Wakili Mwabukusi Akata Mizizi Mkataba wa Bandari, 'Hatuwaogopi' Ataka Tulia Ajiuzulu

  Рет қаралды 378,876

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Kupitia kampeni yao ya #OkoaBandariZetu CHADEMA wakishirikiana na wanaharakati mbalimbali na viongozi wengine wa kijamii wanafanya mkutano wa hadhara katika viwanja vya Bulyaga Temeke.
Wanaharakati na CHADEMA wameendelea kusisitiza mkataba wa bandari kati ya Tanzania na Dubai hauna maslahi mapana kwa nchi. Mkutano huu wa CHADEMA unafanyika ikiwa ni wiki mbili toka CCM kuanza mikutano yao ya hadhara ya kufafanua kuhusu suala la bandari.
Endelea kufuatilia The Chanzo tupo hapa katika viwanja vya Bulyaga kurusha Live
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 1 000
@alfredzunda4655
@alfredzunda4655 Жыл бұрын
Hii nchi kumbe bado ina watu wa maana sana. Wakili Mwabukusi Mungu akutunze kwa ajili ya taifa hili na vizazi vyetu
@mkude
@mkude Жыл бұрын
Watu wamaana wapi hao wapo Kwa ajili ya kisiasa tu wapo Kwa ajili ya maslahi Yao,huo uwekezaji hauna shida yoyote watu wanapitoshwa sanaaa
@gifttemba4355
@gifttemba4355 Жыл бұрын
@@mkude ndugu usiongee vibaya ukaja juta acha sisi tunao elewa tushiriki
@ImeldaLikoko
@ImeldaLikoko 3 ай бұрын
🎉​@@gifttemba4355
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 2 ай бұрын
Mpuuzi tu huyo hana lolote. Kwani Mbeya kuna bandari?​@@gifttemba4355
@noahpaulo3845
@noahpaulo3845 2 ай бұрын
​@@mkudeSasa Kama huo mkataba hauna ubaya kwanini babdar za Zanzibar zenyewe hazijawekwa huon Kama huku Bala tuna onewa
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 Жыл бұрын
Facts tupu,,huyu mwabukusi du! Big up commander
@godfreymeagisa1871
@godfreymeagisa1871 Жыл бұрын
Safi Sana Mwabukusi YEHOVA AKUTIE NGUVU
@WillisonMkumbo
@WillisonMkumbo 2 ай бұрын
Huyu ataishia njiani,kiburi kinamsumbua,hizo kauli hazimfai km mtaalamu wa sheria
@PatrickMashasi
@PatrickMashasi 2 ай бұрын
​@@WillisonMkumbo❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@PatrickMashasi
@PatrickMashasi 2 ай бұрын
@evodirudo4813
@evodirudo4813 Жыл бұрын
Safii mkuu, mpaka kieleweke. Walisha zoea vya kunyonga!! Mwaka huu vimewapitia puwani. Mungu akujalie afya tele pamoja na wazalendo wenzetu
@madaiincubationcenter4947
@madaiincubationcenter4947 Жыл бұрын
Hongereni sana Wazalendo wa nchi hii kwa kujitoa maisha yenu kwa aili ya vizazi vijavyo
@laizerkesoi-qf4yw
@laizerkesoi-qf4yw Жыл бұрын
Hongera mwamba,mkombozi wa watanzania
@jacoblongo6814
@jacoblongo6814 Жыл бұрын
Safi kamanda mwambugusi Mungu akupe maisha marefu
@GabrieliKitindi
@GabrieliKitindi Жыл бұрын
Wakili barikiwa sana mungu yupamoja nawe nchi iko nawewe mungu mbele pakakieleweke ili nchi tanzania ibaki kuwasalama.
@patrickKitambo
@patrickKitambo Жыл бұрын
Tu namshukuru Mungu kwa kwa kutuletea Mwabukusi baada ya Magufuli moto unazidi kuwaka
@gracemally4398
@gracemally4398 Жыл бұрын
Mungu akulinde sana mwabukusi,umejitoa Kwa kizazi kijacho
@mariamfaicalhassan2890
@mariamfaicalhassan2890 Жыл бұрын
Mungu yupo na kaka Mwabukusi
@mzalendohuru...4967
@mzalendohuru...4967 Жыл бұрын
Mwambugusi your truly patriotic ..allmight God protect you
@annamhina8385
@annamhina8385 Жыл бұрын
Mh. Mwabukusi Mungu akubariki,watu kama ninyi ni wachache duniani kwa wenye akili zenye hekima watakuelewa sana lakini wasio na akili zenye akili watakupuuza songea Mbele Mungu akutangulie umetumia utu wako vizuri hakika wewe ni miongoni mwao wasomi vichwa.
@HermasKwigizile-lz6ks
@HermasKwigizile-lz6ks Жыл бұрын
Wakili Mwabukusi, Mungu akutie nguvu katika mapambano haya. Sisi tupo pamoja nawe.
@FredsonHytham-dx4xk
@FredsonHytham-dx4xk Жыл бұрын
Mungu yupo nae kwa sababu MUNGU YUPO PMJ NA WAPENDA HAKI
@ErastoChilanza
@ErastoChilanza Жыл бұрын
Hivi wewe unaesema mungu awe pamoja na yeye kwa lipi kwa matusi anayotukana au
@mkude
@mkude Жыл бұрын
Mwenyeezi mungu hawezi kuwa pamoja nae kwasababu anatukana na kupotosha watu
@raymondnlelwa427
@raymondnlelwa427 2 ай бұрын
​@@mkudeAnapotosha kwani anaongea uongo? Thibitisha kuwa huo ni uongo, vinginevyo kama huwezi basi kaa tu chini ule maharage yako.
@PetroKiyeyeu-hz7qk
@PetroKiyeyeu-hz7qk Жыл бұрын
safi sana tufate nyayo za Nyerere magufuli
@starvista823
@starvista823 Жыл бұрын
Mungu ibariki nchi yetu na tutoe kwenye hili janga
@missmwayway4704
@missmwayway4704 Жыл бұрын
VIVA MWABUKUSI VIVA 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹 YKO 💪
@magrethsengati2564
@magrethsengati2564 Жыл бұрын
I love my country❤❤❤❤tz tetea tanzania tetea bandari zetu
@sospetersebastian5575
@sospetersebastian5575 Жыл бұрын
Tunahitaji akina Mwambukusi wengi katika Taifa hili. God bless you all.
@DAVDChalse-db6tz
@DAVDChalse-db6tz Жыл бұрын
Mungu akulinde Sana Mzalendo wa Nchi hii hawatakufanya chochote Mungu yu pamoja Nawe tko Nyuma yako kaka niko Tayar kwa lolote kwa ajili ya Tanganyika Yangu Mungu atuongoze katka Vita hii
@majormajomjohn3775
@majormajomjohn3775 Жыл бұрын
Amen
@majormajomjohn3775
@majormajomjohn3775 Жыл бұрын
Huyu mwamba anatoa madini tupu
@nasonkaguli9061
@nasonkaguli9061 Жыл бұрын
Ujasiri ni uwezo wa kufanya vitu ambavyo wengine wanashidwa kufanya!! Confidence 💯
@gloryminja8852
@gloryminja8852 Жыл бұрын
Mungu atakulinda na mwakani ugombee urais mweshimiwa unafaa kuongoza watanzania
@allyfaraji4200
@allyfaraji4200 Жыл бұрын
Uyu ndiyo profesa siyo wale we wengine waliokuwa bungeni vilaza tu
@KaburuKimath-eu5nf
@KaburuKimath-eu5nf 5 ай бұрын
Kwani wataalamu wetu na wasomi wetu wakiungana na matajiri WA nchi hii walishindwa kukaa pamoja waungane pamoja wangeshindwa kuendesha hii bandaiii adi tukodishie watu WA njeee dar
@mohamedpaul8048
@mohamedpaul8048 Жыл бұрын
Mungu akutangurie mwakubusi sisi watanganyika tuko nyuma Yako
@ElianifaluckaMmary
@ElianifaluckaMmary Жыл бұрын
Mungu akubariki. Na kukulinda nakukuangazia nuru ,na uso wake Akupe aman
@SALIMUAMILI-ub4vz
@SALIMUAMILI-ub4vz Жыл бұрын
Mungu akubaliki kwa kila jambo unalolifanya katika taifalako latanzania
@mchunguliechibwa198
@mchunguliechibwa198 Жыл бұрын
HUYU MWAMBA MBEYA HAKIPOTEA, SITAKAA NIWASAMEE MILELE, HAKI NASEMA,NIEPENDA MBEYA ❤❤❤
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 2 ай бұрын
Mpende tu kn huyo jamaa ni poyoyo kiakili
@faustinemangula8424
@faustinemangula8424 Жыл бұрын
Hongera Mwamugusi kwa Karama ya sheria na ushujaa.
@RugemaliraRenatus-rf6yv
@RugemaliraRenatus-rf6yv Жыл бұрын
Mungu akulinde unayoongea yatatokea ,au ya atokea leo unasema nimeona mambo fulani hivi hadi nimeshangaa
@ProsperNgeniuko
@ProsperNgeniuko Жыл бұрын
tunaomba mzunguke nchi nzima
@hafsamnenga1942
@hafsamnenga1942 Жыл бұрын
Mungu awalinde Mwambusi dokta salaam mbowe lema dokta shivji
@fredrickmwakalinga6390
@fredrickmwakalinga6390 Жыл бұрын
Mungu akulinde na akuongeza wakili mwabukusi
@muharamiesther5908
@muharamiesther5908 Жыл бұрын
Astaghfirullah Mwenyezi Mungu tuepushe na viongozi wapumbavu 🤲🙏
@giftmkilindi1486
@giftmkilindi1486 Жыл бұрын
Ufafanuzi mzuri leo umepatikana 💯
@alexkipemba3655
@alexkipemba3655 Жыл бұрын
Mungu akulinde na kukuepusha na mahangaiko kwa kutusemea watanzania wanyonge na vizazi vijavyoo
@josephmwita6012
@josephmwita6012 Жыл бұрын
oooh my god just protect this man
@musamwambene1323
@musamwambene1323 Жыл бұрын
Waziri mkuu anaferi kweli hilo👍
@GenovevarKavikule-it2wc
@GenovevarKavikule-it2wc Жыл бұрын
Tunawapa na onyo serikali tabia ya kuuwa watu wanaotetea nchi yetu ole wao na huyu afe tutaandamana tupokimya ila tunajua kinachoendelea huko ndomana wabunge na spika wa bunge anaogopa kusema ukweli anaogopa kufa
@scaveyy5428
@scaveyy5428 Жыл бұрын
Mngeandamana kipindi cha awamu tano watu wasiojulikana walivyokua wanauwa watu
@emmanuelmbuya6223
@emmanuelmbuya6223 Жыл бұрын
Asante Mwabukusi kwa kisimama imara kwaajili ya umma wa Watanzania.
@alfredcharles8029
@alfredcharles8029 Жыл бұрын
Huyu hakika ni mtu aliyejitolea maisha yake kwa ajili ya kuwaelimisha Watanzania juu ya sintofahamu juu ya Mkataba wa DPW.....Mungu akubariki sana Mwabukusi... ✍🙏🙏🙏
@asinahussein2176
@asinahussein2176 Жыл бұрын
Kapewa fungusna chadema kwani uongo
@janemwaipopo
@janemwaipopo Жыл бұрын
Ndagha Mundu ghwa Kyala Jhesu akwimilile Kangi Amaka ghajheghe miiiñgi Ukukindila Mu ngamu jha Kyala Amen🙏🙏🙏✔️
@lionmkushi9641
@lionmkushi9641 Жыл бұрын
Wavue nguo wabaki uchi kabisa Wametuzoea Mungu akulinde mwamba
@levinaernest4364
@levinaernest4364 Жыл бұрын
😂😂😂
@mobilempula545
@mobilempula545 Жыл бұрын
Mungu awabariki wote mnaotetea mali za watanzania zisiporwe
@georgekamosi9501
@georgekamosi9501 Жыл бұрын
Ninapokusikiliza Naona bando langu linaisha Kwa haki.
@jamesmaurusss3612
@jamesmaurusss3612 Жыл бұрын
Umeona eeh
@HellenMonace
@HellenMonace Ай бұрын
Bado sii kitu tumuombee kwa Mungu mwamba ❤
@happinessmwenda2773
@happinessmwenda2773 Жыл бұрын
AKI UMETUVUA NGUO.NIMEGUNDUA ELIMU MUHIMU WACHA TUPELEKE WATOTO SHULE.
@HellenMonace
@HellenMonace Ай бұрын
Pont sana ni muhimu sana.
@francissimwinga-gb2vd
@francissimwinga-gb2vd Жыл бұрын
Ndio maana nchi inamali nyingi lakini inachechemea kimaendeleo Kwa sababu ya wanafiki wachache waswahili Asante wakili mwambukusi
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Жыл бұрын
Kijana Mwambukusi ubarikiwe sana sana. Mungu atakupa afya njema sana. Huyo Mtungi simuelewi kabisa, 2020 hakuona yaliyotokea? Huyo anajua sheria kweli? Ati mlezi mlezi gani anayelemea mtoto mmoja na wengine anabakua kuwatafutia kesi tu?
@phrolinAnton-lp6xl
@phrolinAnton-lp6xl Жыл бұрын
Safi sana kaka atawakikutishia wajue kwamba mahalo penye Hali ukimtendea unyama Mmoja wanazuka wengine kumi
@lotimwansule5017
@lotimwansule5017 Жыл бұрын
God let angel to protect Mwabukusi
@FaustineKingu-w8d
@FaustineKingu-w8d Жыл бұрын
Uko vizuri sana, watanzania tunakuunga mkono hatukubali kuuziwa bandari yetu
@BuladsiBonifac
@BuladsiBonifac Жыл бұрын
pamoja sana mwamba
@FaustineKingu-w8d
@FaustineKingu-w8d Жыл бұрын
Mkataba huu hatutaki, uko vizuri sana Mh wakili wetu mtanzania halisi tunakuunga mkono
@h.jrugashaula1296
@h.jrugashaula1296 Жыл бұрын
Huyu bwana anamsimamo sana
@TullySwai
@TullySwai Жыл бұрын
Ameiva ypo vzr
@denisrukangula2227
@denisrukangula2227 Жыл бұрын
Watu wamekupenda saana Ila ukienda ccm utapoteza upendo wako
@malembobulongo3856
@malembobulongo3856 Жыл бұрын
Jamani nchi yetu inapigwa na inaendelea kupigwa sana mungu wape nguvu watetez wetu
@heliudjulias7748
@heliudjulias7748 Жыл бұрын
Recpect mwabukusi viva viva wamezoea tukishinda hili hakika tuna toka utumwani najua huu mchongo marekani yupo nyuma ila hii ngoma ngumu spika arika na wachawi si uri arika machifu wa mbeya
@mabulamasunga7378
@mabulamasunga7378 Жыл бұрын
Wewe ndiye unaweza kuwa kiongozi mzuri sana.
@HellenMonace
@HellenMonace Ай бұрын
Apewe awe rais kabisa kiroho safi..anatuvaa sana.
@elizabethmgassa7243
@elizabethmgassa7243 Жыл бұрын
Nyie ndo wanaume mliowekwa Tanzania na Mungu kwa ajili ya kulinda nchi yetu.msiogopeeeeeee.
@eliantupwa2737
@eliantupwa2737 Жыл бұрын
Pambana dogo mungu yuko pamoja nawewe nakuombea sana
@LusajoMwajeka-tf1nj
@LusajoMwajeka-tf1nj Жыл бұрын
Sawa mzee tupo pamoja nashukulu Sana binafsi nakuunga mkono Sanaa,
@isayaanthon7063
@isayaanthon7063 Жыл бұрын
Nakuelewa sana wakili Msomi.
@mosesdavid-vm5hk
@mosesdavid-vm5hk Жыл бұрын
Namkubari kinoma uyu mwamba
@samwelrobertmwakatobe6467
@samwelrobertmwakatobe6467 Жыл бұрын
Msomi hakika usirudi nyuma mbele kwa mbele ww ni jasili wa Leo na kwa kizazi kijacho maneno yko yataishi
@salummohamed2689
@salummohamed2689 Жыл бұрын
Kuna wengine wa upande mwingine walidai wametolewa jalalani!
@salummohamed2689
@salummohamed2689 Жыл бұрын
Hii document iliwaponyoka ni fursa Kwa wanyonge wa Tanganyika.
@nurumohammed1310
@nurumohammed1310 Ай бұрын
Safi sana Mwabukusi mungu akulinde kwa uwezo wa mungu
@davidmpiluka5224
@davidmpiluka5224 Жыл бұрын
Well said and well understood.
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 Жыл бұрын
Calling a spade a spade and not a digging spoon
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 Жыл бұрын
Kwanini Serikali yangu hawataki kusikia kelele za hawa wasomi wetu? Wakiuacha huo mkataba wakawashirikisha Watanzania wasomi kutuogoza kuupitia mkataba huu itakuwa vibaya. Hebu SERIKALI TUSIKIENI JAMANI MUNGU ATAWAADHIBU
@jumamnemo8383
@jumamnemo8383 Жыл бұрын
Hapo hapanpa msomi
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 Жыл бұрын
​@@jumamnemo8383kuna wanani? Huyu ni msomi wa sheria
@mutalemwamarcelventure.mae2058
@mutalemwamarcelventure.mae2058 Жыл бұрын
nimekuelewa
@mutalemwamarcelventure.mae2058
@mutalemwamarcelventure.mae2058 Жыл бұрын
Hekima hekima Jamani
@jumagembe9877
@jumagembe9877 Жыл бұрын
Maneno mazito sana
@georgemovieproduction1842
@georgemovieproduction1842 Жыл бұрын
Asante sana mungu akurinde kwa msimamo wako tumlilie mungu aokoe tanzania
@yakobojoseph965
@yakobojoseph965 Жыл бұрын
Baada ya Magu kaja mwamba, Mungu anazid kutupenda. Sema hatadumu jamaan serikali yetu haiwapendi....😭😭
@HellenMonace
@HellenMonace Ай бұрын
Mungu akulinde na udumu miaka 150..kwa Jina la YESU.
@peternyambui7492
@peternyambui7492 Жыл бұрын
Safi sana sana..sana!!!
@mutalemwamarcelventure.mae2058
@mutalemwamarcelventure.mae2058 Жыл бұрын
Si tulisoma wasitu someshe Tupate waweke wazi Lakini Haya mambo Tunaomba wapiganaji wa pewe nafasi,pia tuwe wahifhadhi wa rugha ya kiswahili nawaombea wote na sisi tuombeane daima ni Tanzania kwa wenye nia watafanikiwa Amin
@RugemaliraRenatus-rf6yv
@RugemaliraRenatus-rf6yv Жыл бұрын
Thank you well done Mwanbukusi
@GabrieliKitindi
@GabrieliKitindi Жыл бұрын
Watu kamahawa ndiowalitakiwa wawe maraisi wanauchungu na nchi tanzania mungu ibariki tanzania yetu
@WhiteMgeni
@WhiteMgeni 2 ай бұрын
Safi raisi wa tls Asante sanaaaa wakili msomi
@fabianambuta5471
@fabianambuta5471 Жыл бұрын
Hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho Mungu yupo Kwa ajili ya watanzania
@othmarluwawilo8308
@othmarluwawilo8308 Жыл бұрын
Rais anayesubiri Udaktari wa kupewa PHD ZA KUPEWA, kahofu kuandika critical desertation, km alishindwa hapo ataiongoza nchi? There people, with intelligence, critical thinkers, analytical and philosophical entity. Being a President doesn't mean you're wise, intelligence with higher performance. Thank you Mr Advocate Mwambukusi.
@patrickKitambo
@patrickKitambo Жыл бұрын
Tatizo kubwa la hii akili ndogo intaka kuendesha akili kubwa
@mussathomasdossa4687
@mussathomasdossa4687 Жыл бұрын
Mungu akulinde mkataba huu ufutwe
@HellenMonace
@HellenMonace Ай бұрын
Tena harka sana ufutweee!!...
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 2 ай бұрын
AMEN"Mungu atatuinulia watu wake sahihi ili mambo ya nyakati aliyoyaamuru yatimie apate kujilipiza kisasi juu ya watu wake wanaoonewa na wasiomjua Mungu aliye hai...
@Clement-px8eg
@Clement-px8eg Жыл бұрын
Walahi safari hi hawatoboi vibaraka warudishe mapesa ya watu na wale wenye mkataba wawafuate wenzao dubaiiii
@CanddyKawishe
@CanddyKawishe Жыл бұрын
Hongera wakili mzuri
@nicholauskilosa5336
@nicholauskilosa5336 Жыл бұрын
Hadi nimelia kwauchungu maana watoto na wajukuu zetu hawatakuta kitu.
@DeusiSetivin-ls9uz
@DeusiSetivin-ls9uz Жыл бұрын
Tunakushukuru mungu akuri de kwakutembea na kusoma nyaraka ya mkataba tunapenda na tunashukuru kwa kutusomea mkataba !
@mwitamayebe1761
@mwitamayebe1761 Жыл бұрын
Mwamba kaiva Bandari yetu ibakie
@TullySwai
@TullySwai Жыл бұрын
Kaiva kinomanoma
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 2 ай бұрын
Well done Mwakubusi. Well done.
@mimutiengungatimollel3794
@mimutiengungatimollel3794 Жыл бұрын
Mungu tu awalinde viongozi wetu wote mnaupinga nchi yetu kuuzwa ila Watanzania wote tupo nyuma yenu
@dr.johnsonnyamohanga6147
@dr.johnsonnyamohanga6147 Жыл бұрын
Kaka mungu akulinde usiku na mchana !kila nikikusikiliza natokwa machozi na furaha kumbe Tanzania tuna watu wazalendo kama wewe
@officialdanijay6521
@officialdanijay6521 Жыл бұрын
nchi yangu tanzania nakupenda😢😢
@thabitimadabali1726
@thabitimadabali1726 2 ай бұрын
Mungu Akulinde na maadui inshallah❤❤
@samakisamaki3226
@samakisamaki3226 Жыл бұрын
Kwa nini mtanzania anasimama kutetea mkataba kwenye nafasi ya DPW? Tuwe wazi aje DPW na wanasheria wake tujadili. Kinyume na hivyo ni wazi kuwa ni samia na kundi la wachache ni washirika wa DPW.
@saidissa8273
@saidissa8273 Жыл бұрын
KWA NN APINGE
@MRPRESIDENT-w4l
@MRPRESIDENT-w4l Жыл бұрын
Mwamba huyu Hapa Shujaaaa wa kweli 💪👍💪💪🤝 chuma Cha Kazi mwabukusi
@simonibonifasi3131
@simonibonifasi3131 Жыл бұрын
Safi sana mwambusi sisi kama wanainchi watanganyika tukopamoja
@thomaslunyenza3507
@thomaslunyenza3507 Жыл бұрын
Eee mwenyezi Mungu nakuomba tusaidie sisi watanzania na Tanzania yetu. Tunakuamini wewe tu amin
@DenizaChambala
@DenizaChambala Жыл бұрын
Tusemeee Kaka tunadhurumiwa Sana na kuonewa ,haki hakuna,mungu akuepushe Ni nawabaya
@upendomwampulule1724
@upendomwampulule1724 Ай бұрын
Mwabukusi sema usiogope sema sisi vijana hatuogopi vibaraka banda .
@amosepimacknyanda639
@amosepimacknyanda639 Жыл бұрын
Uko mzalendo sana 🙏
@KenonPeter
@KenonPeter 2 ай бұрын
Mungu hakulinde yoko mafuta Mungu ameweka ndani yako Mtumshi
@davidkabwogi3346
@davidkabwogi3346 Жыл бұрын
Mungu yuko mbele yenu lisilowezekana kwa mwanadamu kwa Mungu yote yanawezekana
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu Жыл бұрын
Umesema kweli
@FatnaAlly-hm1xc
@FatnaAlly-hm1xc Жыл бұрын
Allahu akbar subhanallah kila kitu mtangulize mola wako Ukimuamini mola wako anatosha kuwa muongozo wako ktk maisha
@SizaAdolph
@SizaAdolph Жыл бұрын
Huyu ndo mwenyew😊
@edsonkahesi8603
@edsonkahesi8603 Жыл бұрын
Wakili ww ni msomi na mwenye uelewa mkubwa mno, salute kwako
@alanmwijarubi
@alanmwijarubi Жыл бұрын
Mm kinachonishangaza wale wanaotetea mkataba hawazungumzii yaliyomo kwenye mkataba, wanazungumzia faida za ujumla za uwekezaje ambazo hazimo kwenye mkataba wenyewe 😊😊
@goodlucknjau77
@goodlucknjau77 Жыл бұрын
Kweli Wana Jenga hoja kupitia manufaa ya uwekezaji ila vipengele kwenye mkataba ni vibaya sana
@HamiduBonzali
@HamiduBonzali Жыл бұрын
Nadhani hawana hofu ya Mungu
НАШЛА ДЕНЬГИ🙀@VERONIKAborsch
00:38
МишАня
Рет қаралды 2,6 МЛН
My Daughter's Dumplings Are Filled With Coins #funny #cute #comedy
00:18
Funny daughter's daily life
Рет қаралды 32 МЛН
Synyptas 4 | Арамызда бір сатқын бар ! | 4 Bolim
17:24
How it feels when u walk through first class
00:52
Adam W
Рет қаралды 22 МЛН
Kamanda Muliro: 'Sisi Polisi Ndiyo Tuliyomuokoa Sativa'
11:51
The Chanzo
Рет қаралды 15 М.
ALIYEMPIGA RISASI TUNDU LISSU ABAINIKA
37:08
SHEIKH MWAIPOPO TV
Рет қаралды 12 М.
НАШЛА ДЕНЬГИ🙀@VERONIKAborsch
00:38
МишАня
Рет қаралды 2,6 МЛН