WAMEYAKANYANGA | WAZIRI MKUU AINGILIA KATI MAUAJI YA MTOTO ASIIMWE, ATOA MAELEKEZO MAZITO

  Рет қаралды 13,902

TBConline

TBConline

Ай бұрын

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameielekeza Ofisi ya Taifa ya Mashtaka, mara upelelezi utakapokamilika, kuwafikisha mahakamani mara moja watuhumiwa wote waliohusika na mauaji ya mtoto Asiimwe Novath aliyekuwa na umri wa miaka miwili na nusu mkoani Kagera, ili iwe fundisho kwa watu wengine wanaofikiria kufanya vitendo kama hivyo.
Waziri Mkuu ametoa maelekezo hayo bungeni jijini Dodoma leo asubuhi alipokuwa akiwasilisha tamko la Serikali kuhusu ulinzi wa mtoto ambapo amewataka wananchi kuachana na imani potofu au mizaha inayolenga kuaminisha kuwa viungo vya watu wenye Ualbino vinaweza kuwaletea utajiri.

Пікірлер: 7
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 Ай бұрын
Nawaombeni sanaa serekeli Sheria ifuate mkondo wake ikiwapendeza wapigwe risasi hadharanii...ili iwefundisho kwa wenyetabia kama hii ..kunyonga kwa siir haitofundishaa sana....twaomba Sheria ifuate mkondo wake....
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 Ай бұрын
Shida watu sasa wanafiria pesa zaidi kuliko mwenyezi mungu.
@ChainaDamian
@ChainaDamian 26 күн бұрын
Mungu awape nguvu jeshi la polisi
@NaomiCharles-bb8md
@NaomiCharles-bb8md 26 күн бұрын
Mh raisi bola ulivyo chukua atua ya kutatsfuta aki ya uyo bint ashmwe 🙏
@uwawatatanzania3243
@uwawatatanzania3243 29 күн бұрын
Wapewe Adhabu kali sana ikiwemo ya kukatwa kiungo kimoja kimoja hadi kufa, hili litakuwa fundisho na kwa wengine wenye Tabia kama hii:
@niahofficial7750
@niahofficial7750 Ай бұрын
Agizo limewafika
@edithlameck8170
@edithlameck8170 Ай бұрын
Mbona nguvu hiyobya kuwapata watuhumiwa haikutumika kumtafuta mtoto? Nina imani nguvu na jitihada za kumtafuta zingefanyika kwa nguvu hiyo basi mtoto angepatikana na kuokolewa akiwa hai. Jeshi la polisi lijitafakari.......
Polisi Wapora Mali na Kuwabambikia Kesi Mtu na Mkewe
10:47
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 6 МЛН
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 83 МЛН
OSTAZ AOMBA ULINZI KWA WAZIRI MKUU BAADA YA KUWANYEA TRA
9:21
Mbengo Tv
Рет қаралды 199 М.