Рет қаралды 7,726
Katika kipindi hiki cha Jenerali Exclusive on The Chanzo, Jenerali Ulimwengu anaongea na Absalomu Kibanda kupitia matukio muhimu ya kihistoria ambayo Jenerali alishiriki moja kwa moja.
Hii inajumuisha hoja ya G55, kundi la Wabunge waliohitaji uwepo wa serikali ya Tanganyika katika muungano. Jenerali amezungumzia pia ushiriki wake katika kampeni za Rais Benjamin Mkapa mwaka 1995.