Nakuelewa wakili msomi. Ningekuwa wakili kura yangu unayo
@marieconnect63892 ай бұрын
Asante adv. Mwabukusi. Sikujua kama Kuna chombo cha maana chenye nguvu namna hii na hakitumiki ipasavyo. Mpeni huyu bwana MWABUKUSI kura aweke chama kwenye ramani yake nayostahili.
@babuumaeda76712 ай бұрын
Lik❤ MWABUKUSIIIII 🎉🎉🎉
@marieconnect63892 ай бұрын
TLS jiongezeni nje ya box mpeni adv. MWABUKUSI hiyo kazi. He is a game changer. A true leader
@okaozzy2 ай бұрын
Vivaaa Mwabukusi Vivaaa
@JamalTemba2 ай бұрын
nakubali kazi yako mzee
@gallegalleson44272 ай бұрын
Wakili anayejitambua
@MICHEZODAIMATV2 ай бұрын
2035 gombea urais wa Tanzania utapita bila kupingwa hata kwa goal la mkono
@Paradisomwagala2 ай бұрын
Raisi raisi raisi raisi raisi raisi,,, MUNGU AKUBARIKI
@marieconnect63892 ай бұрын
TLS hoyeeeeee Mwabukusi hoyeeeee Mpeni kura zote Tunamwelewa sana.
@fr.edgarngowiosa65992 ай бұрын
I always admire you. You're the right person at this particular time. In a way, you're the prophet of our time. God bless you.
@romualdlazaromwesiga96382 ай бұрын
HONGERA SANA! WEWE UNAFAA SANA KUWA RAIS WA TLS
@pueblo1482 ай бұрын
My Vote is YES
@nestor3842 ай бұрын
I wish ningekuwa wakili kura yngu hukupaswa kuiomba ulikuwa umeshaipata kwanza tu kwa ujasiri wa kupinga mkataba wa kishenzi, kijizi na kihuni wa DPW Kupinga uhuni aliofanyiwa Mpina Luhaga
@2mtei4662 ай бұрын
Excellent presentation. TLS IS A CROSS CUTTING INSTITUTION according to section 4. Mimi siyo lawyer, but I wish you all the best.
@victorsamaytu34872 ай бұрын
Chukua kura yangu kwa njia miujiza na utapita Mwabukusi wangu
@marieconnect63892 ай бұрын
PRESIDENT IN MAKING.
@tzonespices97342 ай бұрын
Wewe ndo Rais mh. Mwambukusi. Mungu atakusimamia. Unamsimamo
@marieconnect63892 ай бұрын
Hapa kazi tu. JEMBE lingine hilo limeinuka. Mungu wetu tusaidie. TLS msifanye ajiz leteni huyu mtu apige kazi. Tunamwelewa sana
@BoscoMyinga2 ай бұрын
Nchi ngum hii big brain Kam hawa hawana vacancy gvnt
@peterdaimon-ug6fd2 ай бұрын
Mawakili mpeni huyo mwabukusi tuone mambo yanabadilika au
@baghabaghaingwengwe17502 ай бұрын
Mungu awe mbele yako ushinde unachokipigania
@RoseMwanga-e7l2 ай бұрын
Mungu akusimamie na tunakuombea sana utatoboa hakika kwanza wewe ni kichwa na ni mzalendo wakweli. Mungu akusimamie br. Ninashida yakupata number zako maana yapo makubwa yauonevu ninayopitia naamini wewe unaweza nisaidia mkuu. Ila kwa ufupi mungu akulinde maama du wengi hawapendi hiyo akili uliyotunukiwa na mungu
@marieconnect63892 ай бұрын
Rais wetu ajae. Mungu akulinde sana akuepushe na mabaya yote.. Taifa hili linakuhitaji sana adv Mwabukusi. JEMBE letu. Mwamba wetu
@mussakimaro55882 ай бұрын
kwanini huyu asigombee urais tu moja kwa moja
@marieconnect63892 ай бұрын
Kweli kabisa
@MICHEZODAIMATV2 ай бұрын
@@marieconnect6389ndo njia hii apate kwanza changamoto ya kuongoza watu wanaoijua sheria ,hatua za. Tundu lissu
@luganomwaigomole74412 ай бұрын
BRAVO BRAVO BRAVO MWABUKUSI ❤
@julius_wankyo2 ай бұрын
TLS should be The Light System.
@oswaldmwita15202 ай бұрын
Bon unafaa kabisa
@marieconnect63892 ай бұрын
Huyu MWAMBA ni mpambanaji sahihi mwenye uwezo kiakili na ubavu anao. Siyo TLS tu anaweza hata kuongoza taifa hili kwa umakini na kuleta mafanikio.
@uredmwasembo85792 ай бұрын
Mawakili ebu fanyeni kitu kwa uzalendo kwa kumpa kula mwabukusi
Ukimsikiliza unaona kabisa anayoyaongea yanatoka moyoni kabisa, siyo blaa blaa.
@RenatusMatungwa-k5m2 ай бұрын
Jamaa yuko smart sana huwa napenda kumsikiliza
@jumasaghida54922 ай бұрын
Mungu akupe ulinzi
@marieconnect63892 ай бұрын
Angekuwa hata rais bora sana kwa taifa zima akipata nafasi. He is a true patriotic leader. He has all the skills and knowledge needed in leaderships. He can make a great leader of his time in this country and the continent of Africa. May God protect him, he absolutely needs that protection.
@marieconnect63892 ай бұрын
Asante kamanda wetu adv Mwabukusi kwa kumulika nje ya box. Wangu tumeekewa TLS in a faida gani kwa watanzania wote na wanasheria wetu na zaidi kwa taofa letu hasa upande wa kutetea mikataba,na kulinda rasilimalo zetu. Tuko nyuma yako adv Mwabukusi na TLS tunawategemea sana mtuwekee mtu sahihi kwa kazi
@marieconnect63892 ай бұрын
MWABUKUSI is a real game changer. He is very smart, charismatic, wise, intelligent, open minded, focused, justice minded, brave, skilled, knowledgable and above all atrue patriotic to his country.....a rare combination to find. Most people wouldput themselves first, but Mwabukusi is not....he always thinks outside the box. Watu a true leader he is. He is without a doubt devoted to his work and people. He can absolutely be the best leader we've ever seen. This country need more people like him at the top positions.....yes we do. He is the right man for TLS leadership role... plus many more. He is well understood by norman citizens. We expect TLS to do the right job and put him to the top position he deserves. We need some new ideas and changes. TLS juuuuu. Choose wisely
@MabulaJohn-t4q2 ай бұрын
Uko saw nakpenda sana
@marieconnect63892 ай бұрын
TLS mna bahati sana kupata mgombea au mwanachama wa aina hii. Mpeni kura zote ili tuone mabadiliko.
@marieconnect63892 ай бұрын
Nimemsikiliza kwa makini sana nimemwelewa vizuri sana. Nimefuatilia kazi zake. Hili ni jembe. Tusipoteze bahati hii adimu aliyotujalia Mungu kwa kipindi hiki
@JamesMpinga-cz3kt2 ай бұрын
Mwabukuai anafaa kuwa rais i
@maxmiliangunze89312 ай бұрын
Kura yang ni ndio...... Umepita Bila kupingwa
@IsayaSosolo-nx8zk2 ай бұрын
Hata ndiyo hatuyataki ya kupitia bila kupingwa tunataka kupingana ili jamii iwe na afya tusilazimiswe kupewa tusicho kijuwa!
@cosmasevarist62212 ай бұрын
The real patriotic law personnel, You have won until now, Good luck my next Mr president of TLS.
@marieconnect63892 ай бұрын
What a patriotic person. God bless and protect you adv. Boniface MWABUKUSI.
@abdulsalaamkahttan10372 ай бұрын
hongera jasiri wa haki
@allfrp29032 ай бұрын
Nakuelewa sana japo siko na taaluma ya sheria unajitambua sisi wananchi tunakuombea ushindi wa TLS
@LukasKonasei2 ай бұрын
Nikweli kabisa. Nambaya wetu mungu ubariki we
@Uhuru12342 ай бұрын
Mungu akupe kibali kamanda, nimekusikiliza vizuri
@wilsonletiet78522 ай бұрын
Nakuombea upite kwa kishindo kwa nguvu ya mwenyezi Mungu❤
@apostelgodwin2 ай бұрын
Umeisha pita mwambukusu Mungu kakuchagua kabla ya hao mawakili Hongera ..upo juu tuu
@julianamichael18482 ай бұрын
Mungu akubariki tunakuombea
@marieconnect63892 ай бұрын
Mungu wetu tunakuomba kwa moyo wote umpe ulinzi wako wa kipekee mtoto wako wakili Boniface Mwabukusi. Kazi anayofanya haitawapendeza wengine na wewe unawajua ndani ya mioyo yao. Si kila mtu analipenda taifa hili kwa moyo mweupe. Wengine ni wanafiki hawatutakii mema bali wanaangalia maslahi binafsi. Mungu tusaidie. Mungu tuokoe. Mungu mwekee mkono wako juu ya wakili Mwabukusi atakuwa salama. Mpake mafuta yako matakatifu kutetea haki huyu. Amina .
@marieconnect63892 ай бұрын
Amina na iwe hivyo
@marieconnect63892 ай бұрын
Mwabukusi hoyee! Ushindi ni wako. TLS msiituangushe
@khalidmamdadi10722 ай бұрын
The learned man 🎉🎉🎉
@marieconnect63892 ай бұрын
TLS msituangushe tafadhalini sana. mpeni kura bwana Boniface MWABUKUSI. Tunamwelewa sana na tunamkubali.
@mossessimon24932 ай бұрын
Big brain 🧠.. wa maaana kabisa
@MartinKipenya2 ай бұрын
Huyo ndio rais wa tls 😮😮😮
@GervassNjau2 ай бұрын
Umepita kaka nakwamin sana
@kijadogan67112 ай бұрын
Huyu jamaa namwaminia. Piga kazi jamaa
@NdekejaKamuli-sh5pe2 ай бұрын
🙏🙏🙏✅
@eunho95292 ай бұрын
Mungu awatanguliye wapiga kura wote hiyo tarehe mbili wakuchague kwa maslai mapana ya Tanganyika na Tanzania kiujumla.
@marieconnect63892 ай бұрын
Mwabukusu is the right man for the job. He can surely make put some important emphasis and put some rules and laws into implementation without fear.
@raymondtenga2 ай бұрын
You deserve to become the President elect.I hereby pray for you.
@Lubango-gj3ud2 ай бұрын
Mwamba ukiongeaga swala la "Masai" na "Bandari", huwa naumia sana, inasikitisha sana wanasheria wetu walioko serikalini ndiyo walioruhusu haya yafanyike!!!!
@tumainikibona52522 ай бұрын
Mwabukusi ni kiongozi bora sana,
@samwela.kasamalo21132 ай бұрын
Utashinda mzee baba, wewe ndo mtu sahihi tena kwa wakati
@cloudjulius-sf6nw2 ай бұрын
Mm namkubali sana mwabukusi hana long-forgotten kama wengine
Kweli wewe ni muwazi na mpenda haki na MTETEZI WA WANYONGE! KUDOS MWABUKUSI! 🎉🎉🎉🎉
@ngalamawecheslous99762 ай бұрын
Raisi
@barughahalejgodfrey45232 ай бұрын
Kura zote zako my learn brother
@OscarKasalile-u4k2 ай бұрын
Nakuamini mwaamba
@RobertBitambaOfficial2 ай бұрын
Wewe ni mtumishi wa mungu je watakubari kukutangaza wazarendo
@severimkatomutegeki69302 ай бұрын
Mwabukusi wewe ndiye uko vizuri utaokoa jahazi nchini..,.
@edsonkilatu52112 ай бұрын
You have my vote
@MosesSimbaya-sl4zp2 ай бұрын
Tupo nyumba yako mwamba
@ogossygassayachacha69882 ай бұрын
TLS hongerani sana Kwa huu mchakato wa uchaguzi wa mwaka huu.tunaomba ndugu zetu makili wote mpeni kura zote za ndiyo..
@Uhuru12342 ай бұрын
Eb to fight tiwe na mgombea binafsi, huyu mtu anafaa kuwa Kiongozi wa juu wa nchi, au ninyi mnasemaje
@DayanatzDayanatzgambe2 ай бұрын
Kabisaaaaa😂😂
@marieconnect63892 ай бұрын
Kabisa. Ile itakuwa ngumu sana maana hawatkubali mabadiliko ya katiba leo wala kesho. Hawajiaminj hawathubutu
@King_Of_Everything2 ай бұрын
👊👍✌️.
@marieconnect63892 ай бұрын
Una mawazo mazuri sana JEMBE letu. Nakuaminia
@marieconnect63892 ай бұрын
Uzalendo mbele kwanza jamani TLS. Mambo mengine weka pembeni kwa ajili ya badaye. Chagua mzalendo wa kweli mwenye maono sahihi na ushupavu wa kupambania haki bila woga. Msipoteze bahati hii kwa sababu yoyote ile. Kuweni wazalendo please. He deserves to be a leader, he can be an outstanding leader in this country. Mchagueni kwa kishindo bila hofu.
@marieconnect63892 ай бұрын
Mbuga zetu big deal💪 Wanyama wetu pia big deal💪 Hayo ni mapesa tupu💪 Mungu atupe nini jamani. Ama kweli Umasikini tunajitakia wenyewe mungu hakutuumbia. Mungu wetu katuumbia kila utajiri kwa kweli tunashindwa sisi tu kuutumia utufae. Tunatajirisha tu wengine wajanja na sisi tunabakia kulia. Naamini kabisa hata Mungu mwenyewe anatushangaa na anachukuzwa.
@innocentmleli11962 ай бұрын
Utapata shida nao,wengine wana laana tayari
@kanoa6452 ай бұрын
50% kiswahili 25% kiswangilish 25% English Sasaaaa hapoooo
@Kwelihukuwekahuru2 ай бұрын
Anaeleweka kwa wote kwa msisitizo
@marieconnect63892 ай бұрын
Hili ndilo JEMBE lenu TLS msilitupe. Ni mzalendo wa ukweli anayejitambua na yuko makini ametuonesha kwa viendo na siyo maneno matupu. Anastahili hata kuwa rais wa taifa hili na siyo TLS pekee. He is absolutely brilliant
@marieconnect63892 ай бұрын
TLS tunaomba msituangushe. Mtupe huyu kiongozi aje atetee maslahi ya taifa letu.
@AmimIigeni2 ай бұрын
Mawakili Kwa pamoja mchagueni mwabukusi
@hoseakamchapekaponya35022 ай бұрын
Huyu Huyu ndiye mgonbea anayefaa na tunayemtaka wa tz
@marieconnect63892 ай бұрын
Umeshapata USHINDI mkuu. Kura zote ni zako.
@marieconnect63892 ай бұрын
Hili la wanyama limeniacha mdomo wazi sikujua kabisa kuwa anaendelea kuwa mali yetu. Hivi wangapi wanajua hiyo siri? Je kuna utaratibu kitaifa wa kuliipwa pesa zetu? Kuna ufiatiliaji kweli huko waliko? Tungepewa ripori na michakato kila mwaka kama taifa.
@mashakalukinda23502 ай бұрын
kesho kurazote kwa mwambukusi unashinda kwa kishindo mwambukusi oyeeee😅
@MathewsSikazwe-up4qd2 ай бұрын
broo niseme tu ukweri mi uwa nakuelewaga Sana, nibasi tu sijui awa viongozi wa kiafrica Wana mdudu Gani kichwani.
@umbokeenockmwakagenda39662 ай бұрын
TunKuombea,maadam unatetea wanyonge Mungu atakuinua tu
@ShehaHassan-ev7st2 ай бұрын
Naamini utashinda kamanda.
@cliffmaringo2 ай бұрын
MWAMBA ANATEMA MADINI YA ALMAS TUPU YANI
@marieconnect63892 ай бұрын
MWABUKUSI JEMBE lingine. Mungu akuwekee mkono wake you yako. Watu kama nyie ni adimu sana.
@marieconnect63892 ай бұрын
Amina
@marieconnect63892 ай бұрын
Mungu wetu tunakuomba simamia zoezi hili wewe mwenyewe....tutashinda. Tupe macho sahihi ya kuona na ufahamu wa kutambua hii habati uliyoiweka mbele yetu tusiidondoshe. Tuwezeshe kuwa na moyo wa kizalendo kwa nchi yetu ili tusimike viongozi wazalendo wa ukweli wenye uwezo wa kuona mbali na ushupavu wa kutetea taifa letu bila woga kama huyu mzalendo na mtoto wako MWABUKUSI. Wazalendo tunamwelewa sana na tunamkubali mno. Ee mungu wetu saidia hao TLS wamchague MWABUKUSI bila wasiwasi. Ubinafsi kwa pembeni.... hapa kazi tu.
@josephmwita60122 ай бұрын
bila kukusikia hata siku yangu haiendi vizuri watu wanaopenda haki najikuta wanakuwa marafiki zangu
@marieconnect63892 ай бұрын
Hivi mtu kama huyu mnamwachaje kwa mfano? Mtamweka nani mwenye maono na nawazo na mitizamo zaidi yake? Anajua anachotaka kukifanyia TLS na taifa lake. Tunamwelewa sana.