No video

VITU VINAVYOJENGA HESHIMA - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 46,759

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Пікірлер: 93
@MosesFikiriIbrahimu
@MosesFikiriIbrahimu 2 ай бұрын
TALATA YAKO NI NZURI SANA KUENDELEA Kujenga.. Uaminifu wangu ■>>kusaidia watu wengine Ni Nzuri sana sana NZURI SANA HII IMENIJENGA SANA LEO KUJENGA HESHIMA YANGU PEKEE
@charlesoputi7101
@charlesoputi7101 Жыл бұрын
My son I know you are here in 2040. Please remember I was here in 2023 and this video changed my life the way its going to change your's. Be blessed brother joel
@mohamedhaitham5844
@mohamedhaitham5844 8 ай бұрын
Heshima inaletwa na mamb yafuatayo 1.Matokeo au mafanikio 2.Tabia/character/value/misimamo 3.Aina ya watu unaoambatana nao!! 4.Cheo/nafasi (heshima inayotokana na kiti ulichokalia ukiachia na heshima inaondoka) 5.kugusa maisha ya watu/kusaidia/kuboresha maish ya watu
@ExcitedFlamingos-ur4el
@ExcitedFlamingos-ur4el 3 ай бұрын
Nawapenda sana washauri wa maisha yetu hususani weye mungu akujaalie umri mwingi zaid ili uendelee kutufuza kama hivi
@SaimonKazimoto-xt1zo
@SaimonKazimoto-xt1zo Жыл бұрын
Heshima ya tabia ya kuaminika na watu ndipo nilipo pia na heshima ya mafanikio ya kufanya biashara lakini natamani heshima ya biashara niiongeze zaidi kwa kusimamia vizuri biashara.mungu akubariki sana kaka joeli Kwa elimu nzuri.
@nusrashaaban7407
@nusrashaaban7407 Жыл бұрын
Ninatamani sana kujenga heshima ya kugusa maisha ya watu wengine kwa kuwasaidia katika kutatua matatizo yao
@furahasweya7433
@furahasweya7433 7 ай бұрын
Ukosawa. Natamani heshima ya kuishinayo
@ADRIANKISAMBO
@ADRIANKISAMBO 13 күн бұрын
Heshima nayohitaji kwasasa ni uaminifu(character) na heshima ya watu bora wa kuambatana nao
@edgarmtekele6710
@edgarmtekele6710 8 ай бұрын
Heshim ya kuwasaidia watu
@user-mt8du5mf5v
@user-mt8du5mf5v 5 ай бұрын
Heshima ya kubaki nayo
@frolencialupilya6209
@frolencialupilya6209 6 ай бұрын
Learning is on going process, I'm still here learning, thank you brother.❤
@SaraUlaya-is2ch
@SaraUlaya-is2ch 3 ай бұрын
Kaka mi nakupenda sana
@AnordBazili
@AnordBazili Жыл бұрын
Mungu abariki kaz ya mikono yako hakika wewe n mkombozi wetu🙏
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Ameen Ahsante kwa baraka 🙏🏼
@Lucasnathaniel-ug8cn
@Lucasnathaniel-ug8cn 3 ай бұрын
Ahsante Kwa elimu nzuri
@fredkangethe7497
@fredkangethe7497 11 ай бұрын
Tutafutane kaka.
@rizikikweka5018
@rizikikweka5018 7 ай бұрын
Kuna HESHIMA itaokanayo na UTAALAMU "Professional)-
@melkenbeekpetronille9655
@melkenbeekpetronille9655 Жыл бұрын
Ndungu miminaona kilakitu nineematu ni mingutu naonakilakitu kinawakati wake
@violethmapunda3500
@violethmapunda3500 Жыл бұрын
Mfano mzuri kwa makonda saiv hakuna anaemheshimu baada ya kutolewa 😂
@furahasweya7433
@furahasweya7433 7 ай бұрын
Hakika Mungu huwatumia wanadamu kufikisha ujumbe wake. Joel umekuwa kiungo kikubwa kati ya Mungu na wanadamu. Binafsi ninajifunza mengi kutoka ktk mafundisho yako na kila siku ya Mungu ninapata vitu vipya na kuijua dunia na watu wake. Natamani kupata vitabu vyako ili kujifunza zaidi ninavipataje? Kwa sasa nipo dar maeneno ya msasani beach.
@SaruniSimanga-dq2cu
@SaruniSimanga-dq2cu 10 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@abdullahpongwa1537
@abdullahpongwa1537 Жыл бұрын
Nakusikiliza miaka mingi sana kwa sababu Masomo yako huwa yananipa faraja sana Mungu akubaliki sana....
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Ameen Ameeen
@ramadhanalmashamza3458
@ramadhanalmashamza3458 Жыл бұрын
Heshima ninayotamani kuijenga ni heshima ya kugusa maisha ya watu asante sana kaka Joel ubarikiwe sana
@happynescostat7420
@happynescostat7420 Жыл бұрын
Joel Mimi rafiki yangu Ni wewe! Niliangaika Sana kutafuta marafiki wanaoeshimika na wanaolieshimu Kama Mimi niligundua wapo tofauti na nikaamua niachane nao, nikajiambia nitabaki na Joel wa youtwib,ubarikiwe Sana natamani nikupigie simu nipokelewe na wewe nifurahi,
@MeshackKondowe-re5us
@MeshackKondowe-re5us 9 ай бұрын
Nilinayo ni heshima ya kugusa maisha ya watu lkn natafuta heshima ya kimafanikio zaidi
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 11 ай бұрын
Duh nusu nidondoke nikihofia heshima yangu imebebwa maana nimeisikiliza video nikiwa ofisin
@evancepillar3753
@evancepillar3753 Жыл бұрын
Napenda sana Huduma yako Mtumishi, unagusa maisha ya watu wengi sana... andaa SEMINA TANGA TUNAHITAJI SANA HUDUMA YAKO BOSS
@stanleyandrea5153
@stanleyandrea5153 Жыл бұрын
Heshima yangu inatokana na vitu navyo vifanya hasa kwa upande wa biashara na pia kushauri watu
@eneliusmutegekindibalema8262
@eneliusmutegekindibalema8262 Жыл бұрын
Kazi nayoifanya itanijengea Heshima Kaka Joel🙏🧎
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Safi snaaaa
@user-kb1xk5cs2z
@user-kb1xk5cs2z 10 ай бұрын
Nayapenda sana mafundisho yako hakika huwa najifunza vitu vingi sana Kila niingiapo mtandaoni Kila somo ambalo nakutananalo natamani nijifunze vyote kwa pamoja MUNGU akubariki sana na kukutunza akupe maisha marefu baba
@emilyjoshua8093
@emilyjoshua8093 Жыл бұрын
Kama vile Uhuru Kenyatta sai haeshimiwi mpaka anapokonywa walinzi juu c president tena
@Monamona-lt6zi
@Monamona-lt6zi Жыл бұрын
Heshima ya kuambatana na watu! Ni kweli kabisa niliwahi kuahamia mahali nikakaa na wamama wenye watoto nikawa nawaona ni bora kumbe ni watu wasio kua na heshima mtaani hapo ninapokua nao kumbe watu wanatusema sana…..nilikuja kufunguka badae sanaa lakini tayari na mimi nilikua nmebebeshwa sifa zao mbaya! Niliumia sanaaa😢 na mpaka leo ni miaka zaid ya mitano sijawahi hata kusogeleana nao nikajifunza na imeniathiri mnoo nmekuwa mtu wa kukaa mwenyewe tuu na kujifungia…mda mwingi
@happynescostat7420
@happynescostat7420 Жыл бұрын
Naomba niwe rafiki yako ata Mimi niliwai kuwa karibu na watu Fulani nikidhan Ni watu WENYE eshima,niligundua Ni watu wa ovyo,
@tulimoyomodestcollection9510
@tulimoyomodestcollection9510 11 ай бұрын
Heshima kubwa kuliko zote ni kumcha Mungu
@fadhilidisanula840
@fadhilidisanula840 Жыл бұрын
Heshima ya pili (2) na ya mwisho ni nzuri zaidi
@elijahap7871
@elijahap7871 Жыл бұрын
Kiukweli mwaka huu Mwl. joelNanauka unafanya kazi sana💯🙌
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Nashukuru sana sana
@fredkangethe7497
@fredkangethe7497 11 ай бұрын
​@@joelnanaukawewe mkurugenzi tutafutane ndugu. Niko Kenya Nairobi
@saumuyahaya8959
@saumuyahaya8959 Жыл бұрын
Asante kwa kunielimisha
@muhammedwakif6216
@muhammedwakif6216 Жыл бұрын
Kupata heshima ni jambo zuri lakn mara nyingine kuna watu wanapata Hashima za kijinga kutokana na ujinga wao mfano utaskia mtu anamsifia muimbaji au anamuheshim muimbaji wakati huyu muimbaji ni muharibifu wa jamii Muhim kujijengea heshima katika mambo mema na sio kwa anasa za dunia Nazania nimefahamika
@johnbanda6601
@johnbanda6601 Жыл бұрын
Nashukuru kaka
@rahimaamour2756
@rahimaamour2756 11 ай бұрын
Kaka kiukwe unanibalisha kutoka hatua moja kwenda hatua nyengine mungu akubariki akupe afya na uzima pia
@beldinaabuya3532
@beldinaabuya3532 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana kwani wewe unagusa maisha ya watu wengi kwa nuru yako.
@BenjaminRajabu-xk7mc
@BenjaminRajabu-xk7mc Ай бұрын
Kaka mm nimejifunza mambo mengi sana kupitia kwako
@abrahammwambije2769
@abrahammwambije2769 Жыл бұрын
Mimi Nina kupa heshima yako Kwa mafundisho Nina yo pokea Kila mara kutoka kwako Barikiwa sana Nina fanikiwa Nina imarika kimwili na kiroho.
@YoshuaNdaje-lc9hg
@YoshuaNdaje-lc9hg Жыл бұрын
Tunakushukulu kwa mafundisho yako Yana tufanya tuwe wenye kujiami
@JasmineAlly
@JasmineAlly Жыл бұрын
Heshima ambayo naigundua kua jamii inanipa japo Mimi nilikua sijaingundua kwahiyo nitaitenda Ili iendelee kuwepo.kwahiyo nikitambua hivo nitakua nimeongeza asilimia za heshima yangu. E.nyama
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 Жыл бұрын
Tunakuheshimu kwa sababu unatugusa sana
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Ahsante sana
@user-yv1po1vk3i
@user-yv1po1vk3i 6 ай бұрын
Nakupata vizuri sanaa joel asante kwa mafundisho yako
@michaeljm730
@michaeljm730 Жыл бұрын
Tunajifunza sana 🙏 kupitia wewe
@MOTecnology
@MOTecnology Жыл бұрын
Uko sahihi kaka
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Nashukuru sana kwa mrejesho
@kelvinmwakatobe2174
@kelvinmwakatobe2174 Жыл бұрын
Heshima ya biashara.. ndio njozi yangu pamoja na ya kusaidiwa wahitaji
@user-je5ju4xj9i
@user-je5ju4xj9i Жыл бұрын
M heshima nilinayo ni ya tabia 😊
@alitoufik5477
@alitoufik5477 Жыл бұрын
The Genius nakuelewa sana mkuu
@Musaibrahimu
@Musaibrahimu Жыл бұрын
MWALIMU Uko Vinzuri Sana MASOMO YAKO NAYAPENDA Sana maana Umenitoa MBALI Sana. "Video vyako vimenisaidia Sana IBRAHIMU KUTOKA ARUSHA
@nurdininanjota4056
@nurdininanjota4056 Жыл бұрын
Brother kiukwel mi napenda kupiga picha na wewe ili nijijengee heshima mpaka niondoke duniani nakupenda sana brother sitaki kuppoteza heshima yangu✍️✍️✍️ 💯👍❤️❤️🇹🇿🙏.
@sistermtambo938
@sistermtambo938 Жыл бұрын
Honestly sina maneno mengi but Mungu akubariki sanaaa unanigusa sanaaa najiona kabisa nabadilikaa
@enoshmukama4783
@enoshmukama4783 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana natafuta heshima ya kugusa maisha ya watu
@194summer
@194summer Жыл бұрын
Heshima yangu ni kiongozi ninae gusa maisha ya watu
@philmonnem7294
@philmonnem7294 Жыл бұрын
Mungu azidi kukutunza
@user-op2nm9op4d
@user-op2nm9op4d Жыл бұрын
Nashukur bro
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 Жыл бұрын
Kaka @Joel Mungu akubariki zaidi
@nassoromussa2423
@nassoromussa2423 Жыл бұрын
Heshima ya 'KITI' inahadaa sana!
@MichaelChanya
@MichaelChanya Жыл бұрын
Thanks again for your lesson
@shubiblessus3535
@shubiblessus3535 Жыл бұрын
Hongerae sana mtaalam! Hakika unaitumia vizuri talanta yako kuinua na kujenga jamii mpya. Mungu atulinde
@khadijakisingo7920
@khadijakisingo7920 Жыл бұрын
Barikiwa Sana Joel
@AbdulkadirHaji-dd4uu
@AbdulkadirHaji-dd4uu Жыл бұрын
Heshima ya tatu. Ya kuambatana na watu hata mm siku niliopiga picha na ww tokea june17 siku ya seminar Zanzibar nimeiweka profile na nimezidi kuheshimika kweli unayoongea yote ni perfect. Ahsante sana Mungu akubariki.
@abeidmbarouk6280
@abeidmbarouk6280 Жыл бұрын
Abdul from zanzbr tutaftane ndugu yangu
@Monamona-lt6zi
@Monamona-lt6zi Жыл бұрын
Heshima ya kuambatana na watu! Ni kweli kabisa niliwahi kuahamia mahali nikakaa na wamama wenye watoto nikawa nawaona ni bora kumbe ni watu wasio kua na heshima mtaani hapo ninapokua nao kumbe watu wanatusema sana…..nilikuja kufunguka badae sanaa lakini tayari na mimi nilikua nmebebeshwa sifa zao mbaya! Niliumia sanaaa😢 na mpaka leo ni miaka zaid ya mitano sijawahi hata kusogeleana nao nikajifunza na imeniathiri mnoo nmekuwa mtu wa kukaa mwenyewe tuu na kujifungia ndani….mda mwingi
@eliasmugume254
@eliasmugume254 Жыл бұрын
Asante Sana Mwalimu kwaushauri Mkubwa
@herbertkanuni8629
@herbertkanuni8629 Жыл бұрын
Good lesson!!! God bless you
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Awesome Ahsante sana 💓
@ggvv9970
@ggvv9970 Жыл бұрын
Asante.....Yakuwakusa watu
@user-oq6iu4uh6w
@user-oq6iu4uh6w Жыл бұрын
Amen
@CleophasMwanga
@CleophasMwanga Жыл бұрын
Thanks
@julianalaly2095
@julianalaly2095 Жыл бұрын
Amina
@kijamalimi7507
@kijamalimi7507 Жыл бұрын
God bless you
@greysonclastus2805
@greysonclastus2805 Жыл бұрын
Hadi sasa nimefundisha bure watu 5 , wawili tayari wamejiajili . Ni kweli ninapoishi naheshimika kwa moyo huo wa kufundisha bure TAILORING.
@ChukiJoseph-xb9lz
@ChukiJoseph-xb9lz 8 ай бұрын
Heshima ya kufundisha
@user-wu3qk3lh3d
@user-wu3qk3lh3d 11 ай бұрын
Jee nawezaje kujenga heshima??
@tegemeawilliammsewa1950
@tegemeawilliammsewa1950 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj Жыл бұрын
Asante sana
@dafrosasaturuminmarandu1095
@dafrosasaturuminmarandu1095 Жыл бұрын
Noted.
@violethmapunda3500
@violethmapunda3500 Жыл бұрын
See u at the top.
@user-ql5ut4yb7l
@user-ql5ut4yb7l Жыл бұрын
👏👏🙏🙏
@abeidmbarouk6280
@abeidmbarouk6280 Жыл бұрын
See u at the top
@Binflory_
@Binflory_ Жыл бұрын
@sircomplextz
@sircomplextz Жыл бұрын
ubarikiwe kaka Joel
@sircomplextz
@sircomplextz Жыл бұрын
ubarikiwe kaka Joel
EPUKA MAKOSA HAYA KWENYE SAFARI YA MAISHA YAKO  - JOEL NANAUKA
10:22
EPUKA MAMBO HAYA - JOEL NANAUKA
9:19
Joel Nanauka
Рет қаралды 101 М.
Magic? 😨
00:14
Andrey Grechka
Рет қаралды 17 МЛН
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 40 МЛН
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 52 МЛН
Parenting hacks and gadgets against mosquitoes 🦟👶
00:21
Let's GLOW!
Рет қаралды 13 МЛН
TENGENEZA MAISHA UNAYOYATAKA - JOEL NANAUKA
16:51
Joel Nanauka
Рет қаралды 119 М.
MAMBO YA KUZINGATIA  NDANI YA CHUMBA CHA USAILI WA KAZI/JOB INTERVIEW
12:52
Maximizing your season - Joel Nanauka
1:23:37
Destiny City Church
Рет қаралды 8 М.
Vitu Vinavyopoteza Focus Yako Kwenye Maisha - Joel Nanauka
14:16
Hamasika Tv
Рет қаралды 59 М.
Magic? 😨
00:14
Andrey Grechka
Рет қаралды 17 МЛН