн бұрын
wanandi roho ngumu sna kama sura zao
@kevinoyile2663
@kevinoyile2663 5 күн бұрын
Still calling people criminals
@michaelgilbert1531
@michaelgilbert1531 5 күн бұрын
Your Ruto no longer who you're 😂
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 5 күн бұрын
huyu Rais wa Kenya apewe muda tuu. ameshaskika malalamiko ya nchi yake kimatendo ss anaenda kutekelezwa. ila nmeskia huo mswada unamambo mengine makubwa kweli kwaajili ya nchi jirani na kama yakiteelezwa Kenya inaenda kuwa nchi yenye mafanikio sana
@MwanatumuJumaa-rj4fg
@MwanatumuJumaa-rj4fg 5 күн бұрын
Ila kutimia ndio ndoto sisi ndio tunamuelewa raisi wetu vyema ni muongo😢
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 5 күн бұрын
@@MwanatumuJumaa-rj4fg jmni thats a strong statement jirani..kweli useme Rais ni muongo?
@alisoncarol8504
@alisoncarol8504 5 күн бұрын
​@@jedidahbintidaudi8241kama ni ukweli usisemwe? Alaa!
@alisoncarol8504
@alisoncarol8504 5 күн бұрын
​@@jedidahbintidaudi8241ukweli lazima usemwe..alaa
@alisoncarol8504
@alisoncarol8504 5 күн бұрын
​@@MwanatumuJumaa-rj4fg100 percent
@TitusMutinda-e5w
@TitusMutinda-e5w 5 күн бұрын
😂very bad
@allynassoro8448
@allynassoro8448 5 күн бұрын
Wacha ujinga ushauri kapeke kwenu Tz kamshauri samia
@aginiweyessayakyando5594
@aginiweyessayakyando5594 5 күн бұрын
Watanzania tunasikitika Sana kwa Mambo yaliyotokea Kenya🇰🇪🇰🇪 Lakini Rais wetu wa Tanzania🇹🇿🇹🇿 Muache kbs usituingize kugombana na nyie. Na Sisi tunayo yakwetu Leave us alone
ОСКАР ИСПОРТИЛ ДЖОНИ ЖИЗНЬ 😢 @lenta_com
01:01
TANZANIA WAUNGA MKONO MAANDAMANO YANAYOENDELEA KENYA
7:00
Lasalo Comedian
Рет қаралды 278 М.
Kenya on the Brink | A roundtable interview with President William Ruto {Full}
1:53:10