''WEWE UMESOMEA NINI? KUANZIA LEO NAKUPANDISHA CHEO - UTAKUWA MSAIDIZI WANGU'' - MAKONDA...

  Рет қаралды 174,833

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

''WEWE UMESOMEA NINI? KUANZIA LEO NAKUPANDISHA CHEO - UTAKUWA MSAIDIZI WANGU'' - MAKONDA...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 432
@globaltv_online
@globaltv_online 4 ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@didahstan1760
@didahstan1760 4 ай бұрын
Nimetoa machoz
@ikupambuli6219
@ikupambuli6219 4 ай бұрын
Da mlio toa machozi kwa furaha juu ya huyu mtendaji gonga like hapa❤
@jaymesgigs
@jaymesgigs 4 ай бұрын
Kumbe siko peke yangu waa that is God
@SethMsigwa
@SethMsigwa 3 ай бұрын
Mm moja wapo
@adonismuganyizi226
@adonismuganyizi226 3 ай бұрын
nashwindwa kuyazuia kumwagika
@goodluckbenny123
@goodluckbenny123 3 ай бұрын
yaaan daaah
@jackgodgivenzihindula
@jackgodgivenzihindula 2 ай бұрын
Uyu mtendaji yuko wapi Siku izi???
@InnocentRaymondjunior
@InnocentRaymondjunior 4 ай бұрын
Hawa ndio vijana tunawataka kwenye ofisi za umma! very humble guy.
@kiflikhamis5205
@kiflikhamis5205 4 ай бұрын
Ni kweli
@tanzaniantraveller
@tanzaniantraveller 4 ай бұрын
Kabisa ndugu
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 4 ай бұрын
Kabisa
@ngatatv1365
@ngatatv1365 4 ай бұрын
Kwakweli ila watu wamhimu awadumu man kikubwa tuwaombee tu
@DominicMulwa-x5o
@DominicMulwa-x5o 3 ай бұрын
Makonda barikiwa Sana kwa kazi yako.wewe ni makufuli wa pili Mimi ni mkenya ,napenda kazi yako nakuombea mungu utakuwa raisi wa Tanzania
@peterkerenge9207
@peterkerenge9207 4 ай бұрын
Hawa ndio wale walionyooka kazini,wanatenda haki ila wanaonekana washamba sababu hawaibi.Leo kala kitengo,hakuna cha vyeting wala nini Mungu ambariki sana
@alhajikangalawe6178
@alhajikangalawe6178 4 ай бұрын
Mungu hataacha kuwainua
@sarahmushi5011
@sarahmushi5011 4 ай бұрын
Nimefurahi mpaka machozi mimi.
@donaldtadeodontado9991
@donaldtadeodontado9991 4 ай бұрын
Nimejisikia machozi big up mwamba wakati wa Mungu ndio sahihi
@JosephKangungu
@JosephKangungu 4 ай бұрын
Yaani dah...
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 4 ай бұрын
Mwamba Kala Cheo sababu Kanyooka...Big up sana kwako Mh MAKONDA...Jamaa alaliza Mgogoro kisomi na Kibusara..Big up sana
@lloydmanongi5095
@lloydmanongi5095 4 ай бұрын
Ukweli ni kwamba kazi iliyoifanya kumfuatilia Tatizo la msingi la mlalamikaji na kuwa na solution na wapi limekwama Hilo tu limetosha kujua utendaji wake na ufuatiliaje wake na kitendo Cha kumuuliza amesoma nn ... Tayari alijiongeza na kuonekana kama mwanasheria lakini ni Hr imetosha kufanya mkuu wa mkoa kuona kilicho ndani ya kijana amefanya kazi bila upendeleo na Kwa umaridadi . Hongera sana kijana unastahili ❤
@golebenson4597
@golebenson4597 4 ай бұрын
Pamoja na giza lote mungu kwamwinua kijana wawatu🎉🎉🎉
@ammaherman3391
@ammaherman3391 4 ай бұрын
The guy is clear and very smart. he deserves it.
@IsaackSikalumba
@IsaackSikalumba 3 ай бұрын
Mweshimiwa mungu ikimpendeza akuinue zaidi usaidie nchi nzima,wewe unanifanya niendelee kuipenda nchi yangu kiukweli. Naamini ipo siku nchi itakua chini yako.
@roseafrael75
@roseafrael75 4 ай бұрын
Wakati wa Mungu ndo wakati sahihi
@Juke995
@Juke995 4 ай бұрын
Hakun kitu kizuri kama kujua kujieleza bila kupindisha maneno 🙌na kusikiliza kabla haujajibu mtendaji kichwani zimo na zimetulia
@salehwaziri5062
@salehwaziri5062 4 ай бұрын
Huyo nimkweli ndiomaana sotetumempenda angekuwamuwongo angejing'ata
@hamiszali1434
@hamiszali1434 4 ай бұрын
Kasoma na kaelewa alichokisomoe,,yan huyu ni msomi
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 4 ай бұрын
Yani kumsikiliza hadi raha hachoshi
@cleversalbaba-em4jf
@cleversalbaba-em4jf 4 ай бұрын
Kijana huyu nimesoma naye alikuwa kiongozi wa serikali ya wanafunzi he was very very humble haya tunayoyaona ni kweli kabisa. Hongera sana mheshimiwa John Nkini chapa kazi kijana wangu.. uwepo wa Bwana uwe nawe....❤
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 4 ай бұрын
@@cleversalbaba-em4jf yupo vizuri,MUNGU AMBARIKI mnoooo
@skjjsj1889
@skjjsj1889 4 ай бұрын
Mungu humwuinua amtakae Jamaa wala hakutarajia kama atapandishwa cheo Hongera mkuu kwa kumteua kijana mchapa kz
@abudoeugenio6903
@abudoeugenio6903 4 ай бұрын
Daaaaahhhhh, Allah azidi kukubariki Makonda unamoyo mzuri sana.
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 4 ай бұрын
Halafu alivyoulizwa wewe umesomea nini.? Dhaa alivuta pumzi akijuwa labda kakosea mahali,KUMBE NI MUNGU ANAMLETEA HABARI NJEMA.NIMEFURAHIII MNOOO😢
@BwireMtaki
@BwireMtaki 4 ай бұрын
Wakati wa MUNGU ni wakati SAHIHI 🙏🏾
@MagrethHaule-x3q
@MagrethHaule-x3q 4 ай бұрын
Mpaka machozi ya furahi ilinitoka aisee..
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 4 ай бұрын
@@MagrethHaule-x3q hata mwenyewe,ningekuwa HAPO kwenye mkutano ningemkimbilia nimpe msimbazi mmoja akitoka HAPO akanywe supu ya kuku,Mimi napenda mafanikio ya mtu mwingine mwenye haki Kwa kweli.
@fredrickmgona
@fredrickmgona 4 ай бұрын
Safii sana Kaka machozi ya furaha yanataka kunitoka kwa ajiri Kaka mungu akupe hekima zaidi
@TatuRashid-d6t
@TatuRashid-d6t 4 ай бұрын
Kijana Yuko vzr, Makonda uko SAWA,Utakipwa na Mwenyez Mungu tu
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk 4 ай бұрын
Ukweli unachelewa lakini una malipo hongera sana mtendaji
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 4 ай бұрын
Nakubaliana na wewe kwa asilimia zote.
@Rehemamakuka
@Rehemamakuka 4 ай бұрын
Dua za wazazi tuwafanyieni wazazi mazuri ata kama mmoja katangulia huyo mmoja tusimuache hizo ni baraka za wazazi
@relaykimario4118
@relaykimario4118 4 ай бұрын
Duu🙏nimemfurahia jamaa anajua kunjieleza mpk kapandishwa cheo, Bg up mheshimiwa, Umemweshimisha kijana, roho wa Mungu yupo juu Yako.
@LovelyOmbreSky-pu4jt
@LovelyOmbreSky-pu4jt 4 ай бұрын
Safii sana mkuu wa mkoa kwani huuyu jamaa yupo sawa kabisa ktk ufailiaji
@NandiChale-sx9nn
@NandiChale-sx9nn 4 ай бұрын
Makonda mungu akubaliki sana kwa utendaji wako wa haki ulio tukuka,nakupenda sana sana
@kiyumbijustine3434
@kiyumbijustine3434 4 ай бұрын
MUNGU ni mwema siku zote 🙏🙏
@B.O-ij8cm
@B.O-ij8cm 4 ай бұрын
Hongera Sana Mtendaji kwa ufuatiliaji mzuri wa matatizo ya wananchi ❤❤❤
@NeemaMzuri
@NeemaMzuri 4 ай бұрын
Wewe ni kama dr magufuli mungu akutunze sanaa
@daudbutunga1190
@daudbutunga1190 4 ай бұрын
Makonda ww noma sana Cheo cha Mkuu wa Mkoa umafit na umepitliza Hyo nafasi haikufai kbsa undeserve kuwa Waziri na zaid ya Waziri Time will tell
@KhmsNsr
@KhmsNsr 4 ай бұрын
Kuna watu maelezo yao tu unajua hao siwala rushwa makonda una maono ya mbali sana.
@faustaemmanuel1390
@faustaemmanuel1390 4 ай бұрын
Pale Mungu akikupangia mafanikio yako mbelen nidham na utendaji KAZI mzuri ni muhimu kwa watumishi simfaham uyu kaka lkn nmefurah sana alivosupriziwa na mkuu wa mkoa❤❤
@anoldgeofrey5192
@anoldgeofrey5192 4 ай бұрын
Mungu akaibariki kaz ya mikono yake ....
@hurumamushi1059
@hurumamushi1059 4 ай бұрын
Tufanye kazi Kwa haki, Mungu atakuinua tuu muda ukifika
@isaacmunisi5559
@isaacmunisi5559 4 ай бұрын
Hakika mungu akisema anakuinua hakuna wakupinga. Hongera mkuu wamkoa mungu akulinde sn. Wapo watu wanaonea watu sn wakiwemo wenye nyumba wanazopangishia watu kumekua na uonevu wahali yajuu sn.
@israeluronu9958
@israeluronu9958 4 ай бұрын
Safi sana mtendaji! Wakati wa Mungu ni wakati sahihi
@Angelmbise-dq6jn
@Angelmbise-dq6jn 3 ай бұрын
Dah n.elia jamn daha Mungu akitaka kukuinua hakuandikii barua wallah dah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@ramiamisanya9873
@ramiamisanya9873 4 ай бұрын
Mungu ni mwema
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 4 ай бұрын
Hakika❤
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur 4 ай бұрын
Barikiwa sanaaaa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mchungaji Paul CHRISTIAN makonda
@athumanially906
@athumanially906 4 ай бұрын
Yec ,hiii iko sawaa,kabsaa , ana uwezo mkubwa sanaa,halafu et mtendaji wa kijiji dar!! Halafu wapumbavu wengnee ndo wanakula bata
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 4 ай бұрын
Inauma sana,yani natamani ningekuwa hapo nimpige ni misimbazi huyo mtendaji, yupo vizuri mnooo
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 4 ай бұрын
Kaka unaupiga mwingi sana big up..... Jamaa yuko smart sana
@georgemanase6266
@georgemanase6266 4 ай бұрын
Hii video nimeangalia zaidi ya mara mbili Mungu ni wa ajabu sanaa. Unaweza ukawa unafanya kitu bila kujua ndo njia ya kutokea. Mungu akusaidie na wewe ukutane na muujiza wako
@AdmAlhinai
@AdmAlhinai 4 ай бұрын
Nimeangalia ii klipu nimesikia raha mpk machozi yanatoka Mungu akitaka kupa akuletei barua
@sabrinasabrina8395
@sabrinasabrina8395 4 ай бұрын
Hata mm jamani
@robertempire9542
@robertempire9542 4 ай бұрын
Hakika acheni Mungu aitwe Mungu Mana akikuandia Yes hakuna wa kukushusha..
@SadickSued
@SadickSued 4 ай бұрын
Jamani makonda mungu ampe maisha marefu atumwe bukoba wananchi hawana msaada
@zablonmuterian3620
@zablonmuterian3620 4 ай бұрын
Ningefurahi kumfahamu na kukutana na mtendaji aliyepandishwa cheo na kuhamia Ofisi ya Mkuu wa mkoa.Yuko vizuri Sana Sana.
@KNOTS-TZ
@KNOTS-TZ 4 ай бұрын
Imenisisimua jaman makonda mungu akupe maisha marefu
@CatherineMbatta
@CatherineMbatta 4 ай бұрын
Mungu humtoa mtu kutoka chini na kumpandisha juuu. kumketisha pamoja na wakuu ,wenzangu na mimi wao wanapindisha tu haya endeleeni kupindisha hivyo hivyo mtap
@Hdhdj-t7j
@Hdhdj-t7j 3 ай бұрын
Waooo mh makonda 75% ya mh magufuli mungu akulinde baba ccm oyeee miaka 1000
@JeyJeydoctar-gq1bw
@JeyJeydoctar-gq1bw 4 ай бұрын
Mkuu makonda chapa kazi Mungu yupo pamoja na ww maana hayeye anajua wanyonge wanavyo teseka Mungu aendelee kukulinda.
@lucykiwango2834
@lucykiwango2834 4 ай бұрын
Mungu humwinua mtu kwa wakati wake hongera baba
@joycelaura4611
@joycelaura4611 4 ай бұрын
jaman Mungu anaona na analipa watu kwa kadri ya haja zao
@mohammedlipindula5415
@mohammedlipindula5415 4 ай бұрын
Makonda utakumbukwa sana kwamoyo wako nimfano wa hayati magufuli kazi njema mungu akutangulie kwakila jambo tanzania tunaitaji viongozi kama nyie msalimie waziri mkuu pia nyie mnastahiki pongezi
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 4 ай бұрын
Hongera sana classmate ❤
@hildandumbalo5827
@hildandumbalo5827 4 ай бұрын
Makonda Mungu akubariki sana kutetea wanyonge
@LeahKazeni
@LeahKazeni 3 ай бұрын
Makonda umenifanya nipende utensaji wako wa kazi unanifurahisha sana Mungu akutunze
@majidfrolian4904
@majidfrolian4904 4 ай бұрын
Hadi rahaaaaaaaaaaaa tunaiona picha ya Magufuliiiiii 🙏🙏🙏
@evidencemaimu1883
@evidencemaimu1883 4 ай бұрын
Aiseeeeeee💗💔💔💔Mungu kamuonekania HR 5YRS as Mtendaj 😊ila amshukuru huyo BABU 😅😅KUMTAJA
@juliethmsaky4099
@juliethmsaky4099 4 ай бұрын
Kabisa yaani
@Fadhilimwamlima
@Fadhilimwamlima 4 ай бұрын
Nasikusote mungu anakupitisha kwenye njia nyingi apo amushukulu mungu
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 4 ай бұрын
Na unajuwa huyo mzee ni malaika katumwa na MUNGU KABISA
@YohanaRichard-e6p
@YohanaRichard-e6p 4 ай бұрын
Mungu akubariki mtendaji kwa uajibikaji mzuri, mungu akuinue zaidi na kukupa hekima na busara katika uwajibikaji katika KAZI ya uma
@sabrinasabrina8395
@sabrinasabrina8395 4 ай бұрын
Very emotional jamani
@mustafamandindi6434
@mustafamandindi6434 4 ай бұрын
Makonda acha mungu akubaliki mkuu kwan uko poa sawa
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 4 ай бұрын
Kaka Amepanda cheo ❤
@aderanderwa7623
@aderanderwa7623 4 ай бұрын
Amina MUNGU amefanya njia pasipo na njia MUNGU awalinde Shaloom
@eliudgathuthi8601
@eliudgathuthi8601 4 ай бұрын
Heko Makonda I love Tanzania will visit one day, specifically to attend one of these public hearing. I loved and hoped to come and meet Magufuli in one of his meeting unfortunately God loved him more
@toyi7605
@toyi7605 4 ай бұрын
Mungu akupe mahisha malefu katika Mku Wa Mkowa arusha
@LaurentMatigili
@LaurentMatigili 4 ай бұрын
Hata kama ningekuwa mimi huyu nisingemuacha..,yupo Smart kichwani na logically man👍
@kassangaibrahimisihaka2655
@kassangaibrahimisihaka2655 4 ай бұрын
Makonda unaeleweka vizuri sana ipo siku mimi nakutabilia utapewa nchi bila pingamizi kwani hawa wanaichi unaowasaidia ndio ukombozi wako wa kula ya uchaguzi lakini wanao kubeza hawapendi wanaichi wapate hakizao ila wadhulumiwe pasipo sababu mungu akubariki sana amini inshallah
@elisesiastephen1775
@elisesiastephen1775 4 ай бұрын
Makonda hoyeeeeeee Mungu akubariki Kijana mdogo unafanya utumishi mkubwa mno😂 Tungewapata kina Makonda 6 tu kama wewe nchi😂yetu ingeenda Una utumishi uliotukuka Mungu akubariki kiongozi Ishi maisha marefu yenye mafanikio makubwa mno
@ROZITHOMAS-y4q
@ROZITHOMAS-y4q 4 ай бұрын
Huyu kijana ni mkuu wa mkoa ajaye . Nimependa jinsi makonda anavyofanya ajira zake. Wapo vijana wazuri kiutendaji lakini ndio wamefichwa huko. Nimempenda huyu kijana. Yupo smart
@Zuu673
@Zuu673 4 ай бұрын
Dah 😢yani nimejikuta nalia kwa furaha mungu akubariki makonda,hama kweli wakati wa mungu ni sahihi😊
@damaschosen
@damaschosen 4 ай бұрын
MUNGU wa mbinguni anifanyie hivi na kuzidi ameeen
@maximusalnono6425
@maximusalnono6425 4 ай бұрын
Jamaa kichwa sana hapindishi maneno wala hasiti kujibu kwa anachoulizwa ananyooka kwa kiswahili kizuri tunahitaji watu wa aina yake kulijenga taifa bega kwa bega na makonda
@AngelAfric
@AngelAfric 3 ай бұрын
Safi sana bro, ukishajitoa kuwa kiongozi ktk jamii lazima uwe mzuri ktk kumbukumbu kichwani yani siyo mpuuziaji wa mambo ovyoovyo ukiulizwa unasema mara hujui mara umesahau inatia hasira lakini huyu kaka mi smart sana kichwani kufatilia vitu anakumbuka mpaka majina ya wanajamii siyo rahisi. Hongera sana Wakati wa Mungu ni wakati sahihi. Mimi HR mwenzio ambaye bado sijapata ajira nakupongeza sana . Hongera mh makonda kwa kazi nzuri yenye weredi
@VailethDauddy
@VailethDauddy 4 ай бұрын
Daah kweli mungu yupo jmn wakat wa mungu ni wakat cahihi nimemkumbka phina
@AngelMbaga
@AngelMbaga 3 ай бұрын
Mpka machozi yamenitoka, kwa furaha ya huyo kaka kubadilishiwa position. God has done to you❤, hongera mheshimiwa. Huku Dar.- es - salaam, tuko kama tumetulia mjini Ila ndio sio salaam kabisa.
@alhajikangalawe6178
@alhajikangalawe6178 4 ай бұрын
Duh, asanteMungu......Magufuli is alive and Mama Hon Samia Is dong right..MUNGU AWATUNZE. VIVA MAKONDA VIVA MRISHO GAMBO VIVA!!!!
@estivillercherish9873
@estivillercherish9873 3 ай бұрын
Mungu humwinua mnyonge kutoka mavumbini na kumketisha pamoja na wakuu
@athumaniamiri880
@athumaniamiri880 4 ай бұрын
Mashallah
@HadijaJoseph-d1g
@HadijaJoseph-d1g Ай бұрын
Emwenyezi mungu mlinde huyu kaka jamani makonda kazi unaiweza mi sana nakupenda
@KokoFimbo
@KokoFimbo 4 ай бұрын
Tena huyu jamaa atakuja kuwa mkuu wa mkoa fulani muda utaongea
@KokoFimbo
@KokoFimbo 4 ай бұрын
Kabisa yani
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 4 ай бұрын
Mimi namuombea kwa Mungu,RAIS AIONE HII CLIP
@herbethlukogela7657
@herbethlukogela7657 4 ай бұрын
Yani haya maisha usipokuwa na mambo mengi lazima utafanikiwa tu.....
@nadiatanzania
@nadiatanzania 4 ай бұрын
Boss ukazid kutenda haki kwa wanyonge
@rahmambugi2322
@rahmambugi2322 4 ай бұрын
Nimetokwa na machozi, makonda nakukubali mno mungu akupe maisha marefu yasiokua na maradhi
@carlykloon6253
@carlykloon6253 2 ай бұрын
At class, hugo kijana ni mzuri sana
@broka_genius3615
@broka_genius3615 4 ай бұрын
Wakati wa mungu
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 4 ай бұрын
Umeongea neno kubwa sana sana sana sana.
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 4 ай бұрын
Kabisaa yaani ❤
@HaniffaOmary-v5r
@HaniffaOmary-v5r 4 ай бұрын
Wakati wa mungu ni sahihii
@ananiamkasu8847
@ananiamkasu8847 4 ай бұрын
Mheshimiwa rais ampe mkoa huyo mtendaji yupo vizuri!
@soloartist_ivanvespalusind1609
@soloartist_ivanvespalusind1609 4 ай бұрын
Amina! Mungu atukuzwe kwa yote yaliyojiri hapo
@edwardmwakisulu4655
@edwardmwakisulu4655 4 ай бұрын
Mtendaji safi sana, na mkuu wa mkoa upo vizurii. Binafsi nakupongeza mh : Makonda
@julianamasato5655
@julianamasato5655 4 ай бұрын
kutoka mtendaji wa kijiji mpaka msaudizi wa mkuu wa mkoa ,taa ya MUNGU ikikuwakia hata uwe wapi utafikiwa
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 4 ай бұрын
Umeonaeee
@honorascusmatembe2987
@honorascusmatembe2987 4 ай бұрын
Mungu akubaliki makonda afadhali unaona hadi watu wenye vitu
@SadickSued
@SadickSued 4 ай бұрын
Kuna watu wanakula era za watu bukoba mjini kata bakoba wasaidie mama Samia kikund Cha Sr women
@MWANAIDIKITAMBI
@MWANAIDIKITAMBI 4 ай бұрын
Kwa nini usifike mkos wa ruvuma ,,na akatutembelea wilaya ya Tunduru jamani ,,,makonda baba ukuje na huku kwetu siku Moja jamaniiiii
@robbyman6213
@robbyman6213 3 ай бұрын
Mungu Akiamua Kukupandiaha Hakuna Wa Kukushusha.
@EnockSamwel-c4h
@EnockSamwel-c4h 4 ай бұрын
Hongera sanaa makonda Kwa kusimamia haki za watanzania,pia na kumpa nguvu hyo kijana Kwa ajili ya utendaji wake mzuri
@abdulazizabdillahkijaro3070
@abdulazizabdillahkijaro3070 3 ай бұрын
This guy is very brilliant
@erickasenga2594
@erickasenga2594 4 ай бұрын
wakati wa Mungu ni wakati sahihi sana
@jaziramwimbo9145
@jaziramwimbo9145 4 ай бұрын
Hii ndio maana ya kizuri chajiuza.👏👏👏
@MercikatateMayanga
@MercikatateMayanga 2 ай бұрын
The guy he’s very smart 🤝🤝🤝💪💪🎉🎉🎉
@devisshirima6780
@devisshirima6780 4 ай бұрын
Nilichojifunza kwenye haya maisha tenda tuu haki, Mungu hachelewi wala hawahi! Kama Mh. Makonda ume mpromote huyu bwana aliyekuwa akiitafuta haki ya mtu, ninaomba kama aishivyo Mungu ninayemwamini na kumwabudu kila siku hakika hata wewe ata kupromote hutaishia kuongoza mkoa, kama aishivyo Mungu utaiongoza nchi !!!
@kulapafrancis8138
@kulapafrancis8138 3 ай бұрын
Makonda unaupiga Mwingi sana, umeona kazi ya mtendaji wa kata, hawa watu ndo wanaotakiwa kwenye Jamii, wanafanya kazi ya MUNGU kwakweli
@Malogoi
@Malogoi 3 ай бұрын
Mr president wa tz wa baadae 💪
@naligiatomaso5006
@naligiatomaso5006 4 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏kweli wakati wa mungu ukifika hakika Atafanya maajab mbele zako
@janethkilonzi4260
@janethkilonzi4260 3 ай бұрын
Nimelia kwa furaha jaman mungu ambariki huyu baba mmh
@deonicemollel4205
@deonicemollel4205 4 ай бұрын
Yaaani nimejikuta narudia Rudi a hii sehemu ya nakupandisha cheo daaah jamaaa wewe unafaa kuwa president dadeki
@VanessaSam-z2p
@VanessaSam-z2p 4 ай бұрын
Mwenyew nmerudia mara mbili
@RobertsonNandime-eo9fp
@RobertsonNandime-eo9fp 4 ай бұрын
Namimi kabisa
@jeskashilinde8875
@jeskashilinde8875 4 ай бұрын
Nmerudia mara tat tatu jaman🎉❤❤
@stelasanga1121
@stelasanga1121 4 ай бұрын
Hata mm had machoz yamenitoka
@deonicemollel4205
@deonicemollel4205 4 ай бұрын
@@VanessaSam-z2p Daar
@ramadhanmusa2878
@ramadhanmusa2878 4 ай бұрын
MAKONDA kiongozi Mzuri🤝hongera....watching from MOMBASA
@MwajumaSwalehe
@MwajumaSwalehe 3 ай бұрын
Mkuu mungu akuinue siku zote una maono ya kweli kwa mtu
Как мы играем в игры 😂
00:20
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,4 МЛН
إخفاء الطعام سرًا تحت الطاولة للتناول لاحقًا 😏🍽️
00:28
حرف إبداعية للمنزل في 5 دقائق
Рет қаралды 52 МЛН
Кәсіпқой бокс | Жәнібек Әлімханұлы - Андрей Михайлович
48:57
How To Get Married:   #short
00:22
Jin and Hattie
Рет қаралды 27 МЛН
MAPYA KUHUSU SAKATA LA MAKONDA, DUDU BAYA AWASHA MOTO
9:49
Mbengo Tv
Рет қаралды 83 М.
Как мы играем в игры 😂
00:20
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,4 МЛН