Maajabu ya Dunia! Mti Ukikatwa Upande Unatoa Damu, Upande Unatoa Utomvu

  Рет қаралды 680,846

Global TV  Online

Global TV Online

7 жыл бұрын

SUBSCRIBE NOW: / uwazi1
Mti huu ni aina ya Mvule na unapatikana katika Kijiji Cha Lugombo, Kata ya Kisiba, Wilaya ya Rungwe, Mkoani Mbeya. Mti huu, maarufu kwa jina la Mti wa Katembo, unakadiriwa kuwa na umri wa miaka 600 au zaidi. Ukubwa wake wa duara unahitaji watu kuanzia wanane waliounganisha mikono. ukiupima una futi 39 katika kimo cha juu kidogo lakini una futi 43 chini kabisa.
Inaelezwa kuwa Mnamo mwaka 1975 mti huu kwa mara ya kwanza ulidondosha tawi lake moja ambalo, hata ukifika leo panaonekana, inasemekana lilipoanguka ilikuwa kama tetemeko la ardhi kutokana na kishindo kilichotetemesha kijiji kile na vijiji jirani.
GLOBAL TV ONLINE imefika eneo la tukio na kuongea na viongozi wa kijiji na kushuhudia huo mti ukitoa utomvu wa damu.
FACEBOOK: / globalpublishers
TWITTER: / globalhabari
Visit globalpublishers.co.tz/
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanel yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
WEBSITE: globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpubli. .

Пікірлер: 163
@saidmashaka2695
@saidmashaka2695 5 жыл бұрын
Miujiza ya Allah (s.w)
@sammymutheesammymuthee8742
@sammymutheesammymuthee8742 5 жыл бұрын
ALLAH is the greatest one
@stevemwakisimba5986
@stevemwakisimba5986 2 жыл бұрын
Umekulia mjini wew mzee unajua sana kujieleza hongera sana
@user-tr5eo7gi5c
@user-tr5eo7gi5c 5 ай бұрын
Babu zangu wamelala apoo❤❤❤❤❤❤
@rahimumnyawii517
@rahimumnyawii517 7 жыл бұрын
👏👏👏👏
@user-tr5eo7gi5c
@user-tr5eo7gi5c 5 ай бұрын
ooh my grand❤❤❤❤
@aishamzkparlaytodotto4256
@aishamzkparlaytodotto4256 5 жыл бұрын
👏👏👏
@PetloNelson
@PetloNelson 2 ай бұрын
maajabu kwel
@albaneymar7757
@albaneymar7757 6 жыл бұрын
hiyo kali
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 4 жыл бұрын
Imani za kijinga utimvu mpevu tu na ukikauka unakua kama ubani wa kuchemea kwa waislam, unakua kama kigae, hiyo sio damu, mti mpevu sana
@saumuhassan1365
@saumuhassan1365 7 жыл бұрын
Hiyo ni kutokana na Allah, Allah anamiujiza mikubwa kuliko hiyo.
@mwikwabechacha6043
@mwikwabechacha6043 6 жыл бұрын
wema
@najmaathassan5085
@najmaathassan5085 6 жыл бұрын
Allahu akbar
@stephanomathiasi5631
@stephanomathiasi5631 5 жыл бұрын
Saumu Hassan uongo tu huo
@mekamalisa5839
@mekamalisa5839 5 жыл бұрын
video
@euniceeunice7680
@euniceeunice7680 3 жыл бұрын
Maajabu wkt unaona kbs ni ushetani apo unatumika. Wewe unaona kbs chief then unasema maajabu ya Allah 😂😂😂😂kwaiyo we unaona poa ?tangia lini mti ukawa na damu kama sio ushirikina?
@wajawamungu3952
@wajawamungu3952 6 жыл бұрын
Naomba huo mti tz iuweke kwenye moja ya vyanzo vya utalii ili tuvune kwa ajili ya maendeleo ya taifa
@nuhuranimalimusif5207
@nuhuranimalimusif5207 5 жыл бұрын
x
@mpooyaabdallah6483
@mpooyaabdallah6483 3 жыл бұрын
@@nuhuranimalimusif5207 xxx Music
@user-tr5eo7gi5c
@user-tr5eo7gi5c 5 ай бұрын
called katembo
@burundishallsmile1day109
@burundishallsmile1day109 3 жыл бұрын
Wazungu hawakuona nini? Wangeun'kowa Na ulindwe milele ✊🏾🇧🇮
@nehemiakamwela7201
@nehemiakamwela7201 4 жыл бұрын
Jaman maajabu mengine muangarie picha inapo anza muangarie macho yakee
@centmichael4814
@centmichael4814 7 жыл бұрын
Ametakasika allah
@mulalyfahmy8323
@mulalyfahmy8323 6 жыл бұрын
Cent Michael oy vp
@daudyfrank7048
@daudyfrank7048 4 жыл бұрын
Mungu ana miujiza yake
@khatibabdallah6185
@khatibabdallah6185 4 жыл бұрын
Damu tafsiri yake ni seli hai nyekundu na nyeupe ambazo zinapatikana kwenye viumbe wanyama tu, Sasa yawezekana ni utomvu kwa rangi nyingine
@gracehinga2297
@gracehinga2297 6 жыл бұрын
Mti huge ubayo miaka mingi huko TZ tu, kwa maana huko Israel kwa shamba la Gethsamane kul e yesu alitebea kwa maombi siku ya kuthurumiwa Kwake badu hiyo miti ta Olive badu yako tu over 2000yrs today.. Dugu tebea uyaone mengi duniani.
@wetvafrica1332
@wetvafrica1332 6 жыл бұрын
Huo utomvu hukaushwa .unatumika kama ubani ambao huua wadudu wadogo
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 4 жыл бұрын
Wewe unajua ukweli hawa watu wanaimani tu mbaya, huo ni ubani
@loveraiseministry1702
@loveraiseministry1702 7 жыл бұрын
tatizo ni hofu za kutokumjua mungu wanayepazwa kumuabudu.Mungu hajaingia kwao.pole yao
@johnodek1801
@johnodek1801 3 жыл бұрын
Hiyo sio MTU,ni mwanadamu aliyegeuzwa mti...uchawi upo
@boazmvellah6286
@boazmvellah6286 4 жыл бұрын
Eti unalia duuh hzo stor nilikuwaga nadanganywa kitamboo mwishoo nikahushuudia huo mti ukikutana na chensooo hata huoo nao peleken chensoo hapo mpatee mbao achen udwangaaa😁😁😁
@saumomary8478
@saumomary8478 4 жыл бұрын
Mulutunguru
@saumomary8478
@saumomary8478 4 жыл бұрын
Mulutunguru School
@mushojey8389
@mushojey8389 6 жыл бұрын
Maajabu gani wakati mti unajulikana ni MNINGA.achen ushamba
@aishakahapa9065
@aishakahapa9065 4 жыл бұрын
Atali
@mariamkene1945
@mariamkene1945 6 жыл бұрын
subhanah Allah
@ruadruad1073
@ruadruad1073 3 жыл бұрын
Ziko hata kenya miti za kienyeji, hizo ni malaika waliotupwa chini wakabadilika kuwa mti
@furahamasoudy7249
@furahamasoudy7249 2 жыл бұрын
😁😁😁😁😁 wewe jamaa muongo sana
@makof-kof1977
@makof-kof1977 Жыл бұрын
Duuuuu
@abdkhalidi6625
@abdkhalidi6625 4 жыл бұрын
Duuuh ii sio poa
@ruadruad1073
@ruadruad1073 3 жыл бұрын
Ziko nchi za africa zote niza kianyeji
@centmichael4814
@centmichael4814 7 жыл бұрын
Hivyo vyote vinatoka kwa mwenyezi mungu.Hakika hiyo siyo kwasababu ya Machifu ila ni mungu tu peke yake.
@saidathman87
@saidathman87 6 жыл бұрын
nikweli majabu yapo ila waweza sema hakuna majabu kama haujawai kuona
@walid4abdallah24
@walid4abdallah24 6 жыл бұрын
ALLAH.ALLAH ALLAH MKUBWA
@kangimchelsea9444
@kangimchelsea9444 4 жыл бұрын
Naona
@loishiyemollel8071
@loishiyemollel8071 4 жыл бұрын
Hakuna damuhayo ni utomvu tu ,wala msiwababaishe wati
@lutozisimon6087
@lutozisimon6087 6 жыл бұрын
Kuna miti inatoa utomvu mweupe na kuna miti inatoa utomvu mwekundu.... miwili ikikulia pamoja inaunganika na kuwa kama mti mmoja na kila mti utaendelea kutoa utomvu wake. Ila kama siyo hivyo basi utakuwa na maajabu...
@hasaniali2258
@hasaniali2258 2 жыл бұрын
Nisha ipata hiyo
@mwitaadam5097
@mwitaadam5097 5 жыл бұрын
Mwaminini Mungu tu? Huyu tu ndiyo kilakitu ktk maisha ya mwanadamu mnaamini miti kwenda kuomba😅😅😅😅😅
@catherinedavid5902
@catherinedavid5902 5 жыл бұрын
Mungatosyabhagha bha gwitu😂😂😂
@fatmaamran3154
@fatmaamran3154 6 жыл бұрын
Miti ikiwa mikubwa ikatwe ..majini hukimbilia mumo humo..ikatwe na ipandwe mingine
@halimakariakoo6301
@halimakariakoo6301 4 жыл бұрын
Hey
@hongerakkachawasemewwkzbut4996
@hongerakkachawasemewwkzbut4996 7 жыл бұрын
mmmmmh shikamoo mti
@kelvinmagola4813
@kelvinmagola4813 3 жыл бұрын
😮😮😮😮😮😮😮😮😮
@filimonmboya9615
@filimonmboya9615 6 жыл бұрын
Elimu Hakuna yakutosha...
@vinozamhone1110
@vinozamhone1110 7 жыл бұрын
Utakua mninga huo ila hawaujui 😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
@huaweiphone1459
@huaweiphone1459 5 жыл бұрын
Hahaha
@kakajosee395
@kakajosee395 3 жыл бұрын
😁😁😁
@jonesmedia4120
@jonesmedia4120 6 жыл бұрын
du!!!!!! mungu mkubwa
@azzahssn3624
@azzahssn3624 6 жыл бұрын
Ata gamba la muarbaini si hutoa maji mekundu.wacheni mila potofu
@mussaomarry3240
@mussaomarry3240 4 жыл бұрын
Ten
@aboudicco5442
@aboudicco5442 5 жыл бұрын
Ninatisha
@fatumahamis5034
@fatumahamis5034 6 жыл бұрын
taarab ya laila rashidi
@ombenimavoa7880
@ombenimavoa7880 6 жыл бұрын
ndio mate
@magesamatonge7732
@magesamatonge7732 6 жыл бұрын
MAUA
@hamisipayema765
@hamisipayema765 6 жыл бұрын
UN known
@aboudicco5442
@aboudicco5442 5 жыл бұрын
Inatisha
@Mr_Ishi_Kisasa
@Mr_Ishi_Kisasa 6 жыл бұрын
Mzee kasema tumedharau mila zetu kisa science and that is true tunaigiza usomi.....mti una miaka 600 alafu mnasema eti ni wa kawaida wasomi mnapotea
@lushingemoses9250
@lushingemoses9250 6 жыл бұрын
Hiyo miti ipo bana hata mimi nisha iona inatoa utomvu wa damu
@santanashagembe6331
@santanashagembe6331 5 жыл бұрын
Daaaa inzoo ni ctory zenu2 akuna chchote na uwo mti unakatika kama uwamin sema 2je 2uukate
@jacquelinemwakasaka7972
@jacquelinemwakasaka7972 5 жыл бұрын
Mwe mungatosyobhaga bha gwetu ona anavojicjanganya kuongea hata kama kwetu kuna matukio unaongea vitu ving ili mle MB zetu nataman nikutukane
@user-tr5eo7gi5c
@user-tr5eo7gi5c 5 ай бұрын
mmh anacho ongea ni kweli babu yangu ❤❤❤
@allymohamedi991
@allymohamedi991 5 жыл бұрын
mti wa kawaidat mnautukuza jaman mtwara ipo hio miti kam yot hio sio damu ni utonvu pumbv nyie achen mila potof kwanz wew Mzee ushasema kuna Mila na tamaduni za hapo kwenu we huoni kam niushirikina mungu anawaona washirikina wakubwa nyie
@ruterarose6025
@ruterarose6025 4 жыл бұрын
Hayo inamanisha ni damu na maziwa ina manaa yaka
@zachariahzahary4151
@zachariahzahary4151 3 жыл бұрын
Inapatikana wapi wewe
@dorismbise2927
@dorismbise2927 4 жыл бұрын
Mmh. Mmmmmmm jaman cku znakuja mwana wa adamu atarud achen kuabu mti
@munaeshamunaesha1405
@munaeshamunaesha1405 7 жыл бұрын
Hamna chaajabu japo mbona hata kwetu ipo mingitu
@richardmercio3855
@richardmercio3855 7 жыл бұрын
Hakuna cha ajabu hata kigoma hiyo miti ipo kibao sana tu matonvu yake nimekundu
@justkibet1125
@justkibet1125 6 жыл бұрын
damu?
@ayubuayubu1165
@ayubuayubu1165 7 жыл бұрын
nyakati za mwisho ndo izo
@huaweiphone1459
@huaweiphone1459 5 жыл бұрын
Wanyachusa muashamba sana
@paulwere6978
@paulwere6978 4 жыл бұрын
nikiangalia kazi ya mikono yako baba mi natambua akuna kama wewe
@fikiriniiddy8765
@fikiriniiddy8765 4 жыл бұрын
Huo mti ni chanzo cha mapato hapa tz
@elizebetlaulent1893
@elizebetlaulent1893 6 жыл бұрын
duuh nishida
@henryjamil7918
@henryjamil7918 7 жыл бұрын
Iyo ni miti miwili tofauti ila imekulia pamoja imebandana ndio mana unazingueni na mnabisha ije chain saw muche kama ijabaki story.
@fulgencelugila6729
@fulgencelugila6729 6 жыл бұрын
miziki
@boniphacesamsonmwazembe3416
@boniphacesamsonmwazembe3416 6 жыл бұрын
MWAZEMBE mungu na ahimidiwe
@felixmhema4136
@felixmhema4136 6 жыл бұрын
Felix mhema
@muusalum3576
@muusalum3576 6 жыл бұрын
Ex
@perrykemmy9045
@perrykemmy9045 6 жыл бұрын
Dawa hiyo chemsha kunywa magonjwa yote ! Je mpo chief wa watu ama miti?
@mercymwende2445
@mercymwende2445 5 жыл бұрын
majabu ya mola
@aminaabdiabdi7112
@aminaabdiabdi7112 4 жыл бұрын
Mmmh huo mti dam yake ni group gani.?
@happymaiko5121
@happymaiko5121 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😊🤣o
@kidamdende6574
@kidamdende6574 3 жыл бұрын
Would🤣🤣🤣🤣
@jimisonpius8100
@jimisonpius8100 5 жыл бұрын
video zauchi
@catemumbe7852
@catemumbe7852 4 жыл бұрын
Jimison Pius 😎 vua nguo uone picha za uchi
@hajiameir3295
@hajiameir3295 7 жыл бұрын
duuu
@shifaa3327
@shifaa3327 7 жыл бұрын
Ndio mana ikaruhusiwa kidini munapo ona miti imekuwa mikubwa basi ikatwe hiyo miti kw kutokana majini huwa wanapenda kuwa nyumba zao
@japhetnxeya9956
@japhetnxeya9956 6 жыл бұрын
Shifaa 33
@kushtony356
@kushtony356 6 жыл бұрын
Shifaa 33 m nilijua wakikata as iv ndio uta to a dam
@kadirimwinyi6691
@kadirimwinyi6691 6 жыл бұрын
Shifaa 33 maandiko ya vitabu gani kwamba miti mikubwa ikatwe
@aishalukas9689
@aishalukas9689 5 жыл бұрын
Kumbe inashauriwa hivyo??
@danielpeter571
@danielpeter571 5 жыл бұрын
saw ila mbna haufi maana kila chenye damu hufa?
@wilondjamajaliwa6376
@wilondjamajaliwa6376 6 жыл бұрын
Huo ni mninga wahache ushamba
@user-tr5eo7gi5c
@user-tr5eo7gi5c 5 ай бұрын
ujui kitu
@kyandotv3261
@kyandotv3261 5 жыл бұрын
Mpingu maji uwi ase
@gukamunene3292
@gukamunene3292 6 жыл бұрын
Yani TANZANIA bado mko nyuma kiasi hicho cha kuamini ati mti walia damu😂😂😂😂. Acheni ushamba nanyi watu wa KIGOMA
@rahmashaban8693
@rahmashaban8693 6 жыл бұрын
guka munene.. hahahahaaaaaas
@samsonmwakarobo1149
@samsonmwakarobo1149 6 жыл бұрын
Napajua Hanna kitu
@damasmasawe170
@damasmasawe170 5 жыл бұрын
Ivi mumesikiliza story kwamakini? Au munakurupuka tu wa tz? Hajasema unatoka damu amesema ilikuwa inasadikika ni damu ila sio damu. Na unasemekana inakadiriwa kuwa na miaka 600
@emmanuelmarwa2968
@emmanuelmarwa2968 5 жыл бұрын
Miaka micta ulikuwepo
@macklinatheodoros7954
@macklinatheodoros7954 5 жыл бұрын
Mila na desturi zipo tu hata tuzipotezee vipi huo ndio ukweli
@opqsweetbert1817
@opqsweetbert1817 5 жыл бұрын
Kuna mingine huwa inatoa utomvu mwekundu sema hujakaa bush
@jamilaramadhani1468
@jamilaramadhani1468 6 жыл бұрын
Mhhh uongo huo
@benardivincenti9155
@benardivincenti9155 5 жыл бұрын
Oya wadau wanazngua mak... Hawa wanaxayanxi ndo nini!?
@deboraadam4962
@deboraadam4962 6 жыл бұрын
mbona sijawahi skia huo mti naujua
@zawadnkyami7563
@zawadnkyami7563 4 жыл бұрын
,,diamond I
@aishaawadhimalokimaloki9953
@aishaawadhimalokimaloki9953 4 жыл бұрын
Mwee mninga huo
@OfficielSamJr
@OfficielSamJr 5 жыл бұрын
hiyo damu ni grup gan
@nathankipchumba5224
@nathankipchumba5224 4 жыл бұрын
Naona utatuuliza Sasa Kama ina virusi.
@mayramali250
@mayramali250 4 жыл бұрын
"O" maana uko strong
@klietacb496
@klietacb496 4 жыл бұрын
Mtumbati huo,ndiyo wenye kutoa utomvu mwekundu
@witnesslidya9990
@witnesslidya9990 6 жыл бұрын
nyooooo wapumbavu nyie achen uwongo,mkikosaga vya kupost mnasumbuaga xna
@julianapatrick7911
@julianapatrick7911 Жыл бұрын
Mh
@robertjunior9916
@robertjunior9916 7 жыл бұрын
Kwa sasa tunapambana na dawa za kulevya
@AndersonMakala-vm6im
@AndersonMakala-vm6im Жыл бұрын
P
@hezronmabula7235
@hezronmabula7235 6 жыл бұрын
Miak miacta? Achen zenu
@jamilaally5780
@jamilaally5780 6 жыл бұрын
itakua ni dawa. ya ukimwi huo mti
@huaweiphone1459
@huaweiphone1459 5 жыл бұрын
Hahaha
@mayramali250
@mayramali250 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣👍
@charleskadoke1888
@charleskadoke1888 6 жыл бұрын
miaka miasita?kirais rais tu
@hamismbekae3050
@hamismbekae3050 7 жыл бұрын
Elimu jamani ndugu zangu ni muhimu sana..........hakuna hata cha ajabu ata sio damu niupuuzi tu
@fulgencelugila6729
@fulgencelugila6729 6 жыл бұрын
mziki mapenzi
@abdllahijr3461
@abdllahijr3461 6 жыл бұрын
wewe mtangazaji pamoja na huyo chifu kama mmekosa kazi mkalale huo mti umekomaa ndiomaana unakua hivyo
@lincolnmoshi7228
@lincolnmoshi7228 5 жыл бұрын
mti ukikomaa unakuaje kwan maana wazee wanasema ukikomaa ndo unatoa utomvu uu
@bonfacendume441
@bonfacendume441 6 жыл бұрын
Hamna la ajabu pale ubwa nyie
@saidazaina5985
@saidazaina5985 5 жыл бұрын
Pia ubwa wewe sikiza vizuri utaelewa
@godfreymlonganile9615
@godfreymlonganile9615 2 жыл бұрын
I'll ll lol ll lol
@albaneymar7757
@albaneymar7757 6 жыл бұрын
dah
@emanuelkamwela5294
@emanuelkamwela5294 5 жыл бұрын
Uongo mtup Anna chadam apo
@rehemajohnson687
@rehemajohnson687 5 жыл бұрын
Duuuuuh knoumaaaa
@hassanmirambo5671
@hassanmirambo5671 6 жыл бұрын
Jibaba kama huo mti unakadiliwa kiwa na miaka mia sita basi haujawa namba moja Afrika sababu Bagamoyo upo mti unaokadiliwa kuwa na miaka mia saba ukipata muda nenda kaole Bagamoyo kwenye makumbusho utaikuta historia hiyo
@selemaniramadhani2972
@selemaniramadhani2972 7 жыл бұрын
Anna chaajabu wala nini
@annienewton8533
@annienewton8533 6 жыл бұрын
hata hapa nilipo upo.no jipya mninga huo
@shuwehaharunaomariikwena233
@shuwehaharunaomariikwena233 7 жыл бұрын
cha aajabu nini mbona nakule kwa bibi angu kuna mti ukitaka tawi ukaoteshe shambani kwako lazima uombe,useme mtinaomba tawi lako ndipo linadondoka ukifosi kukata bila kuomba utachukua bali unakauka haustawi
@bonisilayo5196
@bonisilayo5196 7 жыл бұрын
Hamna cha hajabu ndipo utakapojua waandishi wengine hawajui maana ya taaluma yao wanadhalisha wengine .waojua kazi zao
@isihakafarijala8109
@isihakafarijala8109 5 жыл бұрын
Mti mtu huo jomon
@aishaelias986
@aishaelias986 6 жыл бұрын
Mtangazaji bure kabisa mavi wewe
@jemalulenga1512
@jemalulenga1512 6 жыл бұрын
Aisha ELIAS kumtusi mwenzako veeepe! hujielewi ww
@saidazaina5985
@saidazaina5985 5 жыл бұрын
Mavi niwewe na watu wakwenyu
@kingswebe3251
@kingswebe3251 5 жыл бұрын
Tangaza wewe basi
@salhysalhy1127
@salhysalhy1127 6 жыл бұрын
upo wap jaman tuuutembelee
JIWE MAARUFU DUNIANI LIPO NDANI YA MAJI, WATU UFIKA KUTOA SADAKA
17:40
Man helps crying bear out of trap. What happened next is unbelievable
8:01
Вечный ДВИГАТЕЛЬ!⚙️ #shorts
00:27
Гараж 54
Рет қаралды 14 МЛН
Nutella bro sis family Challenge 😋
00:31
Mr. Clabik
Рет қаралды 13 МЛН
IJUE HISTORIA YA MAAJABU YA MWANAMALUNDI
11:30
Global TV Online
Рет қаралды 300 М.
Mwanza:  Maajabu ya Mti Kupiga Kelele Ukipinga Kung’olewa
4:58
Global TV Online
Рет қаралды 6 МЛН
Maajabu ya Daraja la Mungu na Simulizi ya Kusisimua ya Nyerere na Warusi
14:50
PART1: MTI WA AJABU, UKIUPANDA MTU ANAKUFA, MKE HAZAI, SHEHE AELEZEA A-Z..
17:46
JIWE LA MAAJABU UKARA LINACHEZA NA KUTOA SAUTI - HADUBINI YA TBC
16:30
Gangana Info Channel
Рет қаралды 902 М.
Maajabu, Huu ndio Mchanga Unaotembea Tanzania
21:39
Gangana Info Channel
Рет қаралды 26 М.
UKIANGALIA UTATOKWA NA MACHOZI
4:46
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 44 М.
VOUS SEREZ CHOQUÉ ! Ce qu’Edgar Cayce a prédit pour 2024
24:57
Sagesse de L'univers
Рет қаралды 279 М.
Вечный ДВИГАТЕЛЬ!⚙️ #shorts
00:27
Гараж 54
Рет қаралды 14 МЛН