Mungu Azidi kukupa maisha marefu yenye afya na upendo zaidi
@josephtesha8723 ай бұрын
Mungu akubariki babaa🙏
@amourmtungo6233 ай бұрын
🤔Hebu bosi nipe tafauti ya “tamaa” na “matarajio”. Asante kwa mchango wenu mzuri tu🤝
@WilbertMalula-vv7ml8 сағат бұрын
BIBLIA INASEMA SIKU SITA FANYA KAZI .MAANA YAKE ILIUFANIKIWE LAZIMA UFANYE KAZI LAKINI HAIKUFANYI UFANIKIWE SIKU ZOTE.NENO LINASEMA SIO WWNYE AKILI WAPATAO CHAKULA SIO WENYE BIDII WAPATAO MALI BALI WAKATI NA BAHATI HUWAPATA WOTE
@GodfreykayingaАй бұрын
Oya iv inakuaje chomoza tv mazungumzo ya Dr elie siyapati kama mwanzo kama kipindi Cha mawazo hakipo Cha chaguo hakipo itakuwa nimekosea wapi kweny KZbin yangu
@GoodluckCharles2025Ай бұрын
Mi mwenyewe nimetafuta sana sjaiona
@GodfreykayingaАй бұрын
@GoodluckCharles-d3k daaa itakuwa yametolewa labda daaa ila wamenikwamisha sana