Wakosoaji Hawamtendei Haki Paul Kagame? | Jenerali Ulimwengu Exclusive on The Chanzo S04

  Рет қаралды 4,766

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 22
@leandrymmassy9916
@leandrymmassy9916 10 ай бұрын
Nimependa jinsi mwandishi anavyooji. Very professional.
@SALEHMOHAMEDAFIF
@SALEHMOHAMEDAFIF Жыл бұрын
Hapo kwenye term limit umenishangaza Jeneral, yani for Kagame it’s fine? Mbona iliposemekana Magufuli anataka kuongeza kelele zilikuwa nyingi sana?
@mgallahson3650
@mgallahson3650 10 ай бұрын
Hakuna kitu kibaya kama unafiki
@AfricabeyondLimits
@AfricabeyondLimits 9 ай бұрын
kusitisha mauaji ya watu 1million na Kuua watu milion 6 nchi jiran tena!! kazi kwelikweli
@SALEHMOHAMEDAFIF
@SALEHMOHAMEDAFIF Жыл бұрын
My sincere advice to you Mr. Jeneral, for your age what should occupy you for now is Ibada (prayer), Jitahidi kufanya ibada mzee wangu muelekee mola wako, Jitahidi kusimamisha swala tano.
@doktamathew
@doktamathew 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@eldredmbegu4434
@eldredmbegu4434 Жыл бұрын
Jenerali anajikanyaga kanyaga navyoona.
@FrankBideberi-p8k
@FrankBideberi-p8k 8 ай бұрын
Uyu ni General au ni mambo ya AI?
@emmykundy4273
@emmykundy4273 Жыл бұрын
Mzee ana mapenzi ya binafsi na Kagame. Sio huyu alikuwa akimpinga Magufuli?
@mbwanakiting7180
@mbwanakiting7180 Жыл бұрын
Kwani kumpinga magufuri ni kosa?
@eldredmbegu4434
@eldredmbegu4434 Жыл бұрын
​@@mbwanakiting7180 sio kosa kumpinga Magufuli. Swala ni hoja anazotumia kumtetea Kagame mbona alimponda Magufuli kwa hoja hizo hizo?
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 10 ай бұрын
Siyo magufuli tu kote kwa utawala usiojali demokrasia huwa anakua mkali lkn siyo rwanda na kagame....hii sio fair...amsifu kwa mazuri amkosoe anakofeli
@papaj6795
@papaj6795 Жыл бұрын
General kwa heshima Mzee please uwe na msimamo wa ukweli na uwe na mkweli wakati wa nyerere alikuwa Nationalist kama kagame na wakati wa Magufuli wewe na baadhi ya watu wa CCM na upinzani mlikuwa mnampinga Magufuli for those who don't like kagame should go to hell I saw it in my eyes 1994 CCM nimeisha kuwa kuwa ya wezi sio CCM tuliyoitumika CCM ya mwalimu ndio maana Magufuli alikuwa anataka kuirudisha kwenye mstali lakini ndani ya CCM na Baadhi ya wapinzani mlimpinga now what?
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 10 ай бұрын
Jenerali kwenye suala la rwanda na demokrasia unayumba....
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌。
@njemamehuna9821
@njemamehuna9821 Жыл бұрын
Jamaa ana ukabila na udini sana
@eldredmbegu4434
@eldredmbegu4434 Жыл бұрын
Ukabila na Udini kivipi?
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 10 ай бұрын
Linapokuja suala la rwanda na kagame kuhusu kubana demokrasia hakosoi kama kwa magufuli ilivyokua...awe fair
@benamimulokozi6052
@benamimulokozi6052 7 ай бұрын
It can't be comparable
@FrederickThadeo
@FrederickThadeo Ай бұрын
Dogo umejitahidi
@afropatriot7769
@afropatriot7769 Жыл бұрын
Mnafiki mpe muda tu utamjua🤣🤣🤣 poor old man cant hide his true colour ,so sad
REAL 3D brush can draw grass Life Hack #shorts #lifehacks
00:42
MrMaximus
Рет қаралды 10 МЛН
Mom had to stand up for the whole family!❤️😍😁
00:39
ТИПИЧНОЕ ПОВЕДЕНИЕ МАМЫ
00:21
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 1,8 МЛН
Я сделала самое маленькое в мире мороженое!
00:43
Кушать Хочу
Рет қаралды 4,4 МЛН
India Bids Farewell to Ratan Tata | Vantage with Palki Sharma
10:12
REAL 3D brush can draw grass Life Hack #shorts #lifehacks
00:42
MrMaximus
Рет қаралды 10 МЛН